Tena alivyokua Jeuri anatafuna huku anaongea na Mkuu wake...Hyu ndo Kibaka sugu w Kodi za wananchi.
@Brunn-mh2bq
13 күн бұрын
Hatafuni. Ana tatizo la meno 😅
@hajihassan5433
6 күн бұрын
Yule ananuka meno anakata harufu.
@EmmanueliZani-ur9bi
13 күн бұрын
Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
@ayoubmtumishi50
7 күн бұрын
WANA MAGARI YA KUSAMBAZA MAJI,,,,MABOZA
@shinipapaya846
6 күн бұрын
Yachomeni moto hayo magali yao yanayo sambaza maji mtanyanyasika mpaka lini kwenye Tanganyika yetu amkeni kwenye usingizi wa samaki pono 😢😢
@nguruwekikwete1635
14 күн бұрын
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
@africaonechannel1289
13 күн бұрын
Ndugu!, Mbona UMEAMUA KUYASEMA MANENO YAKIWA MABICHI KABISA!? Hujayakaanga, hukuyachemsha &hata kuyaanika juani pia hukutaka!? HII NI "NGURUWE Aitwe NGURUWE●
@laurentraphael5470
13 күн бұрын
Wapuuzi sana. Waachie ngazi
@frankyeye
13 күн бұрын
Bro kwani sisi walimu kwenye maji tunaingiajee😢😢😂😢😂😢
@MohamedAhmada-ie7ke
12 күн бұрын
Kama una akili huwezi kuasema walimu hawana wanacho kifanya siwez kuwadharau kabisa hao watu ni kama wazee kwetu
@nguruwekikwete1635
12 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke tatizo lako ni kukosa akili....tafuta akili utajua naongea nini ?
@africaonechannel1289
13 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
@user-bi7gk7im4f
9 күн бұрын
😂😂. Labda anatafuna miti shamba,sio big g
@hildajoel5
14 күн бұрын
Huyu bwana kuna kitu kinampa jeuri maana hiyo confidence sio ya kitoto😢
@joycekambuga6286
8 күн бұрын
Hana confidence ana afya ya akili na anatafuna dawa
@NurudinZuberi
Күн бұрын
😂😂😂@@joycekambuga6286
@saidhamza5318
14 күн бұрын
Hy mzee white mbona ka kalewa au👀😳
@user-zm4mm4eb5j
6 күн бұрын
Zombie hilo linawaza magari yake yatauza maji vp ikiwa matanki yatajaa maji
@user-xn8jh1yw1h
12 күн бұрын
Hatutakii mema huyo! Anatesa Jamii! Maji ni Uhai! Anahujumu uchumi.
@GeorgeChacha-dd9fh
14 күн бұрын
Yani unatafuna kabisa huwazi😂😂😂
@lucasmlowezi9214
14 күн бұрын
Kweli ni dharau kubwa sana, watu wanahangaika maji mzembe mmoja anazingua. Lengo serikali ya Mh. Samiah ionekane hafanyi kazi. Safi sana Mh Waziri
@verdianabanabi2205
13 күн бұрын
Anaficha harufu ya pombe au dawa za kuzindika asufukuzwe.
@SalmanMughal-lq5lt
13 күн бұрын
🤣@@verdianabanabi2205
@user-bi7gk7im4f
9 күн бұрын
Hahahaha
@laurentraphael5470
13 күн бұрын
Awamu ya majizi tupu. Hongereni
@MnubiMm
13 күн бұрын
Kwa Mtazamo wako haki yako
@eliudsinkala419
14 сағат бұрын
Njoo Morogoro Waziri huku ukienda kutoa shida unapewa namba ya simu ya fundi uwasiliena naye ,badala ya ofisi kutoa maelekezo.Maana unambiwa mafindi wako site.
