Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,injili kama hizi zinaitajika katika ulimwengu huyu wa sasa
@LucasNtalima-wq6ok
Hakika Mungu azidi kukubariki.
@DavidMalimbegu-dq8tp
Mtumishi Mungu akupe nguvu na ujasili maana kanisa limevamiwa kwanza wachungaji wengi karama ya uonaji hawana kabisa ndiyo maana makanisa mengi wanaabudu na maajenti wapo maajenti wengine wanadili na wachungaji/ kwaya ndiyo maana kanisani uzinzi umekisili
@sawedotto944
Nice
@gracemachongwe431
Asanteee kwa MUNGU kwa ajili ya Mtumishi wako, Mchungaji George Mussa kwa mikoa ya Kusini na Nchi nzima ya Tanzania
@newhopeonline5818
Hongera mtumishi Mungu azidi kukutumia
@jamesswai6583
Yan Kuna mtu ukimsikiliza TU, unajua huyu ni mtumishi wa Mungu.
@joshuakimario5764
Amen mtumishi wako waonja maziwa wengi leo yaanni wahubiri wazinzi sema tupone by Joshua moshi
@sarahjoram2550
Mungu awatumia wali wake kuhubili injili🙏🏼 Mungu akubariki baba👏🏼
@mackfasonmoshi4629
Rev. Musa ubarikiwe. Sema kila kitu. "Dhambi ni mbaya" "Pepo la uzinzi" litatoka tuuu kwa Jina la Yesu...
@caritasmushi8896
Mtumishi umesema kweli
@AshilatAbas-qe4fh
Ubarikiwe baba
@happymvula
Ubarikiwe baba yangu!
@user-nq3xc7ro6v
Hiyo ndiyo injili isiyogoshiwa. Mungu tusaidie.
@HappyPhilly-oq4bs
Ameeen
@mariammpale6542
Halelujah
@gracemachongwe431
Hazina kubwa kwa Kanisa la Tanzania, utukufu kwa MUNGU
Пікірлер: 27