Assalam aleikum sheikh kuna dua uliisoma yakutibu maradhi aina yoyote na kuwauwa wachawi, Niliweza kumsikizisha mzee wangu akiwa anaumwa Allahamdhulillah kichechevu kilichokua chamsubua kilimuacha papo hapo, shukrani kwa kutuelimisha n kutufunzia dua tofauti Allah akuongoze zaidi n atuongoze na sisu
@user-re7wt5id6u
2 ай бұрын
Mashallah Allah akujaze na Imani hiyo hiyo shekh
@UmmuMaryam-ym1um
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akujaalie jannatul firdaus. Inshallah naakujaze kilalakheri na akuepushe namahasidi inshallah
@yasminhussein7426
Жыл бұрын
Amiin AMIIN AMIIN ALLAH AKUPE UMRI MREFU INSHA-ALLAH 🤲
@ffed1876
Жыл бұрын
Aamin sheikh Mola akupe umri wa kheri na amali njema shukran.
@gamingwithmwah9326
Жыл бұрын
Allah akuzidishie umri ,afya na furaha na akuzidishie elm.
@inesahmed883
Жыл бұрын
THE GUY HAS TONSILLITIS AND PRESSING IT DOWN CREATE A BREATHING SPACE. ALLAH KNOWS BEST REALLY.
@rashidjumamohamed3437
Жыл бұрын
Allah akuzidishie elimu zaidi na zaidi
@mwamini1545
Жыл бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akuongezee ngumvu
@hamzahhassan6474
Жыл бұрын
Maashallah maashallah Allah akulipe kheri dunian na aakhira
@JumamwidinigettauGettau-us5hr
14 күн бұрын
Jazakallah kheri
@fatmaguracho6760
Жыл бұрын
MashaAllah .. Allah akuhifadhi
@saumutambaa1572
Жыл бұрын
Maashallah mwenyezi mungu akuzidishie
@user-cc2uh3ts5i
Жыл бұрын
Jazakallahu khairan maalim shaban
@user-rt6us1cj6b
Жыл бұрын
Mashaallah baraka allah fiik allah akulipe kila la kher
@emmymajula5164
Жыл бұрын
Na Mimi kwa Imani nitapona tumbo langu inshallah nipate hedhi yangu
@alonchobasamiye6844
Жыл бұрын
Kwa imani tu Mungu pekee anatosha
@salmaalrawahy3326
Жыл бұрын
Allah ajaalie na mm pia nipate na maradhi yote yaniondoke
@eddietaxidriverzanzibar4395
Жыл бұрын
Allahumma Aameen 🙏
@Luweenamandal2911
Жыл бұрын
Ohh pole sanaa In shaa Allah kwa uwezo wake Allah atakufungulia atakuindoshee mitihan na maradhi ikiwa sihri ikiwa sahri Allah akuondoshee Allah akufunguwe
@salmaalrawahy3326
Жыл бұрын
@@Luweenamandal2911 samahan ww ni aunt zeyana wa bibi Azuu enh mama Lujaina
@rajabujuma9030
Жыл бұрын
Mashaallah,Mwenyeezimungu akujazie Kila lenye kheri Imshaallah.
@ackimackim5642
Жыл бұрын
Una MAPEPO shehe,DAMU ya YESU ikukomboe shehe sema Amina.
@radhiamohaa3723
Жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah,Amin 🤲 Amin
@zamanamuhamedi3766
Жыл бұрын
Maashala maalim mambo Yana pamba moto
@abubakarmago2623
Жыл бұрын
Subhanallah tutayaona mengi tu
@munamamaj9622
Жыл бұрын
Masha Allah
@AzzaDaud-nq7rb
Жыл бұрын
Kuna mdada huko Mwanza anaumwa sana anitwa Hawa kafanyiwa oparesheni 17 nenda ukamtibu Allah atakulipa inshallah
@rawiajuma3647
Жыл бұрын
Kabsa ndugu Allah atamlipa anaumwa san yana
@hagulwamalishe8117
Жыл бұрын
Yaan mi nataman watu kama hawa, kwa nn wasiende mahospitalin kutibu wagonjwa wakapona?
@saidinsenda954
Жыл бұрын
Utaponyaji watu namna hiyo umekua nabi wa Mungu subhanallah
@rajabjuma277
Жыл бұрын
quruan yote dawa lakin kuna maneno yameekwa kwa ajili ya tiba na ukiamin Alah na mtume wake na quruan sio ajabu hii kazia zipo KZitem kuna shekhe mmoja anawasomea watu na maradh sio kila maradhi yakawa maradh ya kutoka kwa Allah no sheitan majin wanakaktk kishipa ya binadamu
@jumamussantuiche
Жыл бұрын
Manabii ndo wamefundisha ayo
@ramamwazembe171
Жыл бұрын
Allah akufungulie zaidi mambo yako in shaa Allah
@fadhiliali4463
Жыл бұрын
Msiba huu shekh hiyo miujiza ungefungua kituo ukainyeshe miujiza yako lakin msikitini unafungua mlango wa fitna na hili waisilam tulikemee na tusilikubali no vema tukashia pale alipoishia mtume wetu s.a.w pamoja swahaba zake
@faudhiasaidi3669
Жыл бұрын
Kwanza ameomba kwa jina lanani na amesoma kitabu gani??
