Liitieni jina la Yesu , jina lipitalo majina yote, hakuna nguvu zozote za giza zitakazobaki hapo. Haijalishi kama kuna uliyemkosea au la, Mungu ni mwenye rehema, utafunguliwa kwa Jina la Yesu.
@jumaenzi4760
3 ай бұрын
Pole sana yesu anakula anakunya mtu kama wewe t pekeyake mwenye nguvu Allah tu
@shamiramsoke1365
3 ай бұрын
AMINA🙏
@denisrukangula2227
3 ай бұрын
Jina la YESU ni Kila kitu Duniani
@binseif2216
3 ай бұрын
Kwanini mnamtanguliza Yesu badala ya Mungu?hivi hamjui mnamuudhi Mwenyezi Mungu kiasi gani nyie wagalatia?
@pillykinabo8722
3 ай бұрын
Mleteten Raboni ministry ipo Zanzibar..case imeisha hio kwa Jina la yesu.
@rosemarymapango3747
3 ай бұрын
Hizi ni nyakati za kukaa na Mungu Kwa ukaribu sana kuliko maelezo,.Mungu atamfungua lakini
@AminaIssa-ee6kl
3 ай бұрын
Subhannah Allah....maajabu hayaeshi duniani kwa kweli....bado tutaona mengi kabla ya kufa.
@IsmailMjesh
3 ай бұрын
Allah atunusuru, na madhila ya dunia' we Amina Issa kimolo au?
@jenyyusuph4973
3 ай бұрын
MMM MUNGU TUSAIDIE watu hakika ni wabaya waleteni watu wa Mungu limetushinda sisi hakika Mungu halijamshinda
@user-jx4rx6jy6y
3 ай бұрын
Hakika dunia imeisha mungu msaidie baba huyo aludi kwenye haliyake yamwazo
@AwzaMstafa
2 ай бұрын
Pole sana kaka kila lenye mwanzo lina mwisho Mungu atakusimamia
@lizekajigil3243
3 ай бұрын
Waite watumishi wa Mungu wamwombee Yesu atamponya kabisa
@martinemaganga5253
3 ай бұрын
hapo hawezi vinginevyo wamtafute huyo mtu aliyetajwa
@user-rw2mm1jk6o
3 ай бұрын
Watumishi wenyewe wababaishaji tu wapiga pesa
@zaidiissa3714
3 ай бұрын
Sasa kama yesu anaweza kumponya je mungu anaweza kufanya Nini au mungu niwakazigani???
@odilomwemeziernest646
3 ай бұрын
@@zaidiissa3714 wewe umejazwa ujinga wa muddy.
@rosekimaro384
3 ай бұрын
Kabisa
@user-cw8zn2dn6m
3 ай бұрын
Sema Damu ya Yesu!! Atapona. Kama ni nguvu za giza bac ni mwisho tu kwa jina la Yesu Kristo. Mathayo8:5-13.
@mussamgonola3983
3 ай бұрын
Damu ya kazi gani mtu asha kufa miaka na miaka acheni kudanganya watu
@user-cw8zn2dn6m
3 ай бұрын
@@mussamgonola3983 Yesu hajafa wala hawezi kufa. Hahahahahaha we ni mjinga kwelikweli
@user-jv1ch4tr8q
3 ай бұрын
Wewe siwaende useme km inainmani sn😂
@sudymgeni701
3 ай бұрын
Chukueni simu yake tafuteni jina la mariam aje amalize iyo mambo ndio kamloga uyo mshenzi sana.
@rhodacharles8857
3 ай бұрын
Marium popote ulipo mungu anakuona
@mithlaabdulrahim8566
3 ай бұрын
😂😂
@mariamsemwaiko8169
3 ай бұрын
Mtuache tu ukizingua tunagandisha😂. Utani laki jaman
@paulinakajivo4670
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-gk7cu2ie7f
3 ай бұрын
Kweli bwana so utani ukizingua tunagandishaaa huu ni mwaka wa kugandaa tyuuu@@mariamsemwaiko8169
@xxxl-jf2ji
3 ай бұрын
😅😅😅😅
@user-lz5it9yn4q
3 ай бұрын
Mariam ww! Fanya kufungua chapu, hawa viumbe hatuwalogi tunawasemehe t Mungu anajibu
@mussaadamtheMiXologist1996
3 ай бұрын
I'm the first.... Kapigwa kitu Kizitooo.. Allah amjalie mpambnaji mwenzet arejee katak hali yake na kuendeleza mapambno
@kanankirannko6174
3 ай бұрын
Jamani ,hii barabara kiboko ndo na gambushi njia hiyohiyo ushirikina huko duh
@khadejarajab8007
3 ай бұрын
Mariamu popote ulipo mtengue mwenzako hiko kitu ulicho mfanyia
@siamnyone8403
3 ай бұрын
😂😂😂Uwez elewaa
@user-gk7cu2ie7f
3 ай бұрын
Staki
@solomondanny-1507
3 ай бұрын
Anajulikana mbona huku kwetu Katesh.
