Tume ya kutathmini utendakazi wa polisi nchini IPOA imeanza uchunguzi kuhusiana na mauwaji ya watu sita kwenye makabiliano kati ya polisi na wananchi eneo la Isebania kaunti ya Migori. watu hao wanadaiwa kupigwa risasi baada ya kuvamia kituo cha polisi walipokuwa kwenye maandamano ya kulalamikia kukithiri kwa uhalifu. na kama anavyoarifu maryanee nyambura, Shughuli za kawaida kwenye mji huo zimerejea baada ya siku tatu za vurumai.
- Күн бұрын
Tume ya IPOA yaanza uchunguzi kuhusiana na mauaji ya watu sita mjini Isebania
- Рет қаралды 2,196
Пікірлер: 4