@hawaelymaricca7602
14 күн бұрын
Tumbua wote hao wanafanya kaz kwa mazoea. hawana hata wasiwasi maana mishahara wanalipwa
@user-gy5en6cy8o
14 күн бұрын
Kabisa Kama serekal inafanya yte haya alafu hawa wajingawajinga hajui jinsi tuna yo pata shida ya maji tumbua Muheshimiwa 😢
@davidchihimba9489
4 күн бұрын
Ccm mnajizengua wenyewe mnapiga ndo maana na wao wanapiga wanawaonea gere mnavopiga
@aminamwashambwa6846
12 күн бұрын
Njia panda ya makabe Wana magari yanauza maji boza elfu ishirini kwa maisha gani ni manyanyaso
@injilinjeyakutazakanisa
8 күн бұрын
Nakumbuka mbali sana, Kaka jipe moyo na kubali hii ndio dunia. Pole
@aminamwashambwa6846
12 күн бұрын
Watu wanateseka kununua maji ndoo hamsini kwa elfu ishirini huku njia panda ya makabe, ni mateso wao wanakula mshahara na majumbani mwao maji yapo
@user-um2nw8em7j
4 күн бұрын
Hapa ndio ungejuwa what is JPM
@2003hintay
13 күн бұрын
Adabu hana fukuza kazi sio kusimamisha unaongea nae yete anatafuna big G
@hamiduomar1316
10 күн бұрын
Anaonesha zarau kwa wazir cjui ninani anayempa kiburi cha kujiamin mbwa huyu fukuza kabisa
@MariamLigoha
9 күн бұрын
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
@sabrinaibrahim1127
4 күн бұрын
Huyu atakuwa kalewa anatafuna vitu vya kutoa harufu ya pombe
@VictaDaudi
7 күн бұрын
Viongozi Kama hao wapo wengi Sana ,, hata Hulu IRINGA wapo wao kazi yao ni kubambikizia watu bili za maji ,ndio wanachoweza TENA tunaomba mtuletee mita za kununua maji kabla ya matumizi hapo mtakuwa mmetusaidia 😮
@charlesadolf1062
6 күн бұрын
Hor. Dr. May you kindly fired out this guys. This days to be sincerely dawasco is *business as usual* Beach Beach every hour water went off. Please step down these team.
@johnmwakipesile9046
14 күн бұрын
Hiyo ni hujuma waziwazi apo kuna watu wanakutengenezea zengwe ili utumbuliwe Mh Waziri
@sofiakhan9706
13 күн бұрын
Kweli kabisa na maada ye waziri anaondolewa wanabakia waharibifu palepale na kuendelea uzembe
@nicholouswaryoba1474
6 күн бұрын
Tunawaonea tu viongozi ila watendaji wa chini ndio tatizo
@nkwazigatsha
7 күн бұрын
Jamaa anaonekana mkatili kweli kweli. Mtu mzima hovyo
@YahyaMbega
6 күн бұрын
Agaria macho yao warevi hao warikoshe hera wana maboza hayo huku maramba 2 wanatuzia 45000
@godfregiiti8327
7 күн бұрын
Waziri wa maji tembelea mwanza Nako kuna ujuma kubwa kwenye chanzo kipya Cha maji akitoi maji kama tulivyotangaziwa matatizo ya maji yamekuwa makubwa kuliko ilivyokuwa kabla ya ujenzi wachanzo hicho maeneo ya buhongwa ziwaunaliona lakini maji ayapatikani
@hamzaibrahimu
13 күн бұрын
Boss njoo na Mwanza Umeme upo ziwa tunalo lakini maji ya mgao🙏
@JemaLupande
8 күн бұрын
Mbagala utakuja lin mhe,make tunateseka mpk basi mwezi mzm maji hayatoki na bili zinasomwa tukiuliza sababu ya maji kutotoka tunaambiwa umeme wakati umeme upo!
