Asante dada aika kwa darasa zuri,Nina shida na kacha Niko mbali na daslam
@haszam109
2 жыл бұрын
asante kwa darasa zuri umeongea ukweli mtupu mungu atakulipa
@witnessjonass-rd9lp
Жыл бұрын
Asante nisipoweka iyo culture ayatafaa
@MariamMkusa
3 жыл бұрын
Kwa experience yangu naona tofauti ni texture mtindi una mabonge ila una maji lakini yogurt inakua kama silky smooth, kwa ladha sijui sana kwasababu sijawahi kunywa plain yogurt
@venanguma2469
2 ай бұрын
Ninzur San
@jenipherkilugala8393
3 жыл бұрын
Habari Dada ahsante kwa somo zuri sana, nilikuwa nauliza culture ni shs ngapi na zinaparikana K.koo sehemu gani
@rhodacharles8034
3 жыл бұрын
Kariakoo pale karibu na soko lililoungua moto kuna kigorofa cha rangi ya pink na wanauza culture 25k
@nasranakudwali1083
3 жыл бұрын
Inauzwa sh ngapi hiyo culture
@shakynice3238
3 жыл бұрын
Ni rahisi sana ... Hope it's yummy
@asiaashirafu5793
3 жыл бұрын
Duh ahsante nimeelewa
@everlynekalekye8129
3 жыл бұрын
Asante sana Dada nimejifunza kitu nitajaribu kutengeneza
@ikamalle
3 жыл бұрын
Asante
@justinakaronge5270
2 жыл бұрын
Haika habari, culture tunapataje
@nancyndolo5812
3 жыл бұрын
Thanks for sharing 👍I will try.
@VeronicaToroya
9 ай бұрын
So good
@AliceMsaki
Жыл бұрын
Asante kwa darasa morogoro culture inapatikana wapi
@scolamisunza9581
Ай бұрын
Swali hili halijawai kujibika?
@aminajuma2778
3 жыл бұрын
Shukran nmependa darasa lako ubarikiwe
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Asante sana .
@DainessTibenda
3 ай бұрын
Nipo mbeya ,naombba unsaidie kupata culture
@YasintaMakiya
3 ай бұрын
Mm nipo singida nitapataje culture
@mziwandabakers8297
3 жыл бұрын
Tamuuuu😋😋😋
@dottopatrick3156
3 жыл бұрын
Culture mbn maduka mengi hamna unawez kunisaidia pa kuipata
@thureiyyaalharithiyya2021
3 жыл бұрын
K2 pambee hadi raha 😋😋👏🏼
@ekronbulega3478
Жыл бұрын
Hongera san kwa mafunzo sasa hiyo kacha inapatikana kwa sh.ngap
@hevenlightminja8032
Жыл бұрын
Culture zinapatikana kariakoo sehemu gani
@barikikaroli6088
3 жыл бұрын
Mimi zamani nikiwa napenda kunywa mtindi na sukari 😀
@gladnesssilaa449
2 жыл бұрын
Samahn Dada unaweza mix yogurt plain ambayo ujawek na mtindi ili ilete radha,
@rosemnambi2413
2 жыл бұрын
Safi sn nimeipenda nifanye biashara being na.vifungashio inakuaje vinapatikananwapi
@GeorgeMassawe-h6g
Ай бұрын
Maziwa hayo ya mtindi Yana uwezo wa kukaa muda Gani bila kuharibika kama hujaweka kwenye fridge?
@neemafelix250
3 жыл бұрын
Zinauzwa bei gani izo culture
@gabbywambui63
3 жыл бұрын
Naweza taka kujua pia
@MohamedyOmari-rq5py
4 ай бұрын
30000
@christinanitwa
2 жыл бұрын
Habari yako hizo culture ata mbeya zinapatikana
@julieedie3377
Жыл бұрын
Hello dada Asante kwa darasa naulz hiyo culture naweza ipata supermarket Na pia uniambie jina ya iyo culture
@ikamalle
Жыл бұрын
Wasiliana na @mziwanda_bakers (anaziuza)
@rehemamwandemani5182
Жыл бұрын
Asante kwa darasa
@nackyhashim9634
3 жыл бұрын
samahani' je usipochemsha maziwa haitakuwa nzuri yogurt/mtindi
@jannethfurahini7473
2 жыл бұрын
kutengeneza mtindi ni lazima uya chemshe?
