Haika na Navy kenzo ni couple ya kuigwa toka nimewajua hawajawah kuachana big up kwenuu
@nasmamsasi8519
4 жыл бұрын
Sema aika na nahreel. ..nasio aika na navykenzo😂😂😂😃navykenzo NI wakiungana
@Siasa-k7v
3 жыл бұрын
Maybe washawai kuachana lkn kitu naona hawana pride na umbea wa kutoa vitu vya ndani kwa media.
@radhiyaoman2543
4 жыл бұрын
Yaan hawa wanajitambua sio hapo vilaza wabongo God bless them
@raymondkabango8151
4 жыл бұрын
Kama kuna aliegundua ujamaa ni mtajiri gonga like apa😂
@tanzaniaboy9605
4 жыл бұрын
This guy it's so cool yuko really kabisa na generous safi sana
@stellahmollel1593
4 жыл бұрын
Nawapenda sana hamna skendo Kama vile hampo Mungu aendelee kuwalinda
@matukiosafaris6508
4 жыл бұрын
Siyo vizuri kushikashika ukuta na mikono na kuegemea ukuta not acceptable paintings cost a lot
@ladyyantah4685
4 жыл бұрын
Couple yao naipenda sana😘😍
@lizzypissa4912
4 жыл бұрын
Mungu awatangulie kwenye mausiano yenu 💋💋💋💋💖 mnapendeza sana
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
mwenyeji kakaa kabla ya kumpa mgeni kiti hahaaa mr low key guy(nahreel)
@shakirafakhad9979
4 жыл бұрын
True love I like this cople
@fatnahsaleh860
4 жыл бұрын
What 11 years. MashaaAllah 🙏
@boniphace1
4 жыл бұрын
Hizi nyumba nyingine zinatuaibisha sana tuliyosoma,kha!
@nikodemomola3478
4 жыл бұрын
This guy is so cool.👍
@yusuphcharles911
4 жыл бұрын
Magical I love you bro, dah much lov to u
@jellysemwali3509
4 жыл бұрын
Hongereni sana nyie ni mfano Wa kuigwa
@isadivanny
4 жыл бұрын
Wana wcb nipeni like zenu Leo nimekuwa mtu wa kwanzaaaaa
@aginessjacksoni8115
4 жыл бұрын
Iya hap sasa nenda ukanye urare
@thumamusa629
4 жыл бұрын
Lovely couples (nahrel n aika)
@leaherasto929
2 жыл бұрын
Mjengo
@issakasim2549
4 жыл бұрын
11yrs akat wenzenuu mwk moj ya ndoa ni nomah God blss u nevycazooooo
@noriamnilson491
4 жыл бұрын
Real I llyk this couple
@bestnecklace4071
4 жыл бұрын
Thankfully kwa gud Interview Nahreel mkono
@preciousmohmed7372
4 жыл бұрын
Nahreel mkono.....nakubali kazi yako bro.....👊🏽
@marinamooh4055
4 жыл бұрын
Nahreel na Aika 😍🔥
@roseraphael8959
4 жыл бұрын
My fav couple
@fadydebosslad9638
4 жыл бұрын
Tuna angalia lkn tunarudi nyumbani😁😁🤣🤣
@moberoministries3610
4 жыл бұрын
im in love with u wity these us are looking like us be strong lets focus
@nshimiyejustine985
4 жыл бұрын
I like your couple
@denisstameza-unitedstates3668
4 жыл бұрын
Kutoka Florida USA 🇺🇸 .....namkubali sana jamaa
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
Wanaushi vizuri mashallah
@glorianikiza6033
3 жыл бұрын
Mkwanja upo
@rehemakulaba495
4 жыл бұрын
Safi sana nimefurahi sana
@abdifatahofficial1505
4 жыл бұрын
Nice keep going like
@cuthbertmalema8538
4 жыл бұрын
Nice house Baba gold
@tummkwawa1148
4 жыл бұрын
This guy is so frank! That’s supeeer cool👏🏽👏🏽 you’re a great presenter Aaliyah 👏🏽👏🏽 go gurl!
@owlbig
4 жыл бұрын
Nice interview
@AlksvJshd
3 ай бұрын
🎉🎉❤❤
@shabanmohammed8235
4 жыл бұрын
Huwa najiuliza sana huyu Aaliyah na Jonijoo wakiwa peke yao kwenye interviews wanatisha sana ila kule block 89 ni tofauti
@husnamchumia5084
4 жыл бұрын
Yani iyo ni kweli kabisa
@Dm-yq9wn
4 жыл бұрын
Shaban Mohammed wakiwa pamoja kila mmoja anataka ku skika kuliko mwenzake mwisho wasiku tunaona utofauti
@tumlakimwaitumule
4 жыл бұрын
@@shammylove1525 callipso ni bonge la presenter mama... otherwise haujui nini maana ya real presenter...
