Na mimi nauliza hivi? uko Nani wewe Ku chaguwa yule Mungu anaweza kumugawia karama zake? Kama punda aliweza kunena na kufikisha ujumbe, Nini inaweza kumuzuwiya Mungu asiwape wanawake karama za Uchungaji n'a zingine? Tunaishi wakati wa Neema. Dini ndiyo inayo kuku ponza ndungu yangu. Mchungaji Mubaga iko Sawa Sawa kabisa. Wewe Rudi kwa shule na Roho Mtakatifu akujaliye kuelewa Utendaji wa Mungu. Hatuwezi Ku mu limite Mungu wetu.
@esperancekahindo7476
4 ай бұрын
Roho iliyoko ndani yako ishindwe kwajina la yesu.
@erick-bahati-edwin-Masumbwe
3 ай бұрын
Kwa muujibu wa destuli na mila za kiyahudi ,hairuhusiwi lakini kwa waliokombolewa kwa damu ya Yesu, kama una wito huo ,hakuna kizuizi !
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
7 күн бұрын
Kuhani ni mhudumu wa kazi za Mungu👉Isaya 61:6 Hiyo ndiyo maana ya kuhani:acha kudanganya Kanisa wewe
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
7 күн бұрын
Kazi ya Mungu ni ya thamani na ya kuheshimika sana; Nakushauri kama moto wa Injili unawaka ndani yako jitahidi angalau certificate ya Theology Ili ufahamu wa Neno uwe mpana kiasi. Hii ni aibu kwa watumishi Mithali 23:23
@GastonMhimba
4 ай бұрын
Kama ujumbe ulikuwa una lenga kwa pr Mbaga ungemtumia in box maana ndio lengo la somo lako .ni roho yupi huyo anae kuongoza ?
@RONHAMUGASA-on4sg
4 ай бұрын
Barikiwa na uzidi kusonga mbele
@miltongospelchanneltv6372
4 ай бұрын
HUBIRI INJILI PAULO... UKISHAJITENGA NA IMANI HAYA NDIYO MADHARA.
@deussasi9285
5 ай бұрын
Njia nzuri sana hii
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
5 ай бұрын
Amen
@alexphabian6836
5 ай бұрын
Barikiwa
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
5 ай бұрын
Amen, barikiwa preacher
@SaitotiHinyura
3 ай бұрын
Wewe ni mwongo ,Shetani amekutumia kuwa wakala wake.Unapotea kwa kuwa hauyachunguzi maandiko.
@Revelation1412.
5 ай бұрын
Kama angekataa...Angekoswa Kazi kabisa kwahiyo ilibidi pengine atumie hila ili kuokoa Mshahara 😂😂😂
@chikondimadalitso
4 ай бұрын
Tafasiri ya bibiria ni ngumu sana mbinguni tutaingia Kwa NEMA mungu wetu hata nyinyi wachungaji hatuambi kitu Cha kurizisha
@chikondimadalitso
4 ай бұрын
Mwanamke harusiwi kusimama mbere ya wanaume je? Akifundisha ataka a au atasimama mwanamke anaruhusiwa kufundisha rakini siyo madhabauni
@samwelsamiji6593
Ай бұрын
Hivi mbona wasabato tumekuwa mafarisayo kuwa vipofu wa maandiko... MUNGU kusema tusile nguruwe anamaanayake mbona tuhalalishe Sisi, vile vile wanawake hawatakiwi mbona mforce
@thomsimon7881
4 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ufafanuzi, nilichogundua watu hawasomi neno, wapo tu kufuata maneno ya juujuu ya wachungaji wao
@AbelyNyota
Ай бұрын
Wewe nawe ni mnafiki kwa Nini hujampgia muonge kama watumishi ndo uje kwenye mtandao wewe ndio wale wajifanyao kuelewa kumbe ni mnafiki wewe hata kama kakosea sio kwa njia hiyo kwa Nini akihubili vizuri huji useme Amina acha kujifanya farisayo kwenye mtandao
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
Ай бұрын
Ndugu yangu, umejuaje kama sijampigia?? Au Kwa Nini wewe huhanipigia uniulize?? Ikiwa kutokumpigia mtu ukamsema online ni unafiki, je wewe hujanipigia ila umeniita mnafiki online je wewe siyo mnafiki kweli??? Sikuiti mnafiki Wala sikulaumu hofu yangu tu ni kuwa ""Huelewi unachokiongea!!!
@SaidLShenda.
3 ай бұрын
Soma Biblia vizur ,na jua unasoma Biblia kwa kutumia Dedactive method of Bible study, hii ndo una tumia hii njia unaenda na mawazo yako kutafuta ushahidi ,hutoboi kwanjia hii ,naomba rudi ukatumie Inductive of Bible study,thank you. kingine mfuata pr in box .
@stephenmuriuki7202
4 ай бұрын
Bro hajaelewa wahujashika swali
@macdonaldotieno5010
4 ай бұрын
Huyu mbanga amepotea njia
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
7 күн бұрын
Wewe ndiye unagawa Huduma na vipawa kwa watu?
