dah, meena motivational speaker aisee, vibe kweli. one love from kenya
@elijohofficial1049
8 ай бұрын
ila frida karembo na macho yake ❤❤🥰🥰
@lemonadesoldier1377
5 жыл бұрын
Mi binafsi meena nimekuelewa nilitamni uwepo katika hiyo interview wewe ni binti wa kipekee Sana Tofauti na Mabinti wengi katika entertainment industry. Wengi wakifika hapa wanajisahau kuwa wao ni WANAWAKE Bado. Pia na appreciate kazi yako dada na wewe Ndio wife material
@henrypatrick7312
4 жыл бұрын
1st time nilikutana na frida studio za wanene and man this chix is straight, sio wakung'ata ng'ata kucha, pia nilijifunza kitu kwake, wherever u ar fifi big up and keepon pulling up.
@aloycemasele7236
5 жыл бұрын
Sura za usafi lkn si wasafi! Ooh point meena
@davidcurtis8556
5 жыл бұрын
Napenda kuona wadada kama hivi wanapendana wanapambana na kupeana support kama hv safi safi sana sio.
@maryflorenceinvestment7532
4 жыл бұрын
Huu ndo urafiki sasa
@rahimukakozi1574
3 жыл бұрын
Meena zidi ya mausiano umefunguka vyema apo naisi umefungua masikio ya wengi zaidii, Lov u more sistr
@aksantedeborah7913
5 жыл бұрын
Meena ka mimi ati anasema Sana 😂😁😂 nakuwaga ka yeye when I talk alot najisemaga naongeaga ka kasuku kusema saana aise🤣
@Goodluck_G8
4 жыл бұрын
Frida very humble girl
@beatriceangel6456
2 жыл бұрын
Napenda meena anavyo ongea point
@julianagolden4359
5 жыл бұрын
Hii ni interview kubwa na Nzurii sana yaani Dah sijui nisemeje Creez to me your are the best This is my best interview kwakweli Big kwa kuamua kuwaweka pamoja Meena na FIFi imekua interview nzuri sana
@rahelmakala5440
5 жыл бұрын
Ahahahahaha nimecheka sana eti samahani naongea sana mmmmmm we meena ally nomaaaaa
@francothadey8932
5 жыл бұрын
Mena daah so beautiful your words
@fubanjenjele521
5 жыл бұрын
Wadada ninaowaelewa Frida Hip Hop girl
@nasraabdallah850
4 жыл бұрын
Dah nema unaongea sana🤣🤣🤣ila nawapenda sn wote pamoja na frida 💕💕👌👌😘
@arafakiloli749
4 жыл бұрын
Ohoooòo! jamoon jamoon nawapenda hawa wa dada..😘😘😘😘😘
@faizsaleh3709
5 жыл бұрын
Mbn huyu minna ally mm nampenda xn sjui kwa uongeaji wke au sjui uzanzibar .... Ila dar
@faiswalisuleiman8612
5 жыл бұрын
Dada asante sana maneno mazuli sana yakujenga mtu au kijana ambae anawaza mafanikio
@meshackiswai2005
4 жыл бұрын
Meena unaakili vibaya sana we dd
@damasabas8
5 жыл бұрын
Sema meena me namkubali mpka kesho asee
@amosjoseph9493
4 жыл бұрын
Namuelewa sana ccta Mina
@itzsnazzyjazzy472
2 ай бұрын
I'm jealous I wish I could have someone like meena or Frida in my life anyways I wish them all the best in life
@lilianjerome4192
5 жыл бұрын
frida anataka kuongea km Zama 😍
@yasserabubakar6167
5 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kipya kwa hii interview
@malley041tv9
5 жыл бұрын
queen fifi ckujua kama frida aman nd ww, bigup san nmekupenda bure
@lilianjeremia1024
5 жыл бұрын
Meena ally umeongea point kuhusu wanawake
@thobiaspoul
Жыл бұрын
Amina ally hongera sana kipind chako nakifatilia sana
@thobiaspoul
Жыл бұрын
Hongera Amina unasaut nzl
@fatumashaban7931
4 жыл бұрын
Meena huwa nakupenda sana dadaa
@aminamohamed9955
4 жыл бұрын
Mina wa jina nakupenda Sana hunifaliji Sana nipo muscat
@fatmakombo7584
4 жыл бұрын
😘😘 muko juuu wadada nawapenda sana
@angelakhaday6000
5 жыл бұрын
nakupendaaa saaaan meena ally ....mwaaaaaaaa baby
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
Mena love nying kwako
@lenardmdee7563
5 жыл бұрын
Nakukubali kinyama meena
@hashirisiraji317
5 жыл бұрын
Interview bora kabisa
@user-ep8ob5ty3e
2 ай бұрын
Big up sana dada zangu
@abdulmasali3422
4 жыл бұрын
Good meena ally bigup
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