@solomondanny-1507
3 ай бұрын
Mariam anayetajwa anafahamika sana huku Katesh.
@AbdullaSeifKhamis-tv4zq
3 ай бұрын
Mariyam ni mamayake Issa
@EliatirishaKaaya
22 күн бұрын
.mungu mponye you kaka awe mzima jaman
@user-hv6qw2zw2y
3 ай бұрын
Wewe mariam wewe mungu anakuona mwache mwenzako . Akutaje wewe tu .unatisha mariamu
@fettiemaganza1484
3 ай бұрын
Inawezekana asiwe yy labda hyo mkewe alikuwa hamuhudumii kisa mariam ndo maana mwenzie kamfanyia hvo ili amtaje hyo mariam anaemuona wa maana
@kabhikachambala3392
3 ай бұрын
Haha.. kwa nini agande na mwanvuri... Yani amejiandaa asinyeshewe wala asipigwe na jua. Mambo ya ajabu anampigia kampeni mganga atakaekuja kutumtoa ...huo ni mchungo
@user-sv6zy3hc8o
3 ай бұрын
Jamani acheni utani mana ukisema ni dogo sema halija kukuta
@user-cv7vm1mx9d
3 ай бұрын
Kuna mganga atakuja kumtoa
@enockmaige8936
2 ай бұрын
Siku tano
@MCBTv-el3kh
3 ай бұрын
🤣Haongei wala kutikisika kamtaja vipi tena mariam. Millard imekaeje hii mkuu.......wew mtu muhimu bhana habari zako....iweke sawa hiyo
Wew mwenye akili ungekua nazo ungejitahd uwape ata watoto wako mwehu ww
@elinapetro7136
3 ай бұрын
@@neemakungule8633 mnatufatilia sana mmbwa nyie utafikiri tunashea msikiti fyuuuuu shetani wenu anawapeleka puta sana mwambieni kabisa hakuna kitakachobadilika yesu ataabudiwa siku zote za Maisha ya mskristo kwaiyo tulizeni vijambio vyenu
@Mariam-ke4og
3 ай бұрын
udini umeingiaje hapo ?
@East_Africa_120
3 ай бұрын
We toa ujinga wako apa
@victorianganyagwa2467
3 ай бұрын
Wanaume mmezd jmn kutumia wtt wa wt n kuwaacha cyo buree kbx Mariamu wwww Tunyoooshee Mtu iwe fundisho n kwa wanaume wengne mmezd me xjaon ht hrma akome tu Mariamu ppt ulipo chukuwa mauwa yako😂
@user-pi8vf2vp3i
3 ай бұрын
😂😂😂
@user-wq8kw7wb1n
3 ай бұрын
kama vile yesu alivyo hai nakuombea rehema mungu akusamehe akurudishie ufaham kwa jina la yesu uwe mzima uwe mzima
@zaidiissa3714
3 ай бұрын
Je mungu unamuweka upandegani kama yesu anaweza kutenda kilakitu je mungu anaweza kutendanini??
@andrewmhagama9816
3 ай бұрын
@zaidiissa3714 Mamlaka ya mbinguni na duniani amepewa yeye..kama ukisema mungu ni mungu yupi kuna watu wanaabudu mpaka ng'ombe,miti mashetani. Na ata tembo na wanasema mungu, sasa ili upokee uponyaji wa aina yoyote unatakiwa uliite jina la Yesu Kristo pekee ndilo lenye Mamlaka.
@LucyKapinga-fg4dk
3 ай бұрын
Ameeeeeeeeeeen Ameen@@andrewmhagama9816
@GodfreyOsward
3 ай бұрын
Tuwe tunatoa vifungu vya neno la Mungu la bible, watu wengi wamelishwa ujinga Unakuta hatujui vitabu vyetu vya dini Zetu. Tumekariri kama kasuku hatari imani ikiwa kwenye lugha za kigeni. Umungu wa Yesu ni tatizo kuelewa. Hata hivyo huyo ndiyo mpinga kristo mwenyewe.