@user-fq3gs2jx8h
8 ай бұрын
Mungu, akujazie majazo mema inshaalla,,👍👍
@JabirySalim-bl5kx
Жыл бұрын
Subhanallah!!
@JumaOmary-wo7pc
Жыл бұрын
Subhana Allah!!! APO Mimi naona wafanya biashara tu hamna lolote! Qur'an sio ya kufanyia biashara kaka,usikute umehifadhi hyo aya tu wala hujasoma!! Mtihani Mkubwa kwa waislamu huu!!
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
😮 subhanallah Mie nafaham hatta ikiwa ni Dua ni baada ya mda sio hapo hapo Astaghfiru llah ya Allah
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Amyn yarabiaalamyn🤲
@abduljuma5332
Жыл бұрын
Mashaallah Allah akulipen kila la kher
@salimurobota6947
Жыл бұрын
Mche Allah katika hili ndg yng
@ibnuomar1770
Жыл бұрын
Baarakallah
@wacanaden2706
Жыл бұрын
ManshaAllah BarakaAllah Ndugu🥰
@J4UPro
Жыл бұрын
Maashallah
@swariotibi6134
Жыл бұрын
Mashaallah tabarika allah
@adandhux1434
Жыл бұрын
He is magician iam telling you and this is arranged incident.
@mustrech
Жыл бұрын
So sad, if true
@salehemethodi
Жыл бұрын
Inshallah shekhe MUNGU akuzidishie miaka mingi
@kulwa9307
Жыл бұрын
Kulwa
@MirajiKahema
Ай бұрын
Mashallah
@samirshaffir1731
8 ай бұрын
Assalam aleikum MAALIM,mimi ni mkenya,na derlva natafuta kazi si pati kabisa,wenzangu Wana pata,na ata watu wasio dereva kamili,Wana pewa, Naomba unifanyie DUAA ili niweze kuonekana niweze kupata kazi,
@foodcook3626
Жыл бұрын
Hakuna kuigiza ila ni kweli mtupu anayesema sheikh ni muigizaji anakosea je huiamini Qur'an? Nichoweza kusema huyu sheikh ni mjasiri sababu kuna waislam wanaamini Qur'an kwa midomo lakini kimatendo hawaiamini wenyewe ukiwambia wafanye hivi wanaogopa eti watapemka ongera sheikh!!
@maryammnyishanga1054
Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullahi, kama ni kwelii tunaomba basi uende wodini ili uwasomee wagojwa .
@FirdausyAbubakary-bl2wo
Жыл бұрын
Haswaa hili pia wazo zuury
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
🎉eti ikiwa nikweli 😅😅 mbona mashaka 😂😂
@fatemasalem9677
Жыл бұрын
Mashaa Allah , Allah akujalie kheri inshaa Allah
@sasamama7934
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi inshallah. Njo na kuwetu 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@nnihakala
Жыл бұрын
Maashaalaa
@saidmohamed2256
Жыл бұрын
Shekh jitahidi upite muhimbili watu wanateseka sana shekh ukawasaidie kwa uwezo aliokujaalia allah
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
😂😂😂😂 Astaghfiru llah 😂😂😂😂
@aishaomar6960
Жыл бұрын
Assalamwalaykum akulipe kheri inshallah natamani na mimi nionane na ww japo njiani mana kuna kitu kinanisumbuwa sana na amini kwa uwezo wa allah kukuleta ww nitapona natamani sana
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Inshaallah.
@ukhtyshuufaah
Жыл бұрын
Maashaallah 🙏🏻😘🙏🏻
@saddiqsaddiq6880
Жыл бұрын
Waislamu mabwege kweli kweli muongo uyooo
@MalikMapao-hn7fy
Жыл бұрын
Masha Allah, ni kweli waislam tunaamin Qur'an tukufuu,Allahu Akbar Allahu Akibar
@SuhaylaMnyamani-uw4xt
Жыл бұрын
Asalamu alaikum shekhe Mimi ninamitiani ya mwili mzima naomba dua hata kwa njia ya simu jina langu naitwa fatma y mninga naumwa sukali presha na moyo
@mamodelmam
7 ай бұрын
@@SuhaylaMnyamani-uw4xtmwenyezi mungu akuponye akujaalie shifaa na kila Hitaji la moyo wako Ameena
@africantz3323
Жыл бұрын
Ameeni nimeona shee
@UmmuMaryam-ym1um
Жыл бұрын
Subhanallah🥺🥺
@NiyonkuruSiyaba-ff1wu
Жыл бұрын
Subhana llah
@salumnuhu9066
Жыл бұрын
Waislaam tusomeni dini yetu hawa majahili yatawadanganya mpaka lini?
