Wasichana ishini kulingana na uwezo wenu au uwezo wa wazazi/walezi wenu, kweli kama huwezi kujitegemea baki kwenu. Aunt Sadaka asante kwa point muhimu sana, hivi vyombo vya habari Tanzania kama mpo serious na kumnyanyua mtoto wa kike Aunt Sadaka anatakiwa kuwa na kipindi somewhere kila wiki. Nyanyueni mabinti kwa saikolojia ukiongezea na imani, tutafanikiwa. VILEVILE WADADA TUTAFUTE PESA, TUFANYE KAZI NA BIASHARA KWA BIDII ZOTE HATA UKIWA MWANAFUNZI BUSINESS NDOGONDOGO ZINAWEZEKANA.HATA UPATE 20,000 KWA WIKI NI YAKWAKO.TUSAKE SANA PESA TUWEZE KUJITEGEMEA BAADA YA HAPO NDIO TUJE MEZANI NA BOYFRIENDS KUJADILI MAPENZI YA KWELI NA FUTURE. Ujumbe: GIRL CHILD, SECURE YOUR BAG, MONEY STOPS A LOT OF NONSENSE. Kwa tafsiri ya haraka: MTOTO WA KIKE, JIZATITI MFUKONI, PESA INAONDOA UPUUZI MWINGI.
@macrinasalaho2093
Жыл бұрын
Ahsanteee aunt Sadaka kwa kupigilia pin,This is My always principle in life 😘😘
@fredrickmatiku7783
Жыл бұрын
Vipindi kama hivi vinatakiwa viwepo sana kusaidia kuelimisha jamiii Hongera sana Millard na team yako hapo hata makampuni yapo tayali kudhamini kuweka mzigo pesa good content audience watu wengi wanafuatilia kipindi kizuri sana
@zulfasaeed7445
Жыл бұрын
Had saiz nina miaka 32 sijawahi kumuomba mwanaume pesa na ndy mana napambana sana sana mama nimekuelewa sana yan nina haib mm yan kwanza ile wazaz kumuona huyu mtu kaz nashuru mungu nimepambana had saiz nipo kwenye mikono yangu wazaz wangu sijawahi kuwatia haib za ajabu
@paulloops6952
Жыл бұрын
Hongera zako
@mugoliciroyi5088
Жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania kwa vizazi na vizazi vyao sababu Mimi ni Mu congomani Ila na faidika ki maisha psychologia ku pitiya vipindi vya mitandao vya wa 🇹🇿 Tz na na amini ni wengi wana faidika Kama Mimi ,Mungu aibariki media za tanzania na wafanya kazi wema 🙏Mungu abariki mama yetu Aunty sadaka ❤
@marymolel616
Жыл бұрын
Millard hongera kwa kujua vitu vizur vyakuwafikishia watu wako wa nguvu, alafu mbona siku hizi huvai kofia jaman zinakupendeza sana siku mojamoja tupia kofia
@marthaigogo18
Жыл бұрын
Millard haupo serious.. wasanii wanaongeaga hapa interview 35-40mins huyu mama mwenye madini 16mins kweli?????
@zulfasaeed7445
Жыл бұрын
Nakumbuka kuna mkaka nilpenda sana alinipenda sana ila aliniomba kinyume na maumbir nilimuacha siku yasiku aliniambia mm nolikutania sijawai muamini na nilimuacha akaja niambia ww unajua kisa unapambana una shida ndogo ndogo ndy mana jeur nimjib mm sio jeur ila siwez kufanya vitu ambavyo vitaniasili kisa nitaonekana jeur au kisa kipato changu kiniganye hiv nilipiga chin 😭
@ibbu-tz
11 ай бұрын
Tunahitaji zaidi Millard. Moe mama airtime, arudi tena na tena akiwa na mada tofauti tofauti.
@ellydonatus9748
Жыл бұрын
This needed to be even 3hrs long.
