Nchezo mzuri kwa anae tazama lakini ni hatari kwa muendeshaj maana akianguka kama sio kirema anakufa
@richardsilili4760
2 жыл бұрын
Mchezo ni mzuri ila tatizo ni usimamizi wa usalama na vifaa ndo hamna, mchezo umeeonekana kupendwa na kua na mashabiki wengi basi serikali yetu ingewaandalia eneo maalumu kwaajili ya mchezo huo na usalama kwa wachezaji na shabiki kwa ujumla pia elimu inahitajika hapo
@shukutech
Жыл бұрын
Safi👍Wazo Zuri ni kweli
@siprianindwangila
Жыл бұрын
10110
@alumanjr.4747
Жыл бұрын
How do you do that on a busy road? They are so lucky all went on well except that small accident
@ombennathanael6960
2 жыл бұрын
Alafu mtu Akifa kwa upuuzi huo wanasema"MUNGU alipanga " shetani Yuko zake kudhurula anawatafuteni
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Mungu na mashetani wote mnawapakaziaga sometimes
@nasrafadhili8941
2 жыл бұрын
Mbn kunamwenzao alikufa
@lispamagu5810
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@magesajohn9383
2 жыл бұрын
Mchezo ni mzuri sana ila mazingira sio rafiki kwa uku bongo, walitakiwa kua kwenye barabara isio pitisha magari wakati wa mchezo...au na magari yapo kwenye mchezo kama kikwazo dadeq!!!
@sharifamahamudu182
3 ай бұрын
Kabisa bongo waandae road maarumu za uwo mchezo
@richytarimo4656
2 жыл бұрын
Wanaweza lakin waulize wenyewe wanapata faida gan na huo mchezo utasikia nikujifurahisha tu, wenzetu ulaya ajira hyo kuna macompuny yanawadhamin
@mussamc641
2 жыл бұрын
Tafuten maeneo mazur kwa ajil ya kukimbilia vifo vyenu ..sio mbele za watu
@mhojamsafiri2273
2 жыл бұрын
Umenifanya nicheke
@evanswinston5102
2 жыл бұрын
Ao watu ndo watafute maeneo mazuri ya mbali na vifo vyetu
@missangela6720
2 жыл бұрын
😂😂😂
@jumakisailo1066
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kenethpascal6685
2 жыл бұрын
Understand this YOLO (You All Live Once) whether you are reach or poor ata na ww utakufaaaaa tu Mzee tena bila kukimbilia 😇 iyo nikwere.
@sazanahussen6715
2 жыл бұрын
Huu mchezoo sio mbaya sema ingefaa wawe na vifaa vya kujikinga kwa wenzetu inalisha familia na ni ajira km zinginezo✌️✌️✌️
@Fm-MornStar2014
2 жыл бұрын
Umenena.
@Mwl_Swalo
2 жыл бұрын
Sure
@Mwl_Swalo
2 жыл бұрын
Sure
@kenethpascal6685
2 жыл бұрын
Unafaa uwe Raisi I will vote for you 💪
@masanjaabasi8970
Жыл бұрын
Nawawe nabara bara yao wasitusabishiey maajari sisi🤣
@ismailmasoud6001
2 жыл бұрын
Wenzenu mbele zile barabara Maalum lami yake sio kama hiyo...na pia muwe mnavaa ngua za protection.... Serikali inabidi izuie huu mchezo' mpk kuwe na utaratibu Maalum...!
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Mbele lami zake za sponch au vipi
@ismailmasoud6001
2 жыл бұрын
@@Mpakauseme ....ukiwa mkimbiaji wa riadha , ...ule mzunguko wa pembeni ya UWANJA wa Mpira UTAELEWA ..!...kiufupi lami zao sio ngumu..! Unaposikia mbio za magari au pikipiki (grand prix) inakua ni viwanja Maalum vimetengenezwa mjomba..sio kulupu kulupu, tukiendelea kwenye lami zetu tujiandae kuwa na MAITI au WALEMAVU wengi Tz..!
@nasrafadhili8941
2 жыл бұрын
Mwenzao alikufa kwa sifa
@mahmoodalghefeili5370
Жыл бұрын
@@nasrafadhili8941 sio mmoja wa 3
@chescodml3061
Жыл бұрын
Xx
@ucjvvjcjjvih9934
2 жыл бұрын
😅😅😅👍hizo piki piki zingezama ndani ya matumbo ya mazombi wameshajikatia jiket wazembe wote
@laurenciazacharia9197
2 жыл бұрын
Sio sehemu sahihi kufanya huo mchezo hata vifaa vya Kinga wahajavaa .
