This DJ brother is so deep...full of wisdom.He isn't living in an illusion.
@amneriyami2409
2 күн бұрын
Mashallah allah akuhifadhi jasiri sana maisha ni safari ndefu upo ngangariiiiiii nimependa unaongea kwa umakini
@Bariadi-ug8ve
16 күн бұрын
Hii interview imenifanya hii ela ya kwenda ulaya ninunue kiwanja nijenge..😅😅😅😅
@dayana5513story
15 күн бұрын
Nunua ulaya 🤸
@sophiakassim6784
15 күн бұрын
😂😂😂 kwa kweli🙌🙌🙌
@FatimaAli-of4gh
14 күн бұрын
Jaribu wenzio tupo huku ulaya majaribu yapo kwa kila engo😂😂😂
@hilalrashidmohamed8528
12 күн бұрын
Visa za Nairobi kenya 😢
@happinesskitali164
8 күн бұрын
Hahaha
@elsaMo-b5r
14 күн бұрын
Hii interview nimecheka mwanzo mwisho jamani huyu Kaka ni jasiri . Kwanza hiyo visa feki hadi nimetetemeka. Ila msisahau mlikuwa n'a Mungu kabisa. Big up bro
@fatemamahmood5440
12 сағат бұрын
Hongera kwa Safar na pole Sana ulizamilia kutimiza ndoto zako haikuww rahisi 🎉
@Faith-n6u
12 күн бұрын
I like that DJ, umeowa mtu sio awe mtumwa wako, but patner wako, hapo uliemuoa akiwa ni muelewa, na mwenye imani, kama hivyo, bila ya shaka mutasaidiana vizuri tu
@abdulyibrahim2125
16 күн бұрын
Story nzur kaka kaitowa inafundisha kitu kwenye maisha kwenda ulaya au kuishii ulaya
@abdulhajiahmed8735
4 күн бұрын
Wanasema wazee tembea uone na maisha ni safari life is Journey so kaza buti lakini usimsahau MOLA wako na Ibada.
@Faith-n6u
12 күн бұрын
Hapo sasa, "kuzaa sio kuhudumiwa kwa mzazi" yategemea tu imani na akili ya mtoto, pamoja na majaaliwa Then mtoto kumzaa nchi za nje, je kweli atafuata wazazi wake Africa, au kuwa support ki fedha? tuombe tu angalau waweze kujisaidia wenyewe kwanza
@aminakawawa5800
16 күн бұрын
Story ya huyu dah ni fundisho kwa makaka zetu wenye ndoto za kujilipua wajifunze
@khalid-oh5uu
16 күн бұрын
Best one. Ameeleza vizuri
@maria_mutondioriginal5
13 күн бұрын
The hastles was really 😊 watoto wa kiume bwana Mungu awasaidie.
@sadiqfixer
15 күн бұрын
Hapo kweli kabisa Shena, turudi kwa Mwenyezi Mungu si kwa watoto tu, yaani kwa kila kitu
@farhiaabdulaziz8549
9 күн бұрын
Aunt yangu Sheina umeongea point kabisaa hata ukizaa na mwafrica hao watoto siwatakuwa Ukhty wataolewa au kuowa wazungu ndio hayo hayo tutaishia kambini tusijipangie hatujijui watoto pia wanaweza kukimbia
@maimukanabora8751
16 күн бұрын
Mungu wabariki kaka hongera Kwa utulivu na dada Shena nimejifunza zaidi
@amneriyami2409
2 күн бұрын
shukran mr dj
@user-zz5uj6gs4m
16 күн бұрын
Karibu tena bububu kamanda
@Faith-n6u
11 күн бұрын
Wa Bububu mwenzetu pia kumbe huyo?
