Hongera Mzee Lisu Kurudi CCM MAJIBU YAKO NI SAHIHI
@ransonlema3916
5 күн бұрын
Mama Samia ana moyo ya upatanishi, kujali utu, kuleta taifa lote kwa pamoja yaani UMOJA na HAKI,Hongera sana mama kwa moyo huo
@JOHNNYAMHANGAMACHUGU
21 күн бұрын
Huy nirsu mweny itikad Kari wew✌️💜✌️💜💜✌️✌️
@maryammMaryamm-p4s
5 күн бұрын
Nakuona baba Abdul na mama Abdul huna hayaaa
@Franksyani
4 күн бұрын
Kalibu sana ccm ni baba tu.
@BahatiMachemba
3 күн бұрын
Karibu ccm pamenoga
@liutapro
Күн бұрын
Sioni cha Kutikisa Nchi hapo maana ni michezo ya siasa labda mbumbumbu ndio hawaelewi kitu.
@WilisoniHungu
18 күн бұрын
Lisu hufanani nawana ccm dam yako nichadema uwena msimamo.
@ExcitedPicturesqueLake-uj8ve
5 күн бұрын
Lisu majibu yako ni sahihi by jofrey chisunga
@JOHNNYAMHANGAMACHUGU
21 күн бұрын
Siy lisu hicho nikcha kingin ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@RaheliMollel-v3d
3 күн бұрын
Watarudi wote nyumbani CCM nyumbani ni nyumbani
@OmaryYusuph-w4l
20 күн бұрын
Exactly brother lisu, know one knows tomorrow 👉
@deustumbo8147
Ай бұрын
Hiyo siyo sauti ya tundu
@JoinaKahwa
3 күн бұрын
Watanzania mkikosa madaraka na vyeo selikarini mnaamu kuhamia CCM mnatafuta fulsa za ulaji na si uzalendo zungumza na nafsi zenu kabla ya maamzi ya kuwafurahisha wafuasi wa upande mmoja na kuhuzunisha upande wa pili kisa hakuna chaka la ulaji mimi nashauri siasa ziwe za kizalendo zaid na si vinginevyo
@mbwanakiting7180
3 күн бұрын
Sikujua kuwa ni mpumbavu....
@FratteMlay
Ай бұрын
Hiyo n fenzea kwa makamu mwenye kitu wetu hawezi kuenda ccm
@OthmanMunga
3 күн бұрын
Vizuli
@GodblessMugeta
5 күн бұрын
Nimenyoosha mikono,shikamoo siasa
@HarunaRamadhan-f5g
13 сағат бұрын
Ngoja tuone
@DeusdedithKitambi
Ай бұрын
MACHAWA BHANA. TUNDU ANASEMA CHADEMA IKIACHA MISINGI YAKE. IKIACHA MISINGI YAKE. KIKIONDOKA KWENYE MISUNGWI HAKA. AWE HAYO ACHENI KUCHANGANYA MAFAILI
@KassimDamba-rd7uu
16 күн бұрын
Kuwa katika chama si, ndoa bali ni matakwa ya mlengwa si, lazima. Tatizo Chadema si chama cha wananchi ni cha mwananchi
@YAHAYASALMU
3 күн бұрын
Nikweli?au mnatuadaaaaa
@mariamalongo8803
18 күн бұрын
Very true
@YeshuaHa-mashiach
2 күн бұрын
Haya maigizo nini? Mbona hatamki bayana kuwa amehamia ccm? Kitu gani kimemsibu ili ahame? Huyu ni Shujaa hawezi kusaliti Chadema kuhama hata bila kuaga.
@JumaOmar-s4m
13 күн бұрын
Daah, kwa kijana huyu hatabiriki.
