Assalam Alaikum W.W. Sheikh Youssouph, sisi wa-Rwanda tunakufata vizuri tokea hapa Marekani, na Wallahi tumefurahishwa na kuona unatowa elimu ya nadra ambao watu wengi hawazowei wala hawaelewi thaman yake. Yaani wewe uko na roho ya ukarim mbali na ubakhili. Allah akujaze kheir, na akupe umri mzuri, na ufanikiwe maishani mwako. Wa Africa wengi wamefariki na elimu zao vifuani bila kuzizagaza, lakini wewe Sheikh, Wallahi tumekupa heshma kwa mda wako wa kuelimisha watu kwa uwingi, na hiyo elimu ambao unatowa kwa bure, sio bure, bali ni swadakatun jaaria unayo acha nyuma duniani, In shaa Allahu Taala. Baarak-Allahu fiika, an'ta aziz alaina.
@mussaram-tz5yf
Жыл бұрын
Asalam alaykum sheikh hongera sana kwa elimu nzuri hakika twaelimika Inshaallah tukuombe uje mwanza nyakato sokon Masjid Istiqama utupe darsa zako hakika ALLAH ukufanyie wepesi
@hamisiramadhani3538
8 ай бұрын
Mashaallah mtoto wa ujiji
@uthmanihimbawe5244
4 жыл бұрын
Maasha allah
@biliandre5967
2 жыл бұрын
Shukran Jazaakallah kher Alhabib Allah akuhifadhi na akupe majazo mema Kwa ilmu hii umetugawia nasisi Allah akuhifadhi Leo na kesho Qiyama Insha'Allah
@ArafaSuleiman-db9pw
6 ай бұрын
Mashallah barakah LLAH fiiqum
@doyohuqa9467
4 жыл бұрын
MashaAllah mafunzo nadra kabisa,, Mashekeh wetu Allah hawajalie umri mrefu na hawazidishie Elimu na marifa
@vortexmohamed4650
3 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Mashallah
@abdillahiissa2625
3 жыл бұрын
Sheikh yusuph diwani naomba kuuliza kwa mtu ambae hana kaz anaweza kusoma akapata utajiri au hawez naomba jibu kutoka kwenu
@afric01
3 жыл бұрын
Aslm alkm wtw.. masha Allah!!!!! Allah awalipe kheir.
@zukhuraothman9838
3 жыл бұрын
Mashaallaah nimeipenda
@Naturewax61
Жыл бұрын
Marshallah shekhe nkikuhtaji Kwa maswala kufungua vifungo na Mambo ya rizki gharama zake ni ngapi shekhe nko Mombasa Kenya
@asomasom9666
Жыл бұрын
Mashaallah
@haseanatnsanya2079
3 жыл бұрын
Mashaallaah
@hamidaa3886
3 жыл бұрын
Ma Shaa Allah nice
@fatmaali6713
3 жыл бұрын
Ahsanteni mashekhe wetu kwakutuelimisha
@IngabireAisha3813
3 жыл бұрын
Wa Alaykum salam warahmatullah wabarakatuh JazakumAllahu khayran
@wisesimple808
3 жыл бұрын
Inn shaa llah tunaendelea kufatilia barakah lah fika
@sangokipozi4611
4 ай бұрын
Waalaikum salam wa rahmatullahi wa barakatu
@shabanimaimuna938
3 жыл бұрын
Asalaam alaikum warakhamatullah wabarakatu Allah awape lidjanatu firidausi,Tunashukulu
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
3 жыл бұрын
Mashaa Allah
@advocatmoussa5668
4 жыл бұрын
Allah akupe kila lakheri
@kijangwazay7711
4 жыл бұрын
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh Maa sha Allah shukran masheikh zetu Allah awape kila lenye khery nanyi Na lenye shari awaepushie
@rahmanassoro814
3 жыл бұрын
Allah sw awazudishie imani
@imaninasoro7527
3 жыл бұрын
mwenyezi mungu akupe kheri duniani na akhera. wallah wabilah elimu yako ni zaidi ya maalifa. nimefatilia mwanzo nikiwa na daftari langu kila atua ya hesabu. mungu akujaze kheri
@مستفيدابنالمفيد
3 жыл бұрын
Shukran sana, Sheikh watu wenye uwezo wa kuchoma vidole vyao kwa sababu ya kutaka wafikie tu malengo yao,kama kwa sasa wapo, watakuwa wachache sana. Leo hii muislamu akipata msuko mdogo tu yuko tayari kuiacha Dini yake. ALLAAH atusitiri sote. Lakini pia amipe moyo wa kusaidia watu wenye uhitaji ktk Elimu.
