Hongera sana kaka Hussein haya unayoyafanya ni mapinduzi makubwa ya kilimo Tanzania tokea. Kuanzishwa vijiji vya ujamaa
@husseinmwanjela8644
2 жыл бұрын
Dar es alaam Agriculture Foundation (DAF) we are support projects 100%, agenda 10 /30 till saccesfull
@castormgina2815
2 жыл бұрын
Awamu ya 6 na kilimo cha kisasa. Hii ndio nchi yangu na huyu ndio waziri sahihi kwa wizara hii.
@murtallamohammed381
2 жыл бұрын
Mh.waziri kongole juhudi zako twaziona MashaAllah
@VedastoKeya-vt8pf
Ай бұрын
Daa hapa jamaa anawaonesha mawazir wenzie kipi cha kufanya sio ofsn tu
@20topbestintheworld91
2 жыл бұрын
Bashe the real reader
@yusuphmwamlima2902
2 жыл бұрын
Hii fulsa tunaipataje
@danielmanase8026
2 жыл бұрын
Mh Waziri kuna haja ya kuongeza visima vingine ili kuweza kukidhi mahitaji ya shamba. Hiyo ni kufuatana na usanifu wa awali. Na pia tulishauri kabla yakuendela na awamu ya pili ni lazima kufanya tafiti ya maji ya chini ya ardhi kujua uwingi wake.
@saketnicholaus9962
2 жыл бұрын
Green revolution
@yahayaallytv2852
2 жыл бұрын
Hongera sana
@bakerally6921
2 жыл бұрын
Kweli unafaaa.Tupatie Mbegu ya Alizeti Hysun huku Kaliua Tabora viwanda havina mbegu mheshimiwa.pia umeme haitoshi kwa viwanda vya mafuta ya Alizeti
Пікірлер: 12