Hongera sana Kwa kazi nzur .nnaomba namba ya huyo mgugaji wa kuku
@veronicaluvanda950
4 жыл бұрын
Hayo madumu mimi kwa kupunguza garama kila dumu nimekata mara mbili kwa kila dumu moja nimekata mara mbili na itakuwa vizuri tu
@martinemwaka5062
6 жыл бұрын
Sauti ni changamoto sana jitahidini mnapofanya vipindi vyenu kuboresha sauti ili tusikie vizuri maana kelele za kuku ziko juu sana
@nyanzalakaporo4219
6 жыл бұрын
hongera sana ndugu
@avelinaswai7572
6 жыл бұрын
Hongera kaka.
@mohamedsalat1066
2 жыл бұрын
Kwa nini kuku hubambuka manyoya kwa mgongo
@anestusanestus9080
5 жыл бұрын
kaka hongera sana nataka kujua wanaanza kutaga na umri gani?
@miriammashausi9585
4 жыл бұрын
Naomba kujua namna ya kutengeneza chakula
@fidesbenard7597
6 жыл бұрын
Hongera Sana
@avax5717
6 жыл бұрын
Huyo kuku kanyonyoka mgongo sababu majogoo yamezidi kumpanda. Kwa nini usiongee majike???
@mercypeter162
3 жыл бұрын
Hayo majani kuotesha kwenye maji tujuze
@hamisimuya
6 жыл бұрын
habar ya kazi samahani sijui unapatikana wapi ningependa kuja kuijfunza kuhusu utengenezaji wa chakula kawaida na hiyo hydroponic fodder ili niweze kupunguza gharama za chakula cha madukani na chakula halisi
@conganyoyo3195
6 жыл бұрын
vzur sana kaka....asante kunak2 nmejfunza Leo kutoka ktk ufugaj wako
@floramasanja6173
6 жыл бұрын
poa sana
@jonathanmabula6338
4 жыл бұрын
Habari weka namba za cm ili tuweze kujua tuna kuptaje
@agnessmlali5291
6 жыл бұрын
samahani ivi kwaujumla ukitaka kutengeneza banda kama I'll inakost kama bei gan
@saidysaleh7421
5 жыл бұрын
Inategemea na eneo ulilopo
@westmanmoses541
Жыл бұрын
Kwa maeneo ulipo wewe
@queentunush925
6 жыл бұрын
Naoma nambari ya simu tafadali
@Mshitu
6 жыл бұрын
0719570710
@husseinmachozi8974
6 жыл бұрын
Huyo sikuchi
@husseinmachozi8974
6 жыл бұрын
Ukiona kuchi utapagawa kaka
@josephmkiramweni839
5 жыл бұрын
habari za kazi, Mimi ni alloece yesse Mkiramweni naomba mawasiliano yako,,, au unitafute kupitia Namba yangu 0716593111 #alloece yesse Mkiramweni.....
@kasiantembo5511
6 жыл бұрын
Big sana
@hamisimuya
6 жыл бұрын
habar ya kazi samahani sijui unapatikana wapi ningependa kuja kuijfunza kuhusu utengenezaji wa chakula kawaida na hiyo hydroponic fodder ili niweze kupunguza gharama za chakula cha madukani na chakula halisi
@Mshitu
6 жыл бұрын
0719570710 niko Tabata Kisukuru napatikana siku za jumapili tu
@mariamhamisi1545
6 жыл бұрын
hamisi mbelwa Nicherk kwenye namba hii 0715220219 naweza kukusaidia kwa namna moja au nyingine
Пікірлер: 27