Shukrani kwa darasa zuri sana umetuvungua wengi. Je hapo kwako naweza pata mbuzi Boer mwenye 70%-80%. Na tsh ngapi
@SamwelSenwa
2 ай бұрын
Nahitaji boer Goat
@Orakplus
4 жыл бұрын
This is a great business brother
@eradolyamuya3929
6 ай бұрын
Hongera kwa maelezo mazuri,mimi niko mkoa wa Pwani hapa kibaha,nawahitaji sana hawa mbuzi aina ya boer, na Red Kalahari, naomba mkiwa tayari unijulishe
@mpilines
4 жыл бұрын
Love you narrative and the aim of the farm is great
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Greatly appreciate for your feedback.
@wangitv
4 жыл бұрын
Ok we will Subscribe
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Greatly appreciated Joan. Keep well!
@philemonncheye
3 ай бұрын
Nitamjuaje mbuzi boar?
@mebumohammed6844
5 ай бұрын
Tupe number zenu kaka
@Orakplus
4 жыл бұрын
Big like brother..
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Thanks brother
@Orakplus
4 жыл бұрын
Your contacts please
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
+255788455234
@robertmagige6800
4 жыл бұрын
Naomba utusaidie utaratibu uwa kuagiza boer Kutoka SA hasa kuhusu vibali
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
ROBERT MAGIGE nitafanya video nyingine kwaajili ya hii.
Kwakweli sijui kwann TZ tunakuwa nyuma nyuma sana hata Uganda wanatushinda yani hao mbuzi TZ nzima hawazidi 60😳 dah!! Alafu eti kuna wizara ya mifugo hovyo kabisa...
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Nadhani ni masuala ya vipaombele. Maana najua kuna sehemu nyingi tunaeazidi waganda. Lakini kwenye hili kwakweli wanatuzidi. Hivyo inamaanisha eidha halijapewe kipaumbele au miradi mingi ambayo iliundwa ili kuleta kizi mbegu haijafanya kazi. Ukiangalia historia utakuta kuna miradi mingi ikianzishwa lakini swali ni je ilifika wapi?
@genxonlinetv2219
Жыл бұрын
Maelezo yalitakiwa yawe mafupi lakini huo mzunguko anaopita nao unaboa kwa kweli!
@alexmakunga4484
2 жыл бұрын
Namba
@allychihako2092
Жыл бұрын
SHAMBANI FARM naomba namba zenu za simu
@leahmgunda177
2 жыл бұрын
The story is too long.Tell us where to get how to keep them and why Boer?
@ShambaniFarm
2 жыл бұрын
There are many videos on this same channel that talk about all the questions you have asked. Unfortunately I could not answer those questions in this video because it wasn't the objective of the video. The video was addressing what is in the title.
@georgelupembe8672
4 ай бұрын
Boer pure wapo wengi tu Iringa ASAS Farm....Nyang'oro farm
@ShambaniFarm
3 ай бұрын
Wamekuja mda baada ya kutengeneza hii video.
@flanomambo8539
3 жыл бұрын
Tunasubiri hao boer waongezeke mtuuzie
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Itachukua muda kidogo. Tunaweza kukusaidia ku import pia. Kutoka South Africa.
@taimakolele8405
4 жыл бұрын
namba yako plz
@furahahomely823
2 жыл бұрын
Namba za simu
@mwanatz5980
2 жыл бұрын
Jibu sahihi huwezi kumpata Tanzania.
@danielnguti6907
3 жыл бұрын
when could be selling the boer bucks
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
I can't tell yet. There some numbers we need to achieve
@hassannyanzi4500
4 жыл бұрын
I didnot understand kiswahili bt wat did u talk about briefly
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
I'm uploading an English version soon. Basically its about the availability of Boer goats in Tanzania.
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Here is the English version kzitem.info/news/bejne/mmZ8sXuLa5WDgoo
@mr.saiduwesuomary1859
3 жыл бұрын
Nice, sorry mbuzi aina ya Galla jike na dume ni sh ngapi na ni wa umri gani? Shoukran, nitashukuru kama nikioatiwa jibu mapema
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Unaweza kupata kwa TZS 250,000
@mr.saiduwesuomary1859
3 жыл бұрын
@@ShambaniFarm shoujran sana Brother, tutaelekea kwenye utekelezaji shoukran sana
@mr.saiduwesuomary1859
3 жыл бұрын
@@ShambaniFarm na umri wao pia ni upi, kwa maana hao wa 250K ni tayari wapo kwenye kuzaa au baada ya muda flani ndio wataanza kuzaa
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Majike yanakuwa tayari kuzaa. Na madume yanakuwa kama ya miezi 9 mpaka mwaka mmoja.