@ibrahimabdullah1887
Жыл бұрын
Mahallah
@SharifuAlbughul-ls4mw
Жыл бұрын
Duh khtr san
@SaidiBakari-ce3dm
Жыл бұрын
Alla akuzidishie shekh
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Subuhanallah lnalillahi wainailahi rajuun
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
😂😂😂
@user-bs7un1rm7k
Жыл бұрын
Naomba no zako sheikh ninashida na mwanangu
@saumusaumuto4548
Жыл бұрын
masha.allah
@jumaabdalla5910
Жыл бұрын
masha allah
@ahmedymasimba1096
Жыл бұрын
Muogope Mungu Wewe
@michaelmaja-1699
Жыл бұрын
Aache kusaidia
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
😂😂😂😂 Astaghfiru llah 😂
@khadijamgambo6874
Жыл бұрын
Km kweli anauo uwezo asingejifungia apo mktn kuharibu sifa ya Uislam... Watu wanashida wengi kawasaidie ama ndo mnatafuta pesa kuptia Dini
@qaalid738
Жыл бұрын
Yaaa alaaah yaaa rabi
@chirorophus6927
Жыл бұрын
Subhanallah
@idriskinye1190
Жыл бұрын
Anaesomewa duw kavaa maneno Gani weshee acha kutuzuga mfuko umetoka wap sio kama siamin kuwa Quruan nitiba ila sio kama kivo
@fatfat9093
Жыл бұрын
Mashaallah nitakupatapi shekh mimi kwangu sieki pesa zinaibwa
@abdallahmohammed6079
Жыл бұрын
Huo usanii tunaujuwa hao watu ni wenzako umekuja nao wacha uongo, hizo dua za rukya Mtume sala llahu alyhi wa salam, alikua akiwafundisha masahaba
@pachaorg9123
Жыл бұрын
Huo isanii ndugu yangu mana huo mfuko huyo kautoa wap
@khadijayusuph2634
Жыл бұрын
Ndo yalee anaja alisema Kiki za kiroho"
@fatmamohammed9933
Жыл бұрын
Alhamdilah tunakushukuru
@eddyyellow6005
Жыл бұрын
Kaka kutibu kwa kutumia Qur-an ni vizuri sana, lkn tunakuomba matibabu yako fanya nje ya Miskiti sio ndani ya Miskiti kwanza tunafaham hao ulowasomea wote umepanga nao mana tunashangaa mara zote wenzetu nyinyi siku zote mnakua na miujiza nyinyi tu wakati kuna mashekhe wakubwa wachaMungu hawajapata uwezo huo mnapata nyinyi tu mlosoma kidoogo kwa ajili ya kutafuta pesa na sio kwa ajili ya Allah, jirekebishen Uislam sio dini ya biashara chafu
@kopaulipe7
Жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu ndiye kuhukumu
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
😂😂😂😂 Allah atuongoze sote 🤲
@harountaslima2949
Жыл бұрын
Kweli huu ni mtihani hawa wetu nao wanaiga mapastor jamani kwa kulaghai watu kwa miujiza,,,,innalillah wainnaileh rajiun
@ayubushukuru2556
Жыл бұрын
Acha tu ndugu yangu mambo haya yanakua mengi sikuhizi ,tulizoea kuana mambo haya upande ule mwengine taratibu yanaanza kuingia kwetu,mambo ya dini biashara nadhani likemewe maramoja
@A.Hassan3434
Жыл бұрын
Kweli kama kasema Qur'an ni dawa hiyo inajulikan kam ni dawa na mweny kuponya ni Mungu sasa nyinyi hacheni ku muukumu Sheikh wala wala masheikh kwa sabubu hujuw niya yake. Chakufany tu Muachiye mungu Kwa sabubu yeye njo Al-Hakaam , Al-Rahman.
@arafaSharifu-er3hw
Жыл бұрын
dunia imeisha watu watafta kula kupitia din ya allah
@bukheityomary-dh9ud
Жыл бұрын
Huna akiil we nani anatafuta ela😢😢😢huna adabu we atakidg kwani apo kaomb ela...
