WA pili 🇰🇪🇰🇪nipewe likes tafadhali,, Kaz I nzuri Kevin mbarikiwe💕💕
@GladyMusa-ee3se
10 ай бұрын
Like ya kalio au
@ElevisNdayikengurukiye-ud5lv
9 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮 brawuni endelea kutufulahisha lakini wajue mungu ndo hishu ya voiture vyovyote
@RachelThomas-ox3jr
10 ай бұрын
Kazi inazid kupanda kiwango 🔥🔥 pole vick Mungu akutie nguvu upate mtoto maana inakua kero kwa mawifi ❤❤
@RozinaKipande
10 ай бұрын
Niukweli ❤ Kevin kazi zuri sana❤💞💓💗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💖💕💞💓
@Jojo-y7k8g
10 ай бұрын
Brown na Victoria mumeweza kiu Kwl good work from 🇧🇮
@StephenOuma-py7uh
5 ай бұрын
Kweli mandugu wanaweza kukupoteza,,,,,laiti tungalijitambua mapungufu yetu binafsi basi hatungalifuatilia maneno ya watu❤
@NagelSwai
8 ай бұрын
Duh Vicky jamani hongera unajua kuleta uhalisia kipenzi mungu azidi kuwa bariki donta tv
@Phoebenafula
10 ай бұрын
Congratulations 👏👏 donta tv much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Dama-h6v
10 ай бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪 ❤️
@AngelNyato
10 ай бұрын
Wooow gonga like kwa donta tv❤❤❤ we proud of youh❤and we love you keep it🙏
@SwaibaAmry-fk8no
10 ай бұрын
Kazi nzuri sehem ya pili isichelewe
@janetymwakupha4784
10 ай бұрын
Wow good job👑💯💯💯🎉🎉🎉🎉
@chunaabdullah1333
10 ай бұрын
Marafiki wengine pumbavu sana na ww mume ndie uko na tatizo je, uyo uko njee alokwambia alikua na mimba yako ulijuaje ni wako
@winnymwathi3098
10 ай бұрын
Nice movie Brown ❤keep it 💯 from Kenya 🇰🇪
@EstellaNshimirimana-up9jo
10 ай бұрын
Wa nne mimi,ivi nimekuja mapema nipeni sasa mnavyo pana kwa wengine.
@StegenujumbeNyabegere
7 ай бұрын
Vizuri...Na penda Sanaa🇨🇩🇨🇩
@aminahhuawei1133
10 ай бұрын
Kazi mzr sana mubarikiwe victoria kelven nanyote kwaujumlaa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@PendoPhilipo-x5p
9 ай бұрын
Unajitaid sanaa
@LulyalyaKinya-lr9ch
10 ай бұрын
Kupata mtoto ni kazi mpaka ubimbilike kikakamavu hususan kwa wadada wanaopenda chips kuku apo Kaz ipo❤❤
@NasraOthman-zq3co
4 ай бұрын
Mh kak chips kuku inausin vp jmn
@salmakiti1517
10 ай бұрын
Mawifi mna lana sana nyinyi hamjui pengine kaka yenu ndio mwenye shida
@kijanangosek1281
10 ай бұрын
Story tamu sana Kila la kher vick utapata watoto na xi mtoto
@Elizakilisipinilikolika1996
9 ай бұрын
Nakupenda sana vikitoria na kivni na brown ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@joycemuenimutua4506
10 ай бұрын
Very nice, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@EvaHiza-hc9lz
10 ай бұрын
Nawakubali saaana kelvin na broun
@Annwanjiroombati
Ай бұрын
Kaka uko Sawa wanaume wote wangekua kama wewe hiii dunia tungeishi vyema, nice movie thanks
@maryd1538
10 ай бұрын
Kaz saf san❤❤❤part2
@OmegaNelson-ho1no
10 ай бұрын
kazi nzurisicheleweshe part two please!!!!!!!!!!!