@leahdaniel1117
4 ай бұрын
Yaan wee ni mpuuzi siku ile kila mmoja ataleta hesabu ya matendo yake aliyoyatenda hapa duniani
@mossesjovenari9457
4 ай бұрын
mwanamke harusiwi kubwa mchungaji umefanya vyema kumrekebisha
@user-cy4xf1eu3q
4 ай бұрын
Nafikili ni suala la uelewa
@TYAMTv
3 ай бұрын
Ndugu acha kudanganya watu si kila aliyebatizwa ni kuhani pili mafungu aliosoma yapo kwenye future time, hivyo ukuhani unaouzungumzia ni baada ya ukombozi.
@DeoGeorge-uf3ym
3 ай бұрын
Mbaga ni binadamu awezi kukamilika ebu jitasimini ulicho kifanya nikumshitaki . Yesu atafutwi makosa bali nikazi ya shetani.....unge fundisha .tuu
@harrisonodiwa7248
3 ай бұрын
Aliyetaka kazi ya uchungaji amechagua kazi njema,awe bwana wa mke mmoja......,..
@edsonnelson4464
3 ай бұрын
Mke mmoja mmemmoja sasa wanawake ni wengi kuliko wanaume sasa hao wanaobaki wataolews na nani hizo dini zinatuletea mashokoro mageni, matokeo yake siku hizi wasichana hawAolewi wanabaki kuzurula na kujiuza barabarani
@AlexLazaro-ju5mv
4 ай бұрын
Hapo napo ndo pakutoe kanixan? Mh aya fanya halaka uludi
@estermahimbo634
3 ай бұрын
Hii ni kupatwa kwa jua😅😅😅 wewe tufundishe kumjua Yesu sio kukosoa watumishi wa Mungu mkigombana kanisani au chuki kwa mtumishi mnakosoa kwani wakati anafundisha ulikua wapi ndo unamkosoa sasaivi😮
@judahmollay9016
4 ай бұрын
Kuna muda unaweza tumiwa na shetani bila kujua adui yetu ni shetani peke yake Hakuna sehemu pst mbaga alisema yeye ndo pasta sahihi na asiye kosea yeye anafanya kazi ya yesu Kwa nafasi yake na kama roho wa MUNGU alifunulia ayo mbn utakuwa unapingana na roho wa MUNGU Pili ulisali kumuomba MUNGU akufunulie haya au unasema Kwa akili zako Bwana yesu alisema ole Kwa atiaye ukwazo Kwa wadogo hawa
@JumaMlei-ff3rp
5 ай бұрын
Kama una wito wa uchungaji hakuna shida.
@fredrickgitonga1972
4 ай бұрын
Leta andiko lisema ivo
@dorcusmusombi3646
4 ай бұрын
Mm sikuelewi ndugu ,achana na pastor David mmbaga anazidi kutubariki ,by the way ,ww unatoka na wapi ? U introduce pastor unajisahau ...let's honja ingine
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
4 ай бұрын
Yohana 9:29 [29]Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako. We know that God spake unto Moses: as for this fellow, we know not from whence he is. Pole sana ndugu yangu, maana naona unamfaha PR MBAGA, lakini Mimi na Mungu wangu hautufahamu.
@ceciliaonyango5367
4 ай бұрын
Kwani shida yako nini?
@mossesjovenari9457
4 ай бұрын
Mimi sikumsapoti Alifanya upotoshaji kwani yesu ktk wanafunzi wake walikuwemo wanawake wangapi?
@jeanninemunezero6469
4 ай бұрын
Pastor mubaga siomalayika nimutu kama wengine tufate bibiliya tusifate Mubaga katika bibiliya hakuna mujungaji mwana make?
@QueenMtuya-tp2ng
4 ай бұрын
Wewe kabla uujaleta mada ichunguze kwanza. Polee mpendwa rudi zizini. Matukio ya siku za mwisho uk 35.
@fredrickgitonga1972
4 ай бұрын
Leta hoja ww kurupuka brother
@JOSHUANGIMBA-fj9oc
4 ай бұрын
Soma ndo uhukumu acha mfume dume
@joycehaule9717
4 ай бұрын
Kabisa analeta mifumo dume wakati Mungu katoa kibali cha kwenda kuhubiri injili ,
@joycehaule9717
4 ай бұрын
Yan kajaa retulujia eti tupige magoti tuombe yan ni wazi amejaa sheria sheria tu
@joycehaule9717
4 ай бұрын
David Mbaga sio saizi yako kapambane na Pascal ndio saizi yako , Tuachia PASTOR MBAGA WETU ACHANA NA SHERIA ZAKO ZA KUTOYAJUA MAANDIKO KWANZA SISIKILIZI HADI MWISHO USIJE NI NAJISI BUREEE
@JumaMlei-ff3rp
5 ай бұрын
Umejuaje kama hawapo? Katika ofisi ya mchungaji?
@elicknyega7317
4 ай бұрын
Wapi ndani ya biblia kulikuwa na mchungaji mwanamke?
