Mungu nisaidie Nimalize mwendo salama Yesu tusaidie
@maryjustapeter5430
6 жыл бұрын
Mungu niokoe mmi , nifunike Kwa damu ya yesu
@akanishabani5789
5 жыл бұрын
Yani manabii wote wanaotumia maji, mafuta, chumvi, pete, bangili nk hawa ni mashetani kabisa! hakuna haja kutajiwa hao wako wazi.
@ramyramy3455
4 жыл бұрын
Mungu wetu turehemu tuoneshe njia ya roho wako mtktfu na unipe macho ya rohoni nijue kweli ya yesu kristo.
@PromovertvTz
5 жыл бұрын
Hatuwezi kutaja majina,kutaja hizo ni tuhuma na tunaweza kushtakiwa kama zilivo kesi nyingine tu.Lakini pia Hata tukiwataja haisaidii maana ni wengi mno hatuwezi kuwataja wote,tutakutajia wa Mwanza unaenda Mbeya unawakuta..!Cha msingi ni kupata maarifa ya jinsi ya kuwatambua na kuwaepuka ili utapoenda popote ukiona ishara zao tu uwajue.
@innocentpaulchillu1512
5 жыл бұрын
kwa nini msiwataje?mnajua kabisa wanapoteza roho za watu wa MUNGU bado mnawaficha tu,au na nyinyi mpo kibiashara kupitia hili?wewe mwenyewe umekua shahidi makanisa ambayo MUNGU amekupitisha akakufunulia hayo yote lakini bado wengi umewaacha huko hawajui chochote kinachoendelea pale,jacktan msafiri umesema mnaweza kushitakiwa! maana ya sentensi hiyo ni kwamba mnamhofu shetani na vitisho vyake ,si ndivyo?nikuulize ungelikuwa Enzi za kina yohana mbatizaji,akina Paulo, petro na mitume wengine ,si ungeikimbia injili ukaenda kulima ?nataka nimuweke sawa huyu dada hawa watu wanampiga vita MUNGU,wanamdhihaki MUNGU bado mnawaficha tu et mnaogopa kushitakiwa!ole wenu nasema ole wenu,narudia tena ole wenu mnaofichuliwa siri za ibilisi na ma agent wake na hamuwaweki wazi.
@AdacharityColeman
5 жыл бұрын
Amen ni kweli kabisa. Mbarikiwe zaidi na Mungu atusaidie
@masiamasimami475
5 жыл бұрын
Naomba no ya huyooo dada
@PromovertvTz
5 жыл бұрын
@@masiamasimami475 ipo kwenye sehemu ya mwisho
@masiamasimami475
5 жыл бұрын
@@PromovertvTz OK asant nimeiona
@jasminlwande811
5 жыл бұрын
Ni kumuomba Mungu roho mtakatifu atusaidie
@patrickkapungu6281
5 жыл бұрын
Nakushukuru Mungu kwa kunipa Maarifa na Akili kuhusiana na video hizi, kwa kweli unanifundisha
@luckyprincejabinho9986
5 жыл бұрын
Atungope kaka hata rombo malinziya abari yama kanisaa tu juuwe tunataka tujuuwe 👍👍😍😍💃💃💃💃🔥🔥🔥🙏🙏🙏🇳🇱🇳🇱🇳🇱 ubarikiwe dada kusema kweli Amen🇨🇩🇨🇩😇😇
@user-nl2xe3qe6e
4 ай бұрын
Jamani hakika hizi ni nyakati za mwisho,ee mungu tusaidie
@jeremiekangabo5765
5 жыл бұрын
Hio ni ukweri, Lakini watu wa mungu ni lazima tue maco,tena mungu akubariki dada yetu kwa kuficua haa.wengi ma kanisani ni wa freemason.