Meena umesema kipenzi wanaume wa Tanzania wamekalili wanawake matilio waweje hakuna zaidi. wamesahau hata malaya pia ni wife material sema maisha yamemvuruga kuwa hivyo alivyo
@mussaissa5270
4 жыл бұрын
Mwanajuma O Mahundumla wewe kweli umeamua kufumua mambo yaliyojificha
@makyone4471
Жыл бұрын
Acha umalaya wewe
@youngxhadah7951
5 жыл бұрын
naipenda sana sauti yako my meena ally
@abdulmbutu8916
5 жыл бұрын
Lové u minally
@renfridamilanzi2324
5 жыл бұрын
much respect kwko meena nakupenda unaongea kwa kujiamn
@abdytownie3094
2 жыл бұрын
Kizuri hakichakai🖤
@abdytownie3094
2 жыл бұрын
Mpaka leo 2022 unaview bado inasound good, love yoh gals🖤
@ramyclassic322
5 жыл бұрын
Iyo sauti ya mina inanivutiya mno
@dominicnzai8256
5 жыл бұрын
Lakini Fridah nimpole Kama anahojiwaa,...ata uwezi sema Ni presenter sindio ee•√
@dominicnzai8256
5 жыл бұрын
Ipo natural...na vizuri...kizuri kinajulikana and she is blessed with a fantastic Voice for sure•√
@happywahat7256
5 жыл бұрын
nakupenda meena ally wallah 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘 nainjoy sana endapo nakuangaliaaaa
@brendaguez4486
5 жыл бұрын
nawapendraa sawa Yan mena ally na frida aman
@mwambietv7614
5 жыл бұрын
Hakika huyo Meena kiboko ana point sanaa
@nananyota1906
5 жыл бұрын
Meena napenda sana sauti yako khaaaa!
@mwanagodfrey6112
5 жыл бұрын
Love u mina ally napenda sauti yakoooo
@samkissay1155
5 жыл бұрын
Fridaaaa iloveuuu
@barryjeremiah1099
5 жыл бұрын
#meen ally Nimependa xnaa the way umeongea thaman ya mtyu iko ndani yake nasio kwa muonekan wake that is good
@reyjosee9390
5 жыл бұрын
hawa mamanzi ni Piruuu! haha
@barakaemmanuel8082
5 жыл бұрын
Huyo @meena namkubali kinoma
@mariamkimossa1833
5 жыл бұрын
Yaaani nampenda minna ally sana anajielewa sana
@felicianimallya1310
5 жыл бұрын
Ni balaa hyu fridaaman namkubali sanaaa pullup
@umarsaid9912
5 жыл бұрын
Waooh MEENA
@zumbeshauri8114
5 жыл бұрын
hata nimechukia nacheka nikimuona huyu mina kwanza nilijuaga kwamba ni wachuga kumbe mzenji
@salimkhamis3638
5 жыл бұрын
Zumbe Shauri Mpemba huyo
@teefahbaby2811
5 жыл бұрын
@@salimkhamis3638 kmbe mpmb mwnzng
@salimkhamis3638
5 жыл бұрын
teefah Baby ndio nitafute hem +255777059780
@kimukakankan.4678
5 жыл бұрын
LOVELY 🤗
@nanceaidan6622
5 жыл бұрын
Minna 😍
@lunyabamapesa3831
5 жыл бұрын
Love moreee Meena
@ghosttalkvibe
4 жыл бұрын
Gal #meena you hit it
@agnessahia415
5 жыл бұрын
Bawapenda sana meena& frida jamani hadi natamani niwakumbatie live
@Frankgamanuel
5 жыл бұрын
Umesema vizuri but Mwanaume ndio mwenye kauli juu yako hilimladi hasiende tofauti na Mungu anataka nini, Halafu jua wazi mwanaume hatakaye kuja kwako na kusapoti hunacho fanya hili hufanye zaidi huyo mwanaume namifikili atakuwa sio sahii kwako knowthat, Mwanaume anaye kuja na kutaka huache yale ambayo hulikuwa hukiyafanya hata kama hulikuwa hunapenda na hutopenda kuacha huyo ni mwanaume sahii kwako. Mina najua humezungumza kwa hisia zako na Kile unacho amini bila ya kujali hisia ya mwenzako hatakaye taka kuwa na wewe ambaye yeye kwa misingi ya kidini ndio anatakiwa kukulinda.
@ahmedhajji1210
5 жыл бұрын
hayo ndio mawazo yako sasa ingie ktk ndoa.uone uhondo.hayo maneono tu
@dominicnzai8256
5 жыл бұрын
#Mina#Fridah...kiukweli Fridah Nakuzimikia kishenzi...Tangu B.S.S....mi nakufuatilia na kila day mi nakuombea uimbe zaidi tukuelewe ju utangazaji sisi tushakukubali Sana Sana Sana....#ThanksSnS
@erickayo3603
4 жыл бұрын
Dah meena me sauti yako tu na vituk vako huwa napend sn kuckiz amplify huwa dsh cjuw nisemaj jmn
@ibrahimkibira9943
5 жыл бұрын
I love both 😍
@babalois7240
5 жыл бұрын
You understand?
