NASADIKI kwamba nyota cyo ushirikina,NASADIKI kwamba niudhihirisho wa utawala wa MUNGU mwenye enzi katika maisha ya wanadamu,mtu anasiyeamini nguvu za nyota anaonyesha wazi kuwa bado yupo kwenye utumwa wa fikra,mtu kama huyo fikra zake hazijakombolewa,japo yupo huru kimwili lakini nimfungwa kiroho,,mababa wote wa imani,Ibrahimu isaka na yakobo wote waliamini katika nyota
@elibarikimollel7149
Haleluya! Mch.Hananja wewe unao,tena ni mkombozi wa Nafsi(fikra) chukua maua yako babaa...
@user-es4jv6pb8x
Mweee Mtumishi Ubarikiwe
@user-vt3uq3xv3s
14 күн бұрын
tunafika tumezimia miguuni kwamungu 🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
@nemeskulaya3962
Mungu akupe maisha marefu utumegee maarifa zaidi mch. Hananja
@gospelmediaafrica9801
Ooh hallelujah 🙌😁
@user-es4jv6pb8x
Hongera sana Mtumishi
@brightcommcleaning
You are a Star... He is a Super star..... Lugha involves the reality of our life... Itabidi nijifunze asili ya haya maneno ..... Labda ntaambulia kitu
@user-og1cd4zh7h
Mungu akipee maisha marefu mch hananja, uendelee kutuelimisha maswala ya kiungu.
@user-fj4kj8xc5x
Waovu Wana kuchukia sana , maana wanawatesa Wana wa mungu na kuwapofusha macho ya kiroho wakiongozwa na roho ya kahaba mkuu anae ongoza Dunia kwa upotoaji wake wa neno
@dankhany3385
mungu akupe maisha marefu hananja
@Thierrymuhindo-vs8jk
Aksanti mchungaji kwa neno
@dankhany3385
mungu akubariki sana mchungaji hananja
@user-es4jv6pb8x
Mtumishi MUNGU akubariki unatufungua akili
@user-es4jv6pb8x
Kweliii
@PamelaNdlovu-ot6do
Alafu anaesema yeye ni mwanafunzi wa mastai kweli ikawaje mbona afanani kama alifundishwa na mastai .maana mastai ninae mfahamu yule ni mpakwa mafuta haswaa wa Mungu yule ni kkkt kanisa la kiroho.yuko vizuri haswaa nadhani hata yeye atakuwa anamshangaa ananja anaubiri vitu gani
@renatusmtakyawa594
Mmmm Danieli 12
@festinamwakipale3919
Uchungaji feki ko waganga wanavijua sana vitu vya siri husomi maandiko
Пікірлер: 79