@julianamwamgogwa
2 ай бұрын
Amina
@MohamediAthumani-ub8nn
3 ай бұрын
Mungu amwepushe na Hilo
@FatmahPwatati
3 ай бұрын
Lailah illah allah muhammad rasurullah,allah mwema atamxaidia
@user-yq5uh1fr2p
3 ай бұрын
Dunia imefika mwisho mungu tusaidie
@michelinemapendo6652
3 ай бұрын
😢😢😢khaaaa isimame tuchukeee😢😢
@jassontv5366
3 ай бұрын
Koma wewe Dunia haiwezi fika mwisho kwa vitu vya kijinga wewe
@rosehaule6765
3 ай бұрын
Wala.aijafika.mwisho watu ndio tunafika..wisho.matukio haya yalikuwepo yapo tangu zamanj ila.tu zamani watu walikuwa wachache Sasa huvi watu tupo wengiii.. si ushirikina wala nn anaumwa huyo aikili zimemruka uenda Mahalia tu wampeke hospital na wamuimbee au uenda anatafuta kiki tu😂 Mungu atamsahidia wampeleke hospital Imani za kishirikia ndio zinatufanya kumchelewesha mtu hospital matokeo yke anazidi kuumia angepqta tiba mapema anapona
@dayana5513story
3 ай бұрын
imeniuma sana😢
@omanoman2044
3 ай бұрын
Et kapigwa na kituy kizitoo duuh
@Mina.15
3 ай бұрын
😂😂😂😂 mariam peponi haendi
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
@@Mina.15 tutawatangulia wote , tuachwe tuko busy 😂😂😂😂😂
@StimaOfficial
3 ай бұрын
Anahitaji kupelekwa maombi sio tatzo la hospital hilo. Yupo Mungu afanyaye mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya
@user-lb1nr2fw7t
15 күн бұрын
Nimekoma kuwatongoza akina Mariam😂😂😂
@NeemaSamweli-zo7zi
3 ай бұрын
Mmh hii Kali ya mwezi jomon 😂😂😂😂 Mariam jamn, sameh mana ujui nawe mungu amekupangia hukumu gani na Kwa njia gani ples letdwn 4hm
@justice607
3 ай бұрын
Huyu jamaa nnaomba huyo ndugu yake amlete Kanisa la Vuka Yordani Kisongo waya kwa Askofu Elibariki Sumbe, atapona kabisa nakuendelea na shughuli zake
@Revelation1412.
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Siyo kwamba wamuombee tu kwa JINA LA YESU KRISTO apone Lazima aje huko yordan
@mamachris6811
3 ай бұрын
@@Revelation1412.Tangazo la biashara 😂😂😂😂
@hidayaswai3119
3 ай бұрын
Apelekwe hospitali kwanza jamani labda celebral malaria
@moseschrislumole2496
3 ай бұрын
Huyo meneja wa kampuni ya ulinzi...anavyotaja Maria nmekumbuka JUAKALI wazee hawa kina maria mkae nao mbali mtakuja kunishukuru😢
@user-jr3mo3je3k
3 ай бұрын
Hahahaaaaaaaaaa jmn Mariam
@AnnaMichaely-yn2vm
19 күн бұрын
Yesu amponye
@michelinemapendo6652
3 ай бұрын
ODEMBA 😢😢😢😢MARIAM
@3Dee_51
3 ай бұрын
Mariam odemba aje😂😂😂
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
@@3Dee_51 jamani tuacheni tuko kazini 😂😂😂😂😂😂😘
@kemmymartine4884
Ай бұрын
😢😢😢😮Mungu wetu aliejaa Rehema uturehem
@Theironrod9373
3 ай бұрын
Serekali itasaidia nini hapo… kila kitu serekali serekali… hii ujinga wetu utatutoka lini… huyo mtu mpelekeni kwenye maombi tu atapona hayo ni mapepo tu.. wala hajachanganyikiwa.. bali amechanganyiwa madawa tu…
@user-eq2wg9hx6o
3 ай бұрын
Kama muna maji ya mwamposa mnywesheni na mpakeni mafuta
@valentinanduku8718
3 ай бұрын
Damu ya Yesu kila eneo la maisha yngu
@Afsah90
Ай бұрын
Damu gani jamani, yani vitu havina maana kabisa...muabuduni mungu acheni kuabudu kiumbe, abudu mungu aliekuumba na kuumba kila kitu
@user-jn4vw5mv5s
28 күн бұрын
Hii umeenda yahani hii Dunia Bado Kuna matukio yatatushangaza sana
Haongei na watu ila akiwa mweyewe ndio anamtaja huyo mariamu
@IkoUwasi-it6qy
3 ай бұрын
😂@@user-cy8el2pg6t
@user-ng6ep3hi4c
3 ай бұрын
😂😂😂Umenichekesha sana
@mwanduelizabeth2282
3 ай бұрын
Daaaa jamani walimwengu wabaya sana.Aliyemfanyia hivi yupo amekaa ametulia tu anafurahi.Kumb la torati 28:7 inasema Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako watakutokea kwa njia moja nao watakimbia mbele yako kwa njia Saba.Bwana Mungu akashughulike na aliye fanya Jambo hili kwa huyu kaka.
