waooo!.. Erca hbr za sku nyingi? karbu nyumban tena my
@Darian2550
6 ай бұрын
Erica tuna appreciate kazi yako hii, nataka kujua michakato ya kupata kazi Marekani, esp, kama huna fani yyt.
@bakarymousam126
21 күн бұрын
Muhimu kufika kule kwanza au kupata kwanza visa ila nakushauri kabla hujaanza mchakato wa safari ni Bora kwanza kujifunza short course yyt ya miezi 3 hata haswa udereva ni muhimu Sana Kwa nchi za nje alaf ndio uanze mchakato
@athumanroma
2 ай бұрын
hy sasa yangu vp mambo mzima huna neno nilikua nataka kuna Marian vp nitaanzaje dada ngu naomba usaidizi niko Naples zangu nionyeshe njia tafadhali
@CLAUDBANZI
6 ай бұрын
Dada naeza pata midi keyboard kama hio Kwa bei gan 😢
@leahwilson3123
3 ай бұрын
Dada nawezaje kuwasiliana na wewe niko na visa ya Marekan muda c mrefu nakuja huko
@athumanroma
2 ай бұрын
0:10 0:12
@user-mh1fe4cj8h
6 ай бұрын
habar dada mm ni deleva wa loli nahitaji kufanyakazi huko je naweza kupatafulusa
@bakarymousam126
21 күн бұрын
Ngoja nikusaidie kukujibu kuwa na fani hata ya kwako hiyo ni nzuri ila muhimu kwanza kufika huko USA
@HalifaSalim
2 ай бұрын
Like
@Nzota50ty
6 ай бұрын
sauti hatusikii ongea kwa saut
@MAISHAYACROATIA
8 ай бұрын
Lakini ukurudi😂 hongera
@bakarymousam126
21 күн бұрын
Ukifika tu kule unaweza ukachange visa status yako na ikawa ya kufanya kazi kama una connection ya kazi Kwa mwajiri
@SalomeKhalfani-cm9xy
8 ай бұрын
Hi dada mie nataka kazi huko nawezanje kupata
@EricaLulakwa
8 ай бұрын
Tuwasiliane zaidi ntakupasha 😊
@jumakhamis226
8 ай бұрын
Naomba namba yako ya WhatsApp ninashida na wewe plz
@SalomeKhalfani-cm9xy
8 ай бұрын
@@jumakhamis226 nani mwezangu
@bushbabytz
6 ай бұрын
yaani mtu anaenda marekani 2006 tu basi na lafudhi unabadili!? aibu aisee ongea kawaida bana
@christopherrobert1948
6 ай бұрын
punguza makasiliko. fatilia vizuri hii show utagundua kitu mwanzo mwisho kanyoosha kiswahili ila mwingine hapo kingereza kingekua kingi kuliko kiswahili.
@bushbabytz
6 ай бұрын
@@christopherrobert1948 we fala huoni anavyoongea kiswahili kama mzungu!? mtu katoka hapo bukoba tu!? mimi niko sweeden mwaka wa kumi na tano siongi kishamba ka yeye
@amoskagika8884
6 ай бұрын
@@bushbabytzKwahyo ulitaka aongeaje? Umekaa Sweden miaka yote hiyo bado unakosa ustaarabu Afu unajiona upo sahihi. Lafudhi haziwezi kufanana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Ndio maana mzanzibar na watu wa bara wote wanaongea Kiswahili kilekile lakini matamshi tofauti.
@ndukulusudikucho_
Ай бұрын
Kuwa positive au kama vp pita tu 😂😂😂 stress za nini?
@athumanroma
2 ай бұрын
hy sasa yangu vp mambo mzima huna neno nilikua nataka kuna Marian vp nitaanzaje dada ngu naomba usaidizi niko Naples zangu nionyeshe njia tafadhali
@athumanroma
2 ай бұрын
hy sasa yangu vp mambo mzima huna neno nilikua nataka kuna Marian vp nitaanzaje dada ngu naomba usaidizi niko Naples zangu nionyeshe njia tafadhali
Пікірлер: 24