We Mzee nakukubali mno kweli maisha si kitu rahisi Kabisa,
@michaelbwoma2760
2 жыл бұрын
Thamani ya mwanadamu haiondolewi na dhambi..
@theogeniusmathias9545
2 жыл бұрын
Nimefatilia kwa umakini Sana hongera mchungaji
@ReubenRaymond-zh4yw
29 күн бұрын
Yani du! Pastor Rich ni kiboko.
@ramadhanikiseko2226
2 жыл бұрын
Kijakazi Kaziiiiii unaongeza kidogo😂😂😂
@sostentulian4192
2 жыл бұрын
Dah 🙌🙌 madini kama yote
@suleimansultan3333
2 жыл бұрын
Huyu mzee fundi wa kulea mateja anafurahisha sana
@anordgerison8639
2 жыл бұрын
Niliiona hii video kwa second 30 kwenye WhatsApp status nikaona Ni video nzuri leo 5/11/2021 nimeiona full time nimefurahi Sana
@eliasthomas1547
9 ай бұрын
Namkubali sana mchungaji hananja.
@karaoglan9444
2 жыл бұрын
This Man is intelligent!
@agnesbusyanya3518
2 жыл бұрын
Absolutely He is real the Man of God
@chuichui2191
2 жыл бұрын
Nimempenda sana Huyu pastor
@foundationforcommunityhope7327
2 жыл бұрын
Hongera Sana mchungaji wangu Wazo Hill...Jamani mpeni kipindi cha vijana
@youthadvocacypartners8765
2 жыл бұрын
💪
@allyally3054
2 жыл бұрын
Daaah noma mzee
@saimonmizingo7485
7 ай бұрын
Ubalikiwe mzee wangu
@geofreygomela2118
2 жыл бұрын
Uyu pastor safi sana
@edinadevis3856
2 жыл бұрын
Haki yamungu injili yakweli ,hatutaipenda sababu ina ukweli mwingiii, ! Niukweli Inauma Duh!!! Tuamshe vichwa bb maana najaribu kukumbuka lile wimbi la vijana kuzamia meli, kwakweli ilikua shida sn mtumishi :
@michaeldady1767
2 жыл бұрын
Daah huyu Mch. Noumaaaaaa sanaaaaaaaaa😂😂
@tingbatuuka7278
2 жыл бұрын
Mungu akubariki una mchango mkubwa kwa jamii
@tingbatuuka7278
2 жыл бұрын
Nguvu ya mama🤣🤣🤣🤣🤣ulimi safi
@portinakajuna4681
2 жыл бұрын
Pastor Mungu Azidi kukuinua
@msigwazakayo6878
2 жыл бұрын
Uko vizuri sana najifunza
@maurusmwajombe492
2 жыл бұрын
Nimekupenda sana pastor,unamambo mengi sanaaaa yakutufundisha.Nami nimepata vitu vingii sanaaa kwako
@kilimbamazuki2987
2 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor Rich
@esiliarthurmwaisango9146
2 жыл бұрын
Mitaa yote mitaayangu hiyo pst Rich
@herykauli1004
2 жыл бұрын
Nilikuwa naitafuta sana hii full interview 😀
@thedoncomplex3679
2 жыл бұрын
Mchungaji yupo vizurii, Kameza vifungu balaa.
@innocentmushi1550
2 жыл бұрын
Yes, hiki kitu ni kama watu wengi hawaja notice. Ameshika mistari mingi sana ya Biblia
@husseinnkuna4260
2 жыл бұрын
Daah jamani huyu mzee ni hatariii😂😂😂
@nitumesokoni3164
2 жыл бұрын
Daah jamaa kanunua Bus kawaachia mateja waendeshe, wakamgonga Trafiki 🤣🤣🤣🤣🤣
@johariabdalla3099
2 жыл бұрын
Heeh jaman
@soberkaleya5148
2 жыл бұрын
Zaburi 50: 3 Mungu wetu atakuja wala hatanyamaza, Moto utakula mbele zake, na tufani yavuma sana ikimzunguka pande zote. *MUNGU HATANYAMAZA! KWENYE CHANGAMOTO TUNAZOPITIA ATALETA CHANGAMKO! HATAKAA KIMYA BALI ATATUJIBU KUHUSU HALI TUNAZOPITIA KWENYE AFYA, UCHUMI, MAHUSIANO, NDOA NA MIKANDAMIZO YOTE YA NGUVU ZA GIZA! JINA LAKE LITATHIBITIKA JUU YETU SASA, HALELUYA!!!*
@paulalal6239
2 жыл бұрын
Nmejufunza sanaa
@tingbatuuka7278
2 жыл бұрын
Hananja ni WISEMAN
@noelfande3983
2 жыл бұрын
Mmmmmh mzee anatoa madini sanaa
@hosianaallan7838
2 жыл бұрын
Mchungaji hongera sana kwa Somo zuri,ninaona una kitu kikubwa sana Mungu akutunze na atunze kitu kilicho ndani yako
@godsonkaaya595
2 жыл бұрын
Samu ujalia kwa kucheka kweli
@ImaniFungo-h3u
25 күн бұрын
Mpeni kipindi maalum Kwa sababu anaweza kuelimisha jamii
@gabrielnjavike99
2 жыл бұрын
🤣🤣apo kweny kumgonga trafic,, ila huu mzee ana madin san🙌
@mwlpaulnghumbujanila6264
2 жыл бұрын
👏👏👏👏 PR hatar saana
@hamisisaid7606
2 жыл бұрын
Mtumishi huwa namuelewa sana
@abellabv
2 жыл бұрын
Clouds, nashauri mpeni Mchungaji Richard Hananja kipindi chake hapo Clouds. Anayo mengi sana ya kufundisha jamii.
