Wow Diamond Platinum ila Irine wewe huyu Krish siku zote unashindwa kumuonyesha Diamond
@shiksshiks8494
5 жыл бұрын
krish toto la irene.... its his when reffering a man not her bt umejaribu😍😍
@khadijaally4766
4 жыл бұрын
Sikizen kwa maankini
@hassanomarkhamis1977
4 жыл бұрын
Krish "I like her music."
@pudencianajaphet914
4 жыл бұрын
Boy kasema "l like how he sings" nyie nendeni twisheni mkajifunze "slang ya kiingereza"
@davidnseka8802
4 жыл бұрын
Looks good though
@rosekhamis3511
4 жыл бұрын
I like her duuuuuh
@aminakassim8272
5 жыл бұрын
Ni kwamba watu hawajaandaliwa au?
@mainapaul8539
Жыл бұрын
Ireen uwoya Asnte sana
@kuruthumyahaya5871
5 жыл бұрын
Kama umesikia (i like her) gonga like nyingi hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kingereza bwana! Hakituachagi salama
@maalimhashim2020
4 жыл бұрын
Anamuona kama her lol q
@chalaaly4906
4 жыл бұрын
Endelea kupamban utafika tu jmani... Na Krish anakua vzur sihaba.
@Mimi-wf7mb
4 жыл бұрын
Nyie mliosikia her nendeni english course tena muombe Krish awe mwalimu wenu
@frdmedia6235
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zuhurambonde7599
5 жыл бұрын
Anakufahamu hakujui namaanisha
@zamdairadukunda9974
5 жыл бұрын
Huwenda anamaana yake Kufanya ivyo tout est possible
@damariszuckschwert9489
5 жыл бұрын
Sasa huyu mwenye hajui tofauti ya he or she ndio mamake alisema hajui kiswahili fyuuuu.
@elizabethmwandu6937
5 жыл бұрын
Mmmmhu eti hajui kiswahili hata kingereza chenyewe anachanganya tu.
@estherbakabona9930
5 жыл бұрын
Mtoto ame sema I like how h sings jameni jifunzeni kusikia kabla Ku hukum
@ikirezijose5741
5 жыл бұрын
wewe ndiyo hujuwi ao hukusikiya nini aliongeya🤔🤔alisema eti I like how he sings👈😂😂
@mohammedkitcarson697
3 жыл бұрын
✋
@tatumshakamal7137
4 жыл бұрын
Jamani ninini hio mbona hatuja elewa
@zawadisangawe8875
5 жыл бұрын
Krish yuko wapi kibao,unamuuliza Nani sasa hao
@vanynadymhamad1996
3 жыл бұрын
Ww uwoya usije ukamfundisha tabia mbaya
@nuhuulieli6822
4 жыл бұрын
Jamani Kila mtu Ana madhaifu yake ipo siku atajua🙏
@frdmedia6235
3 жыл бұрын
Huwa inatokea hiyo
@Mimi-wf7mb
4 жыл бұрын
Kasema "I like how he sings' Sasa hili kosa sijaliona. Labda sijui kingereza
@khadijaally4766
4 жыл бұрын
Sikizsn kwa maankini ameongea vizur sana akuna penye amekosea
@shemmastershaaban77
4 жыл бұрын
kila mtu anacomment her " jaman hata wazungu wenyewe wanatkoseaga apooo. mue na uzoefu wa kuona na kusikiliza sio kuganda na udaku wa bongo tuuu
@akibarahamadi5058
5 жыл бұрын
simbaaaaa
@henryasani9362
5 жыл бұрын
akibar ahamadi simba des simba
@neemalkiswaga6126
5 жыл бұрын
Analipiwa milioni huyo her/him
@solomonwilliam8938
4 жыл бұрын
i like how is sing
@shebylove1352
5 жыл бұрын
Leo wakwanza like zenu wadau
@frankbella196
4 жыл бұрын
Na mwanao dogo janja yupo
@oswardphilimoni7793
3 жыл бұрын
Unamwita msanii mkubwa badala ya mdogo
@mourinebey_kenya7027
5 жыл бұрын
Yule anaye lipiwa ma million shule 🤣🤣🤣🤣 eti I like her 🤣🤣🤣 hajui tofauti ya her / him 🤣🤣🤣🤣 mtoto kakumbua acheni sifa wasanii wabongo🤦♀️🤦♀️🤦♀️ najua hata kumtaja Diamond amemwambia yeye amtaje🤣🤣🤣🤣
I like how he sings jifunzeni Ku sikia sio tu kuwa haraka Ku hukum mtoto mdogo
@estherbakabona9930
5 жыл бұрын
I like how he sings jifunzeni Ku sikia sio tu kuwa haraka Ku hukum mtoto mdogo
@mourinebey_kenya7027
5 жыл бұрын
subira gerald hapo hakuna cha kukosea wala nini angekosea kitu kingine bt I like her🤣🤣🤣🤣 hapo hujanambia kitu hajui kizungu chochote mamake kazi kumsifia mbona kamwambia marayakwanza ongea Kiswahili alijua akiongea kizungu atakosea mana hakikijui na yeye anamsifia anakijua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mourinebey_kenya7027
5 жыл бұрын
Esther bakabona haja hukumiwa na siwezi muhukumu mana pia mimi ni mzazi bt nimeongea kulengana na mamake anayvo musifia wakati hamuna kitu. Ulipe shule dollar 💵 elifu nane alafu mtoto hata tofauti ya him/her hajui 🤣🤣🤣🤣ukweli utasemwa tu 🤣🤣🤣
@mwaminindungulungu974
3 жыл бұрын
Mlidamshi
@evaabely6268
4 жыл бұрын
Wabongo nanyie kwakukomalia k kusema her ndo imekuwa gumzo duuuh inahusu??? Kam amekosea si bax kwan ukiongea ndo atabadilika achen ushamba kwa kukomalia v2 ambavyo havina maan looo
@zainabubanda7683
5 жыл бұрын
si baba ake uyo jamani wabongo kwa njaa
@doreenpaulrugwaguza8307
4 жыл бұрын
Hofu tuuu jamani kukosea
@chalaaly4906
4 жыл бұрын
Mim cjaona kosa kwamujibu wa nilichokiskia.
@aisharashid3403
Жыл бұрын
P
@johariathumani1761
5 жыл бұрын
Aiseeeeeeeeeeeeeee her ht km nimeishia la 3B najua kuitofautisha
@Mimi-wf7mb
4 жыл бұрын
Johari we umesikia her mwenzio kasema how. Pole
@claudiangowi9585
5 жыл бұрын
Anaongea kama chizi hata ustaarabu wa kuongea hana
Пікірлер: 77