wanainchi naombeni like 20 hapa kwaniaba ya mama wa master ki aziz 💛💚💛💚
@erickkimaro108
Жыл бұрын
Hizo like zinakusaidia nn vijana punguzeni ushamba kaa tulia tumsikilize mama hapo🥱✍️
@helenwailly1558
Жыл бұрын
You are beautiful, we are happy and proud to have your son in our team. He has great talent. . You are welcome to Tanzania
@vibetz9991
Жыл бұрын
Kama umemuelewa mama bila kusoma Subtitles ,,Gonga like hapa
@kasandajoel7074
Жыл бұрын
Very interesting story from a genius, caring and composed Mother. No doubt she knows a lot more about football and nurturing talent.
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
Congrats to MAMA to have lovely Kid like AZIZ Ki....Wananchi we're proud of him.....
@raphaelchauwele3547
Жыл бұрын
Hauna baya mama yetu kipenzi umetuletea Master Ki the only one Key in Africa 💛💚💛💚
@strikerforce4949
Жыл бұрын
Makolo wakiona hii wanabaki kusonya tu. Aziz ki alichagua sehemu sahihi. Style ya uchezaji ya makolo hamna kitu, ni timu inayokuzwa na media tu ila uwanjani ni kawaida sana
@ronaldissack3338
Жыл бұрын
Very interesting story for our master ki,HE IS VERY VERY BEST PLAYER
@amiyoung5876
Жыл бұрын
Azizi Ki Master key 🔑🔥🔥
@abuuahusa6459
Жыл бұрын
we are very much thanksfully for him being among of us
@stanslausjoseph5744
Жыл бұрын
Nice 2 see u mama💚💛
@abdillahmkaikuta3033
Жыл бұрын
Yanga wapo serious sana na club Yao, miaka 10 ijayo kama wataendelea hivi watakuwa club Bora sana hapa Africa.
@rehemaabdullah7606
Жыл бұрын
Asante mama huna bayaa
@sarahmtuka2292
Жыл бұрын
Fantastic 💪 Thank you mom We really love and appreciate our master key especially this season the man is 🔥🔥
@shedadiabdul654
Жыл бұрын
Mama au nawe tukusajiri?Daima mbele....🧡💛💚🔰🏆💪
@elizabethelias3130
Жыл бұрын
Wow 👌
@yustobitalio3597
Жыл бұрын
Thank you Mama Aziz Ki 💚💚💚💛💛💛💛💛
@SamLaizar-w5v
Жыл бұрын
Waooo amizing mather
@joseesollo6419
Жыл бұрын
Okay thanks Aziz's Mummy God bless you
@rukaya-jg7hj
Жыл бұрын
Ongera mama umechagua mahali salama
@muhsinibinfaridi1685
Жыл бұрын
Dahaa aise story iko vzr saaa
@GardinhoJr
Жыл бұрын
Hii ni kubwa...🔥🔥
@peterlimbe4242
Жыл бұрын
Hiii nzuri sana yanga africa
@ahmedmukolwe43
Жыл бұрын
Mama kuna wengine huku wanawapa watoto ugali sukari njoo umpe mawaidha
@amanisalumu4682
Жыл бұрын
Safi. Vijana wa kitengo cha habari mpo kazini kweli.
@abelkidakule8818
Жыл бұрын
Hongera sana mama yake, nilitamani pia kumfam baba yake
@sadockmhinza699
Жыл бұрын
Acha umbea baba yake wa ñn sasa
@athumaninyituki7011
Жыл бұрын
Yanga tamuuuu
@winiejohn7020
Жыл бұрын
❤❤
@mettanahonyo3345
Жыл бұрын
Good job!
