Amen Mungu nisaidie upande wa kusema ukweli,nisiwe na hasira ,matusi ,kiburi, nisaidie niwe mwaminifu...mapambo sifanyi tena am natural for God
@bintmwambapa7734
Жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana, Mtumishi wa MUNGU MUNGU azidi kukutunza,nikeailisha nilitaka nianze kusuka za mkono tu ,ilimladi ni dhambi nimeacha staki kwenda jehanamu.jactani nakupenda bule YESU Kristo azidi kukutunza
@elizathomas7442
Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwa mtumishi ,je kuhusu Pete ya ndoa je
@sallymumia8425
Жыл бұрын
Thank Lord Jesus Christ, for more revelation,on us women, 😭😭😭,we really need to change as women for sure.
@jacklinecherotichrono9622
Жыл бұрын
Sasa nimejiamini, naomba niombewe
@georgembise7234
Жыл бұрын
Dada vero mungu akubariki sana, mm binafsi nimebarikiwa sana sana sana uzur wako umetoa mpaka mistari sasa asoelewa hili basi huyo amekamatwa na nguvu za shetani,ndugu zangu somo hili litufundishe,ahsante sana,ni mm brian dar es salaam tabata ilala.
@joycekaphevemba7215
Жыл бұрын
Amen Aamen eeeh Bwana utusaidie sana kufuata SHERIA zako na kupenda kujua mapenzi yako ndani yetu, Amen Amen Amen , ubarikiwe sana sana mtumishi kwa ujumbe huu nimejifunza kitu Cha dhamani
@leahbhoke8718
Жыл бұрын
Amen Yesu turehemu sisi wanawake tutii Neno lako watumishi wa Mungu mbarikiwe saaana Jactan na wengine wote wa Promover tv🔥🔥🔥🔥🔥
@ruciasimeo4431
Жыл бұрын
Mungu akubariki saaana
@ruciasimeo4431
Жыл бұрын
Kanisani kwetu atujipambi wala kusuka wala kuvaa masuluali Vero umeletwa kwa wakati muhimu.
@zeddychebet549
Жыл бұрын
When I heard this message I repent of i have done,I decide to be with my natural hair.i than God for you sister may the lord bless you.
@ngugit88
Жыл бұрын
Amen ,Mimi langu nimelisikia Mungu nisaidie kutii,maana kutii ni bora kuliko dhabihu ,sii kuskia neno mbali nikuskia neno na kulitenda.
@siamangia9945
Жыл бұрын
Nimesikia ushuhuda huu wa mtumishi wako,nipe neema ya kuweza kubadilika maana lengo la kuokoka ni ili tuje mbinguni.Niwezeshe niache kiburi,hasira,kinyongo,majivuno na huku kujipamba.
@janetisaac1084
Жыл бұрын
Asante Dada vero ninashukuru kwa ujumbe mzuri ninamshukuru Mungu kwa ajili yako,asante kwa upendo mkuu namna hii ,nimekuelewa nimebadilika japo nasimangwa wanasema mm ni mzee,lakini kwangu ninaamani nyingi
@Neemakilimba
Жыл бұрын
Usiogope Mbingu ni yakwako Mwenyewe kaza mwendo
@Neemakilimba
Жыл бұрын
Usiogope Mbingu ni yakwako Mwenyewe kaza mwendo
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
😅ndo zao hao usijali lkn MUNGUBABA anakupenda sana
@verram2736
Жыл бұрын
NIREHEMU Ee Mungu unayeishi, nimekuwa nikipingana nawe. Asante Veronica kwa ujumbe huu wa kimbingu. Nakumbuka BWANA AKISEMA NAMI KWA HABARI YA KUFUNIKA KICHWA NA KUVAA MAVAZI MAREFU. OO MUNGU WANGU NIREHEMU NA UNIPELEKE NAFASI NYINGINE TENA. ASANTE MUNGU MWEMA AKULINDE 🙏🙏🙏
@estherbintioupeut-ontrouve481
Жыл бұрын
Amen Amen dada nonataka kujua kidogo ninahacha mapambo lakini kwa ajili ya nwele nikisukiwa nwelezangu nivibaya nakufunika kichwa ninakosea?