@lucymbuma681
3 ай бұрын
Jamm mungu atusaidie jmn
@asteriashios1852
3 ай бұрын
Mariamu huyo anafahamu alilolifanya
@zamalisaide3209
3 ай бұрын
Mwenyezi mungu nimwingi walmaa atapona inshallah
@timopanga5286
3 ай бұрын
Wajina pole sana mungu akunasue kwenye mitego mibaya 😢😢
@DativaMbowe
2 ай бұрын
Yesu ingilia kati ya maisha ya huyu kijana,
@SV_astro
3 ай бұрын
Wale manabii wakowapi?! Waende huko
@CairoJames9
3 ай бұрын
Si ndo hapo...au tuwatag hapa wote😂😂
@user-nt4ov4gl2o
3 ай бұрын
akianani sikuizi akuna wanawake daa
@NeemaMamba
2 ай бұрын
Mwiteni mungu atamponya mungu anaweza
@PetronilaRaymond
3 ай бұрын
Mungu amponye
@mikaelchazi4616
3 ай бұрын
Duh😢 hatari sana😢
@PendoMatemba-ql1ng
3 ай бұрын
muonee uruma huyo kaka mariam kama Amekukosea msamehe tu mkabidhi mungu kipenzi changu.
@user-sj3wf5vz7l
3 ай бұрын
Mh manyara tena. Uchawi huo
@Silviamwesh
2 ай бұрын
Ndio maana watu uogopa kwenda ushagu kwao na wamelelewa uko wachawi kila mahali sasa mtu asitajirike na asiende nyumbani?????
@MiriamSamuelke
3 ай бұрын
Life is spiritual
@producercharlz2549
3 ай бұрын
Sasa kama haongei kamtaja vp mariam
@pascalgasper403
3 ай бұрын
Mariamu Tuoneshane Machaka Hayo😅😅😅
@Biharmbeauty
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@pascalgasper403
3 ай бұрын
@@Biharmbeauty 😅😅
@KHAMIS_SHILINGI
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SingoMedia
3 ай бұрын
Wa kwanza mimi leo ❤
@justice607
3 ай бұрын
Wakwanza kufanywaje
@kekiplus1andonly
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mwaka ushaanza kuchanganya ata kabla june😂😂😂tutaona mengi
@lilianurio9781
3 ай бұрын
Amepata mental health anahitaji doctor wakumfanyia cancelling na kumpa dawa
@MinskBelarus-il2tl
3 ай бұрын
Hilo ndilo SULUHISHO, Mental health na Uchawi wapi na wapi😢😢
@ladislausngoyinde4384
3 ай бұрын
Umesema haongei, amemtajaje Mariam sasa
@SalamaNauthar
3 ай бұрын
Sub-hannallah!!!!
@salmanassor8732
3 ай бұрын
Maryam jamanii imekuwaje tenaa baba wa watu 😂😂😂
@wemaMichael-fr4th
3 ай бұрын
wakina mariamu nao huwa wanashida jamani
@mithlaabdulrahim8566
3 ай бұрын
Ila mganga wa mamu aiseeee😅😅
@user-iz3sl6ul7f
3 ай бұрын
Wewe dada mwogope mungu
@eddynaingasian2813
2 ай бұрын
Amtaja Mariamu kimoyomoyo ama ...umesema haongei😂😂
@fatmaabdallah7709
3 ай бұрын
Sasa siku 5 mnamuona mgonjwa wa akili anahangaika mmeshindwa kumpeleka hospitali?
