Hii ni taarifa ya shauri la maombi madogo ya jinai namba 1/2022 yaliyoletwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha na Mleta Maombi hayo Wakili Peter Michael Madeleka dhidi ya Jamhuri maombi ambayo yanatokana na kesi uhujumu uchumi namba 40/2020 iliyoamuliwa kwa njia ya makubaliano Kati ya mshtakiwa na Mwendesha Mashtaka wa Serikali nje ya mahakama na kupelekea Wakili Peter Madeleka kutoa kiasi cha Tsh Mil 2 juu ya Makubaliano hayo na faini ya laki mbili kutoka kwa Mahakama.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: instagram.com/....
SpotiLeo: instagram.com/....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: twitter.com/Ha...
Негізгі бет #TAZAMAl
Пікірлер: 3