Hizo sifa kana kwamba ni maadili ya kuigwa, now I understand Godbless Lema. Humo ukute kuna wanaoabudu na wana njaa na shida, ila kutafuta umaarufu.
@happynescostat7420
10 ай бұрын
Mchungaji uyu abarikiwe Sana,Achagui Abagui Ni mfano wa YESU!
@user-allan448
3 ай бұрын
Wewe Una akili kweli huyu unafananisha na Yesu?
@user-mi7yx8ew1k
Ай бұрын
@@user-allan448mpuuz uyo happy
@christophermakunzo4232
11 ай бұрын
Hit ndiyo Injili ya wazi na kweli kuwasaidia wasio na uwezo na kuisaidia Injili. Kristo alilisha kundi kubwa la watu kwa sababu alikuwa nan uwezo wa kufanya hivyo. Napenda sana tu shida uwezo wangu mdogo....
@rosemaryikamba5288
11 ай бұрын
Ngurumo ya Upako is unique place ambayo huwezi ipata mahali popote Especially katika makanisa hawa vijana wametengwa kabisa kwamba niwahuni hawafai hata sogelea mlango wa kanisa Ni lazma wakaribishwe wakiwa karibu ni rahisi kubadilika Big hug Sana BABA yangu NABII MKUU GEORDAVIE
@laurentraphael5470
11 ай бұрын
Unique place for devil worshippers. Nonsense
@warakawayohana2896
11 ай бұрын
Wamekuja kuchangamsha kanisa 😂😂😂 ndio uamsho huo maana uamsho wa Roho Mtakatifu haupo
@mwinjilistiaristidesmeja1834
11 ай бұрын
Kwa kweli wamekuja kuchangamsha maana limepoa sababu roho wa Mungu Hayupo, kwa hawa wanaleta roho wa dunia na watu wamechangamka kweli, vizuri mmmhh
@misertz9633
11 ай бұрын
Kumbe on baba yako waooo kazanA
@olivernyange2349
10 ай бұрын
Uchawi makanisani,watu ni wavivu hamsomi neno hamyajui maandiko ndo mana hamuelewi maana ya kanisa.hiyo ni shivas no 2 na bado mtakomeshwa waabudu watu mpaka siku mtakapojua kufungua bible wenyewe na kusoma na kupata ufahamu.sasa hamtaelewa but later you will understand.l pray it won't be too late.
@idrisssaidi4530
11 ай бұрын
kweli Miskiti ni Nyumba Ya Mungu uwezi kuta upuuzi kama uuwu
@ellgodfather282
11 ай бұрын
Roho Mtakatifu ndiyo jibu njue Yesu
@zeddymourice4249
11 ай бұрын
Acha upuuzi wewe Imani ndio kila kitu hakuna Cha msikiti Wala kanisa,alafu angalia matendo yako usiyaangalie yamwingine.
@babydlagwen9446
11 ай бұрын
Kanisani ni mahali pakufurahi
@thomasndewa4797
11 ай бұрын
Takbirrr
@thomasndewa4797
11 ай бұрын
Poleni Tanzani mumefungwa ufahamu wa kutambua fake pro
@charlesnyanhanga4382
3 ай бұрын
Watu wanahitaji msaada wa kiroho munashindwa kuwaongoza sara ya toba wamujue yesu
@KelvinMahimbo-pc2wg
2 ай бұрын
Sara ya toba sio jambo la haraka kwa mtu soma vizuri
@jamesjoseph6825
8 ай бұрын
Wakabe? Waibe? Waue? Hapana, hawa wamejiongeza katika kutafuta riziki kwa namna yao, na Mungu lazima awabless kwa namna yake, kupitia alichokifanya Geordavie hao machalii wameweka akilini kuwa hakika Mungu yupo, sasa wengine jikaririsheni maneno na mawazo yaliyojaa chuki wakati kula yenu tu ni shida. Glory to God
@evanccast6228
6 ай бұрын
Amina mchungaji katisha sanaa Hadi Baba aketiye juu mahala palipo inuka kafrai sanaakafrahiii
@Emmanuellobelo
11 ай бұрын
Big up sana Nabii mkuu Baba GeorDevi ,hakika hii ni kazi ya mungu na kazi sahihi ya mungu sio tu kuwaita watu waliothabiti na wakamilifu kanisani ila Kanisa ni sehemu huenda wenye shida mbalimbali ili wakapate faraja ya moyo na kubadilishwa kuwa katika ukuu wa mungu
@desirengenerwasobanuka9015
11 ай бұрын
Kazi ya Mungu gani iko hapa? Nawe umekuwa mjinga kama wengine. Haya unayasoma wapi katika Biblia wewe mjinga.