@markemanuel640
3 жыл бұрын
nahitaji kuanzisha ufugaji wa mbuzi ila aina bora ya mbuzi ndiyo sifahamu
@sherruballynatty8541
Жыл бұрын
Nahitaji mbegu ntapataje
@alexmakunga4484
2 жыл бұрын
Mbona amjibu ujumbe
@ShambaniFarm
2 жыл бұрын
Mbona tunajibu? Ni ujumbe gani haujajibiwa.
@dastanfussy4898
4 жыл бұрын
Upo wapi ndugu? Hao chotara wanauzwa sh ngapi?
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Tupo Dar es Salaam. Unahitaji majike au madume?
@dastanfussy4898
4 жыл бұрын
@@ShambaniFarm dume 1 majike 5. Vizaz tofaut
@officialhuntershery9085
Жыл бұрын
Pale kisalawe wanao Ila Ni %70
@emanuelkisanga3429
4 жыл бұрын
kuna jamaa anao wengi tu pwani, sema na yeye hajaanza uza...ila anao wengi....hao 60 unaosemea ni wachache mkuu...
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Anaitwa nani na yuko Pwani gani?
@2kkeno859
4 жыл бұрын
When a you starting selling red Kalahari goat brother
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
There's still some way to go brother. We still don't have the mass numbers for us to start selling.
@2kkeno859
4 жыл бұрын
@@ShambaniFarm hopefully in 2021 you might be selling.
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Lets hope so!
@jumannewambura5662
2 жыл бұрын
Salma kaka mm nimfungaji wambuzi wakienyeji ila na changa moto ya mbuzi wangu wana ujua mapafu naomba ushauli na tiba nifabyej
@ShambaniFarm
2 жыл бұрын
Suluhisho la mapagu ni chanjo tu kaka. Pia hakikisha chini ya banda uchafu unasafishwa walau mara moja kwa wiki kama wanatumia banda la kichanja. Kama wanatumia banda la chini usafi ni kila siku.
@ernestwegga6557
4 ай бұрын
Nunua dawa inaitwa tylocene
@ernestwegga6557
4 ай бұрын
Mm nipo Moshi nafuga aina ya galla karibu sana.
@ernestwegga6557
4 ай бұрын
Mm hua nafuatilia sana. Wa Uganda hawapo vizuri sana. Wamedumaa. Pia Asasi toka ameanza kufuga ni muda mfupi sana. Nilijitahidi kuwasiliana na wanaoagiza kutoka South Africa wakaniambia kwa sasa wamesimama. Kuna tatizo la vibali
@ernestwegga6557
4 ай бұрын
Tylocene ndiyo suluhisho
@cosmaslunyembeleka251
2 жыл бұрын
Yaani nyie mnatia huruma jamani Inaonekana hamna haha ya kusaidia watz Ila mnaitaji kitambulika tu Kuweni wawazi alafu jibuni comments mtaona mtakavo kuwa na wafuasi wengi Sana Msiwe wabnafsi
@ShambaniFarm
2 жыл бұрын
Tunashukuru kwa maoni yako hata kama yanaonekana kutoka kwenye moyo usiofurahia tunayoyafanya. Tunakubali ya kuwa watu wanaruhusiwa kuwa na maoni tofauti. Ila sisi tunajua kwamba hakuna chochote tunachokificha na Nia yetu tunaijua sisi. Tunajitahidi kwa kadri ipasavyo kujibu comments kila tunapopata nafasi - 90% ya comments zilizopo kwenye channel yetu zimejibiwa. Asante sana
@cosmaslunyembeleka251
2 жыл бұрын
Mimi huwa Ni mkorofi ninaejitambua Ivo nimefarijika kwa kuona kero ya kutowajibu watu inaanza kupungua Andaa vid inavoonesha jinsi ya kuagiza AWA mbuzi
@filbertnashon7160
3 жыл бұрын
Brother TUNAOMBA MAWASILIANO YAKO
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
0788455234
@filbertnashon7160
3 жыл бұрын
@@ShambaniFarm thanks mkuu
@dastanfussy4898
2 жыл бұрын
NAOMBA Namba yako
@aliobeid6794
Жыл бұрын
Assalam mambo
@aliobeid6794
Жыл бұрын
bro umefika wp ktk hii project kwani mm pia nataka kuanza kufuga hawa mbuzi kama pia unayo namba yake nitumieni e pls
@aliobeid6794
Жыл бұрын
tupe namba yako bro
@ShambaniFarm
Жыл бұрын
0788 455 234, please text first.
@stephengalinoma8590
4 жыл бұрын
Can i have your Contacts..