@daznationoutfit8001
Жыл бұрын
Home Sweet Home🔥🖐 Arusha City❤️👋
@allydeo-uj2oe
Жыл бұрын
Thanks again
@HappynessJose
3 ай бұрын
Sasa Hawa ata vifaa vya kuvaa akuna nikichwa na mikono na mguu hakuna chochote hatar 🙌🙌🙌🙌🙌
@michaeldebakey5337
Жыл бұрын
2:08 Thank you very important
@daud405
2 жыл бұрын
nadhani huu mchezo una uhusiano na freemason.mwaka ya nyuma barabara ya namanga arusha nakumbuka mchezo kama huo wa magari walikufa vijana vibaya sana barabarani.leo tena wameanza pikipiki safari hii ndo watapoteza maisha san sababu hawana vifaa vya kujikinga
@hassanmakamba7166
2 жыл бұрын
Hakuna jambo anapanga shetan bse Mungu anajua hata shetan anafikilia nin Kwa wakat huu Ila shetan hayajui ya Mungu hata kidogo yaliyofichwa...
@kingandreemmanuel7908
2 жыл бұрын
Ajali kazinii........
@Burner_Acc
2 жыл бұрын
Hapo boss anajua bodaboda yake ipo kitaa inakula vichwa jioni anaingiza hela kumbe wahuni wapo kwenye michezo yao huko
@cbegram6161
2 жыл бұрын
😅😅😅
@reynahronny
4 ай бұрын
😏😏 nyokooo we ndo una hizoooo
@vincentayua9435
2 жыл бұрын
They don't even wear helmet ⛑ and any protection why does traffic department allow this
@officialbizou6053
2 жыл бұрын
Kaa kwa kutulia wewe
@mbizoo89
2 жыл бұрын
🤣👆
@abdallahamin8721
2 жыл бұрын
Tulizana
@naturelle1097
2 жыл бұрын
I wonder!
@mariamramadhani3860
2 жыл бұрын
Serikali inaruhusu haya jamani
@peternjelutv1273
2 жыл бұрын
Vijana nyie hizo nguvu zote mnazo tumia kwanini msizitumie mkiwa ndani ya Yesu, ivi ikatokea mmoja amefaliki hapo muanzage kusema ni mpango wa Mungu kweli.
@kenethpascal6685
2 жыл бұрын
For fun preacher mungu yupo nasi Amna ajili mbaya wala kifo 🕊️ Sisi ni vijana wa yesu.🙏
@athumanially906
2 жыл бұрын
Acha utoto si anatafta rizk jmn kwan ni dhambi wanaiba au
@achouraachoura5763
5 ай бұрын
Unakufa unajiona ujinga huu..mchezo wa kuita kifo kwa lazima
@SuzanaMartin-qi9js
Жыл бұрын
Honger san
@JK-uq1tv
2 жыл бұрын
Siyo sehemu sahihi kufanya huo mchezo na ni kwenye barabara inayo tumiwa na magari na kwenye makazi ya watu wangeenda kwenye uwanja wa mpira na wavae vifaa vya kujikinga ajali zitakazo jitokeza kwao mkuu wa vyombo vya usalama barabarani yuko wapi ktk kusimamia hili yaani mnawachia hao wavuta bangi wafanye wanacho kitaka sheria za Nchi zifuatwe.
@selemanimohamedi2883
2 жыл бұрын
Yywyyg
@georgemollel9422
2 жыл бұрын
Ndio maana wakatenga siku ya jumapili ambayo hakuna magari mengi barabarani. Na hiyo ndio burudani yao au unataka wakacheze kamari na kuiba?
@mxofmfk8406
2 жыл бұрын
@@georgemollel9422 umeelewa alichosema hapo juu au na wewe ni bangi zinaongea?
@johnbernad3990
2 жыл бұрын
Upo sahihi kabisa mkuu
@JK-uq1tv
2 жыл бұрын
@@georgemollel9422 ww nawe ulikuwa mmoja wao na Kama unaakili soma nilcho andika hapo juu kucheza huo mchezo haikuzuhii kuendelea kuvuta bangi na kufanya matendo mengine maovu kaa ukielewa hilo
@georgeoloo8970
2 жыл бұрын
Amshukuru sana MUNGU Gari ya Nyuma yake haikuwa speed
@musason1680
2 жыл бұрын
Safi kabisa
@geofreysikazwe8329
Жыл бұрын
Grace kalisto simba
@samwelnaal7952
2 жыл бұрын
I dont see the future to these young men...They dont care about their safety nor to other road users.