@heriethkambanyuma6835
5 жыл бұрын
ahxante wajina wangu ,nakupa honger kwa kuyashinda majaribu
@getrayakoyi9185
Жыл бұрын
Dada mungu akubariki sana na akulinde na hao manyangara damu ya yesu kristo aliye hai ikufunike milele
@iminzaiminza5813
5 жыл бұрын
Sema kila kitu...hayo makanisa yatajwe tuyajua...wale wachungaji watajwe ili wafanyiwe Deliverance jameni...mbona mnamwogopa shetani...taja wafwasi wake ili Jina la Mungu liinuliwe...shetani haogopiwi...hivo tunampa nafasi anajua watu wake wanaogopewa hawawezi tajwa...ebu taja kila kitu🙌🙌🙌🙌
@agneskhakali2069
5 жыл бұрын
Nimeusikiza huu ushuhuda nikapata sababu iliyofanya mtumishi Pascal Casiian kupata ajali. Ule wimbo aliyoimba. (One wanavyo mwabudu shetani na Dunia kwaheri) zina huu ushuhuda wote maana pia ameeleza kuhusu vitamba, mafuta na haya yote yenye huyu dada amesema. God pls release your powers to protect you innocent ppl
Shuhudia kama Mungu kakuonyesha lakini kama Unasema kwa fahamu zako nakama Gwajima ni mtumishi wa Mungu Ktk kweli katubu ndugu maana Kuna watu wa lipata ukoma kwakumnena vibaya mke wa Yusuph ya kuwa ni mkushi jiangalie. Kwa Gwajima hakuna maji ,mafuta wala vitambaa yeye anauza CD na vitabu vyenye shuhuda na mahubiri
@evelyneernest8854
5 жыл бұрын
WEWE PIA UPO
@evelyneernest8854
5 жыл бұрын
Mwamba Uliohai WEWE PIA UPO NINI SHIDA!?? Tulia I’m a tu
@mashaelieazer6120
4 жыл бұрын
@@stevenkipara9310 hahaha kuanika nikujificha tu
@iminzaiminza5813
5 жыл бұрын
May God of Mercy save us in Jesus name
@yohanalanga5563
5 жыл бұрын
Mimi ni mtanzania japo nafanya Kazi Kenya! Napenda sana kujua hayo makanisa nisije hata siku moja kuingia humo!! Mungu atusaidie
@msomijosephat8993
5 жыл бұрын
wote wanao tumia mafuta ,chumvi,sabuni n.k eti vya upako
@adrianosikwemba2091
3 жыл бұрын
Hata mm nataman kuyajua
@mbithejustus246
5 жыл бұрын
Kwa matuma tunawatambua, Injili ya Yesu ni Tubuni ufalme wa mbinguni umekaribia, acha dhambi,
@monicajohn2463
5 жыл бұрын
Nmejifunza kitu mtumishi barikiwa sana.
@zulisaid4283
5 жыл бұрын
Mungu ni umoja hakuzaa wallah akuzaliwa,vitabu vyote vinaonesha uislam
@pascleshayo4319
5 жыл бұрын
huo ni udini unaleta ila tambua vita niyetu sote uta chagua namna ya kufight kujinasua
@gracerahma9775
5 жыл бұрын
Tengeneza mazingira ya kujipendelea lakini iponjia machoni pamtu ionekanayo nisawa lakini inampeleka upotevuni Sema Mungu Hana Mtoto hafanani na chochote ila utaelewa tuu kwa sababu NENO La MUNGU limehakikiwa jidanganye na wala halitapita bure pole
@sumamwamalekela1069
5 жыл бұрын
Jua kumtafuta Mungu katika roho na kweli ukiachana na dini iliyoletwa hukuwepo ilivyoletwa umeipokea kwa njia ya imani kwakuakinishwa ole wenu waandishi na mafarisayo wanafiki.dini haitakupeleka sehemu dini yako ni matendo yako yaoiongozwa na mwili kuna matokeo yake naukiongozwa na Roho wa Mungu kuna matokeo yake.
