Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
@suleim505
Жыл бұрын
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
@KASSIMSAMAMBO
Жыл бұрын
Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar
@saidothman4527
Ай бұрын
Amin
@mshauriibrahimu-ov5fq
3 ай бұрын
allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah
@jumamwamreko4683
Жыл бұрын
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
@KhadijaMaginya-ie1ir
Жыл бұрын
Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake . Nawe na ustadh awape nyingi heri
@user-uz1er8xp6h
Жыл бұрын
Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.
@Sharifarajabudebe
Жыл бұрын
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
@josianemavukiro4386
Жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman
@meekman1805
Жыл бұрын
Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin
@piliramadan875
Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah shekh athman
@user-de2xb8ic1v
Жыл бұрын
Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤
@mommywarda5529
Жыл бұрын
Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar
@assinaassina1177
Жыл бұрын
Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri
@user-mk8ph8qc9k
22 күн бұрын
Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️
@ashalaurent2465
Жыл бұрын
Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin
@saidothman4527
Ай бұрын
Amin
@badihamisi1012
Жыл бұрын
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
@aminaamina3972
Жыл бұрын
Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah
@MwaishambaKipanga-bu9sz
Жыл бұрын
Allah mubariq shehe wang
@hassansammy1076
Жыл бұрын
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@lallylasly2074
Жыл бұрын
Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj
@jasminyabdully499
Жыл бұрын
Maashallah tabaraqallah
@rashidimrangi1953
Жыл бұрын
Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh
@khadeejahrashid3177
Жыл бұрын
Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua
@emmysam7938
11 ай бұрын
Amen watumishi wa MUNGU ❤
@faridaiddi104
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi vipenxi va Allah
@aminatakhamis3390
Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@halimamfaume1925
Жыл бұрын
Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤
@mwanaikaomar8628
Жыл бұрын
Aamin na ss
@amenamaashaallahyasheikh3457
Жыл бұрын
Maa sha Allah
@alimzee
Жыл бұрын
Shukran 🙏🙏
@SamaduIdrisa-kp6uh
Жыл бұрын
Masha allah
@kyaraal2155
Жыл бұрын
Mansha Allah
@SamuelKobia-iy3fs
6 ай бұрын
mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu
@user-de2xb8ic1v
Жыл бұрын
Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini
@latifaSeleman-bh8lz
25 күн бұрын
Mashaallah
@HalimixHamix
Ай бұрын
Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo
@mealii5793
Жыл бұрын
Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr
@mejumaashabani203
Жыл бұрын
Asalam aleyku sheykh mungu akulinde
@makebakelly9935
Ай бұрын
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
@salmashinna7705
Жыл бұрын
MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir
@rashidswalehmwanjama3404
Жыл бұрын
Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu
@wardawardaarshad
Жыл бұрын
Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje
@user-nu7qx2td1t
Жыл бұрын
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
@naomiapoko9404
Жыл бұрын
Marshall
@user-gf5tw7fw7t
Жыл бұрын
Allah akuongoze
@maryamhamad3485
Жыл бұрын
Allah qareem
@aminabdalla7824
Жыл бұрын
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
@SalimSalim-ec9jo
Жыл бұрын
Mbaazi
@aminabdalla7824
Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama
@ALLYMTAWATAWA
Ай бұрын
Assalam alaykum Allah awalipe heri
@mrokay1time958
11 күн бұрын
Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa
@mateusvianovaaraujo
Жыл бұрын
❤
@kassimmanaramalika8592
Жыл бұрын
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
@user-xu8qj4by3u
10 ай бұрын
Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu
@emaMateru
2 ай бұрын
Ninaamini sheh wachawi wabayasana
@blueberrypotatogames7950
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@salmashinna7705
Жыл бұрын
Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa
@nasilmatichomes1949
Жыл бұрын
Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri
@assfzainab912
Жыл бұрын
Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili
@AhmedNaswagi
2 күн бұрын
Jina lamuti sheikh
@salmamohammed2986
6 ай бұрын
Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉
@piliramadan875
Жыл бұрын
Tumeona mambo ya dawa Masha Allah
@neemahassan5726
3 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana
@tawadudihaji3907
Жыл бұрын
Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu
@aminabdalla7824
Жыл бұрын
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
@rahmahabibu1432
Жыл бұрын
Kwel tunateseka n mti hatujaujua
@user-eg4yo8fr3q
Жыл бұрын
Jina lake ni mkuyu
@user-wf6nq2oc8p
3 ай бұрын
Mkuyu hapana bana
@deogratiusyudatadei5658
2 ай бұрын
Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story
@user-pw2sw1sk1b
Ай бұрын
Amiin waallay daaaa wanaboa
@nuriahussen2160
Жыл бұрын
Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA
@neemahassan5726
3 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh Allah barik
@Mposa-ds5yq
27 күн бұрын
English please
@user-rk9vj7rl8g
21 күн бұрын
Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye
@mrokay1time958
11 күн бұрын
Kwa mihangahiko ya dawaaaaa
@tobiusjtz7607
Жыл бұрын
Ukwl mtupu
@meekman1805
Жыл бұрын
Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.