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
+255788455234
@lucasathanasy1561
3 жыл бұрын
@@ShambaniFarm unauzaje jike 1 na Dume 1 ??? 0674 272155
@ernestwegga6557
10 ай бұрын
Muache kuongopa. Tanzania hakuna mbuzi aina hiyo. Wanapatikana Uganda kwa Afrika Mashariki.
@ShambaniFarm
10 ай бұрын
Sawa. Hongera kwa kujua hilo mjuzi sana.
@georgelupembe8672
4 ай бұрын
Iringa wapo wengi tu ASAS Farm
@aap99alalawy
Жыл бұрын
Ajabu. Latest Land Cruisers za VX zinapatikana hapa TZ lakini tunashindwa kuleta Boer Goats kutoka nje. Inaonesha bado hatupo serious.😢
@ShambaniFarm
Жыл бұрын
Kwasasahivi kidogo kuna mabadiliko. Naona idadi imeongezeka walau. Hii video ilikuwa ya nyuma kidogo. Kama miaka mitatu hivi.
@philemonncheye
3 ай бұрын
Nahitaji hao mbuzi boar goat pure100
@yasinjuma1445
4 жыл бұрын
Shukran kwa maelezo mazuri,ila kidogo umebana badala kurudia maelezo nafasi ilikuwepo kwa video hii ku brief process ikoje kununua na kuleta Tanzania breed ya boer 100% to South Africa ,badala yua kukusubiri mpaka utakapo kuwa tayari kuuza,usitupe samaki,tufundishe kuvua kwa maslahi mapana ya taifa letu.
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Yasin Juma hii video ingekuwa ndefu sana kama ningeweka details zote hizo. Ila nitarekodi video nyingine itakayotoa hayo maelezo.
@nzumimalendeja8942
Жыл бұрын
@@ShambaniFarmAny update on this please.
@ramadhanothmanabdalla21
8 ай бұрын
mbuzi aina ya boer wanapatikana wapi mii nikiwa zanzibar na bei yake ikoje
@ramayasly4584
3 жыл бұрын
nice job bro. keep up bro. exelent
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Thanks so much.
@omarynkungu6672
2 жыл бұрын
Mimi nàhitaji hii jamii ya mbuzi naomba cm no zako tafadhali tuwasiliane
@dastanfussy4898
2 жыл бұрын
Habari. Mmeanza kuuza hao mbuzi?
@attokilwiye3088
2 жыл бұрын
Nahitaji sana mbuzi hawa,
@ShambaniFarm
Жыл бұрын
Karibu tukuhudumie.
@MwajumaKassim-r6h
3 ай бұрын
Naomba namba yako,,tuwasiliane
@edwardlukumay2728
3 жыл бұрын
Nyie mpo mkoa gan
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Tuko Dar na Pwani!
@mds5293
4 жыл бұрын
Great bro,nawahitaji hao ila ukitupa utaratibu wa jinsi ya kuagiza itakua poa sana,VP pia upatikanaji wa savannah na Kalahari red.
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Daniel Wilbernard Mmary nitarekodi video nyingine kuhusu hilo suala karibuni. Tupo pamoja.
@taimakolele8405
4 жыл бұрын
@@ShambaniFarm uko wapi ndg.
@ceciliansemiwe8188
4 жыл бұрын
Big up sana Beda! Barikiwa sana
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Thank you!
@nelsonneeson620
2 жыл бұрын
Nikitaka kuanza farm ya mbuzi nitahtaji niqnze na mbuzi wa ngap??
@edwardobreymarunda496
Жыл бұрын
Unfortunate you tubers wengi wanatoa story miingi. But maswali kama haya hutapata jibu kabisa Very sad
@mohammedamour9281
3 жыл бұрын
Naomba mkianza kuuza au kama kunasehemu wapo naomba nifahamishe
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Tutakujulisha tukianza kuuza.
@williamjames8610
3 жыл бұрын
Nikiitaji mbuzi Boer mmoja utaniuzia shi.ngapi?
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Hii video mbona imeshaelezea hilo kaka?!
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/wqyE239vrICbpZw
@duahmbone-9557
Жыл бұрын
Mnapatikana wapi
@ShambaniFarm
Жыл бұрын
Tupo Dar
@onesmoelias8259
3 жыл бұрын
Nahitaj dume moja la boar Ni sh ngp
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
$850
@ramayasly4584
3 жыл бұрын
i wish to know if i can buy from bro?
@ShambaniFarm
3 жыл бұрын
Unfortunately we have not started selling. That's what I was explaining in this video that their availability is still a challenge here in Tanzania.
@pnkase2562
4 жыл бұрын
Mawaxiliano please
@ShambaniFarm
4 жыл бұрын
Contact zetu zipo kwenye “about us” kwenye hii channel yetu.
Пікірлер: 118