@SamwelJoseph-yk3cw
10 күн бұрын
Jirani
@user-vm5yf8cs2r
14 күн бұрын
Kweli kabisaaa. WA Zanzibari. Wana. Hikma na. HESHIMA. ZA wazee. HONGERA. Sana
@MohamefMullah
15 күн бұрын
Interview ili zinoge na kuwa murua watafute wazanzibar utakula store nzur nzur za kufurahisha na za kuchekesha pia za kuhuzunisha watafute huko ulaya marekani mpaka Arabuni utapata muendelezo nzur tu
@rahmajaffar7007
16 күн бұрын
kaka ana akili huyuuu Maashallah
@tinanicholasligwile6972
15 күн бұрын
Story kama inanivitia ivii 😊😊
@josephatjosephat4269
16 күн бұрын
Maisha ya Africa ni mazuri unakuwa karibu na familia kuliko maisha ya ukaya
@veronicankhwazi7954
14 күн бұрын
Kabisaa
@FatimaAli-of4gh
14 күн бұрын
Sadakta nipo huku kuna wakati najikuta nashinda chumbani nalia kwa upweke najiuliza nitarudi lini huku kinachoumiza maisha ya upweke hususani ukiumwa watt wapo school huku watu wapo busy na kazi wakitoka alfajiri kiza wanarudi jioni kiza hakuna hata wakukuuliza hali wala kukupikia uji
@user-vm5yf8cs2r
14 күн бұрын
InshaAllah biidhnillah taala Utapata
@farhiaabdulaziz8549
9 күн бұрын
Na hao wazungu sio woote wabaya ni baadhi ni binaadam woote tuko hivyo hivyo kila mtu na tabia zake, huko nyumbani wanaume au wanawake sipia vita kila siku kuachana jamani au
@user-go5wb2pi2i
12 сағат бұрын
True
@sanaf8367
12 күн бұрын
Jamaa majiekti sana and..... and.......... and nyingi sana
@richardhosea8827
16 күн бұрын
Huyo asiyesikia akapimwe
@Faith-n6u
12 күн бұрын
Hiyo ni good idea Shena, kuleta hiyo mada na mzee ya kuhusu uzeeni, coz kuna baadhi yetu hufikiria tu pesa ya kustaafu nchi za nje, ndio itamfanyia kila kitu, ambayo kwamba hata utaratibu wake hawautafiti ki undani
@nicedavid8536
8 күн бұрын
Shena nimependa sana ushauli wako wa kuhusu uzee na watoto, nikweli hata uko bongo kuna wazee wamezaa watoto wengi na wanaishi maisha ya peke yao,watoto wako busy na familia zao .Mama au baba anaumwa anatumiwa pesa tu.wachache sana wanawachukuwa wazazi wao.
Kwa namna hadithi yake ilivyo, isingekuwa vizuri aonekane mubashara. Kawataja jamaa fulani hapa na mengi ambayo lazima ajifiche. Alimradi tunamsikia sineno. Kwani unachotaka ni mlio wa punda au punda?
@Bariadi-ug8ve
16 күн бұрын
Tatizo la mijitu ya tanzania mingii inaakili finyu mijuaji ina maisha ya shida ,kazi kupinga kila kitu ivi ukisikia ukajifunza kitu unapungukiwa nini?
@user-tp2xg7qu4y
7 күн бұрын
Nawapata vyena naomba siku hiyoniarifuni Nikupeni somo
@PtransJulius
11 күн бұрын
nawapata vizuri south Africa.
@mwanaidiheintel1760
14 күн бұрын
Shena umeongea ukweli, kuzaa sio kujiwekea hao watoto watakusaidia .kuna watoto wako bongo na hawawasaidii wazazi wao au wanatangulia watoto wewe ukabakia
@nataliaemanuely4046
3 күн бұрын
Nice
@mwanaidiheintel1760
14 күн бұрын
Wengine tunaishi miaka mingi na Alhamdulilah hatujapitia hayo mambo hayo jiongelee wewe bro
@Faith-n6u
11 күн бұрын
Unaishi kwa kuingilia njia ipi, au ki vipi ndugu?
