TAZAMA WATALII WAKISUKUMANA KUINGIA KWENYE PANGO KUCHOTA MAJI ya BARAKA - WAYABEBA kwa KUWA YANATIBU...
Mamia ya wataalii kutoka Njombe na mkoa jirani wa Mbeya wamepatwa na shauku na kulazimika kunywa,kunawa na kubeba maji kwenye pango alilokuwa akitumia Chief Mkwawa katika hifadhi ya Mpanga,Kipengere mara baada ya kupata historia ya maji hayo yanayotajwa kutumiwa kwa ajili ya baraka pamoja na uponyaji.
Eneo hilo maarufu katika hifadhi ya Mpanga Kipengere limekuwa kivutio kwa watu wengi kutoka maeneo tofauti ya Dunia kwani wengi wao wamekuwa na shauku ya kupata baraka pamoja na kujua historia ya Mkwawa ndani ya pango hilo kama ambavyo Sebratus Laurent ambaye ni muongoza watalii ndani ya hifadhi anavyoeleza.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Негізгі бет TAZAMA WATALII WAKISUKUMANA KUINGIA KWENYE PANGO KUCHOTA MAJI ya BARAKA - WAYABEBA kwa KUWA YANATIBU
Пікірлер: 5