@tumlakimwaitumule
4 жыл бұрын
@@shammylove1525 issue hapo ni utaratbu wa maswali useme..ila kuhusu uwezo,callipso ni bonge la presenter hapa mjini...she gat everything
@charlesjanny8232
4 жыл бұрын
Nafikili hawajaunganish chemist zao vzr
@zabibunduwimana4612
4 жыл бұрын
Bro uko vizuri sana kwa ku jb couple yenu😍😍😘😘
@pap2nicole348
4 жыл бұрын
kama ulisikia kila mmoja anaubavu wake bas hawa ni mtu na ubavu wake
@venesteven2977
4 жыл бұрын
Wengine tunaforce Yan unaganda kama ruba hahahah
@surujajwie4768
3 жыл бұрын
wow
@ambakisyejeremia4204
4 жыл бұрын
Maisha ni nyumba imekaaa vzr
@Umande83
4 жыл бұрын
Dope... But sound kama echo fulani hivi.
@2nukhamis447
4 жыл бұрын
👍
@ntamugabobizi4580
4 жыл бұрын
Weye jobwanamuzuri hautaki mazoeya nawana wake
@leemassawe8968
4 жыл бұрын
Mzd kupendana
@suzanachengula4654
4 жыл бұрын
Nawakubali sana nyie wawili
@revinicejoseph7380
4 жыл бұрын
Wwe nae Kama umeamua kufany interview na mtu siuamue kutumia lugha moja. Zamarad&millad wako perfect sana
@mtwamvuyekule3349
4 жыл бұрын
Hii channel imelenga Sana vijana so kAma lugha kwako haipandi mzee hatuna msaada na wewe
@hezjosef9445
4 жыл бұрын
Camera 2. Increase vibrance.
@lucasmichael9367
4 жыл бұрын
Bless you
@meaningoflife651
4 жыл бұрын
😂😂😂😂chizi ww nareal unadharau kwo tukikutaman tuje kwenye show tuje stage utubambie😂😂😂😂😂ila mnapendana jmn ivi imekuaje mbaka mmedumu kiasi cha miaka 11 jmn mbn cc ata miez 6 hatufiki😭😭
@careurshiarhamis2129
3 жыл бұрын
😆😆😆
@neymansalum3011
4 жыл бұрын
Jaman leo wa ttu kwa kwel haijawahi kutokezea kutizama kit niwe wa tatu ninefurahi san
@mariamrashid3252
4 жыл бұрын
Alipo v upooo
@zikirination6769
4 жыл бұрын
Nareeh kawah sofa kabla ya mgen
@nomanissai8308
4 жыл бұрын
Ni mfano wa kuigwa xn tz elimu muhimu na kujitambua pia
@bilimkenti9198
4 жыл бұрын
Sunum güzel
@hindukassim8037
4 жыл бұрын
Nwpnd sana ila huyo mgeni cjapenda alivyokalia meza
@emmanuelmchomvu9364
4 жыл бұрын
Hindu Kassim tatz mwenyeji kakaa bila kumkaribisha mgen lkn nadhan walipanga pakukaaa ndio maana nareel alikaa kiti special
@fadmokinglove9954
4 жыл бұрын
Hiyo mezaa ya kwako sasa
@petsoncharles8135
4 жыл бұрын
Tisha
@lindatemu9216
4 жыл бұрын
Mkaribishe mgeni Mko vizuri
@abdallahhussein5997
4 жыл бұрын
Plan zao ni insane crazzzzzzzzzy
@sadikathumani1003
4 жыл бұрын
Inakuaje mgeni anasimama afu mwenyeji anakaa hii inashangaza sana.
@tumlakimwaitumule
4 жыл бұрын
Hizo swagz tu acha ushamba
@zakayomusa9933
4 жыл бұрын
Shangaa
@veronicakawawa3009
4 жыл бұрын
Acha ushamba na kuhukumu watu bila sababu...angalia htamwanzo amekaribishwa vizuri
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
tell me about it
@uzaiyahamudi7123
4 жыл бұрын
Viti vyote hajaona pa kukaa
@sarahchuma3538
4 жыл бұрын
Uzungu gani jamani Wa kuweka tako kwenye meza ya chakula????