@user-go5wb2pi2i
12 сағат бұрын
Bahati yako
@HassanAhmed-di9jq
15 күн бұрын
Koyama na chula ivyo visiwa
@user-vm5yf8cs2r
14 күн бұрын
MashaAllah tabaraka Rahman Elim haimtupi MTU
@abasiabdulabi5430
15 күн бұрын
Ogela kaka
@kshamte9582
16 күн бұрын
Maisha dah! Mafunzo kila siku
@sweetykabeya5873
14 күн бұрын
Watu tunaishi Germany tunakuelewa sana,its not easy tuna mengi ya kusimulia
@OfficialDatingAssistance
14 күн бұрын
Karibu sana kwa kipindi +4367764790884
@Faith-n6u
12 күн бұрын
Mimi naona sometimes mtoto kumuweka mzazi wake nyumba za wazee, ni vile huwa busy na maisha yake na kazi, then mzazi hutaka huduma, hii ni kama vile wazazi huwapeleka watoto wao wadogo kulelewa kutwa 'Day/Child Care' so yajirudia
@MdOmane-yg9gi
14 күн бұрын
Nimejifunza kitu kaka umeeleza vizuri story Yako
@TichaSabah
7 күн бұрын
Niligonga schnegn visa nikatembelea nchi 8.ikiwemo germany franfurt na berline.ila kwa upande wangu dharau iliyonikuta italy rome.sitakaa nikasahau na mm mzanzibar nasubiri nimuone mtaliano ana shida nimtemeee mate haswa
@EstherNgayiwona
12 күн бұрын
Sasa hivi una umri Gani Dj
@Faith-n6u
12 күн бұрын
Wow! ila for example wa TZ, yategemea ni kujiripuwa miaka ipi nyuma ndugu, so kesi sio Somali, na ushaga tu, za kisiasa ya TZ pia zilikuweko zamani
@merycianachangarawe8979
10 күн бұрын
Kweli sio izo kesi tu Sema huyo alipata Zari la fake visa Lakini ukiwa na visa ya kweli jamni usijibadilishie utaifa maana watacheki kwa system wakuone unatokea nchi gani then unazidi kujikaanga Yaani inshort usiseme uongo kwa vitu ambayo viko kwa system Only ushoga danganya uwezavyo Iko siku nitahadithia hivi vitu kwa Shena maana namimi nimepitia hiyo procedure ya ukimbizi but sikubadilisha chochote!na mambo yalikuwa very smooth
@Faith-n6u
10 күн бұрын
@@merycianachangarawe8979 Ila watu wengi tu, hasa miaka ya nyuma, walijibadilisha majina na tarehe za kuzaliwa, kisha hawakuingia na document yeyote nchi waliojiripuwa, na pia wengi wao walivuka mipaka, hawakuingia nchi husika moja kwa moja, na wamefanikiwa kesi zao. Haya mambo hayatabiriki
@Faith-n6u
8 күн бұрын
@@merycianachangarawe8979 Kubadilisha jina na tarehe ya kuzaliwa pia yategemea umeingia vipi, kama nilivyotangulia kujibu hapo, then sio fake visa tu, kuna walioingia na "bandika banduwa" picha yako, passport ya mtu mwengine
@hedayamohammed2781
11 күн бұрын
❤
@caashamacalini3887
11 күн бұрын
Ujerumani sio masihala uwe kidume Kwanza usome lugha angalau utapata kibaua na unajua kuzungumza ,na hospital angalau la kama hujasoma lugha Moto utaowona yaani ujerumani wa Nigeria wamedundo huko mjerumani ana roho mbaya hawana masihala mtoto wa sister wangu yupo huko mzenji yeye alivyofika huko kasoma lugha
@roselambert6700
9 күн бұрын
Mnasikika vizuri
@MussaPaul-ob3nh
14 күн бұрын
I recommend seminar machundo from Denmark for that dialogue😊.