@consorathajames2693
13 күн бұрын
Anatafuna kizizi ndio maana ana confidence zakutosha
@khadijakimaka8427
6 күн бұрын
Muheshimiwa nakuomba uje Arusha
@mweyoms5548
5 күн бұрын
Wahuni wamejaa ofisi za umma
@sammymdemeka7937
7 күн бұрын
Hawa mameneja wa Mamlaka za maji mtatuulia Waziri wetu Aweso mnamfanya aingie hadi kwenye matank kwa uzembe. Sasa dawa yenu inachemka sheria kali ziletwe ikibidi kufungwa maisha na kufilisiwa huu ni uhujumu uchumi😢😢😢😢😢
@mohammedkhimji7505
14 күн бұрын
Mzee White kalewa hahaha ndio maana kaamua kutafuta bigG kuua harufu
@habibamaguru2722
6 күн бұрын
Niwajeur sana,Greda lilipita kutengeneza barabara mtaan kwetu wakakatakata mabomba,tumekaa week 3 naa hatuna maji,Wakipigiwa majibu yao ni ya nyodo pia mpaka tumeenda ofcn kwao ndo wakatuma mafund tena wanataka pesa tukagoma ndo wakaunganisha maji
@pascaldonati2711
13 күн бұрын
Na sis Nyashishi hatuna maji tokea Uhuru
@YahyaMbega
6 күн бұрын
Ndugu waziri huyo mrevi wa madaraka wanatuambia puresha ndogo
@YahyaMbega
6 күн бұрын
Hata huyo wa2 wote hao warevi watowe au huna wengine au mnarindana huyo mkuuwa wiraya wamemfukuza kure mawasiriano 2000wanareta mazowea
@iam_sami
14 күн бұрын
Ukiskia kazi na mazoea ndo haya mazoea mengiii aisee kummke tia ndani woteee
@MRN_the_Real
6 күн бұрын
Mh. Fukuza hayo matahira, watendaji wa moja kwa moja huwa ndo wazembe sana, ukianzia kuchunguza mapungufu kuanzia mamlaka za juu mpaka watendaji wa moja kwa moja utakuta kuna uchafu mwingi sana
@user-zm4mm4eb5j
6 күн бұрын
Hujuma Hujuma Hujuma hakuna zaidi sijui Tumerogwa na nani sisi Watanzania
@davidchihimba9489
4 күн бұрын
Muweke sheria atakayefanya utoto anyongwe
@sananefrank6560
14 күн бұрын
Njoo na mwanza haraka sana mkuuu same kunamichezo mibaya hakuna maji hapa mjini mgao mkali sana hapa Nyegezi
@jonasnyanga8167
13 күн бұрын
Acha uchochezi
@DerickNgowi-mf5pe
13 күн бұрын
Jaman hao wafanyakaz wanaoesabu mita ni wiz mtupu tunajaziwa bil ambayo hatujatumiwa mita yangu haifanyi kaz ila wananijazia init
@ismailmasoud6001
13 күн бұрын
Shabaan Mkwanye umeyakanyaga leo
@ElishaMgimba
Күн бұрын
Huyo jamaa nihaki asimamishwe anaongea nawazir huku anatafuna JoJo hiyo niutovu wanidham
@yusufmohamed8874
7 күн бұрын
Simamisha wote chukua wahitimu wapya
@jumamdaki9691
7 күн бұрын
Pwani na Dsm kuna upotevu wa Maji kwa kiasi kikubwa na watumishi wa Idara ya Maji wanaona ni hatari sana.
@HamadBashir-bs5wo
7 күн бұрын
Wanamagari yao wanawauzia maji wananchi majizi hao
@AugustKisaka-qy7kl
9 күн бұрын
Ongera waziri ,bado waziri wa nishati na madini atuonyeshe cheche zake, umeme garama sana atue tamko atueleweshe kwanini garama za umeme zimekuwa juu
@BenjaminSululu-uz6sd
13 күн бұрын
Huyo anadawa mdomoni
@ayoubmtumishi50
7 күн бұрын
JAMBO muhimu jitu zima linatafuna tafuna duuuu.
@pascalntandu1217
7 күн бұрын
Mnabembeleza sana watu wazembe kama hawa fukuza wote kazi patia wengine kazi achana na hao wazembe;waziri wangu take action ya nguvu watu wengine wajifunze kwamba hatuigizi.