@RuzoOwzy
Жыл бұрын
Ni ndefu, sema millard ayo siku hizi anazikata kata na kuzipost. Nadhani kaona views ndo zinakuwa nyingi na watu kumfuatilia zaidi kutaka kujua mwendelezo.
@rumanyikachange
Жыл бұрын
Huyu Mama namuheshimu sana 👑👑
@rehemangowi-zk6qu
Жыл бұрын
Mama umejua ,,uko vizuri na mungu akubariki .Tunaona kwenye jamii zetu wapo mabinti wenzetu hadi wanajiingiza kwenye vifungo vya ndoa ilhali hampendi huyo mwanaume sababu kuu ni kuomba pesa na kupewa pesa ,,mwisho wa siku hata hiyo ndoa haiwez kudumu pale pesa ikikosekana so sad😢
@saysophyfarm1780
Жыл бұрын
Millard mbona kama umetuacha njiani, come back with aunt Sadaka please! Sijawahi choka kumsikiliza Aunt Sadaka and even Millard, so you two are my favorite, please tuletee kipande kingine cha madini. Our girls need to learn from Aunt Sadaka
@Misskavalau
Жыл бұрын
Millard we need part 2
@shamhamood755
Жыл бұрын
Very nice topic
@VeronicaSalvertory
Жыл бұрын
Asante Sana aunt swadaka
@khatijakhatija6172
Жыл бұрын
Mashaallah mama umeongea maneno mazima hayo wanawake tujue thamani yetu
@nichorousjohn1659
Жыл бұрын
Mama umejua kunipa funzo pia Asante sana kwakutukumbusha majukumu yetu Asante sana millard
@HermentMrema-fw1kp
Жыл бұрын
Shida haiwezi ikahalalasha umalaya kwa njia yeyote ile. Kulipiwa kodi ni kujiuza
@MisosimitamuC
Жыл бұрын
Asante sana aunt Sadaka. Somo limeingia .
@samkoka3
Жыл бұрын
Aisee aunt kichwa snaa h
@leandrymmassy9916
Жыл бұрын
Naomba interview na SAID SALIM BAKHESA pia ANGELINA NGALULA
@husseinismailseme6727
Жыл бұрын
Siwezi kukubali kumruhusu mtoto wangu alipiwe ada na mtu yeyote , nitafanya chochote ilihali mtoto wangu asome
@mbunah255
Жыл бұрын
I love that spirit mana wazee wengine wa hovyo kwa kwel😂
@emmanuelstephens1891
Жыл бұрын
Maaan!💯💯💯
@stevenobunde9345
Жыл бұрын
@@mbunah255 saaaaaana!!!!
@AbdulkarimNestori
Жыл бұрын
Pamoja sana mzee
@yousramutwale2463
Жыл бұрын
Ongera sana kumbe unajuwa maana ya kua baba
@Kiirumba
Жыл бұрын
This what we call real Aunt ❤️🩹💯
@aikt.
Жыл бұрын
Mama nimekuelewa sana . Nadhani unastahili kua mshauri wa taifa kwa girls haswa hawa premature
@samkoka3
Жыл бұрын
Naomba aunt apewe kipndi kirefu zaidi ana madini mingi snaa anajibu vizur snaa
@raymondmjebe2412
Жыл бұрын
Dahh Kuna maisha tunaishi lakini naamini ni Kwa sababu ivyo nachoamini mimi ni nguvu za mungu zinaitajika tunaposhikana mikono Ili kufikia malengo. Maisha ni tofauti sana ivyo mungu atusaidie
@consomosha
Жыл бұрын
Powerful conversation
@Tygaspark
Жыл бұрын
bro Millard Hiyo b mkubwa yuko sahihi sana... 100%
@EsperanceNimubona
Жыл бұрын
Asatamama
@agriparose3942
Жыл бұрын
Sipendi nilipe kodi janaume lijijie tu ndani kwangu bila haya
@نجمةموبيبي
Жыл бұрын
Aunt Sadaka, bila kumlaumu kwanza bint tuwalaumu wazazi kwanza, wazazi wakiskia to uko dar na unaishi kwako na hajui kazi unayofanya ndo kwanza anaitisha pesa kila mwezi tena anaweza mwambia vp hujapata chochote huko uturushie
@GwidoSinsungwe
6 күн бұрын
Huyu mzaz gani akamatwe Maramoja
@linuslucas425
Жыл бұрын
My role model millard ayo
@Dantaata
Жыл бұрын
sema uzuri sasa hv siogopi kuombwa hela hata siku ya kwanza,, ukiomba km siridhiki hapo hapo nakataline
@danielthomasmsigwa31
Жыл бұрын
Uchafu na upumbavu umehalalishwa...!
