Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
@Shadia544
4 күн бұрын
TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@NassoroSipemba
4 күн бұрын
Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.
@zomasamweli
4 күн бұрын
Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂
@Dipeson700
3 күн бұрын
Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo
@joasitz9559
4 күн бұрын
Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana
@TrinaRoman345
4 күн бұрын
Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu
@user-nb6yh2bn9y
4 күн бұрын
Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰
@disanatv4485
4 күн бұрын
Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂
@TrinaRoman345
4 күн бұрын
@@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅
@exaverysimon1064
4 күн бұрын
WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢
@zomasamweli
4 күн бұрын
kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu
@hijaabdalah9235
4 күн бұрын
🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia
@jumashedafa
4 күн бұрын
Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu
@MasoudUmeme
4 күн бұрын
Nakupenda Tanzania yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@vincej9275
Күн бұрын
Hongera sana TZ kwa maendeleo kama haya.
@vanessastafford6426
2 күн бұрын
Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏 Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.
@Kim19onlinetv
4 күн бұрын
Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿
@UhaiLegeza
4 күн бұрын
Love it
@abdallahkambangwa7215
4 күн бұрын
Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana
@zainabumartin9520
4 күн бұрын
Mashaallah tabarak
@omarybakunda2554
4 күн бұрын
Asante sana rais Samia
@user-vn9yi3dj4q
3 күн бұрын
Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi
@kekiplus1andonly
3 күн бұрын
Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels
Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM
@Dipeson700
3 күн бұрын
Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢
@markkayuni9775
4 күн бұрын
Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌
@barakamanga5502
4 күн бұрын
Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,
@mathiasdaud7842
4 күн бұрын
Upatikanaji wa chumba sas
@StAr-yu3vz
4 күн бұрын
Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani
@tinnahagustinolyelu4247
4 күн бұрын
Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi
@MohamedRashid-py7ro
Күн бұрын
Yasiwe mabanda nje ya soko wafanya biashara watendaji tu wasichukue jiji kuwe na uwazi iwe sheria kali sana na endelevu
@user-lq4mq7rz6h
5 сағат бұрын
Sasa narudi nyumbani kumenoga, nakuja kuwapikia wafanyabiashara. Choka kusugua Kuta na vyoo vya washashi
@kalingaasukile8730
4 күн бұрын
Kazi nzuri ya Samia hii
@aishafrancis7714
4 күн бұрын
Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@eggysulle7988
4 күн бұрын
Bora ww mi ntapotea mazima😂😂
@swaiseif2989
3 күн бұрын
Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim
@rich-lr8tq
Күн бұрын
hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana
@agnessangawe3844
4 күн бұрын
HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA
@omante194
4 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@maidimples8236
4 күн бұрын
Lini linafunguliwa
@catherinesekumbo8347
3 күн бұрын
Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.
@ModextaModexta-on7mi
3 күн бұрын
,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@meflorlionel7497
2 күн бұрын
Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga
@Sahlomon-jp4jr
4 күн бұрын
Walinda legacy wana hasiraaaa!
@maidimples8236
4 күн бұрын
Sasa mbona hamjalionesha lote
@mufaddalmoawalla8522
4 күн бұрын
Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa
@omarybakunda2554
4 күн бұрын
Wewe unalipa sh. Ngapi?
@mufaddalmoawalla8522
4 күн бұрын
@@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha
@barakamanga5502
4 күн бұрын
Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli
@emmanuelmogasa498
Күн бұрын
Kwa nini usimpe muda injinia aongee?
@drgeofreykupaza7707
2 күн бұрын
Usafi sasa
@meeksson3589
3 күн бұрын
Wekeni escalator acheni uswahili
@WakiliHaule
4 күн бұрын
Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao
@user-ji7sy2wi7b
4 күн бұрын
Acha roho mbaya
@NassorMohammed-oy7bc
4 күн бұрын
Hili na kwerekwe lipi kubwa
@Sidrasidra636
4 күн бұрын
Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢
@eggysulle7988
4 күн бұрын
😂😂😂😂wamerahsishiwa
@letthedeadburythedead2148
4 күн бұрын
Acha wajirushe
@odenmasebo9777
4 күн бұрын
walichoma ili wajenge
@zainabumartin9520
4 күн бұрын
Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari
@user-ji7sy2wi7b
4 күн бұрын
Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali
@letthedeadburythedead2148
4 күн бұрын
Ulichangia shingapi wewe binafsi?
@richkaja3317
4 күн бұрын
Litakua soko la mabos tupu
@salumalriyamy
4 күн бұрын
Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?
Пікірлер: 85