@INNOCENTAGABO
Жыл бұрын
Amen amen Dada si kitu lahisi kuchukuwa Maamuzi yakuokoka Kweli Kweli mpaka unakuwa Picha kwawenzako kwasababu wenye wangali gizani wanakucheka ukiva kitamba umezeheka unahalibika Mambo mengi tu tunakutana nayo ukiva nguwo ndefu Bala Yooo hupndezi mubaya Ww Mambo nimengi shahindi ni mimi apa nimeokoka Akini ninavita ya family nayawalafiki Eti nikawa mubaya watu wanasahawu kama duniani niwasafili mbinguni kwa baba tutapendza zaidi Akini vazi LA mwili LA dunia mwisho wak ni apa apa lakini Roho ndani yanyu ataishi milele yy hakufi hazeheki hagonjwi navinginevyo sasa tutafute kwanza ufalme wambingu vingine tutaongezewa Hallelujah Maman PASTOR AGABO
@saidatowainda525
11 ай бұрын
Mungu nami nisaidie ninyoe nywele ,mapambo niache
@mariamyinga2141
Жыл бұрын
Amen kwakweli Mungu atusaidie kanisa
@jacklinecherotichrono9622
Жыл бұрын
Mungu akubariki dada, no pic nimeelekezwa Karisa Fulani hapa Kenya hila nikiwa pale kushiriki fita no mingi.
@bintmwambapa7734
Жыл бұрын
Eeeeee YESU Kristo tusaidie wanawake, promover TV MUNGU azidi kukutunza na akupe maisha malefu kazi yenu ni njema Sana
@CarolinaKamasho
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunaomba tusaidie ujumbe ufike makanisa yote maana kama kanisani kwetu karibbia wote tunajiremba na tumeokoka
@blessingsbelle7619
Жыл бұрын
JAKTAN, I ALSO HUMBLY REQUEST YOU PRAYERFULLY CONSIDER CHANGING YOUR CHANNEL'S TUNE. IT REMINDS ME OF TUNES FROM HORROR MOVIES...GIVING ONE A SENSE OF DOOM & GLOOM 🙂.
@linetmusee6431
Жыл бұрын
Amina!
@asminetaba253
Жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu kwa ujumbe huu mungu akubariki sana
@JustnFabiani
Жыл бұрын
Amina San mama Mungu Anatenda🙏🙏 51:45
@lovenesswalter6650
Жыл бұрын
Barikiwa sana
@luciawanyonyi4640
Жыл бұрын
AMEN 🙏🙏 barikiwa sana dada na team yote ya promover ki ukweli nimejifunza mengi hapa
@queenesther2639
10 ай бұрын
Amina tumesikia tunazidi kuamini
@RealGiftLydia
Жыл бұрын
Amen 🙏 ni uzuni sana kwakweli sisi wakina mama shetani ametufunga fahamu kabisa maana kama ni ku onywa tuna onywa sana lakini tunajitetea kila siku. Mwanamke kuwa pambo ina maanisha utu wa ndani maana ndani ukiwa safi yatashuhudiwa inje pia,na kikubwa ni kuwa msafi wa mwili maana wengi wanajificha kwenye mapambo na huku ni wachafu sana wa miili yao👏
@magrethmalangalila8041
Жыл бұрын
Amen nabarikiwa sana
@ecramarajabu7330
Жыл бұрын
Amina kubwa mtumishi wa Mungu
@doricemrema2177
Жыл бұрын
Amen, Bwana YESU KRISTO, Asante Kwa ujumbe wako. Wanawake tujifunze kutii.
@geramonique1408
Жыл бұрын
Ninakupenda sana Madam Vero Mtumishi wa Bwana
@leahdaniel1117
Жыл бұрын
Wanawake wakristo wamekuwa wakaidi Sana kwani mkifunika vichwa na kuvaa mavazi ya stara hampendezi? Tunashindwa na wanawake wa islamic? Nanyi mmeokoka na mnamkiri YESU?
@PriscaDanda
8 ай бұрын
Amina mtumishi Mungu alie hai,Mungu nipe ujasiri nibadilike
@julianawanjala6495
Жыл бұрын
Asante Sanaa mtumishi wa Mungu kwa ujumbe huu...
