Ndg joel nanauka ninajambo la kifamilia linanitesa sana😢😢😢natamani ningepata mawasiliano yako ya moja kwa moja iliniweze kukushirikisha juu ya jambo hilo ili nijue uamuzi hupi nisahh kwangu kuufanya plz kama utasoma comment hii naomba nipate hata no yako ya what’sapp ili niweze kuwasiliana nawe mtumishi wangu
@SamiraDijah
15 күн бұрын
Mungu ametuumba na nafsi sikiliza nafs inakuambia vip baada yakuomba nakusali kwaiman nakuomba mung akupe maamuzi Kisha sikiliza nafss inakuambia ufanyekitugan hichohich ndichokitakua sahihi
@diabyboy5162
15 күн бұрын
@@SamiraDijah Asante dada kwa ushauri mzr
@salomemrembo7482
23 күн бұрын
Good morning Joel! Najifunza every morning Kutoka kwako God bless your work! Hunatusaidi mno. Kwa kipaji chako 🙏🇰🇪
@chegemazuku2623
6 күн бұрын
Mungu akuongoze@Asante sana Joel nanauka..
@AmaniRashidi-i9b
23 күн бұрын
From south Africa Durban kazi za watu zina Tubana ila tuko pamoja na teacher ❤
@joelnanauka
23 күн бұрын
Ahsante sanaaaa
@HadrianIdolius-iz3xt
23 күн бұрын
Ahsante sana mpendwa kwa elimu unayotupa Mungu azidi kukutumia katika maisha yako yote ukawe nuru palipo na giza💖💖
@dianafrank3566
23 күн бұрын
Lazima nitoboe kwenye maisha yangu
@joelnanauka
23 күн бұрын
Kabisaaa
@davidtvonline6020
20 күн бұрын
Hapa kwenye majira naomba sana MUNGU anirejeshee tena Miaka yangu iliyoliwa na nzige na Parare na madumadu😢
@julianamwanyika
23 күн бұрын
Tunaomba mwendelezo wa hili SoMo mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@mosesfrancis8495
5 күн бұрын
Kabisa
@GraceSteven-qq5hn
23 күн бұрын
Asant Kwa somo hili umenisadia sana
@brackskinyozi3280
23 күн бұрын
Mungu azidi kukulinda kw kila jambo...kk.... Joel nimejifunza 🙏
@FarajaMkumbo-pc3ft
23 күн бұрын
Hakika mungu akubariki zaid maana kila siku najifunza kitu kipya kutoka kwako
@ErickGadson-yg2xj
23 күн бұрын
Nakuelewa boss
@ModestusKibasa
22 күн бұрын
Bro joel nimeeanzisha biashar lkn bado napat uvivu mkubwq kwenye kuendeleza japo miongon ya malengo yangu bro joel nikuwa intelligence project niweze kuadvice nation juu ya usafiri wa ardhin . naomba 🙏🏾🙏🏾 please nisaidie ushaur .uwekezaj nimiongon mwa malengo yangu brother joel nimuokoee mama angu .MUNGU AKUBARIK BRO nikumbuke kunijibu bro
@anastasiamainaministries2700
23 күн бұрын
Mungu akubariki na akuongeze hekima na sih njema,kizazii hiki ninakuhitaji sana sana🇰🇪🇰🇪💯
@SepereNgiimba
4 күн бұрын
Well said! You really inspired thousands of peoples
@wilsonkihwele5766
18 күн бұрын
Nimeaza kitambo kukufatilia nimefanikiwa asante mungu baba utujalie maisha marefu
@EMAPLUSTV
22 күн бұрын
1.VITU VIMEAMRIWA NDANI YA MAJIRA 2.UKIYAJUA MAJIRA UTAJUA NINI CHA KUFANYA 3.UKIPOTEZA MAJIRA UNAPOTEZA ADVANTAGES AMBAZO MUNGU AMEAMBATANISHA NA MAJIRA,MUNGU AMEANDAA KILA KITU NDANI YA MAJIRA 4.IMEBEBA FAIDA ZA KIUNGU ZA KUKUPA KASI KUFANYA KILE KILICHO NDANI YA MAJIRA 5.MAJIRA YAPO KWENYE MDUARA FLANI 6.DIVINE SEASON CALENDAR INAKUSAIDIA NAMNA YA KUJIANDAA KUTAMBUA WAJIBU WAKE UNAFANIKIWA KWASABABU UMETUMWA SIO UNAWEZA NJIA ZA KUPOTEZA MAJIRA MAJIRA ZINAWEZA KULIWA
