#snakeboy #clamvevo Sungwi Ni Movie Inayo Muelezea Kiongozi Ambaye Anawetesa Na Kuwa Nyanyasa Wananchi Wake Na Anatokea Kijana Mgeni Ambae Anakuja Kuwa Msaada Kwenye Kijiji Hicho
From Nairobi Kenya baada ya maandamano Sasa tunaandama sungwi. Kazi nzuri
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
Poleni na Hongereni🤝💪❤️
@minabuelysee8
7 күн бұрын
Allah awakinge nawabaya Na awajalie mshinde Amin
@user-tg2mn3xu1y
7 күн бұрын
Aas@@OfficialDubu_tzAssalamu alikum kwema dubu uyu mwanamke alie mzimisha chini uyu mfalme bi msundo uyu mwanamke si niule alie cheza movie ajiita mtoto afsaa walio shiriki mtengela na ule mzee ajiita nimemsahau jina lake
@user-tg2mn3xu1y
7 күн бұрын
@@OfficialDubu_tzbasi kama ndio uyu alie cheza movie ile mtoto afsaa mashallah big up akua mkubwa mashallah
Kazi Safi Dubu,,, from Kisii KENYA 🇰🇪 we love your work
@al-bleproshooteur1922
6 күн бұрын
Hii nzuri kbx kuliko SNAK GIRL HII KALI
@mayaashassan3918
7 күн бұрын
Sungwi kazi nzuri sana❤🎉❤🎉❤🎉much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@SumaiyaWambui3500
7 күн бұрын
good job sungwi finaly imaya ipo hury tena,,,wise and strong words from young leaders who are open minded❤❤❤❤nmekubali🎉🎉
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
❤️❤️
@ZawadiHassan-gz9gj
6 күн бұрын
Wow kaz nzr san sungwi hongereni❤❤
@janetkyumbe7154
7 күн бұрын
🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri Mr. Dubu
@mohammedkidody5618
4 күн бұрын
Dubu hujawahi kutuangusha kwenye kazi zako big up sana❤🎉
@benjamin-rw1bq
7 күн бұрын
Kazi nzur hongera sana ww na timu yako
@VexMaizoOfficial
7 күн бұрын
🧭🤳 Nimewahi leo kutoka Msumbiji Mozambiki 🇲🇿 mkoa Cabo Delgado mjini PEMBA CariaCo ❤️❤️🧿
@user-ho2cg8ef1y
7 күн бұрын
Kazi nzuri muno na mfuatilia ni kiwa jijii kuu Nairobi Kenya
@user-ec6ow2cx7c
7 күн бұрын
Finally dubu umekua chief wa imaya ya sugwi wow nawapa mau yenyu wote Kwa kazi nzuri sasa Kijiji kimekua na uhuru jameni much love from Kenya watching from lebanon 🎉🎉🎉❤❤
@user-jf3qz3il3u
7 күн бұрын
Much love from saudia Arabia really appreciate that dubu you're the best ❤❤❤🎉🎉🎉
@MartinEmmanuel-eh7fu
7 күн бұрын
It's very interesting film, congratulations to dubu and his team ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😢❤❤❤❤❤
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🙏❤️
@user-ex6tg6di7r
7 күн бұрын
Hongera sana Dubu na Hajra much ❤️❤️❤️ from 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪 I ❤ u guyz
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🍎
@MelinaMerlins
7 күн бұрын
Nawakubali sana much love from kenya ❤❤❤
@FredClaus-ql3vb
6 күн бұрын
Hatimae sasa kambale na mtoto wa 2000 wameshakuwa wapenzi aisee! Ongereni Sana. Na pongezi ziwafikie wale wote mlioshiriki kuitengeneza hii movie asa Kwa Dubu tz salute kwako ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉💯💥💥💥💯
@OfficialDubu_tz
6 күн бұрын
🙏🥰
@user-bi9pl4eu2o
7 күн бұрын
From Qatar kazi nzuri dubu na team yako yote big up sana
@LaisSailep
7 күн бұрын
Nakukubali mwamba umetishaaaaa mungu akulinde sana akujalie uzima Zaid uendelee kutufundisha
