Poleni na msiba wanafamilia, najua sio vizuri kukosoana wakati wa majonzi lakini ukweli Wamasai ubishi utawamaliza uhai, apo doma na Mvomero yote mmekuja mmetukuta sisi wazawa wa Mvomero tumezaliwa hapo wazee wetu wamezaliwa mpaka kufa Mvomero tunaishi jirani na wanyama bila shida yoyote kwa kuwa tunafata miongozo ya jinsi ya kuishi na wanyama pori na kuheshimu ratiba zao za muda wao wa chakula na wanapoenda kunywa maji na miiko mingine ya kuepuka migongano kati ya binadamu na wanyama wa hifadhi, shida yenu nyinyi Wamasai ni wabishi wa kufata sheria mnazopewa na wenyeji wenu, sasa yanawakuta mnasema Serikali ije kisaidia, Serikali isaidie nini wakati wanyama wako kwenye asili yao na nyie mliowavamia ndio mjipange, Kwanza mmesogea ndani kabisa ya hifadhi mnapeleka ngombe zenu kula majani ya hifadhi, hilo ni kosa kubwa, mnaharibu hifadhi na kuleta migongano na wanyama pori, Wanyama hamuwezi kuwafukuza kama mende ndani ya nyumba upulize dawa wafe, ushauri muache ubishi na kusikiliza wenyeji mliowakuta, mbona wenzenu tunaishi kwa salama na hao wanyama miaka yote? Hamjiulizi kwa nini mnashambuliwa nyinyi tu na mifugo yenu? Serikali mtusaidie kuwapa somo
@fideliswilliam7085
Жыл бұрын
Poleni sana kwa msiba huo,mungu nguvu.
@WansolaLuther-tq8qm
Жыл бұрын
Mungu Wangu asante kwa kuniokoa na kifo Cha mnyama tembo, si kwa uwezo na nguvu zangu ni wewe ulinionyesha kwamba mkono wako una nguvu sana.
@amanimanase8798
Жыл бұрын
Pole sana enhee ilikuwaje ndg nmeona una shukuru sana
@husna34562
Жыл бұрын
@@amanimanase8798 😢
@YusraMadodo-sl5oh
Жыл бұрын
Poleni
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
Poleni sana,
@gorettimtungwe9011
Жыл бұрын
Duu umeandika vibaya siyo wote wanaishi mijini au kijijini. mashamba yako poriini.
@hamidmweusiii35
Жыл бұрын
Saiv watajifunza. Awa kukaa karbu na hifadh za wanywama hususani wamasai wnajifnyaga hawaogopi wanapenda kujitenga kwny mapori
@jenyyusuph4973
Жыл бұрын
Mm ndio maana hata sipendi kwenda mbugani
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
💔
@GraceHizza-lc9zp
Жыл бұрын
Na nyinyi mnazidi kukaa polin😮
@wakatv3704
Жыл бұрын
kwa mara ya kwanza mimi kuona msiba wa masai ndio Leo kumbee nao wana fariki poleni sanaa.
@janetsemahimbo8083
Жыл бұрын
kila nafsi itaonja mauti
@hamidmweusiii35
Жыл бұрын
Kumbe wamasai nao huzikana me nlisikiaga huwa wanakulanaga nyama tu
@success-only
Жыл бұрын
Inawezekana akili zako haziko sawa sawa, Wewe unakaa na gari hauwawi , Jitafakari kenge nchi kavu wewe
@eashaeasha9776
Жыл бұрын
Astaghafullah Kwanini mawazo yako potofu yalikutuma hivyo kwani wamasai unawachukuliaje?
Пікірлер: 21