Waooo...I love this woman....the insights are 👌👌👌...got you
@amounanyale9220
Жыл бұрын
Mashallah aunty sadaka Allah akujazie kheri maneno kuntu
@annasumaili9634
Жыл бұрын
Wow! I love you so much auntie. You have touched my heart
@samkoka3
Жыл бұрын
Aunt:niambiye nafasi ya mwanamke ni ipi Frida: aloohh mhhhh vido 😅😅😅😅 made my day 😅😅ila aunt kichwa kwa kwel apewe muda tena
@lucylyale7169
Жыл бұрын
Wooooooow exactly!asnt mama umesema ukwel kabsa wenye kukuelewa watabadilika ila kwny haya maneno yako mama najua wanaume weng watakupinga,, barikiwa sn mama MUNGU akutunze🤛🤛🍬🍬🍏🍏
@joycemageta4876
Жыл бұрын
𝘼𝙐𝙉𝙏𝙔 𝙎𝘼𝘿𝘼𝙆𝘼 𝙖𝙥𝙚𝙬𝙚 𝙢𝙖𝙪𝙖 𝙮𝙖𝙠𝙚
@edinambwambo4847
Жыл бұрын
Huyu Mama anaongea ukweli kabisa ,mie na mwanamke lakini nalijua hilo kuwa wapo wanaume wasio cheat.Yani akiamua kuwa na mtu wake mmoja ni huyo tu.👍🏻
@fatumakiwera7145
Жыл бұрын
Ni kweli dia wapo
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Ww ili upendwe akujali asikumbuk kuchit lalazima umti mumeo na uwe chini ya mumeo kama huwez hilo umefel hiyo ndoa itakuja ikushinde au migogor isio isha
@ilovejesus9303
Жыл бұрын
@@plumbingtanzaniaplumber7570mmmh haya bwana😢
@halimahbwelele694
Жыл бұрын
@@plumbingtanzaniaplumber7570akataa Kuna wanaume na Malaya 😂kama katulia katulia kma ni mchepuko hta ukambeba mgongon Hana shukran atakuchit tu
@DenisMawala
11 ай бұрын
Kwl
@hajjiomary2383
Жыл бұрын
Mama upo vizuri karibu home hapa tmk tupate supu ya Kongoro na nipate maneno 2 mazuri
@gladnesstarimo6035
Жыл бұрын
Aunt sadaka i appreciate you, umeongea ukweli, thank you🙏🏾....
Nimependa sana mama mungu akubariki sana watu tumejisahau sana ktk haya maisha
@dayana5513story
Жыл бұрын
Jamani about care wote wanatakiwa kujaliana but sisi wanawake wengi tunategemea wanaume ndo wafanye dinner flowers many surprises but girls ata na sisi we can do it for them
@ZawadiHamisi-tx5xn
Жыл бұрын
We mama umenikosha Sana❤️❤️
@oliverleonard-ge2cr
Жыл бұрын
Waaaaaaooooooooooo live long my mother
@khadijaismail8427
Жыл бұрын
Waooh bora kuwa mkweli
@EvellnyPaulo-xq3qu
Жыл бұрын
Mama hongera
@omanmct135
Жыл бұрын
Kweli uyomama anasema❤
@mariamtumwebaze389
11 ай бұрын
Manshallah ❤❤❤❤
@tainoimoringe1917
Жыл бұрын
So impressive
@joycenose2356
Жыл бұрын
Ukweli
@asiaahmedy8944
Жыл бұрын
😂😂 hiyo kbs ilipotokea Millard cjui kwenye chumba gan moyon mwako Kama n nyuma za uzungun BAC n Kule underground 😝,hii interview kwakweli inanifunza mengi sanaaaa ,mm n msichana mdg w miaka 25 n niliolew nikiwa n miaka 23 lkn Sasa nimeondoka ktk ndoa baada y kupata manyanyaso kiac ch kupata matatizo y presha Ila nilipata msaada w kidaktar na viongoz w dini n Sasa Niko vzr il naungana na anti sadaka kunaviti vya kuvumilia Ila co kila kitu
@Zuulito
Жыл бұрын
Fifi❤
@adammbuba7230
Жыл бұрын
Mbona Kama sifa za wanaume wanaozungumzwa hapa Ni wa kuchorwa?😀😀😀😀😀, Yaan kwa namna hii Ni Kama wanaume tunazidishiwa majukumu Sana😀😀😀😀
@charlesburugu2678
Жыл бұрын
,😂😂😂ety vido nae anasema tupo duuh😂😂😂
@emanuelmaraki9758
Жыл бұрын
Wanawake wasasa wanapenda pesa nyingi sana
@nahlahassan-fd6le
Жыл бұрын
Sio kweli