@justinebalaguyu7769
14 күн бұрын
Sauti yenyewe lakini hawakuanzia hapo ,,, PICHA NI EDIT 100%
@erickmsigala138
Ай бұрын
Mapumbavu haya na vichwa vya habari takataka
@JahnsonAdnan
17 күн бұрын
mwandsh wa mchongo
@LabanChrisKivuyo
16 күн бұрын
Umechukuwa maamuzi mazuri atammi nakupongeza
@ransonlema3916
5 күн бұрын
Lengo ni kujenga taifa
@simonibonifasi3131
19 күн бұрын
Ww lisintulia bwana wanachama wengi wakochadema kwaajiliyako
@vicentbunzal7342
13 күн бұрын
Haitokaa itokee lisu kurudi chama cha matapeli hata iweje.
@ElishaSam-sy6lx
19 күн бұрын
LISU NI MWANADAMU , KWA HIYO HAKUNA CHA AJABU. NDIO MAANA KWENYE SIASA HAKUNA RAFIKI AU ADUI WA KUDUMU.
@DeusdedithKitambi
Ай бұрын
MACHAWA BHANA. TUNDU ANASEMA CHADEMA IKIACHA MISINGI YAKE. IKIACHA MISINGI YAKE. Klondike KWENYE MSINGI yake. Nyie mliotumwaHAYO ACHENI KUCHANGANYA MAFAILI
@walidmgonja3644
15 күн бұрын
Endelea kukunja gumi lako na kusema piiiipoooooos
@EzronyKimilio
16 күн бұрын
Akuna atakae shangaa mbn ao n malaya t njaa ndoinayo wayumbisha
@ExcitedPicturesqueLake-uj8ve
5 күн бұрын
Mama Kwa namba hii ni matunda ya kukubalika
@mwadinbakar9553
15 күн бұрын
Sio kweli!, Kichwa cha Lisu kimepachikwa kwa computer! Clip mgando (ya kupakazia)
@user-cd5ch7mi1e
19 күн бұрын
Tundu lissu ANAZO DALILI ZAWAZI KUJIUNGA NA V0HAMS CHA CCM KAMA SIO LEO BASI KESHO NAKESHO NAKESHO MTANIUNGA MKONO
@liliankibambo2313
13 күн бұрын
Ivi mpaka leo hamjui kama hakunaga vyama vingi tanzania? Achaneni kabisa na hayo mambo ya siasa za Tanzania fanyeni ahughuli zenu
@mswakisaid2320
14 күн бұрын
Kama una D2 hapo huwezi kuelewa chochote😂
@majembechesco
Ай бұрын
Maadamu hujaenda kinyume na Mungu popote atakuongoza na kukutetea daima na hata ndoto yako ataitimiza tu mweshimiwa Lisu
@LeonardHaule-k5r
5 күн бұрын
Wamefoji tu
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
23 күн бұрын
Kujificha kwenye shamba la karanga
@mbwanakiting7180
3 күн бұрын
Kwani wewe nyerere?
@lindajohansen9220
14 күн бұрын
Mnamtaka lisu mpaka hamlali mbwa nyie
@DaudiSanga-m5o
Ай бұрын
Kiongozi wangu.inakuaje kwa mavazi hayo kwenye Crips yako?sijafurahishwa
@MeryLyatuu-to9ks
15 күн бұрын
Mavazi hayo yamesababisha nimetupa simu yangu jikoni ikateketea
@mswakisaid2320
14 күн бұрын
Halafu ukaandika hii sms na nini?😂
@saliminyusuph6122
13 күн бұрын
@@mswakisaid2320utafariki haraka na chadema yako.
@rizikivincent5255
15 күн бұрын
Lisu tena anawezakuingia kwenye CCM?na wakati alimwandama mkuu wa inchi wa awamu ya nne?huyu mnafki kwelikweli
@jahmbenyjahmbia210
5 күн бұрын
Wameidit wamepachika kichwa hicho
@DivaMsukuma
17 күн бұрын
WAongo wAmeishiwA POZI
@mbeyaboy5225
5 күн бұрын
Acheni uchwala
@JAMESMUYAN
Күн бұрын
Tunajua wewe unaomba kazi na ccm wewe
@user-qc9jf6rn7u
Ай бұрын
Atahamia CCM. Kwani kuwa CCM kuna ubaya gani? Ameshaona kuwa mahali alipo hakuna anachokipinga. Mambo ndani ya CCM yanakwenda vizuri. Lissu anaijua historia ya nchii na awamu zake zote za utawala zilizopita. Kama mwanadiplomasia makini anasubiri tu muda ufike ataingia ndani ya nyumba. Poleni sana Chadema kwa kuwa sasa hamna maswali tena kuhusu Mama Samia. Mlikuwa mnapiga kelele kuhusu demokrasia kuminywa kwa kuzuiwa kufanya mikutano ya hadhara, mama aliwaruhusu mhutubie na kuandamana kadri muwezavyo na ulinzi akawapa. Sasa mtasema nini? Sera za CCM zinajinadi na vitendo mnavishuhudia. Karibu sana mh Lissu ndani ya CCM. 2025 iko mlangoni tumsaidie mama Samia kukamilisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo kwa nchi yetu.