@salmachao7645
4 жыл бұрын
Takbar Allahu Akbar
@brigithadidas5128
4 жыл бұрын
Hivi allah ni nan
@sisisisilia4898
6 жыл бұрын
Mhh mpaka naogopa kwa haya yanayofanyika jaman
@happinessakim2679
3 жыл бұрын
Exactly 💯,,,,,hata mm nimepitia hayo,,,,,watakatifu ni kumuomba Roho Mtakatifu akupe macho ya rohon,,,,,,,,huo ndo ushindi wetu🙏🙏🙏
@edwardlsemsekwa2910
2 жыл бұрын
Mungu atudaidie
@basilisamsaka8469
4 жыл бұрын
Nacomment kwa damu ya YESU !! Huyu dada inaonekana uliyaishi maisha hyo maono hayawezi kuwa kuonyeshwa kwa marefu haya na mapana haya
Shetani yupo kazini lakini ninachokiamini NENO La MUNGU linasema zipimeni hizo roho kama zinatokana na Mungu hivyo kama umekaa vizuri na Mungu kwa habari ya Rohoni ROHO MTAKATIFU ni mwaminifu atakufundisha
@adhiambocarolyn9895
4 жыл бұрын
Asante kwa kuniokowa nimejuwa kila kitu ubarikiwe sana na mungu akupe ulizi kwa kila kitu
@ellykibale190
4 жыл бұрын
"Watu watajuaje Kama kanisa ni la Mungu wa kweli" hapa mtangazaji/Mtumishi umeuliza swali la msingi: Nami nitoe maoni yangu, Watu wahimizwe kusoma Biblia, Watu wamefundishwa kuiogopa Biblia na ya kuwa Biblia ni ngumu,Hapana Cha msingi ni kuwa tuisome kwa maombi,kabla hujaanza kusoma,Omba uongozi wa Roho mtakatifu,mwanzoni utapata shida ila baada ya mda Mungu atakusaidia. Mithali inasema maandalio y a Moyo ni ya mwanadamu,Jawabu la ulimi latoka kwa Bwana. Faida ya kusoma Biblia: 1) ndio chujio au test itakayokuongoza kuchuja au kutambua mafundisho potofu. Lakini pia 2) Yohana 6:63 inatuambia Neno la Kristo Ni Roho,hivyo kwa kadri unavyosoma Biblia unajijaza na Roho Mtakatifu,unaihuisha nafsi yako na kuwa katika nafasi ya kutambua mambo ya Rohoni.
@neemajonthan8731
5 жыл бұрын
Ni Mungu tu atuhurumie atupe macho ya kiroho tuweze ona vya sirini ndo ponea yetu sababu wengi wametekwa na kufungwa fahamu na ufalme wa giza Mungu tia nuru macho yetu ya rohoni
@aziza9093
2 жыл бұрын
Saubuhana Allah nihatar Allah utulinde
@adammngongo2641
5 жыл бұрын
nimejifunza saana mungu akubaliki Dada kwa ushuhuda
@silasaron3255
5 жыл бұрын
Siku za mwisho
@agnessevarist499
5 жыл бұрын
jamani hapo Cha msingi nikusoma tu maandiko, hata usipoona ishara yoyote ila kama ukiona kanisa lolote linachengana na biblia jua si kanisa la Kristo
@mashakamkolwi7829
5 жыл бұрын
jina labwana linanguvu.
@godfreymasawe5753
2 жыл бұрын
Ameongelea kuhusu wanawake wanaovaa nguo fupi mwanaume utakavyo mwangalia tu apo atufafanulie
@harrietgesare6589
5 жыл бұрын
Ubarikiwe na naomba uendelee kutupa ushuhuda nyingi ili tufunguke majo
@peterenos2627
2 жыл бұрын
Mchungaji unaharibu ushuhuda. Acha atoe ushuhuda mpaka mwisho, Kisha uliza sasa pale unapohitaji ufafanuzi zaidi
Dada Mungu akubariki hii ni kweli tupu nlkuwa natamani Mungu anifunulie siku nyingi lkn kupitia wewe nimeamini na nitaanza maombi ya Vita na kushare hizi Video kwa wengi
@elishadeulitv2711
3 жыл бұрын
asante sana kwa elimu nzuri namna hiii!!!!
@geogejosephnyamasiriri6930
5 жыл бұрын
Jaman 2nao mjua mungu wa kweri 2zidi kuomba na kuharibu ufalme wa kishetan na nguvu zao kwa Jina la yesu kristo. ......Maana nyakati hizi ni za hatarii wapendwa.