@khurlainashly5686
Жыл бұрын
❤
@Omosak
Жыл бұрын
Njoo mafundisho sasa aya
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Kumbe maadili inaharibika hivi kuwasikiza watu kama hawa nd mana ckuhz wanawake hawaoleki wanazaa hovyo hovyo tu wanachana hovyo tu wanadanga hovyo hovyo hovyo
@walinaziontime7300
Жыл бұрын
Mama yanguuu Wewe Dada Mimi ninaugomviii na Mama yangu mzazi anahitaji nioe Mama hataki mirupoo yaani mkali mbaka akiita kwake uwa najipanga kwanzaa najitafuta Itakuwajeee nita tokaje tokajeee leooo
@mwalijuma7257
Жыл бұрын
Amiina mama umesema ukweli
@florarugemalila
Жыл бұрын
Received 🥰
@siasia5469
Жыл бұрын
Wapo wengi tuu wanaume wasio saliti wenzi wao
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Huyo mmama anaish na mume kweli hata watt wake sidhani
@gracemathias6082
Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰💃
@godfreymwandoje6851
Жыл бұрын
Nakubar sana anty🙌🙌🙌🙌🙌
@marypaul8908
Жыл бұрын
Kabsa Yani anawaz ni namna gani anawez kupunguz maumivu
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Huyu nayee huyu anachochora
@Zaburi-
Жыл бұрын
Vidox yupo unga tuu haelewi lolote😂😂😂
@fatmakombo9793
Жыл бұрын
Anti sadaka umenipona na umenitowa kwenye dipretion
@nahlahassan-fd6le
Жыл бұрын
Mm ndo nmelia kabisa kam kanivua joto la roho
@moriskalegeleshusha2619
Жыл бұрын
Mama we unaishi kwenye ndoa au unaishi na watoto tu
@Amplifiedtz
Жыл бұрын
ASANTE KWA SADAKA YA ELIMU YAKO YA JAMII
@tantinebettynduwimana380
Жыл бұрын
na huyo vidox si ana cheat na mama kuki
@TV-se1lf
Жыл бұрын
BAADHI YA MABINTI ULAZIMIKA KUWAZA KUOLEWA KUTOKANA USUMBUFU WA WANAOWALEA. APEWI CHAKULA, MAKOFI , MATUSI, MWISHOWE WANAWAKE WENZAO WANAOWALEA, AMBAO NDIO MARA NYINGI HUWA WANATENDA HIVI KWA MABINTI
@michaelkessy5740
Жыл бұрын
Wanawake huwa wana kitu cha kukupima na kukujaribu mwanzoni mwa mahusiano kabisa. Hasa mwanaume wanakuwa hawajui kuwa mwanamke wako ana kupima au anakujaribu matendo au vitu anavyo kufanyia, Usipojua ili basi inakuwa ujui tabia yake wanamke wako. Bali huyo wanamke ndio anapokujua udhaifu wako na kuutumia kama fimbo ya kukuchapia, Kuendesha mahusiano yenu, Huku wewe mwanaume ukiumia na mahusiano bila kujua wapi ulipokosea. Kikubwa ni kuwafundisha wanaume kujua kuwa wanawake ni watu wa kukupima na kukujaribu mwanzoni mwa mahusiano ndio mtambue hili, baaada ya hapo ndio anategeneza tabia ya mahusiano yetu wote wawili. Basi, Kuwa makini kutegeneza misimamo wewe mwanaume, Mwanzoni mwa mahusiano kwenye zile hatua ya kila mwanamke kukupima na kukujaribu, Ili tabia ya mwanamke ijegeke kwenye misimamo yako na wewe mwanaume, Ndio utakuwa sehemu salama na kufuraiya mapenzi yenu. Notes: Madhara yake usipotambua, Utafirithika kiuchumi kwani anakuwa anataka kitu kwa radhima, Usipompa mnagombana. Kukuumiza kichwa kwa matendo yake ambayo ulikosea mwanzo kujua jinsi gani ya kutegeneza misimamo yako ili uweze kuenjoy mahusiano yako mbele. TAMBUA NA UJUWE KABISA. Mahusiano ni kama nyumba, Unatangulia kujenga na uje kuishi ndani yake. ( Hii ndio uweke kichwani wewe mwanaume). #HonMichaelDeusdedityKessy.
