Nimegundua kwamba huyu mama ni jiniazi mauwa kwa mama🎉🎉
@elijahmagoti9624
Жыл бұрын
Hongeren sana idara ya habari ya klabu yetu pendwa ya Yanga,kazi mnayo fanya ya kuuza brand ya klabu ni kubwa sana.. Hongeren kwa ubunifu mnaokuja nao kila mara.. endeleen kushikamana,ili kufika mbali na kutimiza matamanio ya klabu,wanachama na mashabiki wake
@amaniomar1755
Жыл бұрын
Le Presdente did everything he could to bring Aziz Ki (AK10) to us. Respect
@kaisarimbisso5011
Жыл бұрын
La Presdente??? Jifunxe kabla ya kuandika ndugu😢
@amaniomar1755
Жыл бұрын
@@kaisarimbisso5011 sawa in'shaaAllaah ubarikiwe ndugu
@theafricanprincevivecongo8632
Жыл бұрын
@@amaniomar1755 ange kuhelewesha sio kuku correct tu kwa kulaum Mwanaume : Le président Mwanamke : La présidente MKE: la Mme: le Ndo French ilivyo
@GracieTyno
3 ай бұрын
@@kaisarimbisso5011Na wewe sio jifunxe ni jifunze.
@KwenzoFredy
Жыл бұрын
Wananchiiiiiii💚💚💚💛💚💚💚njooni uku muda umefikas
@MAGOHABENEDICTOTv
Жыл бұрын
Thank to use story ❤❤ like Zang jaman
@mgeleka2378
Жыл бұрын
Like za nn ww li kopa lako jekundu
@RubenIbrahim-st6dh
Жыл бұрын
Dahh hmn part 3 nimenogewa na hii stori ya aziz😢😢😢
@ErickEliuter
Жыл бұрын
Huyu mwanake anamwongelea vizuri sana Raisi wa Yanga na ukweli ndivyo Hersi alivyo. Njoo kwenye mdundiko wa kizanzibari sasa mara mtoto alikuwa anakula ugali na sukari
@thomasmeza3800
Жыл бұрын
😅😅mama wa kiembe samak hana shukran
@daudimkumbo5922
Жыл бұрын
Mama wa Fei toto?
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
This is Amazing interview..Mama we're happy for you and AZIZ Ki. He's a best kind.
@Dopa7MC
Жыл бұрын
Love mama K
@KingEdward-dn2in
Жыл бұрын
Waooooh bonge la story
@PH10735
Жыл бұрын
Safi sanaa 🙏
@jonathanchadewa8092
Жыл бұрын
Ahsanten sana watu wetu wa Idara ya habari mnatupatia uhondo mkubwa kny tasnia ya habar
@chazbrain
Жыл бұрын
Very impressive story, congratulations to our digital department
@lightnessmsangi3148
Жыл бұрын
Watu wengi wanamzungumzia vizuri huyu Raisi wa Yanga, Mwenyezi Mungu tunaomba uzidi kumpa hekima atuletee wachezaji bora na wenye upendo Hongera sana kwa kitengo cha habari cha Yanga 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
@daudimkumbo5922
Жыл бұрын
But Fei toto was stubborn
@dianasago9214
Жыл бұрын
Mama 💚💛💚💛
@yohanaandrew336
Жыл бұрын
Mama fei ajifunze kitu hapo
@shaibusaady2420
Жыл бұрын
Allaah Akbar
@LAMECKIGNATIO
Жыл бұрын
Alafu anatokea mla kande anasema rais wa yanga mtu mbaya😢😢
@MfaumeSegela-yq3rl
Жыл бұрын
Mama kaongea vzr sana ndio manager anatakiwa kua kama hv co mpapatepate......ila pia li mama k lizuri kweli
@josephlyakurwa
4 ай бұрын
Umeshindwa kujizuia siyo 😊
@revocatusmtahaba9955
Жыл бұрын
Tanzania jifunzeni hapo kuhusu kutafuta wachezaji wazuri kwa national Team tujifunze kwa wenzetu tuache ubinafsi
@alfayomsangi3815
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌
@sevarinijrchitandachitanda138
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@elialema4014
Жыл бұрын
💚💛
@IbrahimHamadMbwana
Жыл бұрын
Nice
@abdallahiddy8381
Жыл бұрын
Like zangu
@maulidmachela4303
Жыл бұрын
Leo nd nimegundua kua kile kizanzibar kinafki sana alitaka kutuaribia timu lkn watu wengi wanamsifi rais hongera sana rais
@alfredkatuma426
Жыл бұрын
Chifu mangungu kutoka kwa makolo hawezi hayo mambo anayofanya engineer hersi 😂
@MaguNathan-y5c
Жыл бұрын
Safi nimependa
@chedielmchangila3971
Жыл бұрын
Mama wa ugali kwa sukari angekua anaelewa lugha Asikize wenzie wanasimamia vp vijana wao Uwezo wa kuongea na media
@treyvissy9854
Жыл бұрын
Hersi ni mafia sana katika usajil 😂
@rehemaabdullah7606
Жыл бұрын
Yanga rahaa
@adhifazuberi5019
Жыл бұрын
Eng nothing else to that mother only aziz issue nothing beyond et?
