Mike Mhagama ni mtangazaji wa zamani wa vipindi vya burudani hapa Tanzania,anatajwa kama mbunifu wa neno Bongofleva ,moja ya vitu vigumu amepitia ni kuruhusiwa kuuchezaq muzki wa Bongofleva radioni kwa kua haukua ukiaminika na bado ulionekana wa kihuni,Mike anatupa stories jinsi mambo yalivokua magumu wakati huo
- Күн бұрын
THE CLASSIC MIKE MHAGAMA : MBUNIFU WA NENO BONGOFLEVA/SAFAR YA BONGOFLEVA RADIONI/ULIITWA TAKATATAKA
- Рет қаралды 1,674
Пікірлер: 4