@OfficialDatingAssistance
14 күн бұрын
I'll check it out, thanks for the suggestion
@Faith-n6u
12 күн бұрын
Mara nyingi hutokea hivyo, jamaa zetu back home, tukijibana sisi na kuwasaidia wao, wao hawajuwi hilo, hujuwa tunazo tu, na pia ni kama lazima tuwape
@joycelaizer4600
10 күн бұрын
Soma kijana kichwa hakina madeni 😂😂😂
@thuweiybab3338
16 күн бұрын
Koyama
@FortunataChande
15 күн бұрын
Samahani kwa kutoliandika vzr jina lako
@FaustineTz
5 күн бұрын
Alafu awa wanzanzibar mbona wanapenda kujinadi sana wao ni wa Tz bwana
@susans4490
16 күн бұрын
Akaa baada ya kumaliza form ukakaa dar 5yrs ukatafuta visa 2 to 3yrs baadae ukarudi tena Zenji na ukarudi miaka pia 😂 mara ukawq 19yrs 🏃♀️🏃♀️
@jacqueisaac8155
16 күн бұрын
Story nzima hayo tu ndio ulopata ya kukujenga?
@OfficialDatingAssistance
15 күн бұрын
😁
@DM.2200
15 күн бұрын
@@OfficialDatingAssistance Da shena kuna yule mama alitoa story yake kama sikosei yupo marekani watu wali comment sana arudiwe, alikua anaongea kama mchaga naomba kufaham story yake naipataj coz siioni kwenye list
@mwanaidiheintel1760
14 күн бұрын
Hata mimi sikuelewa hiyo miaka bado 😂😂😂😂😂
@SamwelJoseph-yk3cw
10 күн бұрын
😂😂😂
@mamaabduly
16 күн бұрын
Shena.. Naomba niwasiliane na huyo kaka plz... 🙏Pls
@user-lm3lt7xx6l
2 күн бұрын
Huyu hana historia na hizo viza za fek ziliondoka toka 98-99 na mm paspot ninayo mpaka Leo ilikuwa na viza feki.toka 98 au 98 na hiyo viza itakuwa kachukuwa storry sio yake
@mwanaidiheintel1760
14 күн бұрын
Ukiwa mkimbizi kwa ujerumani ni shida mpaka uje kusimama.watu waje ulaya maisha ya ulaya sio kama nyumbani
@Faith-n6u
11 күн бұрын
Yeah, nasikia kuwa Ujerumani, na kama mfano Belgium, kujiripuwa kwake pia ni tofauti na sehemu nyengine, kama hivyo huko kuwekwa camp mpaka ufanikiwe, tofauti na nchi nyengine, hupewa hela kiasi ya kukodi sehemu pa kuishi, ya kula, usafiri, pamoja na ID na work permit, ili utafute kazi, au na study permit, ili uende shule, huku ukijiandaa kusikilizwa kesi yako, ila wakikukatalia, na kisha ukitaka una appeal kwa gharama zako, then unaenda nayo process, ila ukikwama, mwisho hukuzuilia na hizo IDs wakikuandaa kukurudisha kwenu, ila Ujerumani, kwa hiyo kupewa sheria kupitia kwenda shule kama alivyosema amepata DJ ni afadhali basi
@mikiothman103
9 күн бұрын
nahisi iyo sehemu inaitwa Barawa
@fridadavid3151
14 күн бұрын
Dada sena hutukusikii
@timejames5099
16 күн бұрын
Tunasikia wote
@farhannahkulishwaburekunam5360
15 күн бұрын
Wasomali kweli ni wagomvi sana halafu wasomali hawapendi watu wafanikiwe kwani kama sio msomali unamtakia nini au kusema sio msomali unataka nini mwezio anatafuta maisha
@FatimaAli-of4gh
14 күн бұрын
