Katika siku za hivi karibuni, mazungumzo kuhusu kuteketezwa kwa miili yamekuwa yakitawala miongoni mwa wakenya hasa mitandaoni. Wengi wanafahamu tu kwa kusikia, lakini je unafahamu shughuli nzima ya kuteketezwa mwili inavyofanywa na ni nini sababu ya wakenya wengi kuchagua njia hii badala yakuzikwa?
Негізгі бет Uchomaji maiti ni desturi ambayo imeanza kupata umaarufu
Пікірлер: 50