YESU anarudi dunia tuifikirie toba!!tubuni mumuamini mpate ondoleo la dhambi.
@restkalemile5274
2 жыл бұрын
Waache tu waangaike na mambo ya dunia... Hawajui mda umeishaa..... 😢😭😭😭
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Kweli Kwa pointi hizo stivu uko juuu
@aishaally4831
2 жыл бұрын
Stivu anafaa kuwa msemaji kabisa, hao wengine wanataka utengano sana wanajiona wapo juu kuliko jua ,
@saidinyoni2463
2 жыл бұрын
Akawe msemaji wa familya yako na si wawa sanii
@mimifineliving2022
2 жыл бұрын
Ila huyu mswaili kweli hafai kuwa kiongozi kabisa sasa kwa haya matamshi yake kweli he is not professional kabisa.
@joharikasuwi6973
2 жыл бұрын
Jamani hiyo nafasi Ina ka something ndani yake kwamba sing'oki. Sasa si mfuate utaratibu mchague inavyopaswa mridhike kila mmoja mnagombania nini lakini mbona kukosa aibu fateni utaratibu mchaguane. Sasa kama msemaji na matusi humohumo hamfiki popote na mtakuja leta ugomvi tu. Maoni yangu wafanye uchaguzi mpya akipita tivu ake mpeni nafasi na asipopita mpeni aliyepita basii huyo hata kwenye mambo ya misiba ya bongo movie bado walikuwa hawamtaki jamani 👏
@D.P.O
2 жыл бұрын
Steve ilifaa sana uende kwenye siasa ila sio hapo kwa maana umekuja na majibu yasiyo na mashiko wala kujenga hoja,kiongozi hutakiwi kuwa na majibu ya mipasho kama hivyo.
@aishaamwalimu2887
2 жыл бұрын
Bora angekaa kimya tu kuliko haya.
@omaryayoub2838
2 жыл бұрын
Wenyewe kwenye vikao hawaji halafu watu wamefanya maamuzi wanapinga.
@judithjulius6848
2 жыл бұрын
Alafu kanaongea kama hayati Nyerere mwenyewe
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Duuu kweli kichwa limepatikana
@ngadumbishi1405
2 жыл бұрын
Uongozi ni nyota huongoza Kwa faida ya unaowaongoza ikiwa Hawataki inapaswa uache Sababu hupaswi kulazimisha Kila Mtu awe upande wako
@hassankurwa464
2 жыл бұрын
Steve waachie wanamuziki usilete utani kwenye kazi za watu. Waache wana music wenyewe wanatosha. Mwana FA anaweza asikujibu maana majibu unayo tayari na unacho ongea ni hadithi tu
@martinostwald6674
2 жыл бұрын
Steve ske kapngea kabisa.....
@nemesapollo4846
2 жыл бұрын
Point
@Farajahelene23031
2 жыл бұрын
steve tolingi yo awa na congo zaire honorable steve nyerere
@selemanibatenga6327
2 жыл бұрын
Kiki kweli zimeanza lengo ni kuwapumbaza wananchi kutofuatilia maendeleo yao na kufuata huu upuuzi. Amkeni wananchi
@emmansolo4477
2 жыл бұрын
Hamna Kitu hapa Yeye anadhani anachekesha watu tuu hapa
@aloycekiwia8613
2 жыл бұрын
Kweli Steve ni PUA... 🙂🙂😁
@ntegrity277
2 жыл бұрын
Ni kweli ila Kuna watu wengine sio lazima wewe
@manjaruu1575
2 жыл бұрын
Muda mwingine ni MISIMAMO tu sio kuyumbishwa
@chavdagrande2379
2 жыл бұрын
Atumtaki akawe msemaji watarabu uko kunamfaa kabisa😁
@petromwinyi4955
2 жыл бұрын
Pengoboy bana😂😂😂😂
@janiaoma7093
2 жыл бұрын
Maneno yake Stevan nyerere haryana hishima. hafai kuogoza kitu chochote
@snegalkassim7316
2 жыл бұрын
Mh.we steve!steve! Ni nini lakini?acha zako bhana
@josephmwinuka3982
2 жыл бұрын
Hawakutaki mbona unang'ang'ania kulikoni nenda kwenye siasa huko hufai kabisa
@fatmamdhihiri5477
2 жыл бұрын
Kaweke jino. Kwanza Kisha ujee uwongee nasisi
@stn4873
2 жыл бұрын
Hahahahahaha bwana Steve🤣🤣🤣🤣
@ndakishinje3269
2 жыл бұрын
We nani
@mwasoprince3459
2 жыл бұрын
"😀😀😀 unapuyanga tu kukenua mdomo" nukuu kwa Steve nyerere.