@halimaali4885
10 ай бұрын
Kazi nzuri💞💕💕🙌
@JackyTesha
10 ай бұрын
Watano naombeni likes apaa❤❤❤
@IreneRaban
10 ай бұрын
❤❤🌹💐
@FatimahAl-f1d
9 ай бұрын
Hii move ninafunza sn ww kama mume kuwa pamoja na mke wako .na kaa ukijuwa mpaji ni mungu natazama nikiwa Saudi yn ata swami machozi yanito😢🥺🥺
@RizikiZiki
10 ай бұрын
Wa tatu jamani nipewe links zangu plz ❤wana Donta tujuwane
@ShaniShebila
10 ай бұрын
Jamani mim nampenda san Victoria naomba siku tuonane nimuombe urafiki
@valentineonyoni9065
10 ай бұрын
Kenyans tuko macho kweli 😂. Love you guys ❤ mwaaaaaaaaaah 🎉. Representing Mombasa Kenya 😊
@EdwinOtieng-i5c
9 ай бұрын
Matendo ya wakristo ywapasa kuambatana na fundisho ya Kristo Yesu kwa mujibu wa biblia. Shetani, kule mbinguni, alitaka kuabudiwa kama Mungu. Alitaka kutwaa utukufu wa Mungu. Aliposhindwa na kutupwa duniani, alijiweka kuwa Mungu na kutaka mwanadamu amuabudu kama vile Mungu aabudiwo na mwanadamu. Shetani anajiita Mungu. Kwa hila kwa kuwa anauwezo wa kiroho maana yeye ni roho hunasa binadamu na kumfanya amuabudu. Lakini kumbuka pia ya kwamba Mungu aliupenda ulimwengu utoke katika kutokumwamini ndiposa amwaminie Kristo na kuishi sawa sawa na mapenzi yake yuatenda mapenzi ya Mungu. Aliekuja na fundisho kinyume na Kristo ni mtumwa wa Shetani. Haiwezekani kuwa mkristo na muislamu kuwa na Mungu mmoja
@FredrickOuko-vp6io
10 ай бұрын
Mbona mnamuonea tu Victoria na siwaoni watoto wenu..... ama wameenda shule hawajarudi. Mna tabia mbaya sana ......😢😢
@chunaabdullah1333
10 ай бұрын
Nawashangaa hata mm 😂
@JenniferAdhiambo-e2f
10 ай бұрын
People kaka♥️♥️❤️🇰🇪
@amosiyohanatz8734
9 ай бұрын
kazi nzuli sana
@jeyjey572
10 ай бұрын
Namkubali Sana Victoria ❤❤
@linetnyakundi3586
9 ай бұрын
Woiii mungu nionekanie nilkaa kwa ndoa 4yrs ckuamini lkn najua ipo siku pia mm nitaitwa mama 😭😭😭
@PeterOletibili
10 ай бұрын
Mawifi sometimes duh hama ujenge kwako mkuu
@lucyatieno6460
10 ай бұрын
Nimekuja kwa amani nipee likes ata ka tatu🎉🎉🎉🎉
@IreneRaban
10 ай бұрын
🌹🌹🌹
@josephineuwizeye8250
10 ай бұрын
Muacheni kaka yenu jamani kampeda vicky.❤
@SaidMrisho-vf5tm
Ай бұрын
from DRC naomba like 10000000 mimi ni wakwanza
@AmisaHeri
10 ай бұрын
Ami queen ❤❤ kanzinzuri kelvin unafanya vizuri sana
@AmisaHeri
10 ай бұрын
USA🇺🇸🇺🇸
@Mwanamkasi-s5e
10 ай бұрын
Siku zote mawifi ndio wahribifu,ivi ukaambiwa upe iyo mimba utampa mtu mzima ovyo, brown nwe ukoyavananga kitakuramba,atapeta mtu tuone mwenye shida n brown au n victory nasubiri apa ,n ikiwa n ww brown napanda gari mka uko Tanzania nije nkuchape atari.nko kenya apa nsubiri apa ole wako
@HijhRuhhg
10 ай бұрын
Part 2 isichelewe plz
@TimaBakari-c5y
7 ай бұрын
Nikwelipicha nizuri Ila hakisha mnazpanglia mtuakiangalia pati yakwanza alone potizote kwamda mmoja ukiosa kuonapati ingine. Kwawati Huwa midiinaodoka
@abackilindo9263
10 ай бұрын
Jaman mbalikiwe saan mabest
@minaelpaul9219
10 ай бұрын
Ila Vicky bwana unapatiaga position unazofiti kuigiza big up sana
@everlinekenga437
10 ай бұрын
Nimewahi pia mm leo🎉🎉🎉
@Annwanjiroombati
Ай бұрын
Mko Sawa sana movie zenu zuri mafuzo mazuri Asante
@wilsonmwamuramwamura1953
8 ай бұрын
Much love from 255🇹🇿 ndoa ni ya wawili
@faithnafula5188
10 ай бұрын