@wakunatahafai1969
Жыл бұрын
Acheni ujuaji kujidai mnayajua eleza bayana siyo mafumbo na mitihani hayo yote umeeleza ni majarbu hakuna mwanaume rijali atakae kubadi labda uwe na homoneImbalance Yaani mwanamke akupime kwa kuliwa live na mtu mwenye kukuzidi uwezo ktk thamani na vitu eti ujisemee anakupima huo ni ujinga,urofa,upumbavu kiwango Cha Rami 🤔
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Mwanaume lazima atawale ameumbiwa utawala kama hutk kutawlwa bac usiolewe kaa hivo ivo danga danga mpaka mwisho dunia
@user-tj9pm2cd5x
Жыл бұрын
Mbn unaumia sana😅😅😅
@halimahbwelele694
Жыл бұрын
Watka kuoa mke umfanye house girl
@halimahbwelele694
Жыл бұрын
👌👌👌 umemaliza kaz
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Hawa watu wanatesa sana tuoa sab tu tupt watt
@abelzedon7160
Жыл бұрын
@@plumbingtanzaniaplumber7570 VIDO_BHANA.
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Kuanawatu wanaitwa taf women n htar sana kwnye ndoa ndo wanaongoza kutfuta libwata msiombe mkutane nao kwny ndoa wanaume tunapaswa tuwe makn sana kwenye swala zima la kuoa
@africanproudly4004
Жыл бұрын
Mbona makasirko kaka badilika kuwa mume mwema uone mahaba ya mkeo hutaki baki single
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Ili mwanamke apendwe na mume anapaswa amtii mume wake sio awe hivyo juu ya mwanaume hataweza hawz pendwa labd amfanye msukule atapata mapenz ya uwongo ya dawa ambayo hayafikagi mbali
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Sio makasiriko huyo anapotosha
@plumbingtanzaniaplumber7570
Жыл бұрын
Utaamini ninachasema siku ukikutana na mwanamke wa hivyo utajuta
@africanproudly4004
Жыл бұрын
@@plumbingtanzaniaplumber7570 tutatii vipi watu wasotupenda ngoja nikupe siri ya mwanamke Ukimuonesha mapenzi atakupa zaidi ya kile unachompa hiyo ndo nature yake Chanzo cha kila kitu ni wanaume ndo man sasa wengi wanawake wanajiamulia kufanya yao Kama huamini fanya uchunguzi bila kuegemea upande sisemi kama tupo kamili wote
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
Wanawake ni haki yao kufanyiwa ukatili wa KIJINSIA. Lazima uwapige uwatoe ngeu. Huwezi kuwa Mwanaume kamili bila kumpiga Mwanamke mangumi, mateke na mikanda. Wanawake wenye akili wameshaisha zamani sana. Sasa wapo hawa wa usawa. Hawa wanawake wa namna hii tusiwaache salama. Tuwatembeze vipigo mpaka Yesu arudii
@baeyanka5264
Жыл бұрын
Una matatizo ya akili tafuta tiba
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
@@baeyanka5264 wewe ukatae au ukubalii. Hilo tushajadili. Usipite anga zetu. Hatuna huruma na kiumbe Mwanamke...
@emmadora7848
Жыл бұрын
He we una matatizo Gani? Apigwe mama Yako ,dada zako na watoto wako uone kama inafaa, kama huwezi ishi na mke acha usioe lakini sio kupigana ,afu msifikiri wanawake hawawezi kuwaumiza ni vile wanaheshimu na huruma pia ,isingekua hivyo dkk mbili tu wanakusahau
@baeyanka5264
Жыл бұрын
@@BabaBalingasi-hp6gd mama yako asingekua na huruma na kiumbe mwanaume basi usingezaliwa mbwa kama wew...una utindio wa ubongo sio bure
@BabaBalingasi-hp6gd
Жыл бұрын
@@emmadora7848 hahaha etii nini? Wanawake mnaweza kutuumiza Wanaume? Haha hizo ndoto Dada ulizonazo aisee zinachekesha. Yaani nyie hamtuwezi hata tukifunga macho. Nyie weak. Hamna nguvu kabisa.. Hivyo nakushauri usithubutu. Tutawaumiza vibaya sana
Пікірлер: 88