@wangaramedia8792
2 жыл бұрын
Sure, ni helmets, gloves very risky
@martinpatrice9936
2 жыл бұрын
Kwakweli
@abdallahamin8721
2 жыл бұрын
Tulia wewe
@kenethpascal6685
2 жыл бұрын
Care your self.
@angelanaftael7965
Жыл бұрын
Its pity to our young men already there are few men as compared to women and still they are exposed to these vulnerability.are we serious.ptotection measures are not observed is this game legal does the authority know what's going on.who us benefiting from such games.are they sponsored or just entertaining the crowd are we Tanzanians serious
@Swahili14
2 жыл бұрын
Didn't gas price fluctuate>>>?smh 😂😂😂
@ramakazina170
2 жыл бұрын
Niulize tu hakukua na serikali hapo maana mchezo mzuri lkn unafanyikia sehem isiyo sahihi tatizo barabarani kuna Magari yanaendelea kupita pia.
@amirimbago8325
2 жыл бұрын
Polisi na uniform zao wamekaatu wanaangalia show... wanasubiri kulaumu wakifukuzwa kazi. anyway serikari ya Rushwahii serikali Butu.
@mwangosikennedy9643
2 жыл бұрын
Kweli kabisa Serikali na akili zake inarihusu upuuzi huu, tena kwenye barabara ambayo inatumika na magari. Kwanza hawajavaa cha kujikinga na mbili yao.. Stupid........pumbavu
@marlowmagohe5022
2 жыл бұрын
Huu ni upuuz kbs
@yuzdearmwaikole5764
2 жыл бұрын
Hamnankitu apo
@africanlife2331
2 жыл бұрын
Na watazamaji wamekaa karibu lolote linaeza kutokea wakachotwa vichwa
@richardnganya2311
2 жыл бұрын
Na polisi wa usalama barabarani walitoa kibali cha mchezo unao hatarisha maisha na kuharibu nishati inayopigiwa kelele...
@alphoncevictor7941
2 жыл бұрын
@@marlowmagohe5022 xxxx Xxxx
@jastinemseso4978
Жыл бұрын
Kazi kazi
@fort-tz
Жыл бұрын
Big up
@innocentgodwin5855
2 жыл бұрын
Izi ni bangi eti mm awa wadogo zangu nawajua sana Mungu wanusuruu
@Better_Planet
2 жыл бұрын
2:07 this may save your time. Nothing serious
@aronmosha3493
2 жыл бұрын
Indeed
@barakakimario8960
2 жыл бұрын
Sure
@maryamconstantine2232
2 жыл бұрын
Exactly
@mxofmfk8406
2 жыл бұрын
Mtu kaburuzika aisee its serious😂😂😂
@jimmymwakaliku9098
2 жыл бұрын
Facts ,
@rafaelwiliam9240
2 жыл бұрын
Noma
@benmichael2456
2 жыл бұрын
Jaman akome
@hadijamohammedy5232
Жыл бұрын
Musiwaige wakina Rambo jemeni mutakufa haya
@sulenchangwa-q7t
Ай бұрын
Kazi nzuri
@EdgarLema-ov6sx
3 ай бұрын
Juzi nimemnukuu makonda akisifia ao wadudu eti wanaweza michezo ya mapikipiki siasa bhana😮😮😮
@user-zm3bz3ej9g
8 ай бұрын
Vijana wasikuiz wanapenda xana xifa wambien waache sif
@edwinalexander1170
2 жыл бұрын
Mmmmh huu mchezo ni hatari sana😴😴😴😴😴🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@remarkabletour9875
2 жыл бұрын
Safety must be observed. That road isn't safe as there are many vehicles. The organisers need to engage government/ police to block the road for entertainment to be successful. Entertainers must also have proper safety gears and well maintained bikes to be allowed to participate.
@shabanmandai3142
2 жыл бұрын
P
@catherinemhagama7505
2 жыл бұрын
Uwongo hatutaki heading imesema "kijana alivyoangu na Toyo mbona hatujamwona.