@jumamgonja2219
3 жыл бұрын
Alhamdulillahi mwenyezi mungu akulipe pepo ya firdaus .kwa kuwapa watu elimuya utajiri,,
@saeedsaeed7381
3 жыл бұрын
Masha Allah Sheikh BarakAllah feek
@SaumJuma-ng4vj
8 ай бұрын
Inshaallah
@salmamohammedyahaya6098
3 жыл бұрын
Asantee, shekhe mwenyezimungu akujaalie her
@zuwenahaji1373
4 жыл бұрын
Shukran Sheikh diwani
@mamuskamery45
3 жыл бұрын
Itagharimu kiasi gani sheikh diwani
@ndayambajefikirini7252
2 жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh, sheikh Allah awape Kila lakheri baada ya duyangu kwenu kunahesabu zimenichanganya kidogo ,kwahizi za kusoma ili kukamilisha 8883,nikiwa na weka nia Kila mara 1267 nakuta kwamara7 inachuku 8869 kuna 14 zabakia lakini pindi nikichukua 1269 najikuta nimewka nia kwa mara7tu kamili je vip mtu hapo atatakiwa atumie utaratibu gani nakama nihuo wakwanza hizi 14tunazifanyaj
@ماتومبالانجي
2 жыл бұрын
Tarabu
@khadeejahrashid3177
4 жыл бұрын
In Sha Allah tutafanya na tuko na Imani mambo yatakuwa, Aamiin
@mwamvitahamada-kq3jl
Жыл бұрын
Sawa
@halimaalimwamajeni6291
4 жыл бұрын
Wlkm slm warahmatuallh wabarkatu shukrn JAZAKAA Allah khry Allah awajaalie kila lakheri Allah awazidishie magharifa
@abedkarume9088
3 жыл бұрын
Jazakallahu kheiran
@jeromeuriah7235
3 жыл бұрын
I know it is quite randomly asking but does anyone know of a good website to stream new series online?
@imaninasoro7527
3 жыл бұрын
Allah Akbaru
@shabaniramadhani657
4 жыл бұрын
Shukrani
@shabanikikondo6764
3 жыл бұрын
Wewe umeshapata utaji bila kufanya kazi acheni hayo mane siri kubwa nikumcha mugu tuu yeye kasema ndani yakuruani
@mohamedhussein5436
3 жыл бұрын
Sheh tumasoma nyakat gani
@user-ke1mw4vi4h
Жыл бұрын
ikiwa sina uwezo wowote wa kuchinja
@mohammedmwakyambiki3665
2 жыл бұрын
Sawa
@letuslearn7548
8 ай бұрын
Bismillah 8883
@jamaldinabubakary9507
4 жыл бұрын
نوّرك الله يا حبيبنا ❤️❤️
@musitemusite4316
3 жыл бұрын
Shuklani sana tumeelewa
@khadijahossea4522
3 жыл бұрын
Asalam alykum.sheghe km huna uwezowakuchinja inafaa kusomaa tu hiyo idadi.
@maryammaryam5789
4 жыл бұрын
Shukran
@babumsiha8654
3 жыл бұрын
Mashalla.darsa.zurisana
@salemshaban2413
4 жыл бұрын
Kikao kimoja au baaden usome
@ashurasaid5017
3 жыл бұрын
Shekh kunjinja ni kila siku kama ni mbuzi kila siku mmoja inamaana mbuzi Arubaini 40 Nifafanulie shekh
@salemshaban2413
4 жыл бұрын
Hiyo mara 8883 sheikh inaeza kusomeka kwa masaa mangapi
@ZainabuMwambashi
Жыл бұрын
0:47 masha.Allha
@user-jh5px2xl8u
4 ай бұрын
Mbona kama umeandika ,1267
@SalehOthman-e7q
3 ай бұрын
Kama sinaa mbuz
@zainabalaraimi1142
4 жыл бұрын
Ni sawa sawa na inavosoma astaafir Allah hakuna kazi ngumu mbona rahisi tu kawaida
@zainabalaraimi1142
4 жыл бұрын
Naona unifahamishe vizuri umeipata vipi hapo sijaziona ndani 6643 umeitoa wapi?
@zuwena1zuwena114
3 жыл бұрын
Kama huna uwezo wa kuchinja jee unaweza kusoma tuu
@abuyunusmohamed6961
3 жыл бұрын
Ustadh una dalili ya hadithi sahihi juu ya maelezo yako
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Wajaalnaa kula Shai in adadaa
@mwamvitahamada-kq3jl
Жыл бұрын
Yah...xwali zuuuulii...xana
@qassimally3876
3 жыл бұрын
wewe huo utajiri hutaki
@brothermaximo254
Жыл бұрын
Ssw
@zainabalaraimi1142
4 жыл бұрын
Hapo sijafaham 6643 umeipata vipi?
@Business_Development_M
2 жыл бұрын
اتق الله ...أين وجدت هذه الأرقام....أين الدليل 😭
@1nesoch
Жыл бұрын
Haya sio mambo yako wewe. Kaa kimya.
@Teacher........
Жыл бұрын
وجعلنا كل شيء عدده
@zainabalaraimi1142
4 жыл бұрын
Iyo sio kazi kusoma hahahaha ni kawadia tu mbona ila nataka kujua umeitoa vipi iyo 6643 mana hapo pamenishinda kufaham? Aje umeitoa 6643
@maryammohdmussa2269
4 жыл бұрын
Angalia part one hiyo ni part two
@thomaschilumba6822
3 жыл бұрын
Shekhe kama mtu akikuomba umfanyie majambo hayo gharama yake ikoje
@ramadhanrajabu2991
3 жыл бұрын
Hlw
@IBRAHIMABDUonlineTV
4 жыл бұрын
Shukrani Sana mwalimu wangu kipenzi.. kisa cha aliyeota kukimbizwa na simba kzitem.info/news/bejne/zWuIyKSBoaKmg34
@yocktavianedward9497
3 жыл бұрын
Shehe nifahamishe nitakua na chinja hao wa nyama kila siku ninapo soma hayo maneno au ni baada ya siku ngapi nachinja
@muhsinhamis191
3 жыл бұрын
naam
@azizaaziza6787
3 жыл бұрын
Asalam alaykum warahatullahi wabarakatuh. Kitika siku 40 unachinja mara ngapi?
Пікірлер: 89