@thetrends472
Жыл бұрын
huyu mama hana papara wakati anazungumza, anajibu alichoulizwa , na anafurahia pia interview yenyewe, ni mtaratibu ,, huyu mama angekuwa hajaolewa ningemwambia baba aoe
@azizasaid7660
Жыл бұрын
Halafu kuna yule mla sukari alitaka Rais wetu aondoke ili yy abaki hizi kazi zote angezifanya yy😮😮😮 foseli madako yakooo😂😂😂😂😂😂
@andersonshimbi1378
4 ай бұрын
Jiniazi kwa akili yako nyembamba
@jailosibrahim88
Жыл бұрын
Nilichogundua ni kwamba Aziz hana baba
@kinyanyaonline3658
Жыл бұрын
Umbea huo
@winniewilly8639
Жыл бұрын
😢😢😢 ataa Mimi nimehisi ivoo
@jeniphermassawe3037
Жыл бұрын
Wee ni kweree
@edwardmichael3173
Жыл бұрын
Mengine ya familia waachie wao lingekuwa la mhimu mama angelitolea ufafanuzi. Idara ya habar mauwa kwenu.
@kokunulajudie7544
Жыл бұрын
Baba alishafariki hukufatilia documentary party1?
@LovenessMpanda
Жыл бұрын
fei toto aje asikie
@ezlayboy6311
Жыл бұрын
Wenye tunasoma taito akiw anaongea tujuane
@severineg.mshana2632
Жыл бұрын
Wazazi tujifunze, hapa unaona tofauti iliyopo kati ya Mama FEI na Mama AZIZ
@mmewaswida
Жыл бұрын
We Yanga family are proud of your son mom. He does well for the club and is contribution to the club is tremendous.
@ceoicc4380
Жыл бұрын
also the contribution to the society is significant.
@saimonjmai801
Жыл бұрын
Asanteni Sana watu wa digital, pia ongera kwa Rais wetu hiyo ndio sifa ya binadam inavyotakiwa. Nimependa hii. 💛💛💛💛💪
@mymuner9840
Жыл бұрын
We Love you Mom KI , we're proud of ur son, He's a really Legend on our team , we call him MASTER KI
@oscarmwailubi5078
Жыл бұрын
Mom K ur very good mom to know ur son
@dr.edmundbmgeni486
Жыл бұрын
Nawapongeza wataalamu wetu wa digital kwa hii kitu. Yanga ni familia. Kuwaunganisha wazazi wa wachezaji na club ni kitu kikubwa. Yanga family💪💪💪🔥🔥🔥
@Zaynab-ny6gr
Жыл бұрын
Na haijawahi tokea ktk soka letu hadi mzazi kusifia kingozi Masha Allah Mungu akulinde rais wwtu🎉🎉🎉
@mamuwadomu8448
Жыл бұрын
Ahsante sana mama kwa kuwa na imani na rais ENG hersi, na kumpa sifa zake na wewe mama una wema wako upewe maua yako 💐💐🌺
@user-xy8kl9wd2i
Жыл бұрын
Huyu mama nimemuelewa sana hawa mawakala wanawaharibu wachezaji
@mmewaswida
Жыл бұрын
Wooow another credit to Eng. Hersi. God bless him. He is really a good guy.
@ChrictiaMapendo
Жыл бұрын
Wakwanza mm wanaichi nainjoy kumsikiliza mama ki Aziz ❤
@mgeleka2378
Жыл бұрын
Wakwanza nn akati umeweka li kopa lako jekundu
@idemo4680
Жыл бұрын
Natamani sana mama yake feisal angeelewa apo kwenye neno mawakala😜
@jacksonmwizarubi4401
Жыл бұрын
😂😂😂
@novanyuki730
Жыл бұрын
ELEWA NENO MAWAKALA
@petrobukerebe215
Жыл бұрын
Safwiiii😂😂😂
@SwigoJr-vy3gv
Жыл бұрын
🤣🤣
@saidmasengo7988
Жыл бұрын
She is very good mom by the way ,she knows how to talk ,she knows everything about his son.Keep it up mom ,Young African fans we loves so man your son he is talented enough🙏🙏🙏
@siaramadhan4707
Жыл бұрын
Jamany Muendellezo Yanga TV ongezen mda walau dkk15 tu enjoy ..sema Mama ana kitu atafika mbali😍nimemuelewa haswa
@luganokibona7328
Жыл бұрын
😂😂😂 alafu Kuna mtu anakwambia oooh ukitaka nibaki yanga Enrg Hersi aondoke,mimi naludi!! Jinga kabisa
@angelludgery7016
Жыл бұрын
Nlikua natafut hii comment 😂
@UnitedAfrica-uw9ct
5 ай бұрын
just imagine...lol
@TumainielKitundu
Жыл бұрын
Kwa uhondo wa aina hii Mwezi huu tutafikisha views mil 10
@ryncellar1145
Жыл бұрын
Kumbe ndo sababu Eng. Alimpeleka shopping and kina jemedari na nduguze wakalaumu kuwa anasahau nafasi yake kama Raisi.Dah,Mungu azidi kumwongoza Raisi wetu akazidinkuwa na busara