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🍎
@aishaomar2287
7 күн бұрын
Mashallah kaka dubu na team yako,kazi nzuri yenye kueleweka na mafunzo ndani🎉🎉🎉...Mola Azidi kuwaongoza 🙏
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
Amiin Inshaallah 🤲
@fatumaandrea247
7 күн бұрын
Atimae kambale umekubaliwa baada ya misukosuko mingi😂😂unaotaka yako hahahaha weuogopi❤❤
@FailaOg-c2q
7 күн бұрын
Najuwa kila mtu ana mpenda dubu but Wana sungwi fake like hapa jameni ❤🎉🇺🇸
@ClaraernestErnest
7 күн бұрын
Good job🤗🙏
@zeitunahmedibrahim933
7 күн бұрын
Good job guys much love from kenya 🇰🇪 👏 🎉
@PhilipKoterpin
2 күн бұрын
Nakubali video zinafurahisha like
@lizchepkorir2000
7 күн бұрын
Kambale aaah😹😹 Dubu mwamba siku zote🎉🔥🔥tunawapenda tokea 🇰🇪🙏
@JonasBaraka-xs9ve
4 күн бұрын
Kazi nzuri dubu na timu yako tuna wapenda sana na tuna omba mwendeleye kutuletea filam nzuri kama izi na zaidi ya izi
@OfficialDubu_tz
4 күн бұрын
🙏❤️
@user-cw7jk3hl6h
6 күн бұрын
kaZi nzuli mno mungu awasaidie muendelee kufanya vizul❤❤❤❤
@OfficialDubu_tz
6 күн бұрын
❤️
@DJGIDS254
7 күн бұрын
❤❤vizuri sana💯
@user-ie8cu9vm6p
7 күн бұрын
Hongeren sana ata ningetamai iendelee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-gl2bn6ot8e
7 күн бұрын
Kaz nzur bro dubu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-yx7tb3xg2y
4 күн бұрын
Wow Kazi nzuri sana
@RoziMeri-yk4pp
7 күн бұрын
Jaman na mim mnipe like somba amemkubali kambale a likua amemkazia kwel hahaha🎉😂😂
Hatariii mambo ya kukabidhiwa moyo na kuutunza kama kinyesi
@madymag6926
7 күн бұрын
Wow kazi nzuri sana Dubu Nawakubali sana nyote jamen😂😂❤❤❤❤❤
@Sayd-pi5lq
7 күн бұрын
Bg up sana lkn hawa wadada wawili waloenda kumuona kambare namwenzake mashaAllah wamebarikiwa❤❤
@patricksadiki254
7 күн бұрын
Mombasa 🇰🇪 sungwi iko🔥🔥🔥🔥
@AntipasElias
7 күн бұрын
Jmn tunashukulu kwa sungw nimvi nzur San nasichok kuangalia me nasubilia nyingne jmn nawapenda sana mungu awe nanyi🙏🙏🙏❤️❤️
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
❤️
@user-tx7je4wp9d
7 күн бұрын
Waooooo kazi nzuri leo mmtisha sn wana sungwi 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
❤️
@JaneWanjiru-g3c
Сағат бұрын
Wow🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Kazi Safi kabisa 😊😊am proud of you guys, from kenya Nairobi
@OfficialDubu_tz
Сағат бұрын
❤️
@komlaakomlaa7465
6 күн бұрын
Yani singemuona Kambale ningekasilika sana🤣🤣🤣
@DonMooSTUDIO_Express
7 күн бұрын
Mmeimalizia vizuri sana. Utamu wa Tamthilia iwe fupi na inyooke sio unaangalua mpaka hauelewi ulianzia wapi na matukio ya nyuma unasahau kabisa. Kuanzia EP 4 mpaka hii 8 ziko vema sana ❤ Nasubiri kuona ubunifu ktk kazi inayofata. UIGIZAJI ni KAZI NGUMU nafahamu sana tu. Waigizaji wanaasili ya usumbufu ktk kuwahi location, kushika script, kuzitendea haki, tamaa ya pesa, kukataa nafasi ndogo n.k CHAPA KAZI Mr mtu akisumbua weka pembeni vuta wengine piga kazi....
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@priscillahsirya6544
7 күн бұрын
Kazi nzuri sanaa💓💓💓💓💓💓💓
@AndasonMartine-vz2bq
7 күн бұрын
Inaishaje kizembe hv!!
