Napenda mchungaji unavyomtambulisha mkeo so romantic mungu awabariki
@pendomwenda6190
4 жыл бұрын
Nampenda Sana mke wa masanja ajivuni
@heriethinnocent3283
4 жыл бұрын
Waooooooo mama yetu huyo. Mungu awatunze watumishi wa Mungu
@lydiasam5861
3 жыл бұрын
Wewe kaka jamani wewe ni msanii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 watu watacheka ibadani wasahau neno la Mungu
@syliviandagara5924
4 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza like tafadhali hahahhaaa
@lydiasam5861
3 жыл бұрын
Bro. Masacha mimi nakuombea kwamba hii tenant yako ya usanii Mungu akutumie ulete world 🌎souls to Christ yaani nimekujua wiki hii nimefurahiswa na mengi yakwako
@yahayab4u614
3 жыл бұрын
Yesu akuvaaa t shert vaeni kamzu na mshipi Dunia Zaid na faranga
@AnteliusMwijage-ct9xr
Жыл бұрын
👏👏
@sospeter.pmosile9638
3 жыл бұрын
Mtume Paulo kuna sehemu alionya kuwa kweli tumepewa kuwa huru lkn uhuru wetu usije ukawa sababu ya kuufuata mwili. UHURU NI MZURI LKN TUKUMBUKE UHURU BILA MIPAKA NI FUJO. Kwa Yesu tuko huru sikatai, ila uhuru wetu ukitupelekea kutawaliwa na mambo ya mwili, imani yetu ni bure. Hili ni Jambo la kutafakari sana
@joshuathomas6448
3 жыл бұрын
Muuni inakuuma😂😂 au sio
@gracemwafongo4002
3 жыл бұрын
Mnafanana sana
@anandepallangyo4177
3 жыл бұрын
Masanja nakuelewa sana, sema usivae chain,,,siyo dhambi ila dah Mchungaji na chain mmm,waache washirika wavae
@joystosha7010
4 жыл бұрын
Mimi na wapenda sana wangu naamini mwenyezi mungukwa yote
@jeanettegloria6244
4 жыл бұрын
Hahah wow mubarikiwe sana
@lizzybahati9833
3 жыл бұрын
Kwel kabisa 😀😀😀😀
@blandinekanyange1728
4 жыл бұрын
Napenda familia yenu pastor
@godblessstephen8894
4 жыл бұрын
Wakati mwingine sauti yako haisikiki vizuri Masanja
@m.mmarckus6298
4 жыл бұрын
Ila Masanja imani na matendo watt wa2,hahahahahahah
@azizaishueli7864
3 жыл бұрын
Uko vizur
@khalidhamka9567
4 жыл бұрын
Iman na matendo ila masanja
@jamessitati7396
4 жыл бұрын
beautiful couple.
@muniraahmed624
4 жыл бұрын
Mkandamizaji juzi aliitwa kukandamizwa😂
@juliaslengai3323
4 жыл бұрын
Lkn masanja ni mswahili sana
@esterester5490
3 жыл бұрын
Du mbalikiwe na bwana
@azizaishueli7864
3 жыл бұрын
Piga kabixa huyo mwehu
@dannychars9772
4 жыл бұрын
Safi sana Mungu awabarki
@elishadeulitv2711
3 жыл бұрын
Glory to God
@genousclever3895
4 жыл бұрын
When l come to TZ l should visit your church. Sincerely your wife is cute.
@sheldonmbakaya
4 жыл бұрын
Masanja ulimkadamiza mkuu wa mkoa wa Dodomo hadi akaingia boksiii!!
@DrNick-hg6il
4 жыл бұрын
Nitamani mguu wa mwingine wakati wife anao😂
@neemazee1864
3 жыл бұрын
Uzinzi tu
@ladaulus7791
Жыл бұрын
Dishon
@khalidhamka9567
4 жыл бұрын
Miaka mitatu watoto wawil dah ulimkamia kwel ulihangaika kumpata
@magrethmlelwa5805
4 жыл бұрын
😁😂😂😂😂😂😂 wow be blessed servants of God
@elizabethmtenga9783
4 жыл бұрын
Hata mi huwa nampenda huyu dada jamani
@magrethmlelwa5805
4 жыл бұрын
@@elizabethmtenga9783 yuko simple ad raha
@childofgod4412
3 жыл бұрын
Masanja unaongea sana ila nampenda mke wako haringi hana majidai
@lamnyakimichael5483
4 жыл бұрын
Yani masanja anachekesha kweli
@dassaysonmusic
4 жыл бұрын
Be bless blood
@ilagosawaila5133
4 жыл бұрын
Pwaaaaaaa
@gabrielmathew1283
4 жыл бұрын
Tukumbuke tutahukumiwa sawasawa na injili ya Paulo mtume inakuje mkewako ameweka nywele dawa anamkosoa Mungu tumwabudu Mungu katika roho na kweli yanini kujiona duni hiyo nikumkosoa Mungu hiyo ni dhambi.
@edgarmwilima9380
4 жыл бұрын
Mungu awabaliki jaman hd raha napenda Sana kuwafatilia♥️
@annasamo7063
4 жыл бұрын
Gabriel Mathew usanii wa injili ndo uliobaki kwa Leo,Mungu atuponye
@kingkally1245
4 жыл бұрын
Nikuulizwee swali...tokea umezaliwa hujawai kunyoa nywele?? Kukata kucha??? Kupaka mafuta??? Je kama ndo ivo na ww unamkosoa Mungu maana yeye ametuumba ziote...alf wewe unakata!!! Walokole sjui wasabato ...kristo hayuko hivo
@annasimon4118
4 жыл бұрын
Umempata mke mtumishi
@eliarichard9218
4 жыл бұрын
jamani hadi rahaaa imani na matendo kanaona aibu jamani
@richcash8175
4 жыл бұрын
Hehehe huyu pacha wngu ananipraha sn
@justinemwakyasima6196
4 жыл бұрын
Ameeen feel free for jesus
@yasodishonest9792
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@lucasemmanuel2284
4 жыл бұрын
Sawa pasta
@emmanuelcastory7883
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@imanichuluba5849
4 жыл бұрын
Ahsant
@lizymbilinyi291
4 жыл бұрын
Duh
@mc_mrope
4 жыл бұрын
Hahahaha
@kellythacker1402
4 жыл бұрын
😆😆😆🙋
@syliviandagara5924
4 жыл бұрын
Nice
@roseamos2812
4 жыл бұрын
😀😀😀
@amanimtasha9168
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@josephmusagasa5566
3 жыл бұрын
Sema usemavyo,siketi fupi,nywele bandia,lip stick,cheni nk ni machukizo kwa Mungu,usishawishi watu kujiachia wawezavyo bali fundisha makatazo yote,amri na mapenzi ya Mungu,Biblia inatukumbusha kwamba tujiepushe na mambo ya dunia hii kwani yeyote aliye rafiki wa dunia ni adui wa Mungu,au unabisha?
Пікірлер: 62