Waah my ferro Kenyans na TZ Si kuna mafuta ya kuharibu.. Is the only thing I could take from this video
@zainabmbarak1043
Жыл бұрын
Njoo tz ulirilax maisha kwetu raha sanaa asikudangqnye mtu
@dominicksundayditus5776
2 жыл бұрын
Arusha Sidai
@josephtinginya8419
Жыл бұрын
Hayo mashindano waliyokuwa wakionyeshana ,mpaka hapo nimeona taratibu hazijafuatwa,ivi unafanyaje mashindano kwenye mwingiliano na vyombo vingine vya usafiri? jeshi la polisi walikuwa wapi kuzuia hilo?yaani kazi kweli
@sammymunene4039
2 жыл бұрын
ikopoa
@awadhmbegea4743
Жыл бұрын
Arusha akil kumbe kisoda mchezo kama huu wa magar nakumbuka kuna kipind uliua wat kibao chek walivojirundika
@ayshamadege7981
2 жыл бұрын
Mambo niyapendayo hayo mimi🤣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😍
@reynahronny
4 ай бұрын
mbwa ww
@waytvtz2549
2 жыл бұрын
Wanaiga wazungu na hana vifaa waangalie wazungu wamejiweka vizuri
@geofkabo7843
Жыл бұрын
Wazili wa michezo na Sanaa afanye mchakato ipatikane sehem maalum Kwa ajili ya hiyo michezo fulsa Kwa vijana watazamaj watoe kingilio
@dianamtui624
2 жыл бұрын
APA n arusha sehem gan
@DinaHerbert-vq7ln
Жыл бұрын
Kaz nzur
@noelyelisonguo3356
Жыл бұрын
Oooooog sana wakali
@BIGBOSS-hl3bu
2 жыл бұрын
Hata aliyetengeneza SLG na boxer ukimwambia anyanyue tairi moja hawezi ila bongo inawezekana 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
@hatikvah9274
2 жыл бұрын
hawana hata Helmet jitahidini kurusha maudhui ambayo afya za washiriki zimezingatiwa...Itawapa more credits
@victorsanga2229
Жыл бұрын
Arusha bangi zitawaua, ni wazi ajali za boda Arusha, Kilimanjaro zimekuwa nyingi sana! Elimu inaitajika kwa vijana hawa, na wengi wao shule hawana!
@SalimuAlly-bp5zt
2 ай бұрын
Kwel lakn hajali kazin
@omarylukindo5306
2 жыл бұрын
Ni nzuri ila ni hatari pia, barabara iko busy na watumiaji wengine hii inaweza sababisha madhara makubwa,,wazuie magari na watumiaji wengine pia,ili watumie wao barabara yote
@emmanuelmwaka6070
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@scholasticanyona9368
2 жыл бұрын
Hiii n safari Larry ya mabikibiki😅😅😅😅 alifanya poa kwanguka juu hajui umuhimu wa maisha
@zaipazzi9490
2 жыл бұрын
Wana hatari 🤲
@laitnesevamtega4
Жыл бұрын
Ni nzur ukiwa mungu
@charlesrongo3615
2 жыл бұрын
this is too bad I don't like this ... poor country
@SmilingDalmatianPuppies-iu8fc
4 ай бұрын
Nimependa
@user-lq2xf6tc4j
2 жыл бұрын
Safi sana mjinga sana
@yusufumoud8194
Жыл бұрын
Tile master
@shaameshaame9721
2 жыл бұрын
Endeleen kumbip Israel
@mringoarts3710
2 жыл бұрын
siku nyingine mnipigie simu nirushe drone bana hapo hatuoni vizuri ayo
@nyerere1259
2 жыл бұрын
Kazi iendelee
@josiasgeorge4437
2 жыл бұрын
Star Delta
@JVmelody
Жыл бұрын
Nakuelewa sana
@majulaedward7766
Жыл бұрын
Pole sn
@FettyAlly-fv1cu
2 ай бұрын
D voice mpya video
@clarayona945
Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@DaudChiliman
3 ай бұрын
Jaman huu mchezo ni hatari sanaa😮
@hyasintndimbo2998
2 жыл бұрын
Jambo jema sana😞😞
@tonnyjaaaah7570
Жыл бұрын
Kwann magari wasizuie Kwanza kwa hio michezo hi hatal wajue
@RuzoOwzy
2 жыл бұрын
Hela ya kwenda hospital mwaka mzima ipo ila ya kununua helmet na gears zingine za usalama ndo hawana.