@JumaNassor-cj3zy
Жыл бұрын
Good ilov you my mother
@ashrafally144
Жыл бұрын
Angekua mama ake finest sasa hapo,, mbn kamera ingejaa mate
@hammyg5714
Жыл бұрын
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@zamumuna8780
Жыл бұрын
💛💛💛💛💚💚💚💚
@ChichiRama-kf4vu
Жыл бұрын
Mama anaongea Kwa mapoz huyu
@UsiulizeUsiulize
Жыл бұрын
Safi
@kapelotz9967
Жыл бұрын
Yanga ni team inayo endexhwa na watu welevu ndo mana inacheza moden football inavutia kila aina ya mchezaji
@vaxminja9053
4 ай бұрын
Kumbe Aziz hakuipenda Umbea FC tangu mwanzo😂😂😂 Sasa yule Comedian wao anasema watamsajili kwa sababu ni free player. Aibu kuwa na msemaji kama huyu kwenye club
@sharifabahar9905
Жыл бұрын
😂😂😂😂mama na mtoto anautani wa ngumi 😂😂😂eti ajapenda watani zetu uchezaji wao😂😂
@BeatusZummo
Жыл бұрын
Kumbe Makolo pia wakimtaka😂
@davidudaudi
Жыл бұрын
naomben like wananch
@magrethshishwa5481
Жыл бұрын
💚💛💚💛💚
@MosesWilliam-oh8tt
Жыл бұрын
Yanga TV baada ya mwaka hata azam watakiwa hawafiki Kwa watazamaji
@idanysedrc1200
Жыл бұрын
Azizzzzz key
@aishakaimu1791
Жыл бұрын
Makolo 😂😂
@mrh2812
Жыл бұрын
Kumbe alikua spain na hamsemi
@josephpatrick3366
Жыл бұрын
Alijua simba ni misumali ming kapombe analalamika kila kukicha na yule wa asec ad leo ameota tende mguu aunyanyuki
Ahsante mama kwa kutuzalia AZIZI K master 🔑 tunampenda mwanao na anaishi kwa furaha Tanzania 🇹🇿 💚💛
@fabiolamahinja8198
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@EugeKay-vt4lv
Жыл бұрын
kama unaisubiri part 2 gonga like hapa
@cloth_talk
Жыл бұрын
Hakika, mpira wa Tanzania unaunguruma kwa nguvu, na mpira wa YANGA unavutia MAGWIJI WANAOJUA MPIRA, iko wazi Masterkey aliguswa na namna Yanga inavyocheza na haya SIO MANENO YANGU weka Like Mwananchi.
@herrychapile8453
Жыл бұрын
Huyu mama ni mwerevu sanaa na ana upeo mpana sanaa wakuona mbali angekua mzazi mwingine angetaka mwanae akachez simba sababu ya ile kufika robo maranying mfululizo lakini yeye akasema hapana Kwa aina ya uchezaji wa mwanangu inatakiwa aonekane na falsafa ya yanga ndio itakayo mfanya mwanangu aonekane hakika mama umefanya vema sana Kwa kipaji cha mwanao Aziz k Kwa ubora alio nao ofa nyingine nyingi zita kuja🎉
@shabbirbharmal7876
Жыл бұрын
Aziz ki is the ki master he is a very hard working player yanga is proud to have a football player like him
@kolosii4351
6 ай бұрын
Kumbe Azizi amepitia nyakati tofauti tofauti hivi?? Respect Azizi.😊
7m viewers in August. Tunaendelea tulipoishia kuitafuta 10m viewers mwezi huu wananchi. Twende sasaaaaaaaaaaaaa😅
@YoungAfricansSCTV
Жыл бұрын
Naaam
@KIMALEX255
Жыл бұрын
Tena naomba msisitize na kulipia kadi za uanachama naona Muamko mdg sana
@jr_mkumbojr
Жыл бұрын
@@KIMALEX255point hii..naona kama tumelala hivi...Priva na Haji Mfikirwa...mko wapiiii😢😢😢
@DevothaFesto
Жыл бұрын
She is so cute ❤️❤️, she speaks intellectually In fact, thank you for allowing AZiz to come play in our team 💚💚💛
@saalim5401
Жыл бұрын
Kweli yangu ni klabu kubwa kumbe inaushawishi mkubwa sana Afrika mimi pia napenda sana mpira wa yanga nimzuri wakisasa pasi nzuri yaani nimeshindwa kujizuia kwa maelezo haya ya mama ki hii yanga inakwenda kua daraja kubwa la kuwavusha wachezaji wa Afrika kwenda kwenye ligi kubwa duniani hongereni viongozi wa yangu mungu azidi kuwasimamia ila engineer mungu kakupa kipaji kikubwa unafanya kaz kubwa sana wengi wanajifanya hawaoni ili wajifunze kwako tutafika mbali
@elishamalima7404
Жыл бұрын
Aziz mjanja akaona makolo yanacheza kama nguruwe pori yataua kipaji chake 😂😂😂
@siaramadhan4707
Жыл бұрын
Nyie Mama mrembo n hana papara kwenye kuongea woow😍😍
@imanibakili8028
Жыл бұрын
Huyu siyo mama Feisar Yaan huyu anafikiria kabla ya kuzungumza kiukweli ❤
@suleimanmwenyemvua995
4 ай бұрын
@@imanibakili8028MamA Feisal ni mama mzazi mshari mwanamke wa vijora na tamaa umbea umbea....😊😊😢😢
@bennymrema2373
Жыл бұрын
Master Ki Master Pass Mguu Tembo Thankyou Mama Ki❤️🚀.. Kwa kuwa katalia Simba😂 nafurahi
@karenlema4317
Жыл бұрын
Sasa naona umuhimu wa kuwa na shule zenye mkondo wa michezo ziwe nyingi kila nchi watoto hawataacha shule maana watapata like wanachokipenda na wakati huohuo wanapata elimu .