@shamhamood755
Жыл бұрын
Kweli kabisa aunt sadaqa
@shamhamood755
Жыл бұрын
You are really lady
@elidiustudoy2640
Жыл бұрын
Vido upo makin atari 📌📌
@ireneassey2022
Жыл бұрын
Umeongea kwel madam juz tu kuna dada kauliw na mwanaume wake kwa kukosa kujua thaman yake mwanaume ana mdangany anamtumia lkn alikua ana nia nae njema alipo kuja kujitambua akakataa kuenda nae next time aka mvizia kwao aka muua ni tatizo kweli 😢
@amanmaleko3085
Жыл бұрын
Mama yupo vinzur 👍
@jumambuma1101
Жыл бұрын
Umeongea vizuri Mama
@SaraChanjarika-zp5ct
Жыл бұрын
Yaani hii nimependa sanaaa ili mabinti zetu wasiharibiwe,watambue thamani yao
@tatutumbi4640
Жыл бұрын
Nakuunga mkono Aunt Sadaka. Pigilia hapo hapo, vijana wanatukosea sana.
@charlesjaphet79
Жыл бұрын
Mama asant Sana nimekuhelewa Sana ww ndo mama
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Umepajuaje malangali kwetu aunt sadaka
@nichorousjohn1659
Жыл бұрын
Millard naomba hii nada kuhusu hili umuite tena Aunt nimependa sana nakufuatilia nipo congo
@wishjrtz
Жыл бұрын
Maza ana logic
@boscokikoti
Жыл бұрын
MAMA HUYU AKAJENGEWE SANAMU PALE MAKUMBUSHO
@chidybwax8080
Жыл бұрын
Paula unasukia huko
@noelmelkior3401
Жыл бұрын
Huyu mama huwa namuelewa Sana
@EsperanceNimubona
Жыл бұрын
Nimejifunsamama
@ahmuhally4430
Жыл бұрын
Huyu Aunty Sadaka ni Geneous
@yakobolusasu1821
Жыл бұрын
Yaan nimemwelewa wanaume wanamakosa tena mara 2 maan mwanaume ni kichwa hajui kuwa na sauti kwa family
@dayana5513story
Жыл бұрын
About kuomba pesa girls punguzeni inamaana ulipokua single ulikua unaishi je girls lizikeni ulicho nacho kumbukeni akuna vya bule
@emmanuelstephens1891
Жыл бұрын
Part 3:46 - 4:22 😢😢😢
@testerjeff-f2n
Жыл бұрын
mama utaenda mbinguni naona kabisa alaf huyo dada ni kolo wa hapo studio ana support ujingaaa anjaribu kumbishia hata mama yake 😂
@Amplifiedtz
Жыл бұрын
MILLARD TIME IS NOT ENOUGH
@stevenobunde9345
Жыл бұрын
Mbona hata wanaume pia wanaomba omba peso!