@paschaljunior3478
2 жыл бұрын
Kwani lazima uwe kiongozi! Toka hiyo nafasi, unalazimishaje kwani kuna nini humo ndani!?
@simonkiwal9567
2 жыл бұрын
kweli kicha kapewa rungu amakweli Tz ya viwandar imetimia
@yusufukim8439
2 жыл бұрын
Tatizo wewe hauna personality ya kuwa kiongozi
@aronatv47
2 жыл бұрын
Yaani kwa Maneno hayo bado watu wanaona stivu Hafai..Maneno ya Busara Kabisa na Fact ndani yakee..Kwanza FA mwenyewe alipata ubunge kwa Mbereko tuu
@sarahgaula2220
2 жыл бұрын
Eeeeh chefu aliyewaita si Raisi wa shirikisho na katibu. So we bongo movie umeshajua katiba kuwapita wenye shirikisho
@rubensaitoti6839
2 жыл бұрын
Hhhhhhhhh kweli kasi ipi
@zayanazayana5353
2 жыл бұрын
😂😂😂 na anavoyapenda sasa
@kiddomafiaso6916
2 жыл бұрын
Co wa simba kacheza mpira CO🙌🏽
@ntegrity277
2 жыл бұрын
Nyerere achia ngazi umeteuliwa hujachaguliwa unaongea Kama vile unaridhaa ya wana mziki! You are insane with very little knowledge
@mailatv1484
2 жыл бұрын
Steve ananjaaaaaa huyu
@mariakibadu6844
2 жыл бұрын
Steve ake imgaya sida be 😁😁😁😁
@stn4873
2 жыл бұрын
Piga Kelele kwa Tivu akeeeee..... Weeeuweeeeeeeeeeee!!!
@venancjoseph1498
2 жыл бұрын
Hapo Kuna maslahi ndio maana unalilia cheo
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
Kama vipi waachie hiyo nafasi yao wasije wakakuroga bure maana Kuna mijitu kazi yao uchawi tu utasikia huniwezi kwa hela huniwezi kwa uchawi nipe mkono tushindane 😄😄😄😄😄😄 waachie watakuloga hao
@valenakomba9218
2 жыл бұрын
Aa bwana japo ukibabaishe kidogo kingereza. Tukikaribishwa nnje ya nnchi je ? Utanichukua mimi shangazi yako wa kingoni nikakutolee cha kinyasa?. ♥
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Kweli shangalino mubebe wa kingoni msaidie jomba steve
@eliyanorobeth8567
2 жыл бұрын
Semaj hloo
@khalifasultan2677
2 жыл бұрын
Daah😂😂😂
@clevermngao7565
2 жыл бұрын
😄😀😃😁🤣
@knowledgeispower1118
2 жыл бұрын
Achia ngazi we bwege
@devganchusac5153
2 жыл бұрын
Mnijibu mnao juwa Ivi uyu steve nyerere ana husiano na Mwalimu kabarage Nyerere? Wana udungu?
@mwaget0815
2 жыл бұрын
Ndio wana uhusiano kwamba wote ni watanzania
@muzheelyhasheem2796
2 жыл бұрын
hawana
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Daah ulofa ni kitu kibaya sana na kuendekeza dhiki , jomba hawamtaki ila analazimisha na kujitia aibu
@benomdaile7081
2 жыл бұрын
Kama watu hawakutaki na wewe usiwatakee ili wote msitakaneee
@karyori69
2 жыл бұрын
Nenda kasome mzee using'ang'anie madaraka!