@adoniemanuel908
3 ай бұрын
mpigieni nabii dominik kiboko wawachawi nahuyo mariamu namganga wake wanakufaa
@mwalimuissa5964
3 ай бұрын
Nitumie namba yake
@shabanimshanga8863
3 ай бұрын
ya ulimwengu mengi😊
@salmanassor8732
3 ай бұрын
Kabisa 😂
@user-iz3sl6ul7f
3 ай бұрын
Mwogope mungu ww dada
@MiriamSamuelke
3 ай бұрын
He has been initiated to the dark world .aombewe
@user-ub3er7zf9j
2 ай бұрын
Mariamu akamatwe jamani
@user-em4zz3lh1h
Ай бұрын
Huyu mama mliyemuhoji anaMungu kwelikweli na Imani thabiti
@chimamilion
3 ай бұрын
Mariam nae asingempa mwamvuli wanaume wanazd sana
@zaitunirashidi5532
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@anethcharles5443
3 ай бұрын
😄dah mariamu weee
@martinemaganga5253
3 ай бұрын
huyo huenda alitembea na mke wa mtu au alimtapeli mwanamke
@stevendavid8054
3 ай бұрын
Kwa jina la Yesu naaribu uchawi
@FatimaFatima-bx8ez
2 ай бұрын
Jamani pengine ni husda mpelekeni akasomewe kisomo cha husda😢ishaallah atapoa😮🎉
@IbrahimJoji
2 ай бұрын
Dam ya yesu inanena mema atakaa sawa
@user-ti6eg1qf6j
3 ай бұрын
Wacha mungu amukuze
@siamnyone8403
3 ай бұрын
🤗🤗Tabora ....
@saidomary7930
3 ай бұрын
Ila Tanzania raha sana jmn😅
@DianaMaseke
3 ай бұрын
Mleteni Dar es salaam kanisani .Ngomeni Kwa Kuhani Mussa Kila kitu kitajulikana hapo
@HappyNanotechnology-bz4cn
3 ай бұрын
Niuchawi jamani ila liko Jina la Yesu linaponya
@user-vy2bc6xg3i
3 ай бұрын
Siku tano😢Subhannallah
@user-jr3mo3je3k
3 ай бұрын
Jaman MARIAMU nn umemfanyia huyu kijana
@RehamAlmamari
2 ай бұрын
❤
@Silviamwesh
2 ай бұрын
Tuonyesheni sura
@PeterMwamtobe
3 ай бұрын
Amina
@DativaMbowe
2 ай бұрын
Mungu atunusuru wenye watoto wakiume 😢😢
@ashuumuhammad8269
3 ай бұрын
Pengine Maryam amefanyiwa jambo na huyo mkaka ndio akaona afanye hvoo Maryam msamehe tenaaa
@XxhamxyyxShha
3 ай бұрын
Apelekwe milembe
@user-gs1xl8nu1s
3 ай бұрын
Jamni ndugu zangu tusisahau kama hizi ninyakati za mwisho ko chamuhimu ni kumuomba mungu peke yake
@Mineshrey
2 ай бұрын
Wamlaze jamani damu itaganda
@DrPiusTV
3 ай бұрын
@Milard Ayo , HUU SIYO USHIRIKINA, msaidieni aende haraka Hospitali, tatizo linaitwa CATATONIC SCHIZOPHRENIA, msipofanya hivyo mnampoteza soon.
@FredMwamgogwa-td6ni
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 dunia inamambo aise😂😂😂😂😂
@hawaelymaricca7602
3 ай бұрын
Daaah Mungu amponye
@vesitinarevocatus7333
3 ай бұрын
Mchapeni bakora muone kama hatonyanyua iyo miguu😂😂😂
@user-pw2dv9fr6r
3 ай бұрын
Hio ni schizophrenia,dalili zake ni hizo mpelekeni hospital ya wagonjwa wa akili
@jumapiliissa4835
3 ай бұрын
Hayo nimashariti aliyopewa na mganga wake huko kwao alikotoka siku chache tu atakua kama alivyo kua
@GrantEdwards-ow4fd
3 ай бұрын
Kama vile inaniingia akilini.yawezekana
@user-ug4kq3je5c
3 ай бұрын
Jamaniiii mariam mbona una roho mbaya
@salminabuhudhaifa4273
3 ай бұрын
hii si iliwahitokea arusha? mnazingua
@upendomtui6544
3 ай бұрын
Waganga wameshafanya kazi ya boss wao babaa wa uongo
Пікірлер: 729