@janethkilonzi4260
4 жыл бұрын
Ushamba huo
@beatricejuma1230
4 жыл бұрын
Yaani.
@afterfull-time1348
4 жыл бұрын
Aaliyah alishaOea kusimama kweny vi interview vingi yaan maisha yke ni ya juju kama mtoto wa kambo simple tu yaan napenda lifestyle yako japo sikuelew kiundani zaid
@dianamajiyapwani
4 жыл бұрын
Utakalishaje matako yako kwenye meza ya chakula n kiti kilikua kipo pemben hapo
@shayonapatel1408
4 жыл бұрын
Nimeshangaa pia mimi! Soooo disgusting and disrespectful!
@rashidbarua4294
4 жыл бұрын
Kosa mwenyezi ndio katangulia kukaa angempisha mgeni akae kwani hawezi jikalia kabla yakuambiwa ndiposa kaona apoz hapo....
@OmanOman-uw1nn
4 жыл бұрын
Kumbe hata nyinyi mmeona wenzangu na viti vipo hapo Ila kaona meza ya chakula ndo akalie sio kiti
@cuteme4870
4 жыл бұрын
Show ingekua ya kingereza tu bac maana uyu dada anatupoteza tusiojua
@mimaakenirram1405
4 жыл бұрын
nimependa interview nice
@evansjulius8079
4 жыл бұрын
Kama umegundua jamaa anaongea sauti kama ya marehemu Ruge Mutahaba gonga like;
@elizabethpetro5962
4 жыл бұрын
😃
@catherinebazil5162
4 жыл бұрын
Kwanini humkaribishi mgeni vizuri lakin🤦🏾♀️
@aishalukas5814
4 жыл бұрын
Mwandishi wa habari haruhusiwa kukaa anaokuwa kwenye Exclusive Kama Askari tu asivoruhusiwa kukaa akiwa na mtuhumiwa
@mwarabutoleolamwisho7879
4 жыл бұрын
Nimefurahi kukusikia Leo ukiwa unatiririka peke Yako kiundan zaid maana angekuwapo shemela unge'MUTE but your simple man and AIKA is the delicious one.
@annastaziaramadhani2666
4 жыл бұрын
Editor wenu awe mbunifu kwenye kujadili mistar ya nyimbo apray ivyo vipande ili kuweka laza zaidi,
@damianjeremia3821
4 жыл бұрын
Annastazia Ramadhani Nitarekebisha ila na wew uandike vizur sio kupray ni kuplay pamoja sana
@annastaziaramadhani2666
4 жыл бұрын
@@damianjeremia3821 😂😂😂😂😂😂nimekoma
@damianjeremia3821
4 жыл бұрын
Annastazia Ramadhani yaaaap
@saumuhassan6365
4 жыл бұрын
Mko vizuri 👍
@sashrely6815
4 жыл бұрын
Thanksgiving
@jstarbvibes
4 жыл бұрын
black boy utaniua mie sema dm ndo hujib dooh
@blandinamnyinga8318
4 жыл бұрын
ucjali aika atamjibia
@emmyemmycute6028
4 жыл бұрын
Kizungu sasa 😴🤣
@wizzymillyofficial8881
4 жыл бұрын
Good
@totosheretone7356
4 жыл бұрын
Bad manners kukaa juu ya meza
@abubakarikisuju5374
4 жыл бұрын
Kwani nyie akikaa au akusimama hata akiuliza maswali akiwa amelala nyie inawahusu nini?pumbavu nyie mwacheni mke wangu
@sadanassor7966
4 жыл бұрын
Mkaribish mgeni akae jaman
@yussuphkazumar6229
4 жыл бұрын
Niceee
@Pratnumzsimba
4 жыл бұрын
Wcb for life
@joevang4685
4 жыл бұрын
bro unazingua, unapotea sana sana
@happyelias4536
4 жыл бұрын
Uko poa
@sofiagashomba5550
4 жыл бұрын
Unamkumbatia dada kwa hisia...kuliko Aika
@aginessjacksoni8115
4 жыл бұрын
Pumbu zako rike iyo pokea na wewe
@lykamlaki7120
4 жыл бұрын
Dooh mbona kila kitu mnachukulia serious sana
@ireneoliver4609
4 жыл бұрын
Kama umeona navy kenzo ameanza kujichubua twende sawa 🤣🤣
@lykamlaki7120
4 жыл бұрын
Itabidi ukacheck macho
@noelankiramweni3896
4 жыл бұрын
Hajaanz
@maumnazareti3954
4 жыл бұрын
Kama we ni mweusi siku ukipata hela naww zitakuchubua
Пікірлер: 149