@khamissaid3083
2 жыл бұрын
Daaa nilijua anaigiziaga tu kumbe alishakuwa affected na sauti ya Mzee tangu kitambo aiseee
@innocentsisti9556
2 жыл бұрын
Huyu jamaa uzuri ni kwamba hanaga hoja msingj
@yusufukim8439
2 жыл бұрын
We si unatakiwa kuwa msemaji wa Comedian
@wazirmlogi7532
2 жыл бұрын
Oya,miye sikuwa msanii ila nimeanza leo kuwa msanii nishamaliza kuandika mashahiri na leo nina nguvu zote za kusema "stave sikuhitaji uwe msemaji wangu"😂😂 kwanza unajichubua bana😅😅
@evelinemsaki2057
2 жыл бұрын
Mkorogoooo
@paschaljunior3478
2 жыл бұрын
TOKA BANA
@godfreyngeze384
2 жыл бұрын
Ili kupata vichekesho kama hivi tunabonyeza ngapi kwenye sim zetu hahahhahhah
@marrysalanga2073
2 жыл бұрын
Hahahahaha
@lubatikoseme9412
2 жыл бұрын
Indivijoo🤭🤭🤭🤭
@aloycesteven5998
2 жыл бұрын
Mi nacheka anavyoweka kasura kake stiv ake
@omaryayoub2838
2 жыл бұрын
Mbona mnatoa nusu nusu
@mybrain8940
2 жыл бұрын
Hadi mawazo unasoma 🤣🤣🤣
@raymondkanyama6387
2 жыл бұрын
Hhhhhhhhh we toka Bana we mwnyw ni kituko..
@subirachuta8169
2 жыл бұрын
Kwani wewe mbona unang'ang'ania sana??? Kama hawakutaki si ukae kando!! Wewe endelea kukusanya lambilambi mbona misiba bado ipo!!!!!
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
Sio misiba ipo sema misiba tupo au wewe hutakufa ipo ya kina Nani Kama si Mimi na wewe
@subirachuta8169
2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 Mimi ata nikifa huyo Steve hawezi kujua na sio Steve tuu ata wewe hutojua coz sina umaarufu huo.
@josephmwita5959
2 жыл бұрын
hakafai haka kabisa acha propaganda
@aronatv47
2 жыл бұрын
Kwanza msemaji sioni kama ni Ishu Kaliiii..Kwanza msemaji unapewa yakuongea tu na kuhamasisha Basiii yaani wla..Nashangaa watu wanalalamika kuna Vitu sio lazima uwe Profesheno ndio uwe sehemu flan..Wasanii wanajidaii wajuajia na hamba kituu. Mwacheni Stivu afanye Kazi akimaliza mumtathmini kiukweli FA alizingua MnoooMihemko tu
Kweli huyu jamaa ziro anatolea mfano watu walio Soma we ceo wa simba anaelimu humfiikii hata tone we baki na kukusanya rambi rambi ndo fani yako
@evelinemsaki2057
2 жыл бұрын
Tapeli huyuuu
@kwisa4899
2 жыл бұрын
Nyie kweli hamjajua uwezo wa steve
@jumanasoro404
2 жыл бұрын
Tone tu anayotumia hafai kuwa kiongozi kuna maneno machache sana ya busara angeongea angekuwa ameonekana na busara.kuliko kucounterattack.
@mwanaishazain7985
2 жыл бұрын
Weeeeh waziri ni utawala sio profation hujui nini mshamba kama hujui uliza kabla ya kusema.
@evelinemsaki2057
2 жыл бұрын
Yaani huyu akijibiwa atalia aende kujikomba hukoo hafai kuongoza watu wenye vipaji vyao akachekeshe watoto
@simonkiwal9567
2 жыл бұрын
mzee baba hio pua ni poor ya kingereza au ya kiswahili maana hapo umeniacha hoi na njia panda
@charitytv6972
2 жыл бұрын
Hutakiwi
@salumjumaruhaga2513
2 жыл бұрын
Akamngie Bibi yake duuu
@habibumussa7712
2 жыл бұрын
Akafanye uchawa tu
@tevintevin6254
2 жыл бұрын
Ana nyimbo ngapi?
@kwisa4899
2 жыл бұрын
Bongo flavor hawabebeki,hawana zuri hivi kweli nyie wa kumkataa steve Sawa muwekeni mtu wenu lakin Steve ni mtu wa kujitoa sana
@saidinyoni2463
2 жыл бұрын
Sawa lakini sio kwana fasi hiyi
@kwisa4899
2 жыл бұрын
@@saidinyoni2463 hawana mtu zaidi ya kuwa na fikira za kutaka WCB wawasaidie niamin mimi hawato pata mtu kama Steve kwa muda huu labda kwa baadae sana shida hao watu hawanazuri wanachukiana sana..