Team strong gulf mapenzi wewe 😅😅 love from Kenya 🇰🇪❣️
@Baliki-q1r
7 ай бұрын
Naomba like zangu nimekuwa wa kwanza
@chunaabdullah1333
10 ай бұрын
Brown brown brown utajutia uamuzi wako
@AwetuKassimu
10 ай бұрын
Kiwukweli sichoki kutazama mafunzo yenu kiukweli shule yenu inatufunza na sisi
@PriscaDavid-hv4wf
10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@salmakiti1517
10 ай бұрын
Safi sanaa❤
@RoziDocta-cq6bb
10 ай бұрын
Jamn mm wa 23 naomben like zangu hata 10
@claradaudi9949
10 ай бұрын
Nice sana
@faizamohamed6993
10 ай бұрын
Uwii jamani brown sio poa 😭😭😭😭
@JudithKitima
4 ай бұрын
Kevine mbarikiwe kwa kazi bora
@KudraNtegakaje-ni3dz
10 ай бұрын
🎉nic san jmn hongela maneno mazuli
@SakinaHassani-xm7ti
10 ай бұрын
Picha hili linavyoenda mwenye tatizo la uzazi ni Braun 🤣🤣🤣
@bennamush4616
9 ай бұрын
Kabisa
@Clintonlumumba-h1p
7 ай бұрын
I love it vicky Good wife
@ashamwanganzi6400
10 ай бұрын
Mawifi wakorofi san aisei 😢😢😢😢😢
@Amena-z5r
10 ай бұрын
😢😢😢😢
@SergeMichel-v1s
10 ай бұрын
More love from Uganda
@steve_tz
10 ай бұрын
Sitaki like zenu pls hohooo
@ThamimaRajabu-bs2nd
10 ай бұрын
❤❤❤
@محمدالعطوي-ش5ه
10 ай бұрын
Nelly bana ata ww washaeishi😢😢kama mawifi😢😅
@ggfwtgg1652
10 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉kazi nzuri
@ShamiraSaid-u6z
7 ай бұрын
Wuuuuu my bracing of my kelvn❤❤❤❤lloveyou
@rabisonhiluka
10 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Steve-ij2lr
7 ай бұрын
Kila mpingo ni ya Mungu.
@Jacklinemwikali773
10 ай бұрын
Much-loved donta tv ❤❤
@Maryamu255
10 ай бұрын
Nasubili part2 ❤❤❤
@JULIETHSAMILA
9 ай бұрын
Nice 👍👍
@MohdAbdalla-b1p
7 ай бұрын
❤safisana
@blackblackmpayaya
3 ай бұрын
E verdade isso que tas a falar não e fácil apanhar o gravida❤
@Ezamamadtz88869
10 ай бұрын
❤❤❤ kazi nzur
@SelemaniNtobi-f7h
10 ай бұрын
Rafik kama huy hafai na hapo unakuta mwanaume ndo mwenye tatiz hazai
@SakinaHassani-xm7ti
10 ай бұрын
Mawifi mnamidomo🤣🤣
@glorykadzo
10 ай бұрын
Mawifi 😂😂😂 sitaki niwe wifi wa hivyo jamni japo kua mm sijapata wifiwa kusumbua
@neemaneychricious6493
10 ай бұрын
mmmmh mawifi haooo
@AshaMjaila
10 ай бұрын
mawifi kichefu chefu
@blackblackmpayaya
3 ай бұрын
Dah mawif wanaboa kinoma
@CarolyneWambani-c1e
Ай бұрын
Nakupenda sana kelvin na victoria
@FaithNelima49
3 ай бұрын
Congratulations donta tv
@PrincessHellen-pg1oy
10 ай бұрын
Mpo arusha ee nawapenda bure
@lucyatieno6460
10 ай бұрын
Nimewapenda pia❤❤❤❤❤❤
@veronicawilliam7276
10 ай бұрын
Mbna huo ushauri mbaya sana rafki yake brown
@FaithFrans-p7p
10 ай бұрын
Braiton haup lomatic mda wote upo serious
@عايشهعلي-و5ع
10 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@Aishajafari23
10 ай бұрын
Watatu naombeni like apaa❤
@IreneRaban
10 ай бұрын
🥰🥰🥰
@JohnNjuyuwi-c2t
9 ай бұрын
Victoria kiukweli ni mzuri sana lakini hicho kipini cha puani hakimpendezi hata kidogo toa kipini puani.
@blackblackmpayaya
3 ай бұрын
E verdade isso que tas a falar não e fácil apanhar o gravida
@peterelibariki-m1y
4 ай бұрын
mbn hawana watoto na niwakubwa tu
@mteweleonesmoonesmo7143
10 ай бұрын
Shida ipo na kaka yenu brown kma mnabisha tuone mwendlezo
@Annwanjiroombati
Ай бұрын
Nyie mawifi hamna maana hata nkidongo, watakiwa mjui nyinyi ni wanawake
Пікірлер: 150