@dostovan5142
Жыл бұрын
Hiki kizazi cha amapiano ni kigumu sana kuelewa kina Frida hao
@samiahJoseph
Жыл бұрын
hapo ni kujitambua na kujilinda ukabiliane vp na hisia zako ili usishawishike mpaka utakapoolewa
@dostovan5142
Жыл бұрын
Mama aongezwe mda, mbona wasani waongeaga pumba hapo mda mwingi
@alexmushi6017
Жыл бұрын
APEWE MAUA YAKE HUYU AUNT, NIME PENDA KADONDOSHA NONDO MUHIMU SANA, VIJANA UPWIRU UNA WASUMBUA NDY MAANA MAFANIKIO HUWA NI HADITHI KWA WASIO NA FOCUS
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Aunt sadaka 🌹
@sakinamixpambe2602
Жыл бұрын
Swadakta
@vickyadrian1503
Жыл бұрын
THANK YOU AUNT SADAKA VIJANA WETU WAMEKUWA MR AVAILABLE NA MADAM AVAILABLE
@Masokabya08
Жыл бұрын
tuna muomba mama arudi tena tafadhali somo nzuri sana ubarikiwe sana mama.
@gilbertprudence3563
Жыл бұрын
ni ngumu anachoongea huyu Mama Kwa hii dunia et kwetu Hakuna pesa za kunisomesha itokee mwanaume ananipenda na ananisaidia nampenda pia nikatae msaada wake mtapiga Kelele Sana
@benomdaile7081
Жыл бұрын
Kweli kabisaaa kaisha chelewa dunia ipo mbele zaidi ya hayo anayo yaongea huyu mama ni vigumu sanaaa
@franklaurent4042
Жыл бұрын
Mama anywe soda Bariiiiiidi ntalipa mimi
@FARIDASHABAN-kz5mt
Жыл бұрын
Part 2 jamn
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
Aunt sadaka kaolew?
@frankomart5801
Жыл бұрын
Mama anaongelea Maadili . Afu kuna kitu kinaitwa UMASIKINI . Kabla ya kuondoa UMASIKINI hakuna mapenzi , wa Maadili , kujielewa Wala chochote. Mama hajaijua shida uyu .
@neemamartine7630
Жыл бұрын
Anaongea mambo mawili tofauti... Umasikini na maadili...
@OmanOman-ky2oo
Жыл бұрын
👌❤❤❤
@samiahJoseph
Жыл бұрын
namuunga mama kabisa
@saidimpako5186
Жыл бұрын
kwanin mwanaume amefanywa ni chanzo cha mapato
@elisantemrita9490
Жыл бұрын
Hao wanawake wakutongozwa hawapo ,, ndotatzo kubwa Lililopo Binti anajitongozesha nawanafosi ngono mpaka unaona ni kipepo flani
@saidimpako5186
Жыл бұрын
hawataki mameno wanataka pesa ndio shida
@Masokabya08
Жыл бұрын
una akili sana mama mungu akubariki.
@kulture_jah
Жыл бұрын
mh....ukwel mama yangu🦾🦾
@jumaramadhani7457
Жыл бұрын
Mama huyu ajegewe sanamu lake pale makumbusho jmn
@jescamichael3901
Жыл бұрын
Jamna mbona malangali iringa @aunt sadaka
@liesharehema5193
Жыл бұрын
Namimi nikasema mfano umekuwa kwetu malangali tu au ndo kubaya Sana au haaaa
@joyce55727
Жыл бұрын
Jmn mbona kipindi kifup mno wap sehem ya pili❤❤❤❤
@millardayoTZA
Жыл бұрын
inakuja soon Jo
@adriafurahamatemu6080
Жыл бұрын
@@millardayoTZA kipindi ni kizuri sana. Kama vipi aongezewe mda jamani. We like to hear more about mahusiano. And kwa ushauri tu, kama itapendeza unaweza collect maswali kwa wasikilizaji au hata wadau wa kipindi ile kuwe na mengi ya ku discuss. Thanks. 🎉
@nicospack3893
Жыл бұрын
@@millardayoTZA milard huyo mama inatakiwa dk 40 ai lisaa
Sio Kwa Dunia ya sasa Untie Sadaka.... Now days watu wanakutana kwenye daladala halafu hawajui wanakokwenda wanaenda kufanya nini, so wakikubaliana tu kwenye daladala wanashuka popote wanamalizana
