Nimefurahiii mno na mtiririko wa maelezo yako Magoti wewe uko vizuri....mama samia asante kwa malezi ya mh..Dc..mungu akulinde kibali ni chako..
@thadeusmarkiminja2282
4 ай бұрын
Du mi sina ka kuongeza hongereni saana mmenisisimua mungu awabariki sana
@liannsambu7264
4 ай бұрын
Ukitaka kujua MUME mwenye UPENDO wa KWELI au Mme utaona muonekano wao unakupa picha hakika Hon.magoti ni MUME MWEMA Kwa mkewe ,MUNGU AWATUNZE NA AMEMTAMBULISHA VYEMA MKEWE ALL THE BEST 🎉
@mohamedhamedseifelsawafi8309
4 ай бұрын
Asante baba mungu akuzidishie khikma. Akupe kila la kheri
@annamwakibinga527
4 ай бұрын
Nakupenda sana Mr Magoti hongera
@marrymzimya253
4 ай бұрын
Hongera sana Petro tunakuombea kwa Mungu akuongoze na ndoto yako itimie.
@abdulkareemchacha2625
4 ай бұрын
Congratulations Mr.Magoti,well done ✅
@verinicamartin6420
4 ай бұрын
Mwenyezi mungu awalinde ktk ndoa yenu
@FelisterNdaka-g9r
4 ай бұрын
Mama samia ni mtu Muhmu sana amekuwa kiongozi bora mwadilifu sana mwenywe huruma na msimamo ilov❤ mr magot mungu atunze kaka
@beddaathanas3150
4 ай бұрын
Be blessed always comred
@dayana5513story
4 ай бұрын
Ongera Mh.
@salomefelix2052
4 ай бұрын
Wifi YANGU JOICE NYOTA YA MBINGUNI IMEKUANGAZIA.MTUNZE MH. MAGOTI .shukrani ziwaendeee wote mpaka akina baba mkwe na mama mkwe kutoka mbali pokeeni maua yenu.🎉🎉🎉
@marthamtanga6932
4 ай бұрын
Mh. Hongera sana
@Yness-vh4yy
4 ай бұрын
Safi sana!
@WilbertChambilo-yl1kc
4 ай бұрын
Naamini siku Moja utakuja kuwa kiongozi mkubwa sana.
@mutabazijustin-x2v
4 ай бұрын
Safi sana kipenzi Magoti Mungu akuongoze kwa yote utakayo tenda maishani mwako
@mariamjuma8965
4 ай бұрын
amazing speech
@natashakibale5557
4 ай бұрын
Magoti be blessed
@gladyssembojas5308
4 ай бұрын
Wow! Ukawe kioo kwenye sehemu ya uongozi wangu 😊
@gladyssembojas5308
3 ай бұрын
Joyce amefituka bhaaaaaaah
@iddikimia4951
4 ай бұрын
Umeongea vema hongera kaka
@yukundapeter8200
4 ай бұрын
Jamani hadi raha saha.
@leganmichael6148
4 ай бұрын
Lakini watu wa itifak kwan hamkufahamu maumbile ya Magoti?? Ndio nini kumuwekea Podium ndefu?
@halimaallyazizi4443
4 ай бұрын
Amen amen mungu mwema ninawapenda familia yote amen
@bbclondonulimwenguwasoka6126
4 ай бұрын
Good work brother
@MariaPaul-w8q
4 ай бұрын
Mwanamke amekuaaa mmama had rahaa
@nyerere1259
4 ай бұрын
WATU WA PROTOCOL NI PISIII
@rosemanga1227
3 ай бұрын
Uyu dada alikuwa mzur msahana sema uzazi umemfanya amekuwa kibonge sema bado mrembo tu
@fridahkarimi5510
4 ай бұрын
Ameharibika wapi jameni?😮
@omarybakunda2554
4 ай бұрын
Jambo zuri sana
@atotark3889
4 ай бұрын
Watu wa protocal
@Shafikimanga7
4 ай бұрын
Hiyo podium kwa ndg yetu ni ukatili pia. Mkijua mna watu wenye changamoto muwatendee haki
@salomewandya7257
4 ай бұрын
Hongera sana
@stellamiyombe6117
4 ай бұрын
Huyu dada kwenye ndoa yake alikuwa mwmbamba kazuri hapa nimemkumbuka mwanya tu
@faudhiasalum7279
4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@nancyg8664
4 ай бұрын
mbona sauti kama ya magufuli jmn
@JackobGalish-ky3no