@GeneralSankala
13 күн бұрын
Safiii sana
@EphulaimemanuelEmanuel
14 күн бұрын
Mweshimiwa njoo mwanza nyegez hamna maj miez 3 njoo tusaidiye
@jamilamkunga234
13 күн бұрын
Na buhongwa pia
@daudimichael7338
9 күн бұрын
Dah, Shaban hauko serious
@BarakaThoas
8 күн бұрын
Aiseee daaaah! Yaaani hayo majamaa niyakufukuza kazi ili yaje ulaiyani uku yaone joto la jiwe tunalolipata wananchi sio poa kabisa
@josephmathayo5139
8 күн бұрын
Huyo atakuwa anatafuna Kizizi siyo Big G. Waziri na hapa Dodoma shida ipo unalipa pesa lkn hawafiki kuunganisha maji. Sijui tatizo ni nini?
@STEPHENKingu-yz2dk
14 күн бұрын
Mama Samia meongezeee Aweso mingine
@bossmolellsisiya4101
13 күн бұрын
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
@sofiakhan9706
13 күн бұрын
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
@jackmabirangacharles9398
14 күн бұрын
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
@sofiakhan9706
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@luizabahati5198
13 күн бұрын
Very Sad..Tena kwa Dsm? Hii ni hujuma kabisa.
@gililwise
14 күн бұрын
Njoo Morogoro Morowasaa .maji bigwa tunapata mara moja Kwa Wiki
@EdwardMchome
11 күн бұрын
Maji yenyewe ukitaka kuunganishiwa nimelipa Nina mwezi mitatu bado maji sijaunganishiwa hani hawa wanakera sio sir
@rehemashabaniameen
14 күн бұрын
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
@babafemie4576
10 күн бұрын
Hii nchi inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali, mambo ya ovyoo yanayofanyika..alafu hawajali wanamapuuzaa balaa!
@mohammedshaaban3730
7 күн бұрын
Njoo kigoma Ujiji
@demicratia4071
14 күн бұрын
HATA Waziri naye amechelewa kufanya inspection kwa nn aje vry late watu walishateseka
@darajalakidatukilomgi2362
14 күн бұрын
Waziri nae bomu tu, alikua wapi Leo ndio anabeba makamera kukuonyesha anafanya kazi😂😂😂
@leskarmeikok8956
14 күн бұрын
Alikuwa amelala kidogo @@darajalakidatukilomgi2362
@mussakimaro5588
13 күн бұрын
UJE HAPA KIBAHA MILE MOJA NIMELIPA KUUNGANISHIWA MAJI NOW MWEZI WA PILI SIJAWEKEWA MAJI SHIDA NINI MUESHIMIWA
@user-uo5em7im6b
10 күн бұрын
Nenda machine ya maji mtoni tandika ukaone hali ya maji mbaya .ulipomtumbua meneja wa Dawasa maji yakatoka kutwa ,na sasa yameondoka Tena
@mohammedshaaban3730
7 күн бұрын
Mheshimiwa Waziri wa Maji Njoo Kigoma Ujiji
@user-ui5du6wj7n
13 күн бұрын
Ndiyoo maana makongo maji shidaaaa dahhh sukumia ndani banaa unachelewaaa
@valenakomba7686
13 күн бұрын
WASIKUMWAGIE KITUMBUWA MCHANGA HAO MUHESHIMIWA UWESO. WATIMUWE . NYERERE ALISEMA USIONE HAYA KUMWONEA HAYA MLEVI. NA UKITAKA KUMWUWA NYANI , USIMWANGALIE USINI.
@nishaabdula5015
14 күн бұрын
Aweso anaonekana mrevi tu
@shaban6644
14 күн бұрын
Wapige Spana, Vichwa vitakaa sawa tu.
