Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua jengo la abiria katika Kiwanja cha Ndege Mpanda mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege huo mkoani Katavi ikiwa ni sehemu ya ziara yake aliyoianza leo tarehe 12 Julai, 2024.
- 27 күн бұрын
VIDEO: RAIS SAMIA ATUA MPANDA, AKAGUA JENGO LA ABIRIA KIWANJA CHA NDEGE, TAZAMA
- Рет қаралды 9,964
Пікірлер: 12