Hiyo nikweli tulienda kujiandikisha college mimi na wenzangu yule alietupokea akatwambia hapa kuna munira kutoka Somali ngoja niwatambulishe akaambiwa kuna wasomali wenzako njoo wapokee alipofika alianza kufoka hawa sio wasomali every country from Somali mbele za watu ukumbi umejaa sisahau akatuchambaa mpaka mpaka miguu imekufa nguvu shoga angu akasema mimi natoka kenya sitoki somali yule dada akatununia hatusalimiani nae mungu si athman dada yake msomali mimi shoga yangu namuuzia biashara zake mashuka mitandio na mapazia sasa akanikuta nae akamuuliza unajua huyu akamwambia my best friend mimi nikamwambia mimi na huyu hatuongei basi yule dada siku ya eid akatuita tulikuwa tunasali akasema peaneni mikono mukumbatiane yenye haki ya kujua nani msomali nani sie ni uhamiaji kuanzia leo muongee toka siku ile tukawa friend na watt wetu wakawa wanasoma nasary moja tukawa tunakutana ndio mpaka leo tunaongea ogopa wasomali 😢😢😢
@siasia5469
11 күн бұрын
Wasonji wana umimi sana... Mkikutana Nchi za watu utawajua vizuri😮
@user-tp2xg7qu4y
7 күн бұрын
Shena hata MIE pia nitafute naeshi umarekani natokeya bongo na Burundi nimechaga kihivyo ukinialika unatakiwa unipatie nikiwa home
@OfficialDatingAssistance
7 күн бұрын
Karibu sana WhatsApp +4367764790884
@susans4490
16 күн бұрын
Mmh mbona kama umetupinga changa la macho Inamaana skuli form ulimaliza ukiwa na 15yra old
@jacqueisaac8155
16 күн бұрын
Mwanangu alianza grade 1 na 5yrs so atamaliza form 4 na 15yrs
@user-vm5yf8cs2r
14 күн бұрын
Tuna wasikiya.
@hassankhamis344
15 күн бұрын
Aaa mambo ya ushoga yamekuja juzi hayo
@shenasnas2229
14 күн бұрын
Bosi sio juzi Abeid Sisimizi kaenda Belgium miaka zaidi ya 10 na kaingia huko kwa ticket ya ushoga
@nanguniMtaita-hz4zt
3 күн бұрын
Shena, huyu jamaa anayejiita DJ hadithi yake ni funzo nzuri la maana sana. Hatimaye amezungumzia mwishoni uzeeni mwake anavyo hisi. Tumuunge mkono mia kwa mia. Ulaya huko watoto ni noma zaidi. Afrika hatujaharibikiwa kivile. Huko ni kweli hawajali wazazi wao. Sababu kubwa ni malezi yao, watoto au vijana hawana dini. Hawatambui Mungu kisawasawa. Watawajali wazazi kivipi? Mutakapo kutana tena na DJ acheni kupeana matumaini ya kusadikika. Rudini nyumbani hapajaharibika kama Europe(Ulaya)
@anaabsaid3544
9 күн бұрын
Na nyiyi wazanzibar mkiwa oman mnatufanya vipi msomali anaye zungumza kiswahili mnamweka ndani kwasababu wengi wenu ni immigration huko oman
@anaabsaid3544
9 күн бұрын
Utantusemeya mbaya lakini wazanzibar tunawajua sana ndiyo sababu huwezi kukuta msomali zanzibar na tuko majirani
@annamussa185
15 күн бұрын
Wasomali wachafu kama warabu wanapenda kufanyiwa kilakitu kupelekesha wakiwa wanakula kama ugomvi
@Ilhamtube554
15 күн бұрын
Na nyie nae mna roho mbaya, chuki na kutukana watu waliowazidi ndo maana zari huwa tusi nyie na uchafu wenu, wanuka chupi na vikwapa
@annamussa185
15 күн бұрын
@@Ilhamtube554 hujielewi paka wewe mpaka na makaburi ya ukoo wako 🐕🐕
@Ilhamtube554
15 күн бұрын
@@annamussa185 we nguruwe tulia, changudoa mchafu wa bei chee, njaa zitakuua,🤣🤣🤣🤣
@annamussa185
15 күн бұрын
@@Ilhamtube554 huna maajabu sasa Nguruwe nalo tusi kahaba wa kizamani ww
@annamussa185
15 күн бұрын
@@Ilhamtube554 nimekuzidi kilakitu mpaka akili
@AliMobarak-gc9gd
15 күн бұрын
Upo mji gani
@ShadowScreamStudio
15 күн бұрын
Kuddadeki mbogo mbishii ..lazima ulaya nitimbee tu
@EstherNgayiwona
12 күн бұрын
Mnasikika wote tuendelee
@user-lm3lt7xx6l
2 күн бұрын
Mesali umeikosa sio mkabure sema mtembea bure.halafu wakat upo bara miaka 20 po znz 19.