@yunyun799
2 жыл бұрын
😂😂😂
@manaseliberatus1347
2 жыл бұрын
wazungu wenyewe wana vifaa vya kujilinda
@brownie_dee8655
2 жыл бұрын
Mm jaman eti kukaa karibu na road km hvo naangalia hayo mashindano mm cwez ,hasa pkpk ikakosea ikakubamiza au gari
@kenethpascal6685
2 жыл бұрын
Hiii ni R Chuga wengine skilizieni tu mtandaoni huku ni MIAMI L A🔥🔥🔥🔥🔥🪂
@user-gu6hu9jv2i
Жыл бұрын
Nomaiyo
@godlywaziri335
Жыл бұрын
Imemzid davoh
@Abdirizaaqpele-jx2ld
Жыл бұрын
War maxa laga Hadley
@mwitajoseph3744
2 жыл бұрын
Usalama hauzingatiwi kabisa kama huu mchezo utaonekana kua na maana ingependeza kutengewa sehemu maalum na pia elimu ya usalama itolewe na kibali maalum pia kiwepo ili kumhakikishia mchezaji uhakika wa matibabu pindi atapopata matatizo akiwa mchezoni
@immanuelkiberenge1398
2 жыл бұрын
serikali serikali mko wapi jamani hii hatari Sana, mijitu ilivokua mijinga ipo pembezoni ikishanglia🤔
@nurdinkisaria9476
2 жыл бұрын
Wangekuwa wanazuia magari yasipite hadi mchezo uishe hii ni hatari sana
@rennyanselim6188
Жыл бұрын
Kweli watu vifo wanajitakia wenyewe
@magdalenakilapilo6791
Жыл бұрын
Huo mchezo ni hatari sana sana Zipo njia nyingi za kutafuta pesa lakin sio kwa mchezo huu Ni hatari ata kwa watazamaji walio kaa pembezoni mwa barabara Asee watanzania tunasikitisha sana mno n uzuni
@dvosokoloo2948
2 жыл бұрын
Walishindwa kuomba barabara moja ifungwe kwa mda watumie kwa ajili ya huo mchezo mfano ile bypass inayotokewa uwanja wa ndege ingefungwa kwa mda watumie then wakimaliza inafunguliwa mbona simple sasa hapo ni risk mbaya
@agnessasumani
Жыл бұрын
Esx
@FrankMwakayira-fg9hk
3 ай бұрын
Ni hatari kwa kweli
@Mayungaworkshop-qg8ue
Жыл бұрын
ni shehemu ya michezo lakini selikari iingilie kati kuhakikisha mazingira ,usalama na taratibu za mchezo elimu juu ya mchezo huu
@official_mr_bery
Жыл бұрын
Kauwongoo tumekaonaaa ..
@hizamwaimu3918
2 жыл бұрын
Ajali kazini
@reubenuomega8997
Жыл бұрын
Ayotv waongo sana sikuhizi. Pmbv
@mkongojoomari2657
2 жыл бұрын
Dah,ujuzi wanao but barabara ya Lami hata nguo maalumu za kujikinga hawana:Barabara pia inatumiwa na watu wengine at the same time,hapo siyo sawa:Vyombo vya usalama vingewazuia
@hdggu6792
2 жыл бұрын
Yani nch yetu tunaependa michezo Lakin hatuna sehemu maalumu SAS hapoo Magali pikipki watu wakutembea kwamiguu jamani kama sio hatali nini halafu hiyo michezo inatakana kwenuye vumbi sio balabalani
@stevemwakisimba5986
2 жыл бұрын
Umeongea point sana wewe jamaa na serikali ipo kimya subiria yatokee maafa ndio watakua bussy kupiga marufuku hii ndio Tanzânia bhana watu wanafanya kazi kwa matukio
@hdggu6792
2 жыл бұрын
Sasa hapoo hata mwandishi wahabali nae hana habali ilikuwa yeyé ndio atoe ushilikiano yeyé Napolis. badae yakitokea yakutokea utawasikia upelelezi unafanyika nani alieyeye watuma
@abiudy.h.chumto1148
2 жыл бұрын
Sio kwa michezo hiyo hatariiii saana .
@justinscobba4626
Жыл бұрын
Wote ni kumamae mnawezaje kufanya upuuzi Kama huu kwenye barabara inayotumiwa na watu wengi kwanini msiende kwenye uwanja wa mpira
@claudiangowi9628
2 жыл бұрын
Arusha bangi zao wanavutaga mbichi Hilo ndo tatizo
Пікірлер: 660