4 ай бұрын
Kweli
@mohdsaad2736
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@queenlinda255
4 ай бұрын
Huyu mwanamke ulivyo muowa alikua mzuri jamani uzazi ndio umemuaribu sana
@salomewandya7257
4 ай бұрын
Uzazi unabadilisha
@blandinapeter7004
4 ай бұрын
Itakua mimba
@PaulinaSemindu-ob3de
4 ай бұрын
Uzur Hana shida ndogo ndogo huyo mwanamke mumewe pesa ipo
@bbclondonulimwenguwasoka6126
4 ай бұрын
Bado mzuri sana
@MauaDumba
4 ай бұрын
Karidhika tu kanenepa
@vickhongole6611
4 ай бұрын
Asante
@VeronicaSteven-of1qe
4 ай бұрын
Jamani huyu kaka wa shati la mistari kavamia familia hata hjtambulishwa pekeake
@zephaniapaul9592
4 ай бұрын
🙏🙏
@rashidiNuru-kv7fg
4 ай бұрын
Anaongea kama mzee magu
@DeborahSichone-b9c
4 ай бұрын
Safi sana
@radhiambwana3353
4 ай бұрын
Yuko vzr
@RenaldaZeramula
4 ай бұрын
Peleka maji visegese na umeme utapaa zaidi
@stellangowa1893
4 ай бұрын
Mh ndio kujiachia gani hukoo uzuri wotee umepotea. Punguza Menu
@felistanelson5373
4 ай бұрын
Amekuwa chibonge kwakweli kupendwa raha sana
@wamburajohanes952
4 ай бұрын
Protocol safi
@stewardlwimbo3944
4 ай бұрын
Hivi watu wa protocol ndo watu gani naomba kujua
@agnesjohn9382
4 ай бұрын
@@stewardlwimbo3944 nikiwemo na mimi watujuze
@PaulinaSemindu-ob3de
4 ай бұрын
Dah niliimis sana hii copy jmn nawapenda Sana 🎉❤
@josephk90
4 ай бұрын
Copy ya nini?
@bonvivant3704
4 ай бұрын
😂😂
@josephk90
4 ай бұрын
@@bonvivant3704 wabongo bhana na kiingereza, eti couple ndio copy😃😀😀
@bonvivant3704
4 ай бұрын
Tumsamehe itakua typing error😩
@tumainimwaifunga3884
4 ай бұрын
Anaongea busara sana
@justinmganiwa2790
4 ай бұрын
Nasikia una ua watu
@Hajer-be2kh
4 ай бұрын
Kwani niki wa pili sahv yuko wapi si ndo alikua mkuu wa wilaya ya kisarawe
@musamagulu2023
4 ай бұрын
Alikuwa mkurugenzi
@sultanmsolon8428
4 ай бұрын
Yupo kibaha ndio mkuu wilaya ya kibaha
@uwembatvonline
4 ай бұрын
Ni mkuu wa wilaya ya Kibaha
@athanasmasmami5389
4 ай бұрын
Hongera
@sund2553
4 ай бұрын
Analeta wakwe wazazi wake wako wapi 😮😮😮
@victormkini2708
4 ай бұрын
Wamemzalia chombo
@palokuthereza2555
4 ай бұрын
Walishafariki hana wazazi kalelewa na kanisa zaidi
@AliciaJohn-ze6bp
4 ай бұрын
Jamaniii
@elizabethkisogole34
4 ай бұрын
Nikwakiwa WOOTE aliowatambulosha ni watumishi WA serikali ukiacha watoto
@elizabethkweji7304
4 ай бұрын
Inatakiwa tuishi hivi
@kibombi
4 ай бұрын
Badala ya kuleta wazazi wake yy kaleta wakwe
@AshuuuBakari
4 ай бұрын
Jamani wazazi majaaliwa kwa mfano mimi hapa nilikuwa na wazazi ila sasa hivi sina wameshafariki
@giztony2009
4 ай бұрын
You never know labda walishafarikii
@preciouspeter6126
4 ай бұрын
Km wamefariki? Let's not be quick to judge
@paulinanahato4529
4 ай бұрын
Wazazi wote ni wazazi tu
@m-tatu1050
4 ай бұрын
Msikariri Magoti siyo mjinga kiasi hicho Hadi ashindwe kuwatambulisha wazazi wake, inawezekana Hana wazazi.
@matukutajuma156
4 ай бұрын
HONGERA SANA SANA
@bonifacemkanga6302
4 ай бұрын
NAONA ULITAKIWA KUWA PADRI LAKINI MAGOTI ULIKATA KONA
Пікірлер: 121