@ermichaelqnic3595O
6 ай бұрын
Haipaswi mwanamke awe MCH 1TIMOTHEO 3:1,4
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
6 ай бұрын
Amina mtumishi
@Susankuria872
4 ай бұрын
Fundisha vile unajua bila kutumia jina la mchungaji mwingine kama hoja yako ni kutuelimisha lakini hii yako ni kama vita unapiga mwingine vita,kama una wito tengeneza mahubiri yako funza watu ,Bure hii ni salakasi kama ile ingine ya social media.
@naomikilonzo6898
5 ай бұрын
Ndugu Malosha Soma vizuri Roho ya unabii . Matukio ya siku za mwisho.
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
5 ай бұрын
nashukuru kwa ushauli
@Revelation1412.
5 ай бұрын
Roho ya Unabii ni Nini??
@elicknyega7317
4 ай бұрын
Sura ipi mpendwa?
@elicknyega7317
4 ай бұрын
@@Revelation1412. mpendwa wewe ni wa dhehebu gani?
@elicknyega7317
4 ай бұрын
@@Revelation1412.kwa ufupi Roho ya unabridged ni ufunuo aliopewa nabii ellen white
@esperancekahindo7476
4 ай бұрын
Nenda nyuma yetu shetani wewe.
@RONHAMUGASA-on4sg
4 ай бұрын
Usihukumu kabla hujahukumiwa nenda kayachunguze maandiko ata kama amekosea unatakiwa kutumia lugha ya hekima na sio matusi kama hv
@JumaMlei-ff3rp
5 ай бұрын
Hao wengine ni wa jinsia gani? Soma vizuri Biblia
@elicknyega7317
4 ай бұрын
Biblia haikubainisha jinsia yoyote mpendwa
@fredrickgitonga1972
4 ай бұрын
Je kana andiko mwanamke kuwa mchungaji
@abbasmkambara5815
4 ай бұрын
Kwa maana hiyo unatushauri tusisikilize tena mahubiri ya mbaga?
@fredrickgitonga1972
4 ай бұрын
Apana ila kila mmoja ajisomee maandiko sio dio kuthibitisha kama n kweli
@TYAMTv
3 ай бұрын
Tupe fungu linalokataza wanawake kuwa wachungaji au mashemasi
@DottoBazil-nx2cd
6 күн бұрын
1kor 14:32-38 pia 1Tim 2:8-15 bishana basi na Maandiko hayo
@AlfaMwahasanga
Ай бұрын
Tatizo lako rafiki huelewi. Kama mwamke kama Ellen white anaweza kuwa nabii je kuwa mchungaji kunakusumbua nini? Ila naona wewe huna akili ya kupambanua kati ya Karama za Roho na jinsia.
@godwinisengo5657
4 ай бұрын
Safari hii shetani ameamua kuwatumia na mmeitika wito wake.Hivi mmewahi kuwasiliana nao kabla ya kuleta mada mtandaoni? Kwasababu Kuna muda mnatwambia au mnatumia vitabu vya Ellen sisi ambao hatumjui kama nabii mnatufundishaje kwa kutumia hivyo vitabu na sio Biblia
@CheerfulBanyanTree-cn8bs
5 ай бұрын
Mbona alijibu vizuri uelewa wako ndo umefikia hivyo usitulazimishe tukusupport hubiri watu waongolewe sio kutuaminisha kua kakosea wewe siufundishe ukweli clip za nini sasa😂😂
@elicknyega7317
4 ай бұрын
Kwani shida iko wapi kutumia clip mpendwa?
@fredrickgitonga1972
4 ай бұрын
Nyie dio hamsomi biblia mnangoje kusomewa na wachungaji
@miltongospelchanneltv6372
4 ай бұрын
Kutumia Clips kujenga Hoja ni Makosa Makubwa sana, na Huyu Paul aangalie, haya ndiyo Madhara ya kutoka nje ya neno, Sasa sijui anavita na nani?
@getsonemmanuel1023
6 ай бұрын
Kwani hao wanawake mafundisho waanayo yafundisha wanayatoa wapi? Kama ni kwenye biblia kuna shida Gani wakiwa wachungaji? Madhara Gani unayapata ukifundishwa na mwanamke?
@Penninahgm
6 ай бұрын
Ni kuhusu kutii Mungu na sio tufuate dhana zetu tu,lazima biblia ifindishwe vyenye iko
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
6 ай бұрын
Nashukuru Kwa swali lako rafiki, Jibu lako hili hapa, - Madhara yake ni kupotezwa na kuangamia Kwa sababu Yao, Isaya 3:12
@deussasi9285
5 ай бұрын
Kwani si amesoma masndiko....nawewe toa andiko mtumishi
@deussasi9285
5 ай бұрын
Hii njia ni nzuri sana kupiga kelele....ubarikiwe. hii itawaamsha wenzetu kutoka kuburuzwa
@tubuninakuiaminiinjilituku3969
5 ай бұрын
Isaya 3:12 NDIYO madhala yake, Tuelewe tu kwamba wanawake kuwa wachungaji siyo mpango wa Mungu isipokuwa ni WA yuke adui wa kweli
Пікірлер: 89