Viwanja viwe vya taifa na sio vya CCM,maendeleo hayana chama walipa Kodi nchi hii ni wote na sio CCM tu.
@Bigfmedia
10 ай бұрын
Ila unajua nchi inaongozwa na Ilani ipi? Ukilijua hilo ndio uanze kuongelea hayo.
@kesterkanyala7718
10 ай бұрын
NI KWELI ...IWE NI YA TAIFA SIO.....CCM
@letthedeadburythedead2148
9 ай бұрын
Kwani vikiwa vya taifa wewe unafaidika na nini, au saivi umepungukiwa nini?
@mosesnyelo1380
9 ай бұрын
Kwani uwanja gani umejengwa kwa pesa za serikali na ukawa wa ccm
@elioimer8423
8 ай бұрын
@@BigfmediaNchi hii haiongozwi na ilani ya ccm ila inaongozwa na Dira ya taifa ya miaka Mitano ambayo fedha inatokana na bajeti ya kila mwaka . Wacha kutuzuga kuwa ni ilani ya ccm.
@katondostudio652
10 ай бұрын
Ccm oyeee👍
@alfrednazir6223
4 ай бұрын
Kazi iendelee
@asyajey3479
9 ай бұрын
Hiyo stendi arusha niko darasa 6 mpka sasa Nina miaka 31😢
@SelijusiMalambo-zx8gg
9 ай бұрын
Mlichelesha tu magufuli angekuwepo ungekua umeisha mda mrefu
@jumashedafa
10 ай бұрын
Kiwanja kiitwe Mount kilimanjaro stadium na si arusha stadium
@daffagunda-rm3hj
9 ай бұрын
What we need is a realistic not politics.
@user-mt4ro9yz5s
4 ай бұрын
Stend na uwanja msijemkavipora Tena mkatuambia nivya chama
@babamimutye145
10 ай бұрын
Safi sana
@Ndu-wa.uroony2
9 ай бұрын
Napendekeza uwanja uitwe Uwanja wa NGORONGORO na stendi iitwe kituo cha mabasi cha mlima Meru
@emmanuelaloyce932
9 ай бұрын
Siasa zenu wapelekeeni mbuzi ,tumechoka uwongo wenu sasa
@BabaetuJulius
3 ай бұрын
Kikubwa tyu sisi tunataka soka likuwe njin kuhusu vyama vyenu hayatuhusu
@AyubuJumanne-nv3yq
9 ай бұрын
😂😂😂huo ni uongo bhana
@AyubuJumanne-nv3yq
9 ай бұрын
Amna kitu hapo
@denniskado3990
10 ай бұрын
0
@amosieliadi1504
8 ай бұрын
Kuliko zote haaaaa
@user-xw8ox3hf8o
5 ай бұрын
Ujenzi umeanza sasa wewe mheshimiwa? Ujenzi wa uwanja wa Geneva ya Afrika bado haujaanza. Mkataba gani huo, ambao hauelezi mwano na mwisho wa ujeni wa uwanja huo mpya Arusha? Uhuni wenu wa CCM ni kuendelea kukamatana mashati na wakandarasi, pale inapobakia miezi michache, kabla ya ukamilishaji wa miradi yenu hiyo ya serikali, na siyo ya CCM. Wacheni uhuni wenu huo. Tafadhali tupeni taarifa za uhakika kabisa, ujenzi wa uwanja ulipofikia kwa wakati huu. Acheni utapeli na uhujumu wa mali za serikali. Hizo siyo fedha za CCM, bali ni fedha za serikali ya jamuhuri ya Tanganyika.
Пікірлер: 25