@anatoryjames4128
9 ай бұрын
Hacheni kujaji sana kila mtu mungu kampa kipaji chake uyo nabii sio kwamba hajui kuwaongoza Sara ya toba bali kawasogeza kimaisha kuna watu wanjifanya ni watakatifu kumbe waovu wachenu hao vijapa wapambane na maisha yao bhana
@godlistenlaban9933
7 ай бұрын
Wakatoke kimaisha bila kutegemea Mungu.... Wasahau hilo... Hapa wamejifunga tiyari.
@user-hg1mb1gh2i
11 ай бұрын
Hats Yesu hakuja duniani Kwa ajili ya wakamilifu!
@user-po5nk4wd1c
10 ай бұрын
Kweli kabisa
@SamwelJoseph-yk3cw
7 ай бұрын
Of course
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Inawezekana 😂😂
@charlesmbunda6759
11 ай бұрын
Ee Bwana Yesu, nikumbuke mimi katika Ufalme wako!
@EmmanuelTate
11 ай бұрын
Mathayo 24:5 [5]Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watadanganya wengi. For many shall come in my name, saying, I am Christ; and shall deceive many.
@BelckEustace-di2md
10 ай бұрын
Linda sana moyo wako kuliko yote uyalindayo, Maana huko ndiko zitokako chemchemi za uzima. Itoshe kusema napoteza Imani ktk mienendo ya namna hii ndani ya makanisa. Ee Bwana okoa watu wako.
@boazimaganga
11 ай бұрын
Malaki 2 7 : Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa Bwana wa majeshi. 8 : Bali ninyi mmegeuka mkaiacha njia; mmewakwaza watu wengi katika sheria; mmeliharibu agano la Lawi, asema Bwana wa majeshi.
@user-de3vn9vv3n
11 ай бұрын
Yani Mungu wa Mbinguni asimame tuu kututetea na afungue akili zetu
@ngombegeorge3577
11 ай бұрын
Ukiwa unasali ,Sali kwa kweli na uwe na uwakika umeokoka na jehanamu , na kuona ufalme wa mungu si kilahisi watu wanavyozani ni hata sadaka usiweke mahalo popote unanapo , lazma ujue inaenda kufanya nini
@bonabonala5559
11 ай бұрын
kwa haya nabii mkuu nakuerewaga ira kwa kushabikiaga ccm hua nakuchukiaaga kumpa muuaji mkuuwakoa ambae leo nimbunge kwa sasa na kumpinga lema hua sikuerewi nabii nakuonaga kama mnafiki kama gwajima au mzee wa upako lusekelo niwatumishi wa shetana au watumishi wa pesa sio mungu
@user-tc1cw6un1b
11 ай бұрын
That's amazing stely
@user-kt6ub3kh1l
Ай бұрын
Mungu haziakiwi, badala ya kuwaongoza Sala ya Toba ameona hela ndo kila kitu kuliko kuwaokoa na jehanamu😢
@laurentraphael5470
11 ай бұрын
Genge la waabudu mashetani at work. Kufanikiwa bila Yesu moyoni ni sawa na kufanikiwa kwa wapumbavu hakika kutawaangamiza.