@amosmwanga4027
2 жыл бұрын
Watangazaji nimewapenda sana, coz mmekuwa wasikivu kuliko waongeaji sana,na hii ndo inaleta tafsiri ya the people station
@Yangaone-h8j
9 ай бұрын
point👍
@godfreymalema6434
2 жыл бұрын
Pastor upo vzr sana
@jumahalifa6436
Жыл бұрын
Huyumzee nihazina kubwa mno nikwakuwa SISI watanzania tunapenda pumba mchele hatutaki
@johnmahu5060
Жыл бұрын
Nakukubali mtumish
@johnmichaellukindo21
2 жыл бұрын
Mtu wa busara sanaa
@damiannaftal773
Жыл бұрын
Dah uyu mzee
@KijukuuMtemi
5 ай бұрын
Mm muislam lakin mchungaji huyu kuna vitu hua najifunza haongei pumba
@milliardere9177
Жыл бұрын
Leo hawa wezikutembeya vijana kazi kutobowa mapuwa
@WILSONJOELTUNZE
Жыл бұрын
MasterMind of Tanzania
@yesayamwambu4431
2 жыл бұрын
Hongera kwa lugha safi Kiswahili
@alexpatson8941
2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi mnoo Pastor Rich ubarikiwe
@Thierrymuhindo-vs8jk
4 ай бұрын
Kutoka Congo tunashukuru
@rabanj5661
2 жыл бұрын
Hatari sana, Unayajua maendeo ya songwe na Mbeya mpaka basi....
@owenyatv9142
2 жыл бұрын
Nimeinjoy sana kumskia huyu mchungaji
@eliasthomas1547
7 ай бұрын
Ahaaaaaa eti shirt la dukani.
@edwinomwamba8803
2 жыл бұрын
Mwizi havamii...
@suysoni
2 жыл бұрын
hahahha huyu Mchunagi ni mcheshi sana. NImemkubali sana.
@jacksonsaileni1219
2 жыл бұрын
Asante pastor
@sabinaonline6575
3 жыл бұрын
Safi sana
@emmanueljacob4303
2 жыл бұрын
Pasta uko vizuri GOD blesss uu
@faustapareso4802
2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@Mamkubwa
3 ай бұрын
UZEE NI MARADHI..... Kweli kabisa
@samwelkilale1181
2 жыл бұрын
Adi kwetu matundas unapajuaa
@mussamdetele5728
Жыл бұрын
Huyu mwamba mhekeshaji lakini anafundisha sana
@AngelaIsaya
Ай бұрын
Yuko vizuli
@alexndonde3068
2 жыл бұрын
Yupo vizuri
@benjaminibatakanwa2722
Жыл бұрын
Mzee namkubar utan wa ukwer
@mansuetuskalisto4869
2 жыл бұрын
Aisee hii interview noma sana nimecheka mwanzo mwisho😂😂😂
@leonardmponzi49
2 жыл бұрын
Leo nimefaid kusikiliza hananja
@charleskuyeko1660
2 жыл бұрын
Mwulizeni Mchungaji kwanini mara nyingi yule uliyepanga kumuoa humuoi unaoa mwingine ambaye hujapanga?
@MCNgakungaJunior
2 жыл бұрын
MKE,MUME NI ZAWADI.ZAWADI HUCHAGUI.
@MCNgakungaJunior
2 жыл бұрын
MCHUNGAJI UNA VITU VINGI SANA! UBARIKIWE SANA!
@godfreysekumbo1523
2 жыл бұрын
Hahahahahahahahah paster umenifurahisha Sana imekaa Safi sana
@baloziubalozini5074
2 жыл бұрын
Uzee UGONJWA
@kombafocus6996
2 жыл бұрын
Nitampata wapi huyu hananjaaa
@kulwasamson8976
3 жыл бұрын
Iko vizurii
@michaelmkunda5447
2 жыл бұрын
Mpeni kipindi cha jumapili,pamoja na kina haris na huluma, zaidi kutubariki!!
Пікірлер: 167