Wakwanza kucoment, like kwa wanaomfatilia Tunu Hassan
@flavianchuwa4370
Жыл бұрын
Sema Juma ana maswali ya mitego sana ,😀😀😀✌🏻👍🏻
@faustinombilinyi9809
Жыл бұрын
Ila jumaaaa Ayoo 😀😀 nakufuatilia SN bro unajua SN maswali yakoo dar🙌🙌
@flavianchuwa4370
Жыл бұрын
Asanteni sana nimejifunza Mengi sana kwa Dada Tunu
@emanuelkailas3653
Жыл бұрын
Nawapa pongezi kwa mahojiano mazuri, especially tunu namkubali sana sana...natamani km hajawahiwa aje kuwa wa pili...karibu
@kandandaarenatv338
Жыл бұрын
Juma ayo ni mtaalam wa interview,Yani ana maswali kuntu Sana🙌
@kassidpandu866
Жыл бұрын
Huyu Dada Nampenda Sana Ni Mstaarabu wa Tabia na Maongezi yake jamani
@bernardnyanda-yh9nr
Жыл бұрын
Dada hii nimependa sana
@abbyadams8691
Жыл бұрын
Nadhani kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya jina la Ayo na kuwa mwandishi hodari. Pig up Juma interview yako imejaa akili nyingi sana.
@josephadam5384
Жыл бұрын
Nmekupenda bure dada tunu ukwel ni kwamba jemedari kawazid wachambuz wa bongo as anachambua madini adimu ndo mana hamu ya kumsiliza haiishi jamaa anajuwa sana
@jumamnambangule1957
Жыл бұрын
Dah,me napenda tu linavyotajwa hili jina Juma..😂
@abuumuadh5051
Жыл бұрын
Tofauti ya Jemedari na Oscar Oscar ni timing, Oscar Oscar ana timing nzur dhidi ya Jemedari. Sio kila baya latakiwa kusemwa au kuekwa wazi kuna wakat watakiwa kunyamaza.
@matataoneproduction5355
Жыл бұрын
Kwa jemedari nakuunga mkono dada
@ramadhaniissa8695
Жыл бұрын
Tunu nakukubali sana
@peterchande957
Жыл бұрын
Huyu dada ana heshima sana mfano wa kuigwa kwa akina dada wote binafsi namfananisha na dada Zuhra
@jumannehassan8131
Жыл бұрын
Kwel dada kwa jemedar sahihi ila uyo mwingne ni bingwa wa memes za michezo
@papaadialoo
Жыл бұрын
Umefeli tunu
@iddybakar1946
Жыл бұрын
Tunu unabalansi stori tu banah akuna lolote kwa jemedari mana vingi ni vya hovyoo sn kuliko vya kweli kuliko vya kuijenga jamii
@iddybakar1946
Жыл бұрын
juma mbona unapenda kugonga sana na tunu mke wa mtu uyoo usimguse guse
@andrewcharles355
Жыл бұрын
Sema we juma kwa mh sikuelewi unatupia ndogo ndogo
@estonsaimon6671
Жыл бұрын
Kwa uropokaji ule ana madini eti jamanii mfano mambo ya vyeti vya Mgunda na Nabi bila kusubiri mpk final judgement yeye anaropoka kuwa hawana sifa
@masdaryabaa9060
Жыл бұрын
Tunu kaolewa huyooo
@abdalanyamungumi3500
Жыл бұрын
Niko tayari kukuoa but nitakuhamishia mwanza bi Tunu sitanii kama na wewe kweli uko tayari
@chuselwazi26
Жыл бұрын
Na kazi yake vp
@nasibumaiko6096
Жыл бұрын
Nipo tunu niruhusu nikuoe
@babujinga5819
Жыл бұрын
Ni simba mwenzio
@queenraphaher7736
Жыл бұрын
hamna kitu huyo
@iddybakar1946
Жыл бұрын
kama unashauri watu wasifanye kitu kumlenga mtu moja kwamoja uyoo.unaemkubali jemedali si anawalenga watu moja kwa moja au anailenga kampuni moja kwa moja mbona aumuongelei tunu
@haidhabushiri9558
Жыл бұрын
Katepeta dada uyu
@haidhabushiri9558
Жыл бұрын
Kwa JEMEDARI umenoa si alisema AZIZ k hafiki yanga
@nkoydavid9658
Жыл бұрын
Ww unaijuwa Snario ya Aziz ki ilivyokuwa? Wkt mwingne punguzeni mihemko na chuki zinawaumiza bure..yule Jemedar ana vyanzo vingi vya habar ndani hivi vilabu kuliko sisi mashabiki..
@hajiseif8294
Жыл бұрын
Jemer mitano tena
@bobrona9765
Жыл бұрын
huyu bidada ana sifa zote za kuolewa ,ista anatumia jina gani nataka nitoe posa ana rangi kabila yangu ya kibondei ..
@malembwemuwawa4902
Жыл бұрын
Tunuhassan
@bobrona9765
Жыл бұрын
@@malembwemuwawa4902 shukran..
@rashidsaleh1828
Жыл бұрын
@jemedarisaid mitano tena
@bongotz9189
Жыл бұрын
Tumia Application hii kusoma sms na kunasa simu zote za mke, mume, mchumba, mpenzi, anazo piga na kupigiwa bila kushika simu yake. Huduma hii unaipata kwa package za aina tatu. Kuna package ya simu, sms na mitandao ya kijamii. Kuna package ya simu pekee, pia kuna package ya sms pekee. Ni Application inayosaidia kufichua maovu ya usaliti yaliyofichwa. Hii application yenye ulinzi na usalama mkubwa pindi uitumiapo. WHATSAAP: 0682-35 21 54 au +255682352154
Пікірлер: 41