@rahemaissa9867
2 жыл бұрын
Nice Mashallah
@sabrinaandrew4245
Жыл бұрын
❤🙏🙌💯
@hassanikatire1186
Жыл бұрын
Safi
@williamtagazi933
Жыл бұрын
Napataje hizo special flavours na CHN za kutengenezea hizo mtindi na yogurt
@VeronicaToroya
9 ай бұрын
Natamani kupata hizo flavours kama inavopatikana kwenye pakiti ya yourgh na mtindi
@hemedhemed-ij7lm
Ай бұрын
Kwa mfano ukitaka uchanganyike vizur ukiblend itakua vp
@zahramsabah5089
3 жыл бұрын
Tupe house tour
@swalhatkid330
3 жыл бұрын
Zinapatikana maduka yainagani
@ArafaAlly-uk7lh
3 ай бұрын
Dada samahan,,Hyo culture inauzwa kwa maduka ya kilimo mifugo au super market
@rehemamajaliwa
Ай бұрын
😂😂😂😂maduka ya chakula
@devotermercy4561
Жыл бұрын
Nikitaka hizo culture napata kwenye maduka gani
@monicanzali
4 ай бұрын
Nilikuwa naomba kuuliza utunzaji wa yogurt na inaweza kudumu kwa muda gani??
@LovenesServi-ok6zr
Жыл бұрын
Naomba kufaham maduka yanayouza hiyo kigandisha
@lwimikomwakibete6693
2 жыл бұрын
Safi sana naomba msaads culture
@aliciamwemezi5333
2 жыл бұрын
Hiyo culture inauzwa wap
@ikamalle
2 жыл бұрын
@mziwanda_bakers instagram
@ggcrank6264
2 жыл бұрын
Mtindi huo ukoroge vizuri utakuwa kama hiyo yoghurt
@gabriellahrobert4558
3 жыл бұрын
😋 different in texture
@ikamalle
3 жыл бұрын
Yees
@LiahAmin-t8e
Ай бұрын
@@ikamalle sorry..,. Vip naweza kutumia ya maziwa unga??
@Mbuzisana
3 жыл бұрын
Mtindi Kwa kimombo ni?
@kadzo6614
5 ай бұрын
Greek yogurt
@liliandaka568
2 жыл бұрын
Naomba nipate coucher
@maroimaro3988
2 жыл бұрын
Je, ipi kati ya yogurt na mtindi Ina LDL chlosterol?
@miriamwinston9908
2 жыл бұрын
Mtindi
@Fullvide123
3 жыл бұрын
Asnt kwa darasa zinapatka ktk maduka gan na nishingap
@aminajuma2778
3 жыл бұрын
Nmeota tofut nmejua kutofautisha
@mauridimbaruku7428
Жыл бұрын
Hongera,kwa mikoani hivyo vichanganyio vinapatkana??
@ikamalle
Жыл бұрын
Wasiliana na @mziwanda_bakers anaziuza
@akramsamil9238
5 ай бұрын
mimi niko mtwara nitazipataje culture
@rehemamwandemani5182
Жыл бұрын
Mziwanda anapatikana wapi
@annasamiri001
2 жыл бұрын
Asnte mwaya tumejua
@hopemaluba4788
Жыл бұрын
izo culture zinauzwa sh. ngp? na cmc nayo ni bei gan
@healthfullifetv5681
Жыл бұрын
MTINDI UNAWEZA KUKAA MDA GANI au nafanyaje kuzihifadhi yougut na mtindi vikae mda mrefu kwenye chupa?
@chrissrwezaula8960
Жыл бұрын
Kariakoo sehemu gani unapata hizo culture?
@OmariJumaa-b1p
2 ай бұрын
Naomba no yako ya watsap nikuulize ili nipate kufunza zaidi kama hutojal
@lizzysscrumptiousbites4881
2 жыл бұрын
Mtindi ni nini?
@jeradimdete5751
2 жыл бұрын
Mtindi kawaida huwa hauvutiki lakin culture ya youghurt inavtika hvy tofaut yougt invtka bt mtundi hauvutinki afu mtind unakuwa na mabonge
@lilianmwangi2467
6 ай бұрын
Nimependa xana ila naomba kuuliza hzo culture zinasaidia nn pia n lazima xana kuzimtumia
@ZainabuMikidadi
3 ай бұрын
Naomba kujua iyo radha ya stroberry taipata?