@marymgumia7715
Жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu. Bwana atusaidie wanawake tutafute utakatifu wa ndani na nje.
@INNOCENTAGABO
Жыл бұрын
Petro kwa kusema kumenyesha mwanafuzi wayesu kutembeya namavazi vimeonyesha Uyu nimufasi wa YESU KRISTO sasa je sisi tugeukeni Mbona tumeonywa sana alakini kujiteteya kwasababu tusichekw inj Bali tunasahawu MUNGU NIMWENYEWIVU kunasiku tutaliya kwakukata kuri I am telling you wanawak tunaona kama hatujipambi doa zitahalibika wame wetu watacepuka alakini tunasahawu kama ni MUNGU kakupa na kakuonya ukakubali basi atakulindiya kwasababu ya kuti Akini usipo ti utakosa kamba na mbuzi
@gallantswatano1810
Жыл бұрын
Asante Bwana Yesu kwa kutuandaa kutujiaaa Halleluya to the Son Of the Living God
@elizabethjeremiah8323
Жыл бұрын
Asante dada
@MARIAOMARY-o4s
Жыл бұрын
Ubarikiwe
@ashurakodd1589
Жыл бұрын
Mungu akubariki
@butoyifabiola4544
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wabwana
@diananaswa4842
Жыл бұрын
Amen nmejifunza ....mungu akubarki mpendwa.....naomba unipe number ya group lako pls
@consolathaamandus8136
Жыл бұрын
Eeeh!! Bwana YESU nisaidie Mimi kubadili mwenendo wangu nataka kwenda mbinguni
@VenerandaNgole
Жыл бұрын
Mungu utusaidie tuweze kubadilike
@dinairenge
Жыл бұрын
Mungu tu rehemu sisiwanawake wote apa dunia
@sophiamakani6133
Жыл бұрын
Amen and Amen Asante sana mutumishi wa Mungu kwa ushuhuda
@annak6738
Жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa ujumbe mzito kama huu.Jacktan asante kwa kutuletea Watumishi wa Mungu kutuletea Jumbe Mbalimbali za kutujenga Kiroho.Naomba no.ya huyu Mtumishi Veronica.
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Namba yake ameitaja mwisho sikiliza utaipata
@captainlufumbe4249
Жыл бұрын
Amina Kwa somo zuri
@marianahermes6301
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa BWANA
@Wonderfullymade2782
Жыл бұрын
Asante sana Dada Veronica kwa ujumbe. Jamani nambali zako za simu? Ama how can you be reached? Thank you.
@alicekatsutsu6345
Жыл бұрын
Ameen,mungu tusaidie
@marygichuru3058
Жыл бұрын
Amen
@mediavumbi9243
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada
@saramuna1173
Жыл бұрын
MUNGU atusaidie sana binafsi nimefunuliwa sana kuhusu mavazi na mapambo
@lydiamichael5509
Жыл бұрын
Amen Jina la Yesu Kristo aliye hai lizidi kuhimidiwa
@BerylSeer1
Жыл бұрын
Veronica 😊unakuanga serious wee
@magrethmtawala4315
8 ай бұрын
Naomba uniunge kwenye group lako la mafundisho ya neno la MUNGU
@reginarutazamba5474
Жыл бұрын
Haya sasa ni kutuchanganya, inamaana Mungu alitupa nywele na kucha, na pia ukumbuke hakuna vazi lolote lililotengenezwa na Mungu, sasa hebu tupe mavazi na mapambo yaliosahihi basi, ili tujue vizuri. Mimi Mungu naomba anisamehe tu, kwa sababu hii dunia tumechanganywa hatari. lakini unahakika gani ni Yesu huyo, kwa sababu hata shetani huja kwa aina yeyote.