@nyungwajunior1301
Жыл бұрын
She is profesional hapo usitarajie kusikia habari za ugali na sukari hapi
@siaramadhan4707
Жыл бұрын
Bwana we😂
@husseinmejja8041
Жыл бұрын
Thank you mama for your child he has a big talent and we are very proud to have him in our team
@RubenIbrahim-st6dh
Жыл бұрын
Thanks so much aziz ki for choosing our team we love u so much wananchiiiiiii 🙏🙏🙏🙏🙏 am very proud of you magician left footer you helped as alot last season when I remember the hard time against club african but master key did it iam very happy this season we make it again no one is perfect
@josephineluzango1463
Жыл бұрын
Blessed is your womb for giving birth to such a great player, thank you mama
@nawatakiyakilalakheriwashe6624
Жыл бұрын
Wananichiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nimeipenda hiiiii sasa leteni na zingine
@TamimuNjava
Жыл бұрын
Thank you mama, we are very proud of you and Azizi in general, your son has been powerful weapon in our team...you & Aziz have made yanga's fans to be happy always... May God bless you all with full of his mercy and groly.
@johnmgalilwa9136
Жыл бұрын
The thinks I learned here ... We need to sappot our kids in there carer and talents ... Week Up 🇹🇿
@damianmcba9525
Жыл бұрын
Hiyo ni english au Anglishina duuuu
@jdffilmscreations5590
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Daaaahhhh
@emmanuelmugala-kt2gq
Жыл бұрын
Eheee
@hajimaster7624
Жыл бұрын
Ukimuangalia mamaake key Stephen ndio unagundua kweli jamaa mdogo
@Babuu200
Жыл бұрын
Nimefurahi kuckia Kwamba aliipenda yanga kutoka Moyoni Sio Hela kwanza... That's it!! 🙌🙌
@fatmasuleiman3885
Жыл бұрын
Asante mzazi kutupa kijana mzuri Allah azidi kumlina na wenzake wote Asante pia kwa histori nzuri💛🙏
@happyvalence5352
Жыл бұрын
Aziz's mother is very beautiful Lady. 💐💚
@hk_ballers
Жыл бұрын
Beautiful na mwerevu
@scopy0428
Жыл бұрын
Mama tunashukuru kwa kutuletea Aziz KI hapa dunian sisi kama Yanga tunasema hatuna cha kukulipa Mwenyeez mungu akupe umri mrefu ili uenjoy matunda ya mwanao
@brysonkaale3003
Жыл бұрын
We are very proud to have azizi ki in our club Yanga,congratulation Mama to have a heroe in your family.