@ikamalle
3 ай бұрын
Sokoni,madukani,supermarkets
@LiahAmin-t8e
Ай бұрын
Hayo maziwa fresh ulotumia naweza kutumia ya Unga?? Yaani ya maziwa ya Unga nikachanganya na maji then nikaweke izo culture? @ikamalle
@alexandertheuri444
Жыл бұрын
Hey
@theonilarichard5192
Жыл бұрын
Nahitaji hizo culture nitazipataje?
@lilianjacob4497
Жыл бұрын
Culture ya yougt kwa mwanza naipata wap
@agathangoloki3005
Жыл бұрын
madam nimependa ila nauliza napataj culture
@RishaeliKitali
2 ай бұрын
Ladha
@SarahIssaya-bp6wu
Жыл бұрын
naomba namba yako Aika nataman nikuulize kitu
@neemapetertungu677
Жыл бұрын
ili isiharibike kama ni kwa biashara ni weke nini
@RosaliaMramba
Жыл бұрын
kipenzi nimefatilia hii video niliwasiliana nao lkn nasikia kuna vipimo vya kupimia kama vijiko nieleweshe
@jasminmkony2352
Жыл бұрын
napataje hiyo culture
@ikamalle
Жыл бұрын
Plz wasiliana na @mziwanda_bakers “instagram
@veronicaefrahim6864
3 жыл бұрын
😋😋
@user-qg1lb7ip4v
6 ай бұрын
Mimi Sina culture nataka kutengeneza. mtindi je nitatumia Nini ili yagande?
@rehemamajaliwa
Ай бұрын
Kanunue maziwa mgando mazuri mazito....chemsha maziwa fresh kama unavyoona hapo kwenye video double boiling yakishapoa yasipoe sana yawe na joto kwa mbali...changanya na huo mgando ulionunuaaa...koroga....funika kwa masaa 10/12 utapata mtindi
@kkilima5742
2 жыл бұрын
Iyo ya kuchanganyia yogat na mtindi vinapatikana wapi
@ikamalle
2 жыл бұрын
@mziwanda_bakers (instagram)
@liliandaka568
2 жыл бұрын
Tofauti yake ladha na mtindi hauvutiki
@brendamtui7298
3 жыл бұрын
Baada ya masaa 16 ni sawa kublend youghat au unapaswa utumie upawa
@ikamalle
3 жыл бұрын
Mimi siku blend
@rehemamgeni8285
3 жыл бұрын
Shukrani nimepata idea nitajaribu
@ikamalle
3 жыл бұрын
🥰🥰
@salamachimaisy5768
2 жыл бұрын
Naomba namba yako dada Ika Plzzz🙏
@victoriamichael9663
2 жыл бұрын
Yogurt na mtindi vinaweza kudumu Kwa muda gani kwenye fridge baada ya kutengenezwa?
@neema37_christmyredeemer
2 жыл бұрын
Hata zaidi ya wiki moja. Mimi hutumia hata wiki 3 lakini situmii culture ya dukani bali ikiwa yanakaribia kuisha naacha kidogo kama nusu kikombe kisha naandalia nyingine.
@fatmajumanne511
2 жыл бұрын
Je na mgando bila culture haifai
@doctorfestombaki-gs7kk
Жыл бұрын
Na mbona maziwa Yako wakati ikiwa tihari hauchuji maji au ndio culture inafanya isiwe na maji
@angelrutta2595
Жыл бұрын
Naomba namba yako dear
@doctorfestombaki-gs7kk
Жыл бұрын
Na iyo culture inafanya mtindi isiwe unachuja maji
@Liberatha-j5z
9 ай бұрын
Madam naomb no yako
@talitakongola8639
2 жыл бұрын
Culture napata kwenye maduka gani
@abdallahabdallah5619
3 жыл бұрын
Mimi naomba kuuliza culture ni nini
@deborakemaro7898
2 жыл бұрын
Culture naipata wapi Niko geita kijijini.
@veeJesus
2 жыл бұрын
Ni ya kugandisha maziwa inafanya maziwa yagande vzr na kwa haraka
Пікірлер: 115