@valenakomba7686
13 күн бұрын
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
@swaiagnes6696
8 күн бұрын
Yaani unaongea na kiongozi wako huku ukitafuna BG 🤔🤔
@bongo39
14 күн бұрын
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
@VictaDaudi
7 күн бұрын
Njoo iringa aweso
@Zaburi-
14 күн бұрын
Anatafuna kitu au ndivyo alivyo?
@AndreaGunda-xx3mn
8 күн бұрын
Anatafuna ...dharau
@nenenongi66
10 күн бұрын
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
@abrahammtegeta635
14 күн бұрын
Hata huyu Wazori naye hayuko serious. Inakuwaje Leo siku ni siku ya Tano sasa maji yanatope.
@EdwardMchome
11 күн бұрын
Unaambiwa vifaa hakuna lakini ukitoa rushwa vinapatikana mimi nimeambiwa sijasoma kiuba nilikuwa sijaelewa kumbe hadi utoe rushwa vifaa vinapatikana
@user-oy2gp3nq4j
14 күн бұрын
Aweso huku mbezi makabe hakuna maji wakiamua ata wiki 3 awatoi maji tunanunua maji unit 1sh 15000 Sijui hii biashara ni yao?
@hawaelymaricca7602
14 күн бұрын
Maji yanatoka machafu tope tupu shoda ipo wapi jamani na bill tunalipa tumefikia huku kweli Waziri Aweso?
@emilianchibinda82
14 күн бұрын
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
@user-il5pk2dr5n
14 күн бұрын
Aya matope ndio tunayolalamikia Savei
@omarmkumba3547
11 күн бұрын
Dah,ndo mana wanatubambikia maden
@hijaabdalah9235
8 күн бұрын
fukuza wapuuzi kama ao wako wengi wako wako tu
@Brunn-mh2bq
13 күн бұрын
Huyu wa Bodi naye anaongea upuuzi eti anasubiri maelekezo ya waziri. Kwani bodi walikuwa wapi hata wasijue matatizo haya? Amekaa tu anapaka nywele black bila aibu. Waziri amekosea kutokumpasha huyu mtu. Bodi iwajibike. Kanchi ka ajabu kweli .
@josephatmathiasgalagalabuh786
12 күн бұрын
DAWASA tangu LUHEMEJA AONDOKE IMEKUFA
@bakarikayugwa3295
14 күн бұрын
Wasomi wengi ni wezi na wapigaji ira hili swala Kuna wakubwa wapo nyumba yake picha inajionyesha kua wewe ni mtu mdogo sana kwake
@collinndabi1914
13 күн бұрын
Hata wewe ungewekwa ungekuwa mwizi tu
@bakarikayugwa3295
13 күн бұрын
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
@MasoudSultan-ks6kc
14 күн бұрын
PIA HUYU MSHIRIKINA ANATAFUNA MTI FULANI ANADHARAU
@lusese1
14 күн бұрын
We jamaa bhana!! Umenifanya nimepaliwa kwa kucheka ghafla bila kutegemea!!!hivi ni kibogoyo au anamambo ya jadi kama unavyosema maana sio kwa kunung'unya huko!! Loh
@gordiansoko9113
12 күн бұрын
Sasa hivi maji tunayopokea ni machafu yana rangi uzurungi inaonyesha hayawekwi madawa ya kusafisha.
@ramadhanimohamedi717
13 күн бұрын
Waziri wa maji mugu akupemaisha marefu kazi yako inaonekana
@super815
10 күн бұрын
Wazir aweso anapigya kazi atakimasihara kabisa kwenywe swala lamaji
@yasinkiaze2352
8 күн бұрын
Ni siku zaidi ya sita atupati maji ubungo kibangu chini sasa tmeambiwa matenk yamejaa maji iweje ayatoki
@VictaDaudi
7 күн бұрын
Aweso baba uje na iringa tunakufa huku
@valenakomba7686
13 күн бұрын
Muwe mnavaa japo kamba mkiingia huko chini ili iwe rahisi kuvutwaa kukiwa na matatizo.
Пікірлер: 198