@musokedios8162
Жыл бұрын
Inamaana wamalekani na nchi za ulaya hawataenda mbinguni,maana wanavaa masuluali?? Siri ya mbingu nikubwa Sana kikubwa ni moyo kuulinda kwani hats hichokilemba amevaa no pambo,na kitenge ni pambo,
@phynnie
Жыл бұрын
Kuuliza sio makosa. TENA MUNGU ATUSAMEHE. Shida iliyopo ni kwamba watu wengi hawajisomei Biblia wenyewe. Wanategemea shuhuda za watu wengine na mafundisho yasio ambatana na Neno la Bwana. Soma Ezekiel 16:10-13 Bwana anazungumzia Jerusalem kama mfano wa mwanamke anaye pendeza. Mwenyezi Mungu alimpenda Jerusalem, akamrembesha kwa mapambo naye Jerusalem akawa wa kupendeza. Swahili: 10 Nikakuvika vazi lililotariziwa na kukuvalisha viatu vya kamba vya ngozi. Nikakuvika nguo za kitani safi na kukufunika kwa mavazi ya thamani kubwa.11Nikakupamba kwa vito: nikakuvika bangili mikononi mwako na mkufu shingoni mwako, 12 nikaweka hazama puani mwako, vipuli masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani mwako. 13 Kwa hiyo ulipambwa kwa dhahabu na fedha, nguo zako zilikuwa za kitani safi, hariri na nguo iliyokuwa imetariziwa. English: 10. I clothed you also with embroidered cloth and shod you with fine leather. I wrapped you in fine linen and covered you with silk. 11And I adorned you with ornaments and put bracelets on your wrists and a chain on your neck. 12 And I put a ring on your nose and earrings in your ears and a beautiful crown on your head. 13 Thus you were adorned with gold and silver, and your clothing was of fine linen and silk and embroidered cloth. Kama Mwenyezi Mungu ana fananisha uzuri wa Jerusalem kama uzuri wa mwanamke aliye pambwa kwa mavazi ya thamani na vipuli maskioni, na bangili na taji kichwani, hawa wanao kemea kujipamba wanatoa wapi mafundisho yao? Swali lingine: mbona Bwana Yesu hakumkemea yule mwanamke aliye panguza miguu ya Bwana Yesu kwa nywele zake akiwa na perfume ya thamani? Swali lingine: Mbona Mwenyezi Mungu aliwakomboa wana wa Israel kupitia Esther mwananke mrembo aliye tumia mapambo ya hali ya juu?
@neemameshack2758
Жыл бұрын
Mpendwa Mungu akusaidie kujua haya, soma hiyo sura yote ya Ezekiel 16 yote uimalize utaona vile Mungu Anacostia mapambo. Usidanganyike Mungu hadhihakiwi Hapo unamkosoa Mungu Soma yeremia 4:1.
@jackiemaggy2484
Жыл бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeeeen
@INNOCENTAGABO
Жыл бұрын
Shalom shalom, Naona maneno mengi mu comments zenu mukijalibu kumutusi huyu, arakini yote anayo yasema ni ukweli ame andikwa hata kwenye kitabo kitakatifu BIBILIA ila kila siku ukweli unauma hasa kwenye mambo ya Mungu akizungumzia kuu mwiri ni shida kubwa hata kwenye makanisa injili ya ukweli imetoweka WATUMISHI wa sasa wanaubili vyenye kutoka hakilini mwao, sana niwaulize umuhimu gani wa kuupa mwiri raha zote na ukapoteze uzima wa milele?? Na hapa duniani niwakumbushe ya kwamba tunapaishi muda mfupi saana, ila tukisha toka kwenye mwiri huyu tunaenda kuishi maisha anaitwa ya milele, sasa niwewe kuchagua kuishi ukiteseka milele au kuishi ukifurahi milele, Mungu awapiganie wa mama wote kwa maana Jambo hili la mavazi linatikisa na linaharibu wengi saaana
@Pastorgumbo
Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe, naomba namba ya Mtumishi Veronicah natamani aje kanisani kwangu kwa ajili ya ujumbe huu, Mimi ndio msimamo wangu Kama ujumbe huo
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Ametaja namba yake tazama mpaka mwisho utaiona
@esthernjoroge6018
Жыл бұрын
Mpaka Kufa usikose kusema neno au. Sauti ya mungu Kuna makubwa mbele mwanadamu asikutishe
@kizandume3015
Жыл бұрын
Amen mtumishi WA mungu Mimi Niko naswali je kujipost ni Zambi Ahu kuwa na fesibuke ni Zambi Tena nahuliza je Kukula supageti Ni zambi
@perufamily6941
Жыл бұрын
Mpendwa tumia mitandao ya kijamii kwa utukufu wa Mungu . Facebook, Instagram, you tube na mingine. Unajiposti ili utangaze mini? Post mahubiri au mafundisho ya neno la Mungu umtangaze Yesu.