Mungu nisaidie,na unipe macho ya ndani,kwa kuona kila kitu
@marykalei3277
5 жыл бұрын
Kweli dunia inaisha
@elikarimugayewi3105
5 жыл бұрын
Pole
@lovenesswalter6650
5 жыл бұрын
Mimi natetemeka htr
@janethanatory8196
3 жыл бұрын
Sadaka zet izo
@brendaemanuel1505
5 жыл бұрын
nimeogopa jmn had nimeenda choon Mimi kuna sehem nam yamenitokea jmn c endi Kanisan bola nisali ndan
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
Mungu atupe macho ya Rohoni wapendwa ulimwengu wa Roho unatisha tusimameni imara na Mungu
@imakulathamgole2282
5 жыл бұрын
mungu atawahukumu kwa ayo maasi
@carolinetalam5832
5 жыл бұрын
Ni Mungu tu ndiye atakaye tukomboa
@nellyjosephsunga1248
5 жыл бұрын
LUKE 22. "But I have prayed for you, that your faith should not fail; and when you have returned to Me , strengthen your brethren."
@zenassylvester125
3 жыл бұрын
Yesu alitupa kanuni moja rahisi kabisa alisema " ombeni lolote kwa Baba kwa jina langu atawapa" ila watu wanataka shortcuts za mafuta,chumvi,vitambaa,maji na vingine vingi vilivyo kinyume na mafundisho ya Yesu Kristo
@valentinandukuvalentinandu4779
3 жыл бұрын
Ee Mungu tupe macho ya rohoni
@carolinetalam5832
5 жыл бұрын
No words may God protect us
@mariaemilian5839
6 жыл бұрын
Mungu wangu naogopa mm ,tumbo lote lamoto
@bashiteassociatesbashiteas9091
5 жыл бұрын
Usiogope Bwana yuko pamoja nasi
@mwalimumhunzi6694
5 жыл бұрын
Uposahihi Peter Alphonce
@evelyneernest8854
5 жыл бұрын
MTANGAZAJI EEE ACHA KUMKATISHA SASA
@sarahmarshaymarshay2239
5 жыл бұрын
Dah!
@sarahogama9540
4 жыл бұрын
Wallajlhi nikajua ata mchungaji mmoja hapa siezi muacha yaani namuendea huko kanisani kwake kumvuruga ile mbaya hadi najitia uchizi navua nguo zote maana wametupotosha sana tena wamekula pesa zetu nyingi sana
@ashuramarijanujinga3518
5 жыл бұрын
inapendeza sana ukitaja makanisa hayo tujue nasisi
@noelswai2660
5 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana
@winnusaki814
5 жыл бұрын
Nadhani MUNGU ameandaa hii kwa ajili yangu
@priscachangoma6786
5 жыл бұрын
Jamani jamani kwnda church naogopa matapel wengi dahaaa
@mwalimumhunzi6694
5 жыл бұрын
Dogo Mokiwa kaa kimya Kariri mkubwa ww msikilize vizuri huyo dada umuelewe japo nae hajafika sehemusahihi bado anamapepo Uislamu ndo jibu na ndo mfumo wa maisha ktk kumuabu Mungu. Ukristo c ni jina la kupanga limepangwa na Wapagani (MATENDO YA MITUME 11;18-20) Hayo yoote anayoyashudia yako Kanisani.
@alfazabron3046
5 жыл бұрын
Mwalimu mhunzi ww ishikatk dini yako , ilafahamu kunawanaoishi ktk kweli ya Mungu , nasikuzinakuja utakapo jutia hizoimani unazodhania kua ndionjia ,
@loicemaina2356
4 жыл бұрын
Mimkenya naomba roho mtakatifu wa mungu muumba mbingu na nch akatuonyeshe hekalu takatifu
@happygirl5141
5 жыл бұрын
Kweli dadaang umenena ukweli
@zahraali4873
5 жыл бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya kiislam
@shukuruilomo768
4 жыл бұрын
BWANA MUNGU naomba utuhurumie kwa hiizi dhambi.
@angelinerioba7442
4 жыл бұрын
Amelaaniwa anaye mtegea mwanadamu Jeremiah 17:5->na tusome bibilia tuache kuweka imani zetu kwa binadamu,Siku hizi hamna nabii wa ukweli,kanisa ni roho yako mwenyewe what matters ni uhusiano kati yako na Mungu wako.
