Kila mwanasiasa ajitahidi awaache wanae na wake zake kama RIP Mwl Nyerere na RIP Dr Magufuli walivyoacha familia zao. Kuwasogeza sogeza mbelembele ktk siasa ni kuja kuleta siasa za kimbari nchini. Waachwe wapambane kivyao kama wanataka siasa. Vimemo vitauwa siasa za nchi.
@murswadmussa1986
2 ай бұрын
Ongea tundu lissu
@mabondolawrence1812
2 ай бұрын
Kwakweli wanaenziwa wazazi wao
@amaniamani6391
2 ай бұрын
Msigwa ajielewi time will tell
@PiusKimaro
2 ай бұрын
Samia hawez kumwacha nape.nikujikosha kusave kashfa.nape anamadudu yote ya ccm
@barakaemmanuel8871
2 ай бұрын
Hawana nguvu zozote kiongozi
@OmarAmran-t7k
2 ай бұрын
Samia sjui kama atatoboa dah why kila mtu yuko against mama aisee muachieni na yeye . Nyinyi kuna muda wenu
@zabronmwaipungu2212
2 ай бұрын
Na kinana je nalo waseme
@RAMNEinvestmentsltd-sl9qk
2 ай бұрын
Lissu unamuogopa sana Mbowe
@allyramadhani5320
2 ай бұрын
Kweli
@Kwelihukuwekahuru
2 ай бұрын
@@allyramadhani5320mnataka wakosane ili CDM ife Mungu amewaumbua sasa mnasema anamwogopa Mbowe hivi hakumwogopa JPM itakuwa huyu Mbowe
@leahmgunda4154
2 ай бұрын
Unataka wagombane?
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@leahmgunda4154 Hapana ila amwambie ukweli.
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Ebu ukiwa unaongea Magufuli mtowe mdomoni mwako. Maana hilo jina lina uzito mkubwa kama ulikuwa haujuwi.
@zawadimbwambo1091
2 ай бұрын
Ujinga unakutesa wewe magu alikua ni msenge tu. Labda kama wewe ni msenge zaidi yake. Kama alikua ana uzito ndio huo.
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@zawadimbwambo1091 Hekima ni dawa
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@@zawadimbwambo1091 Ukweli upo nao moyoni ila chuki zikikuongoza lazima uongee hivi
@sonnyr1899
2 ай бұрын
@FrancisChale-ks7gg Ila kazi zake sio vipofu tunaziona
@deohank5995
2 ай бұрын
Mh?
@hajirashidAmani
2 ай бұрын
C C M sasa Kwa kuwa nafasi zipo wazi zamu hii mpeni mchungaji msigwa democracy sasa kaipata ndani ya C C M
@ramadhanmahongole9293
2 ай бұрын
Msigwa ni mchumia tumbo
@muharamiesther5908
2 ай бұрын
Backing on genes 😅😅😅
@deniccgabriel6153
2 ай бұрын
Majibu ya lisu ni Mzigo tani laki tisaaa😅😅😅😅😅
@DaudMtafya-pg4fc
2 ай бұрын
😂😂😂
@muharamiesther5908
2 ай бұрын
😅😅😅
@mohammedmdangwe2056
2 ай бұрын
nape na makamba ni wezi majambazi wameitia kashifa ccm
@issakazi2758
2 ай бұрын
Ni genge la wahuni
@allyramadhani5320
2 ай бұрын
Hahahaaaa!!!
@clemencemkondya8561
2 ай бұрын
Tundulisu kiongozi mkubwa unakuwa mnafiki hizo ndiyo Sera za mgombea ursis .
@PiusKimaro
2 ай бұрын
Na kura za uwiz wa ccm,mbeba dhambi miaka yote.kwa hiyo nape ni lusufa wa ccm.siyo rahis juachwa.kuna njia mbadala wanatumia
@HalphaniAlbano
2 ай бұрын
Lisu nimsema kweri ccm wooote wezi bola hayati magifuli angetifikisha mchi ya ahadi
@MGUNDUZI
2 ай бұрын
Na huy magu alitaka kumuua lissu unaona,, Dunia achana nayo kabsa
@namsamson3443
2 ай бұрын
Ni kweli kwa majina ya baba zao
@froma3732
2 ай бұрын
Kwa hivo Magufuli Alimuweka Makamba kwa Sababu ya Mzazi
@bonnymakuke3153
2 ай бұрын
Wewe ulikua haujui ilo!!
@frankmtei3017
2 ай бұрын
Msigwa hana maajabu
@Vike333-l8o
2 ай бұрын
Wewe Nape ulimtukana Mh.Lisu wewe una Laana yaShetani Mungu anakuangaza hapa hapa nguruwe wewe Ulimtukana Mh.Rais Hata Adabu huna sijjui utakuwa mgeni wa Shetani Mwizi mkubwa mdomo mchafu kama Choo cha Stand
@PiusKimaro
2 ай бұрын
Msigwa akawashtue wahehe wenzake,cyo kina mboye.akae mbali na chadema.tulojua ananjaa
@allyramadhani5320
2 ай бұрын
Hamna noma tutastuka tu naukabila wenu je mnataka uchaga ndio utawale nchi hii?
@DaudMtafya-pg4fc
2 ай бұрын
😂😂
@mkude
2 ай бұрын
Wewe siku zote utakuwa mpingaji tuu hata jema atakalo fanya rais bado utapinga,hiyo ndo siasa.
@PiusKimaro
2 ай бұрын
Fala wewe njaa wa ccm.
@ArnoldMbulawa
2 ай бұрын
Wezi wa kuku wanachomwa moto... wezi wa kuibia serikali na wananchi wanapongezwa... Hiyo ndio TZ
Пікірлер: 43