@sarahmshanga9224
11 ай бұрын
Usiseme nigenge lawaabudu mashetani kama hauna hakika, Mungu pekee ndio anamjua Kila mmoja moyoni mwake nayeye ndiye atamjibu Kila mmoja kutokana namatendo yake
@user-mk2sm4pw6r
10 ай бұрын
Mungu ndiye ajuayeee tusihukumuuu
@evaristkobelo3936
8 ай бұрын
Wasaka tonge hawana mpango wa ibada
@oscarmbilinyi
8 ай бұрын
Ngoja nichore tatuu ya nabii mkuu nipate mamilioni
@Vj_hAnss
7 ай бұрын
@@user-mk2sm4pw6r na io ndio falsafa waliyotujaza ndio tiwape nafasi ya kutufanya watakavyo.,tafakari
@venitarugemalila9290
11 ай бұрын
Suprise nzuri sasa msali na my brothers
@fredrickmikera5998
11 ай бұрын
Unajivika utikufu,Mungu alimwambia Musa kuwa hakuna mwanadamu awesome kuniona uso wangu akawa mzima na pia kutoka 20 anasema yeye ni Mungu mwenye wivu hawezi share utukufu na mwanadamu,ila wew mtoto wa ibilisi unajiita nabii mkuu.kati yako na Yesu ni nanj nabii mkuu
@charliechikopa5414
11 ай бұрын
Mbn amefanya jambo lamaana tu maaana kajua wanahitaj msaada wakifedha so nibora awasaidie kwakuwa yy amejaaliwa kwan pesa si kila kitu hapa dunian hao wkiamua kubadilika wataamua kwa matakwa yao ila amewaeleza kabisa kuwa kile kizazi hakitambui
@alexisannick
11 ай бұрын
Imana iguhezagire caaane
@christaeletlawe
11 ай бұрын
Amen Amen I mtumishi Mungu akubariki mno Naona ni Kama njia yan gu inaenda kufunguka natamani Mungu anipe kibali Mungaji huyo anisaidie Ada ya mtoto wangu naamini Mungu Ana njia nyingi
@user-mk2sm4pw6r
10 ай бұрын
Kwani Huna mikono utafute pesa
@sasiNJ
11 ай бұрын
Awa machaliii hatariiiii😅😅😅
@vincentauxerbius7554
11 ай бұрын
Kuna namna mungu huwatoa watu kwenye giza😅😅😅 be blessed prophet
@africanmitindo2160
11 ай бұрын
Devil at work 😢😢😢
@ellymartin9343
11 ай бұрын
Huyu mtu anachochea sana mmomonyoko wa maadiri, yeye pia ni kizazi cha ajabu sijawahi kuona wala kusikia. Mambo ya Mungu yupo mbali nayo mno.
@Excel-Elevation-School
7 ай бұрын
Me naona hachochei soma biblia vizur mfano Hosea 3:1 uje na Majibu Nabii Mkuu anachochea nn.
@saimonmuhando
11 ай бұрын
Hi nikali san sio kitu chakawaida😅😅😅,duh mungu na atusaidietu mwenyewe
@hollymore4904
11 ай бұрын
Hii Ni Churchill show..Hakuna kanisa
@IgnasGregory-ed1lu
10 ай бұрын
Kweli mkuu ✔️✔️
@user-kf8hc5rt7k
9 ай бұрын
Barikiwa nabiii
@raymondmagere4696
11 ай бұрын
Kusaidia nijambo jama sana maana mungu humtumia mtu mtumishi kuja kukusaidia sasa mungu naomba nikutanishe na mtu mwenye kunishika mkono
@Vj_hAnss
7 ай бұрын
😂😂😂 truly, poverty is deep
@AbdullaSeifKhamis-se9sc
2 ай бұрын
Amakweli hii dini Ya Pesa tu 😂😂 mwenye macho haambiwi tazama
@fainedamwai8156
7 ай бұрын
❤nakupenda buru nabii
@felixsamford4168
9 ай бұрын
Baba jo devi barikiwa sana mmi ni na shauku ipo ciku nitakuja kukuona kwa sasa nipo tanga baba hakika wewe ni mtetezi wa wengi
@user-xw9wo7nh6c
2 ай бұрын
Chuga moja kila chuma icho makonda hapa kz hipo ndugu yng😅😅😅😅😅
@user-ec4br4pd3o
2 ай бұрын
😂😂😂
@elizabethswai7777
10 ай бұрын
Ipo cku,moja hiyo NEMA ya miracle money itanipata mil 100,mtumwa WA Jehova,nataka na mm niwe na canta langu na coaster yangu kama super woman,I trust in God,lv u nabii
@ElishaMosses-fn1qu
10 ай бұрын
Appreciate more Honorable prophet Geor Davie
@myself4128
7 ай бұрын
Aliyekuroga Alishakufa wewe kapime akili au kaombewe na Watumishi wa Mungu unahitaji deliverance!!