@BoniphasLukas-c3c
25 күн бұрын
Ww ni kada waccm fisadi ulietukuka unaefaid jasho lawatanzania maskin mkimpamba rais wenu kuuza lasilimal zetu bila hata uoga wazee walipigania hii nchi ibak huru na lasilimal zetu nyie mpepata dhamana yakuongoza nchi mnautuuza
@Aida-qh3jq
23 күн бұрын
Mm nasemea tu ccm ndo chama na ndo Tanzania hii tunayoishi
@HijaSalimu
23 күн бұрын
Kwa Kweli Mbowe Hana Demo
@EmanueliErasto
23 күн бұрын
Huyolisu atulie
@benedictmrisho1800
21 күн бұрын
Wanasiasa vijana kama hamjui wazee wenu walikuwa na mfumo wa chama kimoja na ulikuwa hupati huduma bila kuwa mwanachama. Ndio maana hufika mahali wakasema narudi nyumbani kumenoga. Sasa muwe nao makini wasije wakarudi nyumbani wakawaacha solemba ktk machaka😂😂😂
@HamisMohamed-gi1pi
17 күн бұрын
Ongela kuludi ccm
@user-ow3fz2fh2w
14 күн бұрын
Lisu nakukubali sana usiende ccm chama Cha wajinga icho
@Eugene-r6y
22 күн бұрын
Mnaota mkiwa wapi???
@JosephBaltazar-m7d
23 күн бұрын
emu acheni uongo msitufanye sisi mataila
@JeremiaMnanka
21 күн бұрын
Kwani leondo umejua kuawenitaila
@mohamedkashindi7689
21 күн бұрын
Ilo haliwezekani kabisa
@AdamuIbrahimu-e9m
23 күн бұрын
Mheshimiwa Tundu Lisu umekuwa unatoa maneno matamu sana karibu CCM mama lao.
@thedriver.michael.3975
Ай бұрын
Je Nyerere halihama? Mawazo ya mwl si ya mwanafunzi
@user-jx9xc6vo9x
25 күн бұрын
H
@LukongaMasenga
23 күн бұрын
Ukweri unamuweka mtu huru
@geraldgedi4657
Ай бұрын
Haitatokea Lissu kuhamia CCM .Machawa mnajipooza kwa clip za kuungaunga jitahidi kmwelewa Liss Anaweka tahadhali kwa wale wanaotaka covid 19 eti njia nyeupe.
@HamisMghuna-fj3vz
23 күн бұрын
Propaganda zao walo mpiga risasi wk wp et ana hama we umetumwnn
@MwesigeMwesige
Ай бұрын
Kwaili wewe unatupiga
@AburabiyKasimu
18 күн бұрын
Wewe nichawa2 wa ccm hunalolote
@DeusdedithKitambi
Ай бұрын
UCHAWA wa fedha za tozo unawasumbua. Samia ajipange. TAL ndio mgombea wetu
@benedictmrisho1800
21 күн бұрын
Kwani aliwahi kurudisha kadi ya CCM ya enzi ya chama kimoja? Wanasiasa vijana muwe makini na wazee wote wa enzi ya chama kimoja!😂
@DaudiSanga-m5o
Ай бұрын
Kiongozi wangu.inakuaje kwa mavazi hayo kwenye Crips yako?sijafurahishwa
Пікірлер: 80