@blueberrypotatogames7950
Жыл бұрын
Tunaomba number za simu
@Shumy-nw6rm
10 ай бұрын
Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango
@user-iw6ut6sp8f
Жыл бұрын
Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali
@fabianmkimbu880
Жыл бұрын
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
@thesonstv786
Жыл бұрын
Akili yenu sijui mnapeleka wapi
@user-ip3vq7rg1n
10 ай бұрын
Imenibd nicheke😂😂😂
@user-uz1er8xp6h
Жыл бұрын
yenye kheri na baraka ?
@faiqaanwar7268
Жыл бұрын
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
@nehemiaayo9527
Жыл бұрын
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
@ramadhanshabani9736
Жыл бұрын
Ukweli gani?.
@user-ez4df7qg2f
2 ай бұрын
Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini
@rehemaedward9494
Жыл бұрын
shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie
@jasminyabdully499
Жыл бұрын
Namba yake ni hio insyoonekana katika screen
@mswakisaid2320
Жыл бұрын
Namba zake si hizo hapo kwenye video? Au wataka namba gani?
@AtilioKigahe-pp1ep
Жыл бұрын
@@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu
@iphermayd
Жыл бұрын
Mtu mkuu n mvujee ama
@aminasuleimanmohammed4487
Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko
@NicholousRoman-xi3hy
Жыл бұрын
Shekhe naweza nikapata namba yako
@rashidmohamed4051
Ай бұрын
Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui
@shifaazawadi4438
Жыл бұрын
Mti mkuu hauna jina lengine
@hidayah3405
Жыл бұрын
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
@mwajabuhassan4673
2 ай бұрын
Anasumbuliwa na nini huyo hawa?
@catherinemhagama7505
Жыл бұрын
Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe
@drpaulfullstop1332
Жыл бұрын
Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana
@nawandafamito500
Жыл бұрын
Mwanga jini ni, kivumbasi.
@athumanidido3038
3 ай бұрын
Muinga jini
@annalugano5246
2 ай бұрын
Mbona hamtaji jina la mti
@Alicia12343
Жыл бұрын
Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo
@Estherkaidza-zq3ed
Жыл бұрын
huo mti ntaupata vp.
@blueberrypotatogames7950
Жыл бұрын
👍🏽🙏💪👏
@user-cz6mr1wd4p
11 ай бұрын
Nahisi mti mkuu ni mbaazi
@hashtagdarling4738
Жыл бұрын
Asalam Alaekum. Shekhe setu. Naomba jina jingine la huu mti mkuu....Sasa sijajua nimkunazi au vp
@user-dc7do7dv8k
Жыл бұрын
Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu
@MaaneML
Жыл бұрын
Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi
@barakamwamba288
Жыл бұрын
Haaa
@RehemaNyela-ps1tn
4 ай бұрын
Nimekuelewa NaombA namba yako shekh
@hasinaalrahbi6681
Жыл бұрын
Kwa mtizamo wangu huu sio mbaazi
@kimamybeautypoint9656
Жыл бұрын
kweli kbs nmebaki naukagua
@HassanNgao_254
Жыл бұрын
Ata sielewi pia mm ama ni mbaazi gani 🤔🤔
@user-to5pz8tu6f
3 ай бұрын
Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu
@kabayesankula7895
Жыл бұрын
Shekhe Namba ya simu nahitaji
@kalamuMedia
Жыл бұрын
+255784122858
@user-sr9cu1ee1w
Жыл бұрын
Nataka namba za uyu sheeh nimpe ushuda wa swala ya mtume napata wapi namba zake
@kalamuMedia
Жыл бұрын
Sheikh Othman Michael +255784122858
@shaphaina9941
Жыл бұрын
Mti mkuu kwa kisiwani zanzibar unaitwaje ?
@salamaabasi816
Жыл бұрын
@ziko lyra mbaaz hiz hiz mbon selew
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Sasa huo mti mkuu mlouzungumzia hapo ni m,baazi? Au ni mtihuo mloufata huko porini hamjaeka wazi hapo
Пікірлер: 181