@EmmanuelWaisse-s5e
Ай бұрын
Watu watu jamani waache mizaha kwa lord tuache ku support mamb ya ajaabu
@loner_wolf
9 ай бұрын
Mchungaji angekuwa na imani ya mungu kweli kweli na mcha mungu wa dhati kutoka moyoni mwake hakika hao vijana angewapa mawaidha na wangewaidhika na kuwa waumini wa kweli , lkn amewapa pesa na kuwaombea tu waendelee ktk uendawazimu wao .
@EmatashiTashi
8 ай бұрын
Uwezi kuzuia kipaji Cha mtu
@amanihare21
9 ай бұрын
Hapa niuongo mtupu! Hakuna Mungu ndani yake!! 👉Hivi🤭🤭!!
@hamadmohamedy
6 ай бұрын
Hatar kanisa limekuwa 😂😂😂😂 rege imbaaaaa ooo imbaaa yellloooo imbaaaa
@user-js5io7sf5f
9 ай бұрын
Ama kweli hii sio sawa
@myself4128
7 ай бұрын
baba Tumeona Ufalme wako😂😂😂 hii ni Misukule Inamuabudu Jamaa bila Kujua! hapo hakuna Atakayepona!malango ya Kuzimu
@pendokatonge3926
8 ай бұрын
Mmmhh ngoja ninyamaze.😭😭😭Dunia imefika hapa vioja tunvyoviona leo na bado
@immasoi384
11 ай бұрын
Kemea mapepo yawatoke. Sio kuwapa hela ambazo hazitawasaidia kwa ufahamu walio nao.
@HildaAkili-wt3sd
11 ай бұрын
Akiba haiozi
@IsaacMahenge-mi4jz
11 ай бұрын
😅huyo kukemea pepo sidhani kama anaweza fanya ivo ila kugawagawa vijicent hiyo ndo fani yake
@DeboraNgura
11 ай бұрын
Huyo mwenye kofia nyekundu anapepea kma mwenyeji😂😂
@lucasmabuli4786
6 ай бұрын
😢😢😢😢Inauma saana tuombe sana MUNGU atufumbue macho
@josephmusagasa5566
10 ай бұрын
Hili kanisa sikuwahi kulisikia wala kuliona kipindi cha Yesu. Shetani amevuruga vichwa vya watu
@barakakiwangaog
11 ай бұрын
Noma
@ebenezermachange-zp4es
11 ай бұрын
Amen.
@Farajahelene23031
11 ай бұрын
god have mercy of this churchu we are on the end time
@amanijampion3045
11 ай бұрын
And you should remember God has got no definition
@EmmanuelSanare-bc7si
8 ай бұрын
Amina🙏
@user-qo9dg4xk6j
8 ай бұрын
Nimejikuta nalia😢kwafuraha mungu anawatow watu waishi kwaajili ywwengine
@erickbenjamini8154
11 ай бұрын
Nabii Mkuu hao vijana Mungu kawaleta kwako waokolewe waombee Toba baba
@HalunaSilwamba-gd6cn
10 ай бұрын
namba za nabii mkuu naomba nisaidie nashida
@GraceCelestin-ln3dp
2 ай бұрын
Kwani nyinyi hamuone ? Tupo katika siku za hatari, yesu hukaribu
@user-eq2nq6os7v
11 ай бұрын
True ❤
@user-bo3nt4ji2c
11 ай бұрын
Khaaaa nimecheka paka bas😅😅😅😅
@benjaminkiwandaimbise4985
11 ай бұрын
Kifupi tu ni Yesu yupo karibu sana😔
@ikabako2454
11 ай бұрын
Yesu ni muongo sana. Hajawahi kuwepo na wala hatarudi
@barakaomari8899
10 ай бұрын