@jovinngimbwa470
2 жыл бұрын
Huu uhuni kabisa, hiki kituko.
@esterdoriye4780
2 жыл бұрын
Pua au poor hahahaaa
@najmanassoro308
2 жыл бұрын
Naombeni msada watanzania wenzangu nataman nimfikie hata rais lakin sina uwo uwezo. siitaji pesa mkononi naitaji huduma. Mnitibie nipone napata maumivu makali usiku silali.
@wilsonmichael1156
2 жыл бұрын
Ulali unafanyaje?
@edlumala9428
2 жыл бұрын
Wacha ukhanithi wako na pengo hilo! Kiingereza kama hujui wakija wageni utaongea nao nini na wewe ndiyo msemaji wao!? Katibu ina sema uwe na elimu ya fedha, we naona huna chochote zaidi ya pengo!
@mwanaishazain7985
2 жыл бұрын
Umeandika? Mbona unasoma?
@o-lockinc.
2 жыл бұрын
Itakua Kuna posho kubwa humo
@jumamkaa9477
2 жыл бұрын
me uyu jamaa simpendi cjui kwann
@JJ-fb9jp
2 жыл бұрын
Sisi tunampenda
@octavianmgovano5207
2 жыл бұрын
Stive umesoma shule gani ? Ebu tutokeee hapa
@sarahgaula2220
2 жыл бұрын
Wazuri wa afya kama si daktari si sawa ndio hayo Mambo ya Siasa tunayosema
@ceysal944
2 жыл бұрын
Kwanini sio sawa kumbuka ni waziri wa afya... sio daktari kwamba ataingia hospitalin kutibu watu.. ina anawakilisha mambo ya kiafya katika serikali... yan bungeni... na yeye pia ndo anakua na watu wake chini sasa daktari mkuu... na wengine
@ceysal944
2 жыл бұрын
Sasa je vipi kuhusu waziri mkuu ane anatakiwa awe nani.. maana yeye ni waziri wa kila kitu afya,madini,maji,umeme,ujenzi sijui na mengine mengi.. sasa je huyu anatakiwa awe na ujuzi wote huo....
@nixonlema94
2 жыл бұрын
Yaani anaongea pumba gani huyuuu
@gifatmahundi8750
2 жыл бұрын
Kelele za nini ndugu kama mke akutaki si unamuacha mbona unaongea sana, we nenda kwenye siasa acha vijana wajiongoze bwege wewe
@eskotikimaro2858
2 жыл бұрын
Kaa pembeni
@jenipherthobias2860
2 жыл бұрын
Achausenge usigangane msenge wewe,
@naija6679
2 жыл бұрын
MAAJABU YA SIKU YA JUMANNE *#*# m.kzitem.info/news/bejne/uW55mp19i5yciI4
@ahmedjuma3602
2 жыл бұрын
U ta ng’o ka
@salimliemba3458
2 жыл бұрын
We ropoka tu waulize kampun ya simu ilo simama na mwana fa mahakamani kilicho wakuta yule ni muakilishi wa sisi watu wa Muheza alafu anamtolea maneno machafu wamesema bibi yake wajua kama yuko Hai au la wacha dharau kwa watu usio wa fahamu na kuomba mh mbunge we tu wa panga chukua hatua kwa huyu kiumbe alokutukana hadharan pamoja na famly yako
@kambugarakim4840
2 жыл бұрын
Acha shobo wewe kampuni ya simu ya simu na Steve kama stive kazi imeshaanza
@muniraally6066
2 жыл бұрын
Huna lolote hutakiwi
@mustafamsangazi9246
2 жыл бұрын
Una ng'ang'ania nini stive, Hilo ni jambo la wengi kaeni mridhiane
@chinapermit7026
2 жыл бұрын
ng'oka tu mzeee, kiatu hakikutoshi ya nini kung'ang'ana, we kamalizane na bongo muvii yako huku hupaawezi
Пікірлер: 134