@nancyg8664
7 күн бұрын
😂😂😂huyu kambale chenga kweli kichwan😂
@UkhtyFatmah-he8vg
3 күн бұрын
Dah Hakika Burudani nzuri sn 👌🌹💐💐🌹 jaman kila Movie yako Nzuri Dubu,basi twategemea hata hii Inayo kuja itawa nzuri zaidi na Allah Akuwezesheni InshaAllah 🤝 Team Dubu Much Love ♥️💚♥️
@OfficialDubu_tz
2 күн бұрын
Tunakupenda🥰
@DainesWilliam
7 күн бұрын
Sijachelewa sana jmn
@user-st3wo7qi2v
7 күн бұрын
Hongeren sana Kwa Kaz nzur 🔥
@wizykidnop15
4 күн бұрын
Ila kambale
@user-ky1nv4qc7z
7 күн бұрын
Mnachelewa snaa jaman towen bas jambo vipande 2 et kazi nzur snaa
@tajilimtoto5009
6 күн бұрын
Ongereni nzuli sana
@alexkweka3104
6 күн бұрын
From mozambique kazi mzuri dubu
@robertcheruiyot318
7 күн бұрын
Nilikua nimemiss bi skari juju kons mtoto Wa elfu mbili kwani uogopi,,,😅😅😅
@Lucashunter-sr3qn
7 күн бұрын
Sungwii🎉🎉🎉 naomba like Kwa Kila mtu hata 1 tu
@anastaziaanastazia2799
7 күн бұрын
Like ya nini
@mohammedkidody5618
4 күн бұрын
@@anastaziaanastazia2799bora umuulize wanabowa
@ddicksontanzania6609
6 күн бұрын
uyo sonji alivyo mlembo sasa duh uko pwani 😅😅😅😅
@user-mi8lu8jn1x
7 күн бұрын
Good work bro 👏 ❤❤❤from Kenya 🇰🇪
@HumilizeDennis
7 күн бұрын
Kazi nzuri hongereni team Sungwi
@onanarosse9657
7 күн бұрын
Dubu mbona ghafla sana😂😂 Good Job mpo vizuri hongera
@dianah3797
6 күн бұрын
Kazi safi Dubu,, from Kenya Kisii we love your work
@OfficialDubu_tz
6 күн бұрын
❤️
@user-pk5ew9nh1f
7 күн бұрын
🎉🎉🎉❤❤ dubu kaz nzuri
@levocatuspjohn8638
7 күн бұрын
Me huyu mama anachekesha sana eti unaitaka yako 😂😂😂😂😂
@JigoSengiyumva-ln9xf
7 күн бұрын
Mr kambale ananifurahisha san from buja burundi
@EmmyMwamlenga
7 күн бұрын
Jomon Ila kambare atatunza moyo Kama kinyesi😂😂😂😲
@user-nk4oq4ek9y
7 күн бұрын
Sonji ako na figa tamu sanaa nimempenda
@OmarNgabirano
7 күн бұрын
Wa kwanz nipe like zang 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@preachertvonline3551
7 күн бұрын
Napenda sana hii movie 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@sharifamohd3857
7 күн бұрын
ila kambare kaendana nae huyu unaitaka yako hahhaha akili zao sawa unaililia weeee huogopi hahahahah nimewapenda bure hahhaha alafu ww😀😀😀dubu tunakupenda na tunakukibali ❤❤❤❤
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🙏❤️
@MarKarim-km2yh
7 күн бұрын
Yaan mtoto wa 2000 na huyu kambale wananikosha sana 😂😂😂😂
@ALIMOHD-bk9lr
7 күн бұрын
Maasha'llah
@bettynyasuguta5816
7 күн бұрын
I was away now am back good job Brother Dubu From kenya
@jacksonwambani
7 күн бұрын
Mlete nyingine kama hio ❤❤. Much love from 🇰🇪🇰🇪 big up shungwi😎🤏
@smitifiddy7135
7 күн бұрын
Good did big team🎉
@user-zx3ji7ux4k
5 күн бұрын
Chuchu konzi kamkubalia kambale 😅😅😅
@marymele9714
7 күн бұрын
Pisi kali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉waitaka yako😂😂
@usher_bambi9413
4 күн бұрын
Mbona kinyes😂😂😂😂😂😊
@jwakoofficial1560
7 күн бұрын
🎉nirikuwa nime kumis kambare
@peterngila4221
7 күн бұрын
KAZI Jema
@HusnaAlly-cx5ms
6 күн бұрын
Unaililia yko we huogopi😂😂😂😂
@paulinekombe3753
7 күн бұрын
Kazi nzuri 🎉🎉
@user-bo2ps8xx2v
7 күн бұрын
Hahahaha kambal kumbe anaakili
@calebwafula5787
7 күн бұрын
Safi kabisa nimeingoja kwa hamu❤🎉
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🍎
@MariamuHamidu-lc6lc
7 күн бұрын
Saf Sana dubu napend San movies zako
@user-zp4zc2ln2n
7 күн бұрын
Imeisha vzr mashallah ❤
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🙏❤️
@abedysteven4930
7 күн бұрын
Dah hao wadada wote wana masambwanda!🤪🤪
@Mugishafransine
7 күн бұрын
Dakika 42miint nimefika 😂😂😂 munipe jamani Lnk atambiri😂😂🎉❤❤❤
@brayanally
7 күн бұрын
Big up bro sema imekua fupi sana ila ni nzur sanaaa
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
🍎
@stevedavid1198
7 күн бұрын
Dubutz you never disappoint Koduzz 🎉🎉❤❤❤ Kenya we are happy of you guys
@OfficialDubu_tz
7 күн бұрын
❤️
@user-uw6sf2kp6o
7 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅aja nicheke na dadake kambala😂😂😂😂na chief mpya tuu anyway nice movie
Пікірлер: 338