Amina Dada. Mm nilisha wahi kuota napewa hela nyingi Sana na mwanaume. Pia hii ndoto ya mvua kunyeshewa mm huwaga naiota Sana. Mvua kubwa inaninyeshea sana
@pastor_Estersamwel
Ай бұрын
Hongera mwana wa Mungu Ongeza mda wa ibada kaa karibu sana na Mungu ili adui asiibe Baraka uliopewa na Mungu uiishi
@KarisaRoseline
17 күн бұрын
I dreamt all of them... May God will be done in my life
@MalackRichard
3 ай бұрын
Mungu akubariki na azidi sana tena sana kukupatia uwepo wa kuendelea kutuelimisha. Pamoja sana Paster
@JoyceKayombo-y3g
2 ай бұрын
Amen barikiwa sana pastor ester kwatufungua
@ryeidaupendo4834
4 ай бұрын
Niliotaga sana izi ndoto za Vito vya dhahabu na pesa na magari lakin kukawa kuna mtu ananinyanganya ckuelewa ,nimeokoka napenda Yesu but cjui nn kilipita,ahsnt Mtumishi wa Mungu
@joycekambuga6286
2 ай бұрын
Kuna mtu ameshikilia Baraka zako
@puritynyakio6694
Ай бұрын
Mimi Hizi ndoto zimesumbua sana aki kila siku nimejaribu kutafuta kazi sipati ila izi ndoto nashangaa ni za nini nitafanyaje mimi 😭😭 saindieni please
@pastor_Estersamwel
5 күн бұрын
Pole sana nipigie mwana wa Mungu
@AshaKinyogori
2 ай бұрын
Mimi niliota Nna ela nyingi sana mpaka sina pa kuziweka adi adi nafunga kwenye kanga malundo malundo
@BRANTON-g4s
2 ай бұрын
Kweli kabsaa bt hua naota naua watu kwa bunduki ila yani risasi ila really life sina bunduki au toi gun so me ni nani.
@mushagalusahortense3437
23 күн бұрын
Amen amen 🙏
@jafariramazani-z2n
7 күн бұрын
mimi hizondotozote nimeshaga ziota ilasinakitu
@MamaAfrica-f7i
22 күн бұрын
Amiin
@GraceBayyo
4 ай бұрын
Amen dada
@LuciaJohn-m9z
Ай бұрын
Amen
@annkatumbi
4 ай бұрын
Ukiota ukiumbiri watu wengi alafu unangeuka unaona watu wamengawayika wengine wanasikiza neno la mungu na wengine wako kwa matanga
@Emmanuel-cp1no
4 ай бұрын
Dah jitahidi kuandika vizuri nimepata shida sana kukuelewa
@ZainabuAbdul-wb2mx
5 ай бұрын
Je!kuota kama unatema mate au unavuka kinyesi hii ndoto inamahana gani?
@mathiaskagndakaganda645
5 ай бұрын
Asante Dada
@rogerslwitiko3915
3 ай бұрын
Mimi niliota nipo nchi ya mbali wakawa wanajaza mbolea(Mboji) yenye ardhi ambayo haitumiki lakini yenye udongo wenye rutuba na udongo ambao hauna rutuba kwa ajili ya kilimo hii ndoto ina maana gani Mtumishi?
@AlatasaruakiBaraka
Ай бұрын
Mi niliota nimejaza almasi kwenye mifuko na imejirudia sana
@ElizabethMahahira
4 ай бұрын
Yes
@ChristopherMisungwi
Ай бұрын
Dada kiukwer mimi naota saaaana hizo ndoto mbona sasa sijavipata
@khadijaacute
Ай бұрын
jitahid kufanya maombi mungu atakujibu haja ya ndot unazooota my dear❤❤
@pastor_Estersamwel
7 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/jpyctJiuiGecaXYsi=8tS8xmGJTWqXhidj NDOTO ZA VIATU ZENYE Mafanikio
@JoyceMsigwa-gt4rj
6 ай бұрын
Amina nimefunguliwa ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@morrismusili5171
5 ай бұрын
Thanks nitabarikiwa
@JohnMwita-dv4fl
3 ай бұрын
It's true
@scholasticakasiso9559
5 ай бұрын
Juzi nmeota napewa elfu tano
@ScolaMwamlima
3 ай бұрын
Mimi huwa naota nipo kanisani mara shuleni hospitali
@wilfredluhwago9246
2 ай бұрын
Mimi niliota kuna dhababu nimeipata nikaificha chini ya Meza lakini kuna mtu akaichukua.... na nilimuona. Tafri ni nini...
@sarahmdindile4301
2 ай бұрын
@@wilfredluhwago9246 omba maombi ya urejesho mpokonye adui vitu
@prophetichealer100
28 күн бұрын
Huyo mtu uliomuota ndio adui wa mafanikio yako omba sana
@damalove8139
4 ай бұрын
Mie naotanga nikiwa na kisima cha pesa nyingi yaan zimejaa kwenye kisima adi juu adi zimetapakaa
@neemakarisa1496
3 ай бұрын
Hmmm 🤔 hapo usiamke endelea ku lala 😂😂
@Cynthia-nw8kg
4 ай бұрын
Mm nimeota mvuwa inaninyeshea ikiwa na balafu nikawa naokota zile balafu badae nikaona zile balafu zikayayuka nikaona ni mchele mbichi jaman apo sijaelewa
Пікірлер: 73