@binadinani0722
Жыл бұрын
@@bukheityomary-dh9ud we ndo Hun adabu aooo wapiga pesa t ndugu
@AzizaJuma-cy9mh
Жыл бұрын
Jaman uyu xhekh ni kwel
@aishandayishimiye5127
Жыл бұрын
Inshaallah nendeni mahospitalini 😊
@sabiimohamed6560
Жыл бұрын
Kabisa kabisa
@emmymajula5164
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@zickmalik4901
Жыл бұрын
Asalam alykm ndungu. Huo ni kweli mtupu iyo daraja mjaa yoyote anaweza kuifikia unapokua na imani na kitabu kitukufu cha quran na mwenyezi mungu yoyote aliye karibu nae basi inapatikana miujiza ndani yake🤲
@ramadhanitindwa4820
Жыл бұрын
Sport pesa inatangazwa ndani ya nyumba ya Allah
@barakafondo8090
Жыл бұрын
Acha mzaha
@NiyonkuruSiyaba-ff1wu
Жыл бұрын
Tukifata kupitiya sim setup tunatibika?
@ungaghali3485
Жыл бұрын
Hivi ndio wakristo wamepotea
@hashakishabani4896
Жыл бұрын
Mh haya mambo mashekhe kemeeni.huo mtindo wa kuuchafua uislam kuwen makin
@fatmamohammed9933
Жыл бұрын
Shehe tupo nambari zako za simu tuna. Matatizo me gi biashara haziendi hata. Kidogo
@MustafahMustafah-ml7wd
Жыл бұрын
Shukuran
@kiemenasensey8407
Жыл бұрын
Nenda huko mpumbavuwewe taperi humuogipi hata mungu
@faudhiasaidi3669
Жыл бұрын
Kwanza amefanya kibaya kipi? Yeye amemsomea Qur'an kisha amemuuliza unajisikiaje, sasa kama ni uongo so angesema sijapona? Na kama humwamini so uende ukajalibu wewe?
@salummzee9739
Жыл бұрын
Unatafuta kula kwa njia ya Uislamu Ww mganga ila Allah hapendi Mtu anaye fanya biaashara au mazungumzo yk ktk msikiti,,unafanya kiini macho kwa wasio jua ujanja wa kutafuta kula ila dhambi tumuogope Allah
@abdiaden5237
Жыл бұрын
M,a
@ibrahimmboya767
Жыл бұрын
Tunaomba tepe tuweke kwwa redio tusiojua kiisilaamu ibrahim mboya
@MASTERNGUSA
Жыл бұрын
Mh
@dullayoboy5061
Жыл бұрын
Asalamu aleykum sheikh wangu naomba number yako
@husseinmaula4965
Жыл бұрын
Tunaletewa usanii katika dini sasa kuna Marazi yanayoitaji dawa na Marazi yanayoitaji dua msiparanganye mambo.
@BoruGuyo-qy2ry
Жыл бұрын
Naitaji maombi yako kwa hii mwezi wa Ramadani nikona shida mwilini
@biddii1972
Жыл бұрын
Weeee weee miujiza iyoo mi langu jicho
@fatumabakari1798
Жыл бұрын
Asalamu alaiku
@rayaali7551
Жыл бұрын
Daaah huu ni utapeli. Kwanini unalazimisha ulipwee Kiujanjaaa
@leilamsafiri8320
Жыл бұрын
PIGWA na kitu kizito utapeli mpaka nyumba munazoita Miskiti.mambo ya turkimanistan,pakistan,na Afghanistan,mumeleta huku.kama ni kuponya kupitia Mungu kila mtu ajiombee mwenyewe .Mungu ni wetu sote.hicho kiarabu ndio mwalaghai nacho watu.
@saidinsenda954
Жыл бұрын
Kunawatu wanacheza na dini na kutafuta umarufu iyo ni riya muokope Mungu ,afu kwanini Tanzania kunavituko SN kunawanao jina ma nabi wangine mitume subhanallah
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Umeona eee Subhanallah
@YahidysaidySemnaro-vz6yk
Жыл бұрын
Shekh namba namba
@Users2523
Жыл бұрын
Sijui kama ni sahihi jambo hili kufanya msikitiki
@leilamohammed3018
Жыл бұрын
namba zako shekh
@bongomixsabarere6056
Жыл бұрын
Shekh acha uongooo unazingua
@MudhiryHassan-pq4se
Жыл бұрын
Tunamuamini ALLAH lakin hiyo ni Riya mola ndiye mjuaji juu ya hayo mambo unayofanya Quran inasomwa kwa unyenyekevu
@adriandanford208
Жыл бұрын
Yesu tu ndio anaponya😂😂 mara Moja tu umwitapo Kwa iman
@mustrech
Жыл бұрын
😂
@adiajuma9487
Жыл бұрын
Muogope Allah wewe upo kibiashara utaanza kusema viwete watatembea acha kuuchafua uislamu.
Пікірлер: 252