@Qwang6
4 жыл бұрын
Dah mung tusaidie tuwe na macho ya roho
@BG15540
5 жыл бұрын
Please uwa taje jina zao ili wana wa Mungu wapate kupona.
@stevenkalinga5825
3 жыл бұрын
Ushuhuda ni wakweli MUNGU atusaidie
@faridashaban8853
4 жыл бұрын
Mungu wangu tuokowe tunaenda pabaya
@wemambonge5518
5 жыл бұрын
mungu wangu tuokoe na maasi haya,dunia hii tunaelekea wapi?
@iddirichard2426
3 жыл бұрын
Ee mungu utupe njia sahihi ya kufoka kwako juu mbingun
@zulisaid4283
5 жыл бұрын
Peter20:23
@dianastemile6976
2 жыл бұрын
Duuu
@happygirl5141
5 жыл бұрын
Jaman naomba no.ya huyo Dada
@PromovertvTz
5 жыл бұрын
Angalia part 5 utaipata
@matalamoma166
5 жыл бұрын
Ubalikiwe mama kwakutufumbuamacho
@matonyamhboraukimwikulikok9292
5 жыл бұрын
Wewe mwenyewe mtumishi was shetani nenda uko
@rqyaabdullah9819
5 жыл бұрын
Nikweli biashara sasaivi Nimakanisa tu matajiri Wengini waendesha makanisa
@faridashaban8853
4 жыл бұрын
Jamani
@peteralfonce5848
5 жыл бұрын
Mnasema sisi waisilam tunamajini mbona na nyinyi mnahangaika ?
@mwalimumhunzi6694
5 жыл бұрын
Big up Peter Alphonce wanatuhumu eti Waislam tunaamini majini na dini yetu UISLAMU ni is majini hawajui wao kila kukicha Makanisani wanatoa mapepo. Japo UISLAMU c jina UISLAMU ni matendo but nakushauri Peter tafuta jina zuri linaloendana na UISLAMU coz Allah ni nzuri na anapenda tuitame kwa majina mazuri.
@euniceeunice7680
5 жыл бұрын
@@mwalimumhunzi6694 yan ww ndo pepo kbs nani kakuambia majina yatakufikisha mbinguni au dini nyinyi waislam amjitambui aho mashehe woteee lzm wasomee mambo ya kichawi ivi ushawah ona shetani anasumbua msikitini?au kwamba nn lbd amna dhambi?kwann anasumbua makanisa?mti wenye matunda siku zote upigwa mawe kwenye Qran yesu katajwa mala 24 Mohammad katajwa mala 4 tuu mama yake yesu katajwa mala 35 ila mama ake Mohammad ajatajwa ata mala moja so jiulize kwann mnapotoshwa waislam amna atae ingia mbinguni bila kumuamini yesu amna ata iyo Qran ilimesema kama yesu ataludi kwa ajili ya dunia na asie muamini awez fika mbinguni pole sana
@euniceeunice7680
5 жыл бұрын
Nyinyi amuangaiki kwakua mpo kwenye imaya ya shetani sisi tunaangaika kwakua shetani anatupiga vita jiulize kwann shetan anapiga vita makanisa na sio misikiti au mnazan nyinyi mpo sehemu salama?soma Qran yko au msikilize hamza yule muislam alie enda adi bakwata kuwaambia viongozi wawaambie watu ukweli kuusu ujio wa yesu na wamuamini mashehe woteee wanafuga majini na ayo mapete wanayo nazani unajua na kuusu wachungaji kua waongo ata bibles ilisema ayo yotee ukiwa msomani wa bible upati shida unajua tuu yale alie sema yetu yanatimia na kingine mbinguni uendi kwa ajili ya dini ni imani yko na matendo na ata kama unatenda matendo mazuri kama auna imani na yesu ufiki mbinguni kama uamini soma iyo Qran yko utajua nacho sema
