Poleni sana familiya mungu awatiye nguvu suluhisho la arusha ni kuvinja chungu
@rahmaomary2270
Жыл бұрын
Inalillah wainalillah rajun mama yangu Pol San Allah amsemeh marehem naomba mungu wale wote ayeeshirki kumuuwa huyo mtoto Allah atawaazibu t mama ugua Pol hakika machozi yako allah atayapokea 🙏🙏
@qwqw1665
Жыл бұрын
Polen sana kaka mungu yupotuu dam yamtu haipotei bure lazima mtapata jibu tuu bal kilajambo mumshirikishe mungu tuu🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👈👈👈👈
@africandarling6925
Жыл бұрын
Daaaaa AISSEH dunia hii Inamambo mengi sana wallaah unatoa uhai wa mtoto wa mwezako bila hata Uruma Jamani roho Inauma nikiwa kama mzazi wa vijana wali 2😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@timotheomassawe1102
Жыл бұрын
Kama kweli mama alipokea cm na akamsikia kijana akilia bas wafuatilie mawasiliano hayo mbona simple tu
@vivianavivy3656
Жыл бұрын
Daahhh
@rahmaomary2270
Жыл бұрын
Inauma San kumuuwa mtoto wamwezio Kama mnyama 😭😭😭😭😭 kwann binadam hawana huruma hello kwasasa tunajiogopa ss binadam Allah atufanyie wepesi inshallah 🙏🏼🙏🏼
@wakywenaky3674
Жыл бұрын
Arusha, Arusha, Arusha,nimekuita mara tatu🙌🙌🙌🙌🙌
@noot-oe2mw
Жыл бұрын
Inalilah wainalilahi rajuni
@aminaalabri4170
Жыл бұрын
Dah matukio ya mauwaji ni mengi saiv tz 😢😢 polen familiya
@leokamil6284
Жыл бұрын
Na inaonyesha yanabarikiwa kuwepo na vyombo vya kulinda Amani kwa rushwa iliyokithiri
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Kiukweli hii taarifa inaumiza sana yaani polis ndio kusema kusoma hamjui napicha hamuoni kweli au kuna kitu mmepewa? Chukua binti balozi, mama wa binti na Kingai na ndugu wa bint wote mnaboa bhana
@FreeGod368
Жыл бұрын
Ameuliwa kwa kutembea na binti wawatu
@neema_mollel
Жыл бұрын
Mnakumbuka kijana wa yule baba sanawari alichinjwa na aliempigia cm ni binti pia .kuna kilichofanyika?? Ifike mahali serikali itupishe ,upanga kwa upanga ufanye kaz tuu.
@valenakomba9218
Жыл бұрын
TANZANIA TUPUNGUZE MAOVU TAFAZALI, MAUWAJI SASA YAMEZIDI NA KUONGEZEKA TANZANIA, TUMRUDIE MUNGU JAMANI
Huyo binti ndio mwenye kujua kila kitu,jeshi la polisi ndio mtambo wetu wa uhakika wa kuzalisha "haki"huu mtambo ni mahari ktk medani za kiuchunguzi ktk mambo ya jinai,huyo binti akihojiwa kiintelejinsia atasema kila kitu mwanzo mwisho juu ya mauaji hayo,kila aliehusika binti anamjua, jeshi lihusike ktk umahiri wake. kazi na iendelee.
@felisterandrew8741
Жыл бұрын
Jaman mh
@nelykaaya6503
Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢😢daaa
@irenemichael6745
Жыл бұрын
du! mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@VeronicajTemba
Жыл бұрын
Kwann hawakumkanya kijanao asiharibu mabint za watu?