Allaah awahurumie sana , Alihamdulilahi tobe born as Muslim, huwezi kuta upuuzi kama huu msikitini
@victorianganyagwa2467
10 ай бұрын
CYO wkrist wote wanafanya hvy hilo ni dhehebu Tu Roman Catholic Aglican KKT uez kukut km hvy Hao waliokuja n kujiita manabii nd wanaouchafua Ukrto kw kujfich ktk ukrito
@jeniphermyingajeniphermyin8029
10 ай бұрын
Siyo makanisa yote lkn
@jeniphermyingajeniphermyin8029
10 ай бұрын
Hawezi kukosea mmoja alafu wakaitwa wakrito wote wakp hivyo hapana,niwao tu
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Umesikia kuwa nyie waislam mmekamilika?😮😮
@odalomary5446
10 ай бұрын
Kanisa la maokoto ila mbona waumini wake..awapi ayo maokoto 😂😂😂
@paulkidula1663
11 ай бұрын
🤣🤣🤣😂😂chugga kama chugga
@EliaMwashibanda
9 ай бұрын
Kanisani ni mahali pa matengenezo nikama gereji mwache Bwana atengeneze watu wake
@user-nb5hy1jn2u
9 ай бұрын
😂😂😂hii imeenda Tena imeinda kwel kwel Yan sehem yakumuabudu imegeuka video show
@hellenkerubo4507
9 ай бұрын
Ameeeeeen 🙏🙏
@DONALDYOWAS-rr7tz
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 siopw kàbisa
@JofreyFaustin
10 ай бұрын
Oooo waaa ooo
@zawadijuma9681
8 ай бұрын
Wamepata ya bangi😮
@user-zu7jd2uq8k
4 ай бұрын
Love you my dady
@sergiojunior-fk2md
11 ай бұрын
Mungu amejibu
@ibrahimshilinde6129
11 ай бұрын
MUNGU akubariki Sana Nabii,kwa kuwaona nakuwajari.nahili liwefundisho kwa serikali kuwawezesha vijana wasio na Ajira waweze kujitegemea.
@rasuliathumani1599
11 ай бұрын
Acha usenge akuna nabii hapo
@ombeniruvubika5392
11 ай бұрын
@@rasuliathumani1599 😂😂😂😂 Nakwambiya nihatari man... tutaona mengi sn kwenye hii Generation
@omarymnuru8746
11 ай бұрын
Kuwajali wahuni, we hizo Ni nguo gani na miviatu gani, sasa hapo una-support nini Kwa mfano...hiyo ni Sanaa gani?😊
@kingruvako7590
11 ай бұрын
@@omarymnuru8746acha upimbi huo sio uhuni ni ubunifu wa kutafuta ridhiki kwahiyo ulitaka wakaibe hiyo ni sanaa km sanaa nyingine ww mshamba wa wapi
@thomasndewa4797
11 ай бұрын
Upuzi wenu muache, ogopeni Mungu ata kidogo basi.
@user-ry9yw6mn4x
3 ай бұрын
Aminaaaaa❤
@jacklineiman8131
9 ай бұрын
Hakuna kuwahubiria kuokoka watoke huko waliko umeacha kondoo warudi vile walivyokuja kweli ee Mungu wangu hawajaokokaa
@christopherwalalaze
3 ай бұрын
Amen
@abdallahamiri8527
11 ай бұрын
Mkiingia ivyo msikitini mtapigwa bakora nyingi xana🤣🤣😂😂
@user-dq3fk1xn1e
9 ай бұрын
😅😅😅
@user-bt3wt6nt4z
3 ай бұрын
Kwamba nyie mmekamilika au ndo xjaelewa?