@user-ou2rx7ln4w
13 күн бұрын
Tupo warabu huwa wanasema wana nyongana ila sisi bado twa pambana😂😂😂. Bariadi duniya lazima upitiyee changa moto ata uwanja una zulumiwa
@EstherNgayiwona
12 күн бұрын
Kwa hiyo baada ya kutumika sana na wazungi je hivi Sasa umeona au una mahusiano yote?
@OllykekeSwahili
10 күн бұрын
Me Somali😀😀😀
@fatmahamdoun74
8 күн бұрын
Dj nitampata wapi shena.
@AshaMohamed-ib4le
10 күн бұрын
Anaskilizika tu
@hatiagk4447
16 күн бұрын
Story hii inafurahisha
@FortunataChande
16 күн бұрын
Dada Shehina,samahani,hawa wazungu wanaotaka mpaka uwalipie apple card ili waje nchini ikoje hii,.tena si hela kidogo kuanzia milioni siyo matapeli hawa?
Kupata Million 20 unaweza bro ila inategemea umekujajaje ndio shida, mtu kama wewe na story yako lazima ukae miaka kazaa mpaka usimame . Ila maisha ni individuell. Sio wote wanapitia hayo maisha bro
@ishrak3112
14 күн бұрын
Unampata vp huyu shena maana niko nataka kutoa story ya maisha niliyo yapitia hapa Deutschland
@OfficialDatingAssistance
14 күн бұрын
Karibu sana +4367764790884
@ishrak3112
14 күн бұрын
@@OfficialDatingAssistance ahsane
@mimahtv2974
12 күн бұрын
Kuna wasomali wa tanga pia..!😅
@awatifsubeit4007
16 күн бұрын
Kipindi kizuri ila muda mrefu
@user-ey4tb1sq7p
16 күн бұрын
One love
@janechipeta6231
16 күн бұрын
Sasa yule rafiki yako mlikuja kuonana tena?
@user-lm3lt7xx6l
2 күн бұрын
Wewe jamaa inaonekana yule bibi wa America interview yake umeihusudu naona unapita mulemule
@mmarycalvin6395
14 күн бұрын
Somalians
@MK-mz8bz
16 күн бұрын
Watoto wa ulaya ni 99 asimilia siyo msaada
@HassanAhmed-di9jq
15 күн бұрын
Hiyo ilikua unaita somali kenya
@gracelyimo6256
14 күн бұрын
Hivi Shena kuna baadhi ya videos huwa unazifuta!?
@AgathaMpemba
16 күн бұрын
Story nzuri sana nimejifunza
@magrethpeter6049
16 күн бұрын
Mambo shena nimefunguwa Badoo dating site wazungu wengi Wamo wanatoka North Western ndiyo nchi gani hi xxx o
Пікірлер: 180