@HaniyaKisingo
22 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@paschalmasanilo2617
23 күн бұрын
Bless up 🎉
@williamjumbe1988
23 күн бұрын
Amina kwa somo zuli, masomo yako yananijenga
@goldiegranted5501
23 күн бұрын
Majira 🎉
@user-bj4vy1wn4t
23 күн бұрын
Thankful
@FaricevitusiNkane
23 күн бұрын
kk nakushuklu sana umekuwa msaada sana nakuombea kwa mungu akitie wepes
@Officialwizzosun
23 күн бұрын
Umekua ukiniamusha usingiz wa kiakili kaka mungu azid kua upande wako,
@mosesfrancis8495
5 күн бұрын
Mafunzo mazuri
@goldiegranted5501
23 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@erickevarst9589
23 күн бұрын
Naisubilia Kwa shauku mno
@BenjaminRajabu-xk7mc
22 күн бұрын
kweli kaka asante kwamaono yako
@Hellyphones
23 күн бұрын
Nashindwa hata ni comment Nini. Hata nikisema Asante haifiki thamani ya kile unacho nifunza.
@joelnanauka
23 күн бұрын
Ameen Ahsante sana, Mungu ni Mwema🙏
@ZachariaAlex
22 күн бұрын
Mwendelezo
@JohnBosco-d3g
23 күн бұрын
Love ur talk,,,, "MARA NYINGI NAPOKUSIKILIZA KWENYE MAMBO YA SOCIAL, POLITICAL ARENA, RELATIONSHIP,ETC I ADMIRE U!!! BUT WHEN IT COMES KWA THINGS ZENYE SOME SORT OF THEOLOGY, IN MY HUMBLE OPINION U NEED TO ENQUIRE MORE! AND U NEED TO HAVE PROPER UNDERSTANDING OF BIBLICAL EXEGETICAL ISSUES AND HERMENEUTICS. (U R GOOD AND U HELPED SO MUCH MY BROTHER MANITA) DEEPEN UR BIBLICAL THEOLOGY PLEASE!!!
@ZachariaAlex
22 күн бұрын
Haufanikiwi kwa sababu unafanya unachotaka unafanikiwa kwa ulichotumwa
@estherchege9074
14 күн бұрын
I have just noted no one asking questions .are they not allowed to ask? ✋Can I please ask? hapo kwa maelezo ya huyo mlemavu aliyeishi 38years bila kuelewa maajira ya malaika kutibua maji...,✋ SWALI, 1 .NANI ANAPEANA UELEWA WA NYAKATI NA WAKATI? SWALI NUMBER 2. NIPE JIBU SWALI NUMBER 1.NIULIZE LA PILI, ASANTE , Mr. NANAUKA
@user-eb2dv6ht3f
23 күн бұрын
Nasubr
@HaleBrado
23 күн бұрын
Joel kaka Angu unaniinspire sana kwa mafunzo yako kwangu....utajaa sana picha zako kwenye nyumba zangu zote, gari zangu zote zitajaa picha zako ...ulikonitoa na nilipo na nilivo ndani yangu leo since nimekujua 2017 aisee siwezi elezea nikamaliza but umefanya kila kitu kwenye maisha yangu...nikiangalia familia niliyotoka na ndoto niliyonayo ndani yangu kupitia wewe ad siamini kama ni mimi....
@joelnanauka
23 күн бұрын
Namtukuza Mungu kusikia shuhuda hizi, namshukuru Kwa kunitumia kugusa maisha yako.
@IsayaSijia
22 күн бұрын
Neno moja nimejifunza katika maisha yangu ni kusema Asante kwa kila jambo, Mungu akubariki Kaka angu wa kiroho, Endelea kulijenga jiji la Mungu
Пікірлер: 45