@ashurakodd1589
Жыл бұрын
Namba za Vero
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
@miria659
Жыл бұрын
Amen God have mercy on us all
@honeyshemweta1166
Жыл бұрын
Dada Vero ubarikiwe sana na je Pete ya ndoa inaruhusiwa?
@daisybuyantsi5953
Жыл бұрын
Amen barikiwa dada
@franciscassian
Жыл бұрын
Sio wanawake hata wanaume wasisuke🤔
@MARIAOMARY-o4s
Жыл бұрын
Utaniunganisha kwenye group
@verram2736
Жыл бұрын
Naomba kuconnect na mtu mkuu wa Mungu Vero. Nambari ya simu please
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
@MarthamwashiuyaMwashiuya
Жыл бұрын
Mungu anihulumie nipo tayali. Kubafilika
@lovedestine3248
Жыл бұрын
Naomba namba za Vero.. aliyenazo ... Ninaomba jaman
Mwezi wa pili mwaka wa 2022 ndo Mungu amenitokea kabisa akanikataza mambo ya mapambo, mawingi, heleni, kama mwanamke anaendelea kufanya hivyo vitu, mbingu hataingia kabisa
@magrethmtawala4315
8 ай бұрын
Mimi nimeokoka nampenda YESU kanisani kwetu hakuna vya mapambo ya mwanamke YESU alizuia tuko waumini wachache, lakini baba yetu wakiroho anasema tuwe wachache watakao enda mbinguni kuliko kutenda zambi, kanisani tunahuduma tano mchungaji mwinjilisti nabii mwalimu na mitume , wanawake wanapenda mapambo hawakubali kuhacha, wewe endelea kufundisha atakaye kubali sawa asiye sikia mwache, Bwana YESU asifi
@diananaswa4842
8 ай бұрын
MUNGU awasaidie coz mnatakiwa mfuen roho za watu sababu ww n baruwa so lazma uende mbinguni na watu uliowauburia waokolewe.....
@hindahnambela6628
Жыл бұрын
Amen and amen sister 🙏🙏🙏❤️❤️🥰
@ameulmontan6753
Жыл бұрын
Wanawake tubadilike YESU anatupenda sana ndio maana haachi kutuonya
@rerisamba
Жыл бұрын
Week 2zimepita Bwana amenipee neema ya kuwaombee watakatifu ambao wengi wamekatalia kwa urembo coz naomboleza kwa ajili yao wengine wamemtumikia Mungu kuanzia ujanani na sahii ni wazee lakini wamekatalia kwa urembo
@gracecharles4504
Жыл бұрын
Naomba namba ya simu na kuungwa kwenye group
@PromovertvTz
Жыл бұрын
Ametaja namba zake, sikiliza mpaka mwisho
@innocensiashayo6878
Жыл бұрын
Naomba link au namba zako nataka kujua vingi mtumishi 🙏
@leyaedwards8851
Жыл бұрын
Kwangu mimi Yesu amenipa jibu tena, kwani hata twende kilioni hairuhusiwi. Asante Yesu Christo
@perufamily6941
Жыл бұрын
Siyo twende kilioni tu hata mabutu
@joniajohn4716
Жыл бұрын