@shabanfitnesstv3977
Жыл бұрын
Sex ni kama petrol kwenye gari, so bila petrol gari haitembei, Likewise kwa mpenzi bila sex, mapenzi hayaendi,
@MwanaishaHemed-xi6rj
Жыл бұрын
Nimecheka😂🤣 etitunaomba pesa sana
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Wanawake ni wa kupigwa kila saa kila muda kila saa kila wakati kila wiki kila mwezi kila mwaka... Wanawake ni washenzi kabisa.. Tutawapiga mpaka Yesu arudi
@jescajulius8023
Жыл бұрын
Ni wako siyo sisi acha makasiriko
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
@@jescajulius8023 wewe utapigwa tu. Muda siyo mrefu
@jescajulius8023
Жыл бұрын
@@BabaBalingasi-hp6gd uzuri nmeshajiweka mbali na viumbe kama nyie,niko huru na mambo yangu
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
@@jescajulius8023 hahaha usiogope. Kama hauna kiburi wala hautopigwa.
@jescajulius8023
Жыл бұрын
@@BabaBalingasi-hp6gd siko nayo,naomba kuuliza mbona unanyamaza akiwa anakusema anasema mbona unanyamaza ko naongea na bubu? Ukiongea na pia ni kosa sa ufanye aje????? Nijibu
Mie naomba kujua umri sahihi wa Kua na Boy friend lakini pia hamjui hawa mabinti wanakutana na nini hasa hawa wa vyuo vya kati huko duniani hakuna maisha marahisi hasa kwa nyakati tulizonazo ikiwepo na Tanzania , wazazi wengi wanapambana lakini nilichogundua hawa wanafunzi wengi wanaingia katika shida kwababu wanakua wameaga kwao wanakuja kusoma na wakifeli wazazi wengi Hawawatiii moyo wa kuwaendeleza kwa kuwalipia ada ili wafikie wanachokitarajia hivyo wanafunzi wengi hawawaambii wazazi ukweli kua wamefeli hivyo wanaanza jitafutia kwasababu wakisema wamefeli wazazi wengi wanaona ni bora mtoto aludi nyumbani , sasa hicho kitemdo kinafanya hasa mabinti kujiingiza katika mifumo isiyosahihi ya maisha kwa sababu anapambana huku akificha siri ili tu kuogopa kurudi kijijini maana wanahisi kama malengo yanaweza yakafia huko village @ Sadaka antie ongea na wazazi paza sauti wazazi wengi ni chanzo cha watoto wao kutofika kwenye malengo yao kwasababu yao , na sio wanapenda ila ni kulingana na maisha ambayo yaliyopo sasa hivi , waangalie hasa namna ya kuwasaidia hawa watoto ambao wanalazimika kufanya pia vitu visivyosahihi ili kutaka kufika katika malengo yao
@mohamedsung4891
Жыл бұрын
Pale pale kutojitambua" Pale pale kutojikubali''
@asiaahmedy8944
Жыл бұрын
Jmn 😂m na baki kumuangalia tu Millard kwa maana anavyoyauliza maswali kwa uzoefu htr Sanaa😂😂
@millardayoTZA
Жыл бұрын
😀😀
@paschalpeter4540
Жыл бұрын
@@millardayoTZA mbon fupi hivi 😊
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
😂😂😂💯
@shamhamood755
Жыл бұрын
Wewe mtoto wa kike jiamini kama wewemzuri
@machinefannatic99
Жыл бұрын
huyu bibi anaongea sana naona hajui tupo kizazi cha nyoka madada wanajiuza kushoto kulia ni kupiga tigo tu siku hizi hakuna cha mapenzi ni pesa tigo tu mbele kwa mbele..
Пікірлер: 124