@user-mi7yx8ew1k
Ай бұрын
@@user-bt3wt6nt4zkwamba nyumba ya mungu haichezewi kiasi hicho kbs mchungaj katulia msiifanye nyumba ya mungu kuwa kambi ya wanyanganyi
@nelsonnyamle
11 ай бұрын
Shetani mkubwa hakuna kanisa hapa
@anesansibert2968
11 ай бұрын
Bora wew umeliona hilo
@josephlorri431
11 ай бұрын
Mungu wetu ni anayegusa maisha ya wahitaji...mimi sio anayeamini kwa Kanisa hilo,lakini kuwajali na kuwakaribisha vijana kama hao ni jambo jema
@mwinjilistiaristidesmeja1834
11 ай бұрын
Siku nyingine leteni na mashoga na wasagaji maana mamiss tayari mmeisha leta
@heritier5119
11 ай бұрын
@@mwinjilistiaristidesmeja1834 Awazuiliwi kuingia Kanisa Kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi
@KifmboKifimbo-qh2ze
10 ай бұрын
Mungu waongoze man tunajuwa kam Hujuw unacho kifanya
@olivernyange2349
11 ай бұрын
Ukiingia deep sana utaonea waafrica huruma,kigezo cha dini mmmmmh
@kateadam8204
10 ай бұрын
hii nchi kweli inavituko haya tuseme kwa pa1 Vituko viendelee😂😂😂
@user-um8cw6ze6f
11 ай бұрын
Asante 🎉
@HumphreyNyamoga
Ай бұрын
Jaman mpaka kanisan
@eliyahango4278
11 ай бұрын
Hii Ni Safi ,hawataacha kuja tena😂😂😂
@piliangel
11 ай бұрын
🎉🎉🎉
@CindyKatila-fc5zw
11 ай бұрын
Ameeeen
@KelvinDickson-cd6tr
5 ай бұрын
Aiseeeeeee🎉
@chadotv257burundi9
10 ай бұрын
Nakupenda sana nabi mkuu
@AmosiKameleNdabagiliye
8 ай бұрын
Hivi wewe unamjua nabii mkuu,au humjui,ama kweli ni nyakati za mwisho.
@richtarimo4470
10 ай бұрын
Nabangi iuzwe bei rahisi😅😅😅😅 chuga
@EsterShirima-vr7cv
2 ай бұрын
Uhakika nimekukubali nabii
@janethedward4631
11 ай бұрын
Mimi naona kafanya jambo la msingi tu maisha magumu ajara akuna sasa jamani km mtumishi wa MUNGU kaguswa lazima atoe kutoa ni moyo na si utajiri wchungaji wangapi wapo Tanzani ata kusaidia watu akuna binafsi Mtumishi wa MUNGU mimi nakuombea MUNGU akupe Maisha marefu yenye Amani na Upendo km moyo wako ulivo na unavo toa akuzidishie mara 💯
@solomoneglesias9752
11 ай бұрын
Nyoka 🐍 uyu APA yaaan ibilisi live🤣🤣🤣🤣🤣
@marymwanziamary6623
11 ай бұрын
MUNGU wahurumie hawa watu na uwaokoe kutoka katika hili shimo la kuzimu kweli hawajitambui.
@filbertdamiani101
10 ай бұрын
Sikia mnamjua huyu mtu ninani? Mafarisayo walimuuliza yesu, kwanini una na kula pamoja na wenye dhambi? Naye kawajibu mwana wa adamu hakuja kwa ajili ya wakamilifu, Bali alikuja kuokoa waliopotea.
@PaulinaSemindu-ob3de
11 ай бұрын
Khaaa 😂😂 kwa mwamposa hakuna ujinga huu watu wanacheza kwa kumanuka kisa milion moja? Hawana hofu y Mungu n comed tu hapo mana wapp watu wenye uhitaj mkubwa wa pesa mnawapa watu wanaojichetua jmn " unadhan watakuja kusali tena hao
@beatriceotieno-rg8om
6 ай бұрын
Ushindwe kataka jina la yesu
@SamwelJoseph-yk3cw
7 ай бұрын
Wanadam ukiwafanyia mambo mema sana sana wanakugeuza kuwa kama mungu wao, kwa maana hiyo mtu huyu afanyacho sio sahihi
@jackytingatinga2799
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mungu tusaidie
@rehemaakyoo
7 ай бұрын
Hata yesu alikuja ulimwenguni kwa kile kilichopotea nasio kile kilichokamilifu
@deodatusmagagura6793
10 ай бұрын
JESUS IS COMING SOON
@rashidimohamedi5188
8 ай бұрын
Ahhhh utasubiri Sana any way we subir tu ATA kesho atatimba akitimba niite mbwaaaa Niko paleeee nimekaaa
@adieljoshua640
10 ай бұрын
kanisa la maonesho ya saba saba na maigizo kama zilipendwa Oooh! my God Dunia imeisha hawa manabii wamezidi kubuka na kumea every where like a Mushroom
Пікірлер: 400