Mtumishi wa Mungu hongera sana popote ulipo. Nimekusikiliza nika furahi sana mafundisho yako yamenijenga umenifundisha kuhusu hizi nyakati za hatari nimesikia kububujika sana Mungu akubariki. Naitwa Marietha naishi Arusha Ni mzaliwa wa kilimamjaro Mungu akubariki uje na huku kwetu
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
7 ай бұрын
Toka nianze kusali sijawai sikia mafundisho kama haya mazuri mtumishi BWANA YESU ubarikiwe sana
@zebedayokatamaduni9676
7 ай бұрын
Jeremia Neno la Mungu hilo
@godfreylickson
Ай бұрын
Kutoka morogoro wilaya mpya ya mlimba sehem moja inaitwa Mbingu kiukweli unaeleweka vizir Sana uishi upendevyo ukimpendeza MUNGU na sis barikiwa Sana
@desderiakinalilo-xe7vw
7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa unatufundisha vyema
@user-pm7ir7im1k
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU .
@zebedayokatamaduni9676
7 ай бұрын
Absalom Longani nakukumbuka sana Mara ya kwanza tulikutana mji wa Nzega Tanzania. Nilijifunza Neno la Mungu vizuri
@mercyadisa9030
5 ай бұрын
Asante mtumishi kwa kuhubiri kuhusu siku ya mwisho.
@user-ji8bw7jx6h
4 ай бұрын
Nashukuru Mungu kuweza kukupata. Ni mara yangu ya kwanza.
@user-wn5zo9pk3v
7 ай бұрын
My role model natamani Sana Mungu anipe karama Kama ya baba yetu longani MWENYEZI MUNGU akubarik Sana
@zebedayokatamaduni9676
7 ай бұрын
Sikiliza Wewe umeletwa duniani kutimiza kusudi la Mungu Sasa kipawa ulicho pewa na huduma uliyo pewa tumikia hiyo mtumishi utamuona Bwana
@edwardmadale8604
2 ай бұрын
God bless you
@C7Christian
7 ай бұрын
Amina
@RobertpixmasterPixmaster
3 ай бұрын
Mtumishi mungu alutie nguvu
@user-yy8ox4ig1v
7 ай бұрын
Amen, Amen, ubarikiwe sana baba
@desmonflever6184
7 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
@johnnguttu9516
7 ай бұрын
Kushinda ni lazima. Ninalo jina lake Kristo YESU ndani yangu
@ferixsikota3898
7 ай бұрын
Thank you so much for beautiful message me from Zambia Amen in Jesus name
@livebeyond8213
7 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba kwa ujumbe mzuri...
@OscarBahora
2 ай бұрын
Nakupenda sana myumishi wa Mungu
@jacobmahona187
6 ай бұрын
Nakufuatilia Sana kutoka kakola kahama Mungu akubariki sana
@eliyamakanika7282
7 ай бұрын
Amen amen❤❤
@byoseasolokoci7257
4 ай бұрын
BWANA YESU akubariki sana
@florencekanyere3284
7 ай бұрын
Aksante sana mwalimu wangu
@bienfaitbakole6800
6 ай бұрын
Sifa kwa Mungu ❤
@AgnesKalinga-if3uf
7 ай бұрын
Mungu atukumbuke
@mosesmedu8962
7 ай бұрын
Nakupata vizuri papaa
@emmanuelsunday8325
7 ай бұрын
Amina baba
@landelinusbyabato2512
2 ай бұрын
Hapo kwenye kaanani umedanganya, tena umedanganya kabisa kweli kweli.
@ferixsikota3898
7 ай бұрын
Amen in Jesus name
@enockNkanda-ji2dk
7 ай бұрын
Barikiwa sana
@IdahNambelasiwala-qs3su
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@alengaelombelo2757
6 ай бұрын
Amen
@zenataashura792
7 ай бұрын
Shalom mimi sijaelewa kuusu Christmas tafathali nipe maandiko na ufafanuzi
@Pendo-r6k
7 ай бұрын
Arusha sehem Gani mtumishi wa Mungu
@imanisanga-sm2hm
7 ай бұрын
Kisongo
@MargaretMwangende-rg8xr
6 ай бұрын
I love Israel
@RobertpixmasterPixmaster
3 ай бұрын
Nataman mno kuupata wokovu
@marianaduncan6330
7 ай бұрын
Kanisa liko wapi hili?
@Jackline-ki7zl
7 ай бұрын
Hii ndio Siri ilifichwa .lakini mungu wetu si wa siri. Kila kitu Sasa kipo wazi.ashukuriwe mungu WA mbinguni
@zebedayokatamaduni9676
7 ай бұрын
Jamani msiwe mnakatiza mahubiri
@johnmwanikikamau1338
3 ай бұрын
Makumi..natisa...he mean..19..or
@user-tg5vq3zf1f
2 ай бұрын
apo umesema wongo crismas ni sikuku za upagani nafsiri ya wongo na baba wawongo ni shetani atali nipo moçambiqwe
@AdorophinapKahwa
2 ай бұрын
Uongo Israeli ya kimwili ilishapita. Agano lao limepita Sasa hivi ni Agano la kuja kwake Yesu mara ya pili. Israeli ya Kiroho. Wagalatia 3:7 " Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.
@getrudematee9899
Ай бұрын
Mafundisho yako yanatujengea ujasiri na kuondoa hofu
@yudaseleman8320
7 ай бұрын
Mchungaji unatumia kiswahili gan makumbili na Tisa ndo nn
@byoseasolokoci7257
4 ай бұрын
Unabi wako umetimia. Mwezi wa nne Irane imeshambulia Israel 🇮🇷
Пікірлер: 47