Yani kaka mbwela keep it up tuko nyuma yako bega kwa bega
@RizikiZiki
6 ай бұрын
Wapenzi wa mbwela mukowapi mbona comment nindogo musimufanyiye ivo mbwela plus ❤❤❤❤
@MarthaMartha-tz6rl
6 күн бұрын
Tupo Sana yaan mbwela amekuwa kama dawa ya homa kwangu napenda movie za kwake Sana zinanifunza mengi
@user-uw3ru4mq9t
10 күн бұрын
Kazi nzuri tatizo lenu kila tamthilia zenu saut inakata mara irudi rekebisheni hilo
@user-og4mq8ph4y
2 ай бұрын
Mbwela mbna kila nikikuona moyo wangu unahama penye uko na mbaya zaidi sijui hua unaenda wap, nakupenda sanaa mbwela wangu much love from kenya riadhy ❤❤❤❤❤
@IsakaKiyalo-s3v
Ай бұрын
Kaka mungu akuongezee uishi kwa kudanya kazi za kumpendeza
@user-hm6hy6rr1h
6 ай бұрын
Pol kaka mbwela ila ap wan wak tujifunzen jaman tuwe wastahamilivu jaman akun kubwa kwa mung jaman rizk anae toa ni mung
@amanchuphichuphi4725
2 ай бұрын
Safi sana kaka mkubwa
@ubahamisi431
7 ай бұрын
Umependeza mbwela kwa vazi la dini🎉
@MarthaMartha-tz6rl
6 күн бұрын
Mashaallah na Kwa utaratibu wa mazungumzo utadhani ustadhi
@HassanMkina
2 ай бұрын
Umetisha sanaaa mzee mbwela muvis nzur sanaaaa
@GravitTaboi
3 ай бұрын
Kazi safi sana Mbwela 😊😊😊
@Rktungafilmz
2 ай бұрын
Kutoka Snake boy paka hku mbwela big up bro
@user-mf8su7us1j
2 ай бұрын
Natamani sana nipate mume ambae ana pesa ila ana upendo nitashukulu sana inshallah yaraab
@rahmasuleiman9334
6 ай бұрын
Hongera Mbwela umeweza kuuvaa uhusika 🎉🎉🎉🎉
@user-xy5go4ks1z
22 күн бұрын
Tupo apa ila kwanini awakutowa sehemu yapili yataifa❤❤❤❤
@Lilly-ec4bs
6 ай бұрын
Kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉
@aishaomar2287
6 ай бұрын
Hongera kwenu wote,mbwela unajua baba🎉🎉🎉
@JanetRiziki-ut2is
12 күн бұрын
Mwana kulitafuta mwana kulipata haya alafa pambana na hali yako😂😂😂😂
@KomboJuma-v5u
Ай бұрын
Dunia hii kweli akuna jipya. Mimi binafsi yalinikuta haya. Hivyoo hivyoo. Yauma Sana hii msiombe.
@MkasyswallehsaidSwalleh
6 ай бұрын
Imejua kuniliza hii movie...hongera mbwela ama kweli mtaka yte hukosa yte😢
@user-lc1op8vv8n
6 ай бұрын
Pore sn nahc ulkua ume mkumbuka marehem Babu yako
@halimadonath1862
Ай бұрын
Arafaaa kuwa mvumilivu maisha yanahitaji uvumilivu katika maisha kuna kupata na kukosa rizki anapanga mwenyezi mungu
@MarthaMartha-tz6rl
6 күн бұрын
Ata maisha yapo ata KATIKA ndoa za wengne
@user-vx1pw5dq7k
6 ай бұрын
Imeniuma mwanaume kufukuzwa Jmn 😢😢pole
@OrediYowasi
Ай бұрын
Huyo sio wakawaida ata kichititu akianza hivyo mwana mke nibaraa yaliyo nikuta mm nimazitoo
@zainaabdallah809
6 ай бұрын
Big up mbwela ❤
@rechokizumbe7314
6 ай бұрын
Mbwela unatoaga move nzuri sana
@NoelaGustave
3 ай бұрын
Daaah wamama wengine bana mahibilisi tu
@abouclasic8939
6 ай бұрын
Maumivu makali sanaaaaa....
@user-ng7bs3ir5x
6 ай бұрын
we arafa utajuta badaye from birundi
@jacklineindoshi1810
6 ай бұрын
Nimeipenda sana much love from 🇰🇪
@user-xu5rh6ub5j
7 ай бұрын
Nimejifunza mengi
@user-lv5iw6wn6q
6 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@danielamakalu8225
3 ай бұрын
C❤
@HesbornObara
Ай бұрын
Mbwera n MTU wangu Sana weka comments bana
@user-bw8un9ds6t
Ай бұрын
Mwanamke mjinga huvunja nyumba yake kw mikono yake mwenyewe... Hili n funzo kw wanawake wajinga km Arafa punguzeni tamaa
Пікірлер: 38