@neema_mollel
Жыл бұрын
Hey vunjeni chungu chap .hakuna kumuachia Mungu
@vanderjoe2551
Жыл бұрын
Mmh
@timotheomassawe1102
Жыл бұрын
Hapo mbona kama kuna kamzozo kenye njia iliyo nyooka
@jalisajacob9009
Жыл бұрын
Apo kwa kurii tu yule mzee wetu damu ifate damu hakunaga mtoto na shuwaini hata Kama baba was binti ni mjeshi inatakiwa wazikwe msafara wore uliousika mpaka balozi arudishwe kwao ndani ya mbao
@HappyKaini-kz8qt
Жыл бұрын
Arusha kuna nn jamani mbn matukio kila kukicha
@lugyplan3771
Жыл бұрын
Binti anajua kilakitu aulizwe
@africandarling6925
Жыл бұрын
Hachukuliwe binti hakaojiwe polis Atanyosha tu maelezo
@brysonmandari5694
Жыл бұрын
Hapo rupia imeshatembezwa, wafiwa wanatakiwa waende ngazi za juu na watetezi wa haki za binadamu waingilie kati
@rodasanga1312
Жыл бұрын
Kwani huyo msichana siaulizwe
@elizabethachi3049
Жыл бұрын
Hao wachunguzwe Kuna Siri imefichika
@rahmaomary2270
Жыл бұрын
Pols nao wafanye haki mbona Kama wamelala upande Moja kwann
Hao watoto ni wapenzi kinachoonekana wazazi wa Binti hawataki mtoto wao awe na huyo mvulana kinacho onekana mpango ume pangwa na wazazi wa huyo binti
@Officalnaph
Жыл бұрын
ni dhambi kuzania
@fredrickmassawe2437
Жыл бұрын
Kwa maelezo ya babamdogo, upande WA Binti ndio washukiwa WA mauaji
@athmankiama1133
Жыл бұрын
Wamuulize huyo binti ilikuwajekuwaje?mpaka ikatokea walivuo kutwa yeye alie mfunga kamba ninani?jovin ninani kamtundika juu huyo binti asadie uchunguzi.
@Hamy1109
Жыл бұрын
Huyu mzee anabadili story. Awali story hakueleza hivyo. Nimefuatilia hiki kisa kwa ukaribu sana tangu mwanzo. Ila all in all, tuwakanye vijana wetu dhidi ya mambo ya kipuuzi kama hili tukio.
@user-nn5sq8ol4g
Жыл бұрын
Story bado ina endelea
@mwanahamisndarai1613
Жыл бұрын
Mmh binti.yupo sero Wala hajaachiliwa tupo nae huku mambo yanageuzwa tu ukweli anaujua binti.wala hakuuliwa.
@fredrickkingu2030
Жыл бұрын
@@mwanahamisndarai1613 wewe unajua ukweli kwani marehemu amekwambia ukweli au ndo unapenda tu na wewe uchangie rudi nyuma huyo aliekufa angekuwa mwanao au ndugu ungejibu kama ulivyojibu .acha mihemuko ya comment kama huna Cha kushauri kaa kimya wewe hujui lolote mb.....
@reubenshaban6488
Жыл бұрын
Huyo binti aminywe korodani atasema picha lilivyo anza
@cheiknamouna2058
Жыл бұрын
Hivi mabint wana korodan kumbe 🙈🙌
@africandarling6925
Жыл бұрын
Si mashavu ndio kordan ya kikeee Ndugu maana uchungu mpaka mtu uchapia kuandika
@senseiamani4684
Жыл бұрын
@@cheiknamouna2058 haaaaahaaaaa
@cheiknamouna2058
Жыл бұрын
🤣🤣
@reganuisso1256
Жыл бұрын
Maelezo yako yaliopita na saiv yanatofautiana kwa kiasi flan...alafu ongea kwa kujiamini ili upate haki yako
@leviskahonga3985
Жыл бұрын
Mmmmmmmh tatizo huna akil aujui mtu anamajonz kias gan
@VeronicajTemba
Жыл бұрын
Wazaz wa watoto wa kiume huwa wanajiona wao Wana haki lakin wangejua vile wazaz wanavyoumia pindi bint zao wanapoharibiwa na hao vijana ila na mm nikifanikiwa kumpata mwalifu wangu ataelewa somo
@AishaHaji-jn7sg
Жыл бұрын
Anyways Kama kweli marehem alichukua binti wa mtu akiwa bado anasoma hio ni kosa kubwa…wazazi wanapitia mengi kusomesha watoto wao..lakini wao kuchukua sheria mkononi kumuua (kama kweli wamemuua)wamekosea sana Kama walishatoa repot police station wangeacha serikali ifate mkondo wake..na Kama binti yupo hai yeye atasaidia serikali
@valeriamtenga3384
Жыл бұрын
Nachojua tu dhambi hatuishindi kwa nguvu! Mana hata km binti alijihusisha na uyo kijana, wakamwua, kitendo cha kijana yule kufa hakijaua haki ya uzinzi ndani ya binti, inamaana atakua na kijana mwingine tena, so nae atauwawa sio? Sa watauwa wangapi ! Tuombe neema kwa watoto wetu wawe na hofu ya Mungu, hofu ndo hushinda dhambi
@georgepam1231
Жыл бұрын
@@valeriamtenga3384 well
@VeronicajTemba
Жыл бұрын
Hawajafanya kosa ukiwapeleka police wanaachiwa ndiyo maana wanatakiwa wamaliswe
@yukundapeter8200
Жыл бұрын
Mnapotexa muda wa kijinga,kwa nn mcmuulixe huyo bint?
Пікірлер: 56