@rahimmichael3420
Жыл бұрын
Wa Kwanza leo
@iddybakar1946
Жыл бұрын
hii ndio faida yakuwa na watu wenye kujiongeza nakuchanganua namna gani munaweza kutuchangamsha kipind iki ambacho akuna mechi za ligi tunapata vitu moto moto km ivi unajua tunainjoy sisi lakini pia kuna income inaingia apo kwenye ofis ya club yetu so big idara ya habar big up yanga ikiwezekana munaenda ata kenye uganda uko kuongea na familia ya khalid aucho au mama yake sauz familia mwanyeto pia tunatamani kuwaona au kumsikia yeye au mama yake pia😂
Mzazi anaejua Hisia zamwae nnnanataka na anajua kuish nawatu Sana kiukweli mungu amlinde na hii idara ya habar yanga itafika mbalisanaa
@carolinesumary1671
Жыл бұрын
I love the motherhood in her,,,,, my son ,,,,, nikamkabidhi mwanangu
@UnitedAfrica-uw9ct
5 ай бұрын
na amesema kama wewe ni mtu mbaya atahisi....kina mama wako hivo...kwa watoto wao
@ErickMjema-ji5ke
Жыл бұрын
Uhondo mzuri sana ikiwezekana fanyeni kwa kila mchezaji au yoyote yule anaefanya kazi pale yanga
@ashuramhandoashuramhando6798
Жыл бұрын
TZ ndo wanaleweshwa na Mawakala Mama kajua kujitambua hadi Raha pia ni mama Bora Azizi una Mama pia Mama apewe Maua yake 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷💚💛
@magrethshishwa5481
Жыл бұрын
Halafu anatokea mla ugal sukari anasema Eng.Hersi aondoke ye ndo arudi🤣🤣🤣🤣
@lameckmkuvasa9931
Жыл бұрын
Yanga tumepata Rais koz kila mtu anamsifia mfano Aucho,Musonda na mama azizi Ki hongera Rais wa wananchi tunalingia uwepo wako
@eduardogodian6861
Жыл бұрын
Very Interesting and loving,Vivaa Yanga
@meshachchagati
Жыл бұрын
yes ubunifu mkubwa mzuri pongezi kwa digital platform zote za young africans unatuonyesha ukubwa wenu take 🤜 now well done🎉🎉🎉🎉
@ahmedburhan5104
4 ай бұрын
Hers aondoke ndio nirud yanga. Wakat hers anakubalika kimataifa
@Kasika-hi6hf
Жыл бұрын
Such a cute woman ❤
@marthageorge5043
4 ай бұрын
Nimempenda sana mama yani natamani nimsikilize kila wakati💚💛💛💚💚💛🌻🌻
@shabbirbharmal7876
Жыл бұрын
Mama we yanga team family we know tht he is the master of all football . We are proud of him
@deodravis
Жыл бұрын
Content ✨✊🏾✊🏾
@PanchoValentino-wh7wt
Жыл бұрын
Mmetishaaaa saana aisee Wenye kitengo Cha Habar 💪🦵👏🖐️🔥💥
@RashidiChilumba
Жыл бұрын
I can't wait to Watch it 💚💛💚
@iddybakar1946
Жыл бұрын
kwa point hii mwisho aliongea mama inanifanya nigundue kitu pale azizi akifunga goli lazima amuonyeshe kidole eg hersi said kule jukwaani anamaana kubwa kuwa yeyee ndio sababu yakuja yanga na yeye ndio wakumuelewa zaid anaposema ipo ivi twende ivi ni yeye alienipa moyo wakupambania karia yangu ya mpira yaan kile kidole akiwa anamuonyesha injiania kinamaana nyingi sana nikumuaprisheeti kwa namna ninavomuelewa mimi azizi ki
@seleshomvi
Жыл бұрын
hiii nilikua naitafuta hii comment maan nltak kuandka iv iv. unamaomo kam mimi umetisha ndugu yangu
@masterlazar6745
Жыл бұрын
Yes mamy congratulate for you🎉
@fatmasuleiman3885
Жыл бұрын
Asante mama Azzi k kumuamingi Rais wetu eng Hers na clab kwaujumla hii ndio timu ya wananchi haina longo2 mishahara kwa wakati.upendo zaid2.kazi iendelee!💚🙏
Mbn hakuna makala km haya kwaajili ya wachezaj wetu wandani!????
@MirajiSalumu-qx4tt
Жыл бұрын
Kwan c ndo kwanza wameanza au umeona hii ni makala ya 7 kwa wachezaj wa kigeni ila kwa taarifa tu ipo makala ya farid mussa ipo makala ya saidoo na wengine wengi ila hii imekuja kwa mtindo wa tofauti
@Answar.
4 ай бұрын
Hakika mama Aziz na uwongozi mzima wa young Africans 💚💛 ukiongozwa na president Eng.Hersi said kwa historia tamu from Aziz mama💛💚
Пікірлер: 201