@@perufamily6941 mi naomba kueleweshwa Biblia inasema nywele ni utukufu wa mwanamke na linapokuja suala la nywele za Kiafrika hata kusuka mabutu ya kulalia nako ni dhambi? Maana wejye Naona wenye nywele za kizungu, kihindi, Kiarabu, kisomali hawahitaji mabutu kutunza nywele. Imekaa kama mtu akiumwa asiende hospitalini abakie kuombewa tu pekee. Au mwenye maarifa ya kutunza nywele za asili ndefu za Kiafrika atoe uzoefu wake Please Ahsante
@godrivernicholous3536
Жыл бұрын
Mimi niko na swali kusuka ni dhambi na kunyoa ni dhambi tufanyaje? mmmmmh 🤔 jee??huyu Mungu alikosea kuwapa wanadamu vipawa na karama??me Yesu ananitokea Sana Sana ni KILA mtu ana Neema yake nisikatae lakini Mungu hakukosea kumuumba mwanadamu na kumpa vipawa🔥
@neemameshack2758
Жыл бұрын
Soma neno uliieleewe vipawa ni vya Mungu anauwezo wa kumpa yeyote ampendae so visikupe kiburi shuka Mungu akubariki sana
@saidatowainda525
11 ай бұрын
Hivi mpaka saa ni pambo? Naomba msaada mm
@maimunamselemo8427
8 ай бұрын
SubhannaAllah Astaghafirullah 😭😭😭
@Annsikoboy-ut8bs
Жыл бұрын
Hii ni wazi kuwa huyu dada anazungumzia MUNGU wa kweli yaani YESU KRISTO. Amemwagiza asome Biblia wala sio kitabu kinginecho. Katika Biblia takatifu, Mitume wa MUNGU wamewaagiza wanawake kutotawala wanaume. Ndiposa alimpa mwanaume yaani baba wa kiroho. Pia nasi tumuombee huyu dada asije akaanguka kwa maana mwovu shetani hataacha kumwandama kabisa kabisa.
@BlessKanyamale-up5pu
Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU naomba niunge kwenye Group lako natamani kujua vitu vingi yawezekana Kuna vitu namkosea MUNGU bila kujua
@saidmatikiti1566
Жыл бұрын
Naomba no zako mtumishi nahitaji kuingia kwenye group lako
@goddaughter8312
Жыл бұрын
Yesu Christo tusaidiye
@RutexNalex
Жыл бұрын
Ñikweli lakini kwà nguvu zetu hatuwezi bila roho mtakatifu
@INNOCENTAGABO
Жыл бұрын
Kumupata ROHO ni rahisi mutafute usiku namuchana atakuonesha makumbwa Yale huwezi you anayaweza
@maggiejoel3125
Жыл бұрын
Naomba namba za group la Veronica aniunge plzzzz
@eliethpeter493
Жыл бұрын
Mtumishi Vero nisaidie kUmuulza Mungu kama nikiamua kunyoa nywele Zang ninyoe stahili gan ya kumpendeza maana nywele Zang zkikaa bla dawa znakuwa ngumu kuzichana.
@joniajohn4716
Жыл бұрын
Nywele zetu za Kiafrika zinahitaji products sahihi ili kuzilainisha , kua na moisture na ukuaji na uimara. Jaribu kuchek youtube kuna maarifa mengi sana ya jinsi ya kutunza nywele za asili za Kiafrika hauna haja ya kunyoa kama wazipenda. Kwa hiyo hapa ni suala la maarifa
@delphinamathias7852
Жыл бұрын
Leo nimesikiliza wàtumishi 2 kuhusu mapambo nimefumua vigi na je ķupaka Black colour kwenye nywele ni kosa .