@dee2tz
Жыл бұрын
Safi sana mama Azizi kwa kumchagulia timu ambayo imetoa uhuru kwa azizi ki
@ATHUMANMTENGO
Жыл бұрын
Bonge la Interview 🙌🙌🙌
@Maulidism
Жыл бұрын
I am Simba, but this story caught me,,and mama is looking good mother, thx for caring as Aziz is fantastic
@radhiamussa1629
Жыл бұрын
♥️♥️♥️♥️ pokea maua yako mama ki 💐💐💐💐
@vibetz9991
Жыл бұрын
Mama mzuri,,Mashallaahh...🎉
@KIMALEX255
Жыл бұрын
Kama umeelewa Raisi ya Yanga like hapa
@abdulkadirnoorhassan4024
Жыл бұрын
This is the best thang, i can say now the club is progressing well. Good idea well done
@peteveprosper7186
Жыл бұрын
Asiwaze Yeye atupe vitu baadae atakula pesa mbele hukoo anako taka kwenda
@eliudhezron181
Жыл бұрын
Yanga ina kadunia kake mambo yanaenda kisasa zaid
@زيتونتنزانيا
Жыл бұрын
😢Wachezaji wenye akili fei toto akiona yanga mbaya hiv sas angekuwa anauza kwa pesa nyingi foseli
@ibrahimabdallah8076
Жыл бұрын
Wafanye wamuongeze mkataba mapema atakuja kutusmbuw huyu mwisho wa msimu maana msimu huu kakusudia kuuwasha
@jr_mkumbojr
Жыл бұрын
I think ndio theme kuu ndio maana mama yupo hapa Tanzania
@yurickshadrackkidyalla1132
Жыл бұрын
Wampe mkataba mpya kabisa, ili wakija kumuuza wamuuze kwa mpunga wa maana
@Fessie28
Жыл бұрын
Kumbe Makolo walimtaka master Ki akawakataa? 😁😁😁😜
@manvex2214
Жыл бұрын
Wanacheza vibaya km mabata😂😂😂😂😂😂
@yasrikomba7874
Жыл бұрын
Mashallah mzazi ndio anawezabkukuza kipaji cha mtoto na kua kipaji cha mtoto ❤❤❤ hongera baba ake azizi kii
@exitingmomentsmovie2815
Жыл бұрын
Interview nzuri ila jitahidini mtuletee nyingine nzuri kama hii.
@shabbirbharmal7876
Жыл бұрын
Mama we are proud of Aziz n we are lucky to have him
@shabbirbharmal7876
Жыл бұрын
In kiswahili they say messi mweusi but for me n my team YANGA HE IS MORE THAN MESSI I CAN SAY WOW WOW WOW WE YANAG FAN THANK U FOR ALLOWING HIM TO PLAY FOR YANGA
@PanchoValentino-wh7wt
Жыл бұрын
Ubunifuu Mkubwa saana aisee 🔥💥🔥🖐️ Viva Yanga Viva Wananchiiiiii thanks Mama Aziz Ki Mwamba Wa Ouagadougou 🦵🦵⚽⚽💪
@danielbenard9053
Жыл бұрын
❤❤❤
@mugemainyas5241
Жыл бұрын
Thanks mama for giving birth to Azizi Ki. We love him and we will be taking care of him. Love to see you thanks .
@kudraalmasy
Жыл бұрын
Ni mrembo kweli kweli,MashaaAllah mom kiiiiiii💚💛
@KhalfanSaid-mo9jh
4 ай бұрын
Love 💕 ufree.... happy happy Azizi ki Mother from Ouagadougou... BUKINAFASO western Africa
@joelzacha
Жыл бұрын
Perfect!
@masoudabdoul8447
4 ай бұрын
Technically yanga alikuaje kipindi hiko mpaka akaipenda bn😂. Umetupiga hapa bimkubwa😂
@NassoroSipemba
4 ай бұрын
Haya sasa tuamie pale kwa mahasimu wetu watuletee mahojiano ya mmoja ya mzazi wa Fred{funga funga} Wao si wanasema clabu kubwa?
@Yangaone-h8j
4 ай бұрын
Kama wangekua mama wakibongo wangemwambia Aziz ki kama hutki shule hapa nyumbani uhame na mimi siyo mama yako, sitaki kusikia nakuona mambo yampira hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@StephanoKaijage
4 ай бұрын
Mama nimekuerewa sana urikuwa unampenda sana mtoto wako.naitwa stefhano Andrea kaijage kutoka brembo Kona street
Пікірлер: 294