@boazmwaipungu8989
5 жыл бұрын
hizi ni siku za mwisho,chunguzeni kila roho
@ngometvarusha4030
5 жыл бұрын
Kataka watu ambao wanaishi kwa shida dunian ni hao wanaojiita Walokole kwa sababu mtu ameokoka na bado anaishi kwa mashaka,eti nimepekwa mara nimepelekwa tutaaminije kama aliye kupelekesha ni mizimu yakwenu au shetan alafu yote unayoeleza nihabari uliyowahi kusikia mahali, shetan akijua unaimani na mambo yake basi atavalisha majini watu wa mungu maarufu ili kukuvunja moyo kwamba hata na fulan naye yupo kwanin asikuonyeshe mashehe kwa sababu akili yako haujeseti kwao dada nakushauri tena wewe Ndiyo unatumia na shetan ebu, kuzimu kamwe hawawezi kustahimili jina la yesu pili watumishi hukemea pepo kwa jina la yesu ,ata bado hapo ulipoenda utakuja tu kumchafua huyo mchungaji, usidhani kwamba kuna mchungaji hana madhaifu yake utakaa hapo ukikwazwa utamwona shetan, lingine inakuaje unaogopa pete mara picha na bado unasema una yesu mwenye nguvu, mchungaji kukutongoza haina maana ni washetan maana watu wanadhani mtumishi hana hisia au yeye hakosei kwani yey malaika yesu mwenyewe aligoma kuitwa mwalimwa mwema maana aliye mwema isipokuwa mungu mwenyewe,, mchungaji unaemhoji huyo mdada nakuomba sana mimi nimtumishi pia shetan amekuwa akiwatumia watu kama hawa kujirhabia nakuvunja kanisa kwa mikono yetu, mimi mungu ananitumia sana hadi najiogopa lakin sijawahi kwenda mahali kupata nguvu nawala mimi si mtakatufu useme utakatifu wangu, naniliapa siku nikienda kwa mganga au kwa shetan kuomba nguvu nifanikiwe nife kabla sijatoka hapo plz hawa ni waongo waongo huyu Dada nishetan hana lakujenga mwili wakristo
@euniceeunice7680
5 жыл бұрын
Sasa ww ndo shetani yan ww ndo nyie watumishi mnao tumia jina la yesu kuwafunika watu naona imekuchomaa kutoa siri zenu uyu dada kaongea ya ukweli na ww endelea kumtumikia shetani lkn mwisho atakukana kutaja jina la yesu usizan ndo litafanya kazi bila kua na nguvu za kirohoo mtapata tabu sanaa ata bibles zilishasema na yanaendelea kutokea nakuamuru ww kwa damu ya yesu saa hii shindwa pepo tokaaaaa na ujifungue ivyo vifungo miguuni
@cathyjb4339
5 жыл бұрын
Na ww ni wale wale kiasi kwamba umeshindwa kuvumilia mnavyowekwa wazi
@cathyjb4339
5 жыл бұрын
joel joel Na ww ni wale wale kiasi kwamba umeshindwa kuvumilia mnavyowekwa wazi
@dogomikowa5626
5 жыл бұрын
Wewe utakuwa mmoja wao. Hata mfanye nini siri za fake pastors zinamwagwa kila siku na mtashindwa kwa jina la Yesu
@abrahammisanti860
5 жыл бұрын
Dunia imefikia pabaya sana, hayo yanayozungumzwa yapo, na yanatokea ili tuweze kuyajua ni kuomba hekima na busara na zaidi kujiweka karibu na Roho Wa mungu, daima mungu atukumbushe na atushike mkono
@marygregory7566
5 жыл бұрын
Huyu dada Nae kila mchungaji anamtaka kimapenzi kwann yeye tu.. au ni mzuri sana?
