Kazi ya ukulima ukiwa kwenye ajira sio rahisi. Mara nyingi hasara zinazopatikana shambani zinatokana na hali kwamba mwenye shughuli za kilimo hayupo karibu. Shughuli za shambani zinahitaji usimamizi. Unapofanya kilimo cha simu, tarajia hasara. Nazungumza kutokana na ujuzi niliopata. Si mara haba nimepata hasara kwa kuwa mbali na shambani. Lakini sasa nimeamua kutoa asilimia 80 ya muda wangu kufanya shughuli za shambani. Natumai hii itanipunguzia hasara.
Негізгі бет Ukulima na ajira
No video
Пікірлер