Alafu walousikika wapo wanakula pesa walolipwa, 🙏🙏🙏rahana itawafikia mpaka mjukuu,
@faustinluambano2958
6 күн бұрын
Wenye mabasi muamke wekeni kamera mbele ,nyuma na ndani ya basi ione na kupiga picha kwa siri sura za abiria wote na kuzihifadhi.
@alumonkisinda4574
2 күн бұрын
tashirifu ni moja ya gari nzuri sana katika safari ila kwa sasa ngoja nipande lori tu madereva wa maroli msinichoke bora nijikalie na davoo na roli mwanzo mwisho
@brightergermanus2163
2 күн бұрын
HAKUNA ABIRIA ASIYETAJA NAMBA YA SIMU KWA HILO MUMEONGOPA WAONGO NYIE
@ClementinaPaul-sq9ep
6 күн бұрын
Dar..kiukweli inauma Mungu asaidie Wauwaji wapatikane
@FortunataNguma
6 күн бұрын
Mngepiga picha hayo magari
@rashidissa8674
2 күн бұрын
Hao police ndo wahusika hivyo hiyo ticket ,,hizo kamera pia hawezi kuonyesha kama ilivyokuwa alipopigwa risasa Tundu lisu
@IndalesioHenery
5 күн бұрын
Uchunguzi wasiufanye polis
@AlfredMatemu
4 күн бұрын
Kwanini hawakupeleka gari kituo cha polisi mteja wao akamatiwe pale polis mhakiki kweli mmempeleka kituo cha polisi nasio kaporwa mteja
@Nanah18
3 күн бұрын
Na inawezeka hata kuna mtu ndani ya ofisi yao alikuwa na connection na wahalifu, kujua kuwa siku hiyo Mzee Kibao alikuwa anasafiri
@sadotkyabuguta3700
5 күн бұрын
Siku nikipata safari ya kwenda Tanga sitopanda Tashrif, nitakuwa na uoga.
@stevenkatani3047
5 күн бұрын
Utatembea kwa Mungu tuzidi kumuomba mungu
@user-jt4lo1og8w
4 күн бұрын
Ilitakiwa muendeshe gari mpaka kituo cha police
@HonorataMafala
5 күн бұрын
Mbona hamkwenda Polisi kutoa taarifa
@zully756
4 күн бұрын
Wametoa taarifa
@SamweliDaniford
6 күн бұрын
Mungu atusaidie kabisa
@kitambatv8363
6 күн бұрын
😭😭🙏🙏🙏
@hashimmwinja1940
5 күн бұрын
Abiria walipaswq waungane kutoruhusu mwenzao achukuliwe wanaonq hivi eti kwa sababu walikuwa na silaha.
@fatmamuhammed9713
5 күн бұрын
Marehemu yake keshyajua na yuko peponi Inshaallah
@hashimmwinja1940
5 күн бұрын
Ni vema mabasi yote ya mikoani yafungwe kamera za ulinzi
@samirsaid2087
6 күн бұрын
Mabus yote yakisasa yana camera.kuna hard disc ipo mbele hapo kwenye deshboard hapo wakiitoa hyo watapata video yotee umo ndani ya bus
@kitambatv8363
6 күн бұрын
@@samirsaid2087 inawezekana wanasikia wachukue Aya maoni
@jacquelinemwakasala9563
6 күн бұрын
Dah inatisha
@GhaniaSaid-u5k
5 күн бұрын
Hkn kitu bwn wamemteka tu hao hkn mjmbz wa aina hy
@brightergermanus2163
2 күн бұрын
CCTV ZA NDANI YA BUSI HAZIKUWACHUKUWA VIDEO ZA HAO WALIOMTEKA KIBAO??????
@Veni584
6 күн бұрын
Tumieni vitambulisho kuandika majina ya ticket
@kitambatv8363
6 күн бұрын
Wazo zuli Sana
@johannesishengoma1232
6 күн бұрын
@@kitambatv8363Ni wazo zuri kwa kuongea tu je linatekelezeka?
@clementhiddi1486
6 күн бұрын
Shida ni wametanguliza fedha mbele kuliko utu.
@saudaaddey7402
5 күн бұрын
Maoni yangu Naomba kuanzia sasa hivi kila abirua atumie kitambulisho chebye picha yake
@kitambatv8363
5 күн бұрын
@@saudaaddey7402 wazo zuli
@HamdanAmli
5 күн бұрын
Uyo mtu kama alikataa kutowa namba lazima najina atakuwa alidanganya
@salamsabdullah-st9pt
Күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@CyprianKinyala
5 күн бұрын
Nafikir Sasa kama mtu hajatimiza taratibu za usafiri asipande Hilo Gar mpaka atimize
@SmwelMbando
5 күн бұрын
Tuamke
@mohamedsalum5504
4 күн бұрын
Upumbavu mtupu...jamani ndo tuseme bado hamjajuwa nini kinaendelea...ushahidi upo wazi....african elections a waste of time
Пікірлер: 36