@tabithajeremiah4589
Жыл бұрын
Asante Kwa swali lako,nikos ambele za Mungu kwani unakosoa uumbaji wake nywele alizokuumbanazo aliona zinapendeza paka mafuta chana na utapendeza tu
@dorismkoma4228
Жыл бұрын
Mimi nimeokoka lakini hapa naona tunachanganyana jamani.Mimi ufunuo niupatao katika 3Petro 3:3,na 1Timoteo 2:9 iko hivi wapendwa"Kwanza kabisa mstari wa 3 ni mwendelezo wa maagizo ambayo yalianza kutolewa kuanzia mstari wa 1 ukiagiza kuwa kadhalika ninyi wake watiini waume zenu.....2wakiutazama mwenendo wenu Safi na wa hofu3 kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa nje yaani kusuka.......Nataka nizungumze kwa ujasiri mkubwa kuwa ,wanawake waliagizwa hivi kwa kuwa walifika mahali wakajisahau na kukosa utii kwa waume zao wakidhani ya kuwa watawavuta waume zao kwa mapambo ya nje tu Kumbe tabia nayo ndiyo ilikuwa kitu kikubwa yaani mwenendo wao mwema.Hii ina maana kwamba walitakiwa kuonesha utii kwa waume zao na sio kutegemea mvuto wa mapambo tu lkn kujipamba si dhambi,Ila walikumbushwa kutii kwa kuwa wanawake tuna upendo lakini hatuna utii wanaume Wana utii lakini hawana upendo tena kuna andiko linawakumbusha kuwa wapendeni wake zenu.Tunaposoma biblia tumsikilize roho mtakatifu anatuambia nini na siyo amefunua nn kwa mtumishi nani.Tatizo watu wengi tunataka shuhuda na miujiza Neno hatutaki kulisoma.Mimi nimesoma mwanzo to ufunuo Ila kwa hili mmmh?naona ni tango mwitu.Wanawake wenzangu mimi nitajipamba rohoni na mwilini ili mradi nisitende dhambi"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Someni Neno Mungu aseme nanyi wenyewe km aweza sema na Vero anashindwaje kusema na wewe na mimi.Mungu siyo wa watu ni wa Kila mmoja amtafutaye na kumwita kwa bidii atamwona na kuzungumza naye.So mm sisubiri ujumbe wa care off nataka aniambie mwenyewe.Wakati mwingine Mungu aweza kukuzuia usisuke kwa kuwa ameona kuwa kupitia kusuka laweza kuwa jaribu kwako na kuvuruga uhusiano wako na Mungu Sasa usizuie wengine kwa ufunuo alokupa Mungu kwa ajili yako.Maandiko yanasema msiziamini Kila roho Bali zipimeni hizo roho,tutazipimaje basi?Si ndiyo swali jibu ni jepesi "imeandikwa"je kinachosemwa kimeandikwa na je maandiko kabla na baada ya andiko hilo Yana ujumbe gani?Tusimezeshwe tu nasi tukaridhika tutafune na kumeng'enya wenyewe tusiwe Kama watoto siku zote tukue kiroho jmn.Tena nataka niwasaidie wanawake wenzangu ukijiachilia ukawa rafu huyo mumeo unamfungulia mlango wa kuwatamani hao wajipambao huko nje.Hata wanawake wa Kale ktk biblia walijiipamba wapendwa akina Mariam Magdalena akina Matha mbona Yesu hakuwafukuza?Kazi kubwa tuliyoipewa ili kutenda mapenzi ya Mungu ni moja tu"mwaminini yeye aliyetumwa na yeye".Soma Neno tenda neno yatosha.
@adeladaudi2047
Ай бұрын
Pole dada rudi magotini na Roho mtakatifu akusaidie😢😢
@janethmwihumbo1289
Жыл бұрын
Huu ndo uamsho tunao sikia tuamke usingizini
@simonrevelian7278
Жыл бұрын
Wamama watiifu wataingia mbinguni kwa wingi sana
@dinairenge
Жыл бұрын
Turehemu yesus
@INNOCENTAGABO
Жыл бұрын
Na kuusu kufundisha Bibilia inaruhusu mwanamke kufungisha wanawake wenzake ndio maana hapa hajakosea ila mwanamke haruhusiwi kuongoza Kabisa wala kuhubilia wanaume ila anaruhusiwa kuhubilia wanawake au wasichane
@veronicapoul
Жыл бұрын
MUNGU tupe macho tuone
@sapricatermaregeri6571
Жыл бұрын
Mimi naomba mnisaidie. Kukata tunaruhusiwa ?
@eliethpeter493
Жыл бұрын
Sasa vp kuhusu mafuta ya kupaka Kwann tusikae bla ata kijipaka mafuta?maana ni ziada na nguo hatukuzaliwa nazo yaan nachanganyikiwa
@rerisamba
Жыл бұрын
Mimi nilitoka huko tokea ushuhuda wa Aston nilijikubali vile nilivyo nakusema ukweli tokea nitupe hayo marembo Bwana hunipea vitu bila kungangana kabisa
@judywarui8237
Жыл бұрын
Ulifanya vizuri pia Mimi nazitupa zangu kabisa..najikubali vyenye nilivyo
Пікірлер: 225