@winnusaki814
5 жыл бұрын
Huyu anakitu cha ki MUNGU ambacho wanatafuta jinsi ya kumtumia yeye
@aminawebo5530
5 жыл бұрын
mary ukiwa na roho mtakatifu , na pia ukiwa wabudu mungu kweli na roho unajaribia zaidi. juu wanajuwa wakikutumia kimapenzi wanajua wamekuwa ngusha,
@levinaabela6983
6 жыл бұрын
Duh
@wilewilee9990
6 жыл бұрын
Levina Abela jamani nishida wapendwa
@wilewilee9990
6 жыл бұрын
jamani dunia imefikia mwisho
@jasminlwande811
5 жыл бұрын
na kutuongoza
@jasminlwande811
5 жыл бұрын
kwenye makanisa sahihi
@zenassylvester125
3 жыл бұрын
Arusha kuna mtu anajiita nabii mkuu ni walewale 🤣🤣🤣🤣🤣
@maryosward1879
5 жыл бұрын
Ee MUNGU wangu niokoe na haya
@abedichande2497
5 жыл бұрын
Hatuwez kujua wakati mnaficha majina ya makanisa yanayofanya hvyoooo
@rehemamgimba179
5 жыл бұрын
Abedi Chande omba Mungu akuoneshe hayo makanisa, ingia maombi ya mfungo kabisa
@mariamfritsi9761
4 жыл бұрын
Humu duniani kuna mambo , 23.02.20.
@yvonneamekakaombeniwimbomu8312
5 жыл бұрын
Wache wafate shetani azabu yawo nikubwa Yesu akirudi.
@lolguy-x9n
2 жыл бұрын
ilikua ni ndoto?
@pudensianakessy5189
5 жыл бұрын
Waefeso 1: 17-18
@amananassor524
5 жыл бұрын
acheni kuongo peana nyinyi mungu sio wa kuongo peana ivyo
@lovenesswalter6650
5 жыл бұрын
Inabid nianze Maombi Mungu anifungue macho nione hakika dunia imechafukwa Yesu akija sijui nani ataenda dah unaowategemea kumbe washarud nyuma.
@geofreyalexander1382
5 жыл бұрын
Naomba namba ya huyo Dada aniombeee
@PromovertvTz
5 жыл бұрын
Namba ipo kwenye sehemu ya mwisho ya ushuhuda huu,angalia utaipata
@fortnataangelo4805
5 жыл бұрын
tuache kufuata miujiza!
@priscachangoma6786
5 жыл бұрын
Walaniwe hawa watumishi wa shetan
@jasminlwande811
5 жыл бұрын
wachungaji wenye helkopta tunawajua
@gloryemelda5537
5 жыл бұрын
Haaaahaa nimecheka kama mazr vile
@peteralfonce5848
5 жыл бұрын
Msalaba no Alana ya shetani kwani ibilisi aliahidi atawajia waja kwa mbele kwa nyuma kushoto kulia
@richardkaogo3433
4 жыл бұрын
Dada unachunga wapi?
@zulisaid4283
5 жыл бұрын
Kuwa Muslim ,mathew24:24 soma
@salmakristiani5694
5 жыл бұрын
wewe unaonaje maona hayo
@zulisaid4283
5 жыл бұрын
@@salmakristiani5694 jaribu kutafuta mitari hiyo,na surati imarani verse3 chapter 14 hiyo ndio sababu ya kutafuta pesa
@brigithadidas5128
4 жыл бұрын
We unazo hzo ela
@alhamdulillah5796
5 жыл бұрын
Sasa nyinyi mmefungwa akili mnasikia yesoo, sisi tunasikia yesu, tatizo sio kusema yesoo au yesu, no! Yesu sio wakuombwa kabisa! yesu ni mtume amekuja kufundisha namna ya kumuomba Mungu na sio ww kumuomba yy. Haya endeleeni kuongozwa na nguvu za giza, mtaelewa tu. Mungu akuongozeni ktk haq.
@noelswai2660
5 жыл бұрын
Huwezi kumuomba Mungu Baba bila Jina la Yesu, mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni Yesu pekee.
@swairutherford7650
5 жыл бұрын
Unayesema yesu c Wa kumuomba kuna Siku inakuja utakupotamani kumuomba Ila haitawezekana,maana atayahukumu maneno unayoyasema,na matendo yako,mwamini sasa NEEMA bado ipo
@gracerahma9775
5 жыл бұрын
Pole mumy Roho Mtakatifu akufungue macho ya Rohoni kwani Yesu Kristo ni Njia kweli na Uzima
@alhamdulillah5796
5 жыл бұрын
@@swairutherford7650, na hiyo siku haitotokezea maishani mwangu. Wakuombwa ni Mungu na sio mtu (Mtume)
Пікірлер: 218