@SululuZungu
2 ай бұрын
We amina mcharuko sn sema poa utatulia kwa mapenz hapanag ucharuko
@lucymayelias3114
5 жыл бұрын
Nawapenda
@BataBatanii
5 жыл бұрын
Like you lady Fridaaaaa
@vinchystyles1675
5 жыл бұрын
Hao madadaz wame take control interview!
@hilarymassawe319
5 жыл бұрын
.
@luciangeorge4642
5 жыл бұрын
I don't understand this two girls are twins or. 🙄🙄🙄 Guys let me know this please
@dominicnzai8256
5 жыл бұрын
Apanaa,..Awa Sio ma sisters Nawe...Ni ma rafiki tuu wa karibuuu...halafu ukiangalia walitoka mbali,...from BSS Mena ndio alimuunga mkono,...then wote Ni watangazaji that's why....
@ayadkishuga7229
5 жыл бұрын
Lucian George its not a twins but friends that doing a work at the same place.
@otarurosie
4 жыл бұрын
Friends
@allyseijiru836
5 жыл бұрын
Penda sana meena ally
@ombenmichael3473
4 жыл бұрын
I like those girls
@mussaismaili3717
5 жыл бұрын
Meena love u
@lissamsalu2179
5 жыл бұрын
Love you mina ally
@rick_bey
5 жыл бұрын
Daaah jamaaa alipata kazi kuwahoji hao watangazajii 4 suree
@abdulykhusseni8676
4 жыл бұрын
Mama LA mama umetisha balala good point meen ally
@silverHeart-7
5 жыл бұрын
Kwa haraka haraka yaaan uyu MINA ALLY ananifanya niwe na ham ya hata kukutana na kuongea nae EM nambien nampata wapi???
@asinathasinath5090
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁uyo ndio mina
@ghosttalkvibe
4 жыл бұрын
#Frida ile #Pull Up ndio ilifanya nikufuate nikufahamu mwamba, nakufeel na vyote vyako
@johnphilipoaugustino6100
4 жыл бұрын
Hahahaha na anaongea sana asee 😁
@beatricechrisantus7665
5 жыл бұрын
aisee nampenda mno huyu Dada nikimuona tu nachek ...lkn napenda sauti yake ahahaha
@musomatvumakinijadiyetu550
5 жыл бұрын
Ongera meena ally nimekuelewa
@abdulmasali3422
4 жыл бұрын
Love buree meena&frida
@jacksonmtimbuka640
3 жыл бұрын
Point sanadadang
@musicheals1545
8 ай бұрын
Ila hapo kwenye uvaaji muhimu aiseeee,,,
@shymedybrown1055
5 жыл бұрын
Vibe kama loteeee
@nessarose1863
5 жыл бұрын
I need a Friend like Meena Ally in my life😂❤
@ramadhankambalame4681
5 жыл бұрын
Acha kudanganya kuhusu dini, wewe na wisilamu wapi na wapi. Labda mwislamu jina a moslem woman can't behave like that: for instance your wearings are not meeting the quality as a moslem
@johnmichaellukindo21
2 жыл бұрын
I LOVE you meenally ❤️
@emmanuelulime6315
3 жыл бұрын
Babies with their talents
@marymwaya9685
2 жыл бұрын
Anaakili sana atafika mbali sana
@wilsonkaseha2034
5 жыл бұрын
Mdada unaongea sana khaaaa! Watangazaji bhana. Basi poua
@rehemavictor6270
3 жыл бұрын
nakupenda mena
@alijuma6502
4 жыл бұрын
Meena ally. Nakupenda sana we mdada. Unakitu kikubwa sana mbali na utangazaji jitathmin vzuli
@nkwabitz233
5 жыл бұрын
Fridaaaaahhh
@leonardawamu2275
5 жыл бұрын
safiiiiiii
@hamadshein935
5 жыл бұрын
Mie cpendi mnavyochanganya lugha. Mbna wenye lugha hta kam wanajua kiswahli.akiwa anahojiwa na vituo vyao hawachanganyi.kama nyie malimbukeni.
@fejam9223
5 жыл бұрын
Is good mambo ya mixing language...
@ladislausngoyinde4384
5 жыл бұрын
Wachane
@shabanmwasopo9545
5 жыл бұрын
Yaani mm nakasirika hawajui tu
@theonlyonebeautiful3726
5 жыл бұрын
Hata mimi sipendi ila kuna wakati kwa sisi tunaoishi nje unajikuta umechanganya lakini sipendi wakichanganya hao wanaishi nyumbani
@julianamaadam8838
5 жыл бұрын
Kuna baadh ya maneno kwa kiswahl magumu tofaut na kiingereza Kuna maneno mengi kwa kiswahl Ni ngumu sana kutamka ukiangalia sana wengi hatuongei kiswahl sahihi
@ommyp7rajaa415
5 жыл бұрын
Meena me nakukubal laana dada unae melody kali co poa
@chronicmusictz595
4 жыл бұрын
Mina